Lisu mimi na ukoo wetu tunakuunga sana,lakini unapomjumuisha Magufuli kwenye mambo yako kwa kashifa,nachukia sana Ongea utatufanyia nini tukikupa nafasi, Vinginevyo,,,,,
Usisahau amri ya pili ya Mungu yasema " usiliseme bure jina la Mungu wako" ipende zaidi roho yako isije ikaadhibiwa kwa kusema uongo kwa ajili ya kutafuta cheo ,itakuuma zaidi ukikosa vyote
Watanzania tupunguze uwoga huyu ni mwanaume hata mkimuuwa jina lake litaishi kwa kuwa hakuna ataye ishi milele wakirsto tunasema tushikishane tone la upendo
Ohhhhh mseme mama ,,achana na magu,,ukitaka uchukiwe na wananchi wa kipato cha chin msimange magu,,nchi ishauzwa baad ya Mzee baba kudodoka,,,makum wa rais ,job dungai,nawatakia maisa mema ,
Kwani tundu na ndungai sio watanzania.sie tuliopo nje ya siasa ni hivi ccm wapo watu marafiki zao chadema na Kuna chadema marafiki zao ni watu WA ccm. So wakiwa kwenye vyama vyao wanapambana kwa hoja muhimu lakini sio maadui cuz wote ni watz
Mama kwani yy haumiii au xema wabaya ni wale wanaomsapoti kazi iendelee na watengeneza mabango lkn mbn hawatengenezi mabango kuwa ameuza bandari au ngorongoro itakuwa tundulisu ananganya tungekuwa tumeona mabango ya kumsifia kuuza bandari na misitu
Hii Sera ya huyu Jamaa, ni hovyo kweli kweli, umbeya mwingi. Mbona husemi huduma alizokurejeshea huyu huyu Rais. Aliamueu akalipwa kila ulichocheleweshewa. Alikufata Nairobi Alikurudisha Ughaibuni Amekulipa ulivyopoteza.
Ushauri wangu kwako mweshimiwa tundulisu nikwamba ukimsema magufuli vibaya watanzania waliowengi hasa wanyonge watakuchukia mana marehem aliwasaidia wanyonge sana tena mno na wanaelewa kazi alizo zifanya kwa upande huo.sasa kwa upande wa pili niwale also kuwa wana pinging nae ambao wanasema walitendewa ubaya.hiv wanaweza kuwa wengi zaidi ya watazania masikini wanao mpenda magu?kitatangulia mbele za haki pambana na walio hai.yeye kishaenda wala hawezi tena kujibu hizo shutuma.watanzania wengi watakupa sapot ukiwacha kumsema vibaya magu.sisi ndio tupo mtaani tunawasikia wanasema lisu tunamkubali kinacho tufanya tusimkubali nikumsema kipenzi chetu anko magu.yaan sio wewe kiongoz yeyote akimsema vibaya anko magu wananchi wana mtenga.
Yaani ulitaka kufanikiwa kwa wananchi wa kawaida, basi achana na Magufuli, sahau samehe, tena jaribu kuyaenzi yale mazuri yake. Jaribu kuwa mtu wa kusamehe, wote akina Ndugai wote
Wewe huwa ni Mpumbavu tu ni nchi Gani? Uliona haikopi u nadhani unaongea na watoto Kuna watu wanalala njaa wanaitaji kukopa inashindikana maana hawaaminiki ukikopeshwa unaaminika huyo unaemsema sipika ndio anaepitisha na sii unavyodanganya kila kitu kinapita Bungeni kwa utawalawa Sheriakama ilivyo kwa awamuya 6
Ndo mana huwezi kua rais lazima uwe kama ulivyo na utaendelea kua kama ulivyo huna sifa za kua kiongozi au bana wa familia madako yako @@Zuwenamachela
Unajua huyu ni muongo tena sana anatafuta attention halafu akishika uongozi yake mabaya zaidi na mtajuta mda mfupi tu yuko chini ya wazungu huyu na wazungu wanatamani tanzania vibaya sana mama hauzi sio mjonga hivo
@@KS-iw7qv lisu siyo mbaguzi bali hali ya hii nchi ilipofikishwa na wanoiongoza inatakiwa mtu mwenye akili Kama lisu ndo tutafika kwenye nchi ya ahadi tunayoitaka,toka nchi inapt Uhuru Ni chama kipi kimewahi kutawala zaidi ya ccm,inatakiwa kubdilisha uongozi Kama marekani wanavyofanya ndo tuje tujue Kama lisu Ni mbaguzi,Mimi naamini lisu Ni mtu mwema kabisa kwa hii nchi yetu tofauti na wengine.
Huyu jamaa wakati mwingine huwasimwelewi mbona hana sera yoyote kazi kuongelea watu mara kupigwa risasi na kutukana watu huwezi kulazimisha maji ya pande mlima
KIGULU NA MAMBUMBU U WENZIE ANAMTONGOZA NDUGAI UMEISHA WEWE HUPATI NCHI SUBIRI KIPYENGA KIANZE ,,,UNAANZA UKABILA UNAMTAKA NDUGAI KIUKABILA HATARI DIKTETA HATARI
Inshallah lisu mungu atakulinda maana tz kama dampo,,,,,nakupigia kura mbili
HAPO TU NDO MAMA ANAPOKOSEA. KWA KWELI INAUMA SANAA.
✌️✌️movement for change
Mwamba huyu hapa❤
GOD bless you mr tundu
Lisu oyeeeeeee 🎉 Mwamba Sana Huyu Jamaa
Mwenyezi mungu ni mwema
Anaakili sana kuliko yeyote
Inauma sana,unaposema tuu ukweli huchukui muda,unaondoka duuuh 🤔
Iko siku na mwisho wao hao vibaka wanaojiona Miungu watu kwa sasa!
Lisu mimi na ukoo wetu tunakuunga sana,lakini unapomjumuisha Magufuli kwenye mambo yako kwa kashifa,nachukia sana
Ongea utatufanyia nini tukikupa nafasi,
Vinginevyo,,,,,
NA WEWE HujiELeWi,KWAN maGu NI Mungu ASISEMwE
Usiogope ukweli
Ni kweli, Katiba ni muhimu sana
Hii ya siku nyingi bhana mbona?
Kweli tuipiganie nchi yetu watanzania tujitambue kwani siyo Mali tuu hata sisi tumeishauzwa
LISU UTAPATATABU UTAUMIZA MOYO WAKO HUYO MAMA YUPO UPO SANA
Rip Magu
Usisahau amri ya pili ya Mungu yasema " usiliseme bure jina la Mungu wako" ipende zaidi roho yako isije ikaadhibiwa kwa kusema uongo kwa ajili ya kutafuta cheo ,itakuuma zaidi ukikosa vyote
Achana na Magufuli,utajimaliza kisiasa na kiuzalendo!
Watanzania tupunguze uwoga huyu ni mwanaume hata mkimuuwa jina lake litaishi kwa kuwa hakuna ataye ishi milele wakirsto tunasema tushikishane tone la upendo
@godwinshoo5032 magufuli hakuwa mkamilifu
Aiseeee!
Ohhhhh mseme mama ,,achana na magu,,ukitaka uchukiwe na wananchi wa kipato cha chin msimange magu,,nchi ishauzwa baad ya Mzee baba kudodoka,,,makum wa rais ,job dungai,nawatakia maisa mema ,
Lissu anatakiwa aache uchokozi na kutafuta ugomvi. Aeleze Chadema itakavyoleta mageuzi mazuri ya kuleta maendeleo
We Mungure acha watu waseme ukweli maana utakuweka huru
ASANTE LISU.
Ndo maana tozo zinazidi kila budjet
Kwani tundu na ndungai sio watanzania.sie tuliopo nje ya siasa ni hivi ccm wapo watu marafiki zao chadema na Kuna chadema marafiki zao ni watu WA ccm. So wakiwa kwenye vyama vyao wanapambana kwa hoja muhimu lakini sio maadui cuz wote ni watz
Unaongea uhalo tu huna ulichoongea
Mama kwani yy haumiii au xema wabaya ni wale wanaomsapoti kazi iendelee na watengeneza mabango lkn mbn hawatengenezi mabango kuwa ameuza bandari au ngorongoro itakuwa tundulisu ananganya tungekuwa tumeona mabango ya kumsifia kuuza bandari na misitu
RAISI ndiye mwamzi wa mwisho hawezi kuumia maana yeye ndiye aliye tengeneza huu mfumo?
Wewe nae hujielewi kabisaa
Msema ukweli ni mpezi wa mungu badari kauza tazara kauza maeneo yetu kauza saiz anataka kuuza nishati ya umeme huyu mama rabuda anatuombea mema
Ni aibu sana hivi hawezi kujifunza kutoka rais wa Burkina faso ....
Ujumbe umefika
Mbona sioni chuki. Yoyote. Tatizo mafisiemu mtu akisema ukweli. Mnamubadilisha majina mnataka watu wote wawe ndondocha
Crucial points
Hii Sera ya huyu Jamaa, ni hovyo kweli kweli, umbeya mwingi.
Mbona husemi huduma alizokurejeshea huyu huyu Rais.
Aliamueu akalipwa kila ulichocheleweshewa.
Alikufata Nairobi
Alikurudisha Ughaibuni
Amekulipa ulivyopoteza.
Kumfuata Nairobi ndo auze mali za nchi
Una uhakika na hilo..!!?? Pamoja na hilo asiseme madhaifu yake ambayo ni kandamizi zaidi ya hayo...!!!??? Amka basi...we zuzu..???
Kwaiyo unataka asifiwe ujinga😎
unaujua umbea wewe au unamtetea kwa kuwa ni mwenzio manaefuturishwa naye tende na halua toka umangani na mmeambiwa kuwa mtunziane siri zenu ....
Lissu afe tu RIP JPM😮
Maasai wapelekwe UAE pia 😂
Muulize mh.Ndugaya ile Trilioni moja iliyopotea wakati akiwa spika iko wapi?
Hii sio ya leo, lissu kanyoa juz denge fulan hv
Pasua majipu mpaka kieleweke
Asnante baba
ILIYOBAKI SASA ATATUUZA SISI .
Mama atatuuza
Mlete turaole
Ushauri wangu kwako mweshimiwa tundulisu nikwamba ukimsema magufuli vibaya watanzania waliowengi hasa wanyonge watakuchukia mana marehem aliwasaidia wanyonge sana tena mno na wanaelewa kazi alizo zifanya kwa upande huo.sasa kwa upande wa pili niwale also kuwa wana pinging nae ambao wanasema walitendewa ubaya.hiv wanaweza kuwa wengi zaidi ya watazania masikini wanao mpenda magu?kitatangulia mbele za haki pambana na walio hai.yeye kishaenda wala hawezi tena kujibu hizo shutuma.watanzania wengi watakupa sapot ukiwacha kumsema vibaya magu.sisi ndio tupo mtaani tunawasikia wanasema lisu tunamkubali kinacho tufanya tusimkubali nikumsema kipenzi chetu anko magu.yaan sio wewe kiongoz yeyote akimsema vibaya anko magu wananchi wana mtenga.
Hiyo
sasa unamlaumu wa nini wakati alikuwa anapokea mwongozo??
Mbona usemi pesa zinazoingia bandalini.
ZANZIBAR WAMEIHARIBU WATANGANYIKA SASA WACHA NA NYINYI MNYOLEWEEE MUONE UTAAAAMMMM
Kwani waliowaua wazanzibari walitoka wapi SI wazanzibari wenyewe
Hawtaki kuambiwa ukwer
Yaani ulitaka kufanikiwa kwa wananchi wa kawaida, basi achana na Magufuli, sahau samehe, tena jaribu kuyaenzi yale mazuri yake. Jaribu kuwa mtu wa kusamehe, wote akina Ndugai wote
magufuli anatakiwa asemwe sana maana ndiye alitengenezaa mfumo wa kubaka chaguzi unaotunyima viongozi bora wa kutusimamia
Hujielewi wewe,magufuri ndio katufikisha hapa
Watanzania tumuamini Lissu yeye anaweza
Chadema wataishinda ccm kweli kwa hali hii, au mnataka tu luzuku
Waweke katiba mpya na uone kama kama ccm watatoboa
Wapuuzi kichwa na hii tofouti
NA WEWE UKIWA RAIS USIFANYE VISASI. WEWENI MWANAUME.
Wewe ulie tuma hiii Mungu anakuona Acha uchezi
Tuna kuamini sama wasemee watanzania
Wewe huwa ni Mpumbavu tu ni nchi Gani? Uliona haikopi u nadhani unaongea na watoto Kuna watu wanalala njaa wanaitaji kukopa inashindikana maana hawaaminiki ukikopeshwa unaaminika huyo unaemsema sipika ndio anaepitisha na sii unavyodanganya kila kitu kinapita Bungeni kwa utawalawa Sheriakama ilivyo kwa awamuya 6
DUUH KWERI WW NI MUNIYA KABISA HUNASERA HATA MOJA KAZI KUSEMA WATU SASA UTAWEZAJE KUONGOZA WATU NAFIKIRI LABDA UTAONGOZA MBUZI NA KONDOO
Umepiga panapo uma msafishe mgogo myetu makonongo gamhalibia
Lisu raisi gani uliwai kumkubali
Hadithi za Dugai zinatusaidiya nini. Tundulisu .Sera zakusema wenzako kujifanya wewe nibora sana .Hazisaidiyi kitu chochote
ĹISU SASA SHUGULIKA NA SIASA ACHANA NA YALIYOPITA JAPONYANAUMA . TUNAKUPENDA . LAKINI HATA MAGUFULI TULIMPENDA SANA.
Huyu ni mgomvi
Lisi serrra baba acha blablabla
Tundu Lisu unapoongea achana kutukana watu. Wewe wape 100 ujinga wanaofanya halafu toa na sera ukiwa Rais unaleta maendeleo gani
Kutukana kwa Kiingereza tunasemaje😂😂
Huu sio muda wa kampen kwahiyo hawez kusema akiw RAIS ATAFANYA nn@@gidongailo7174
We mwandishi huna akiri, msenge sana, imevuja nn hapo?, pumbavu mkubwa,
Ili upate viewers weka habari za kweli
Mshaurini atangaze sera aache kutajataja majina yawatu
Sera ndo nini!!
Huyu ni mwehu lkn kapimwa akili kiwete kama mm ni rais namtia ndani mpka aoze mbwa wewe mkosa adab@@MchungajiNzelani
Usipo muelewa Lissu huwezi kumuelewa mwengine hapa Tz
Kwan husikii madini anayotema au mwenzetu una mtindio wa ubongo
Ndo mana huwezi kua rais lazima uwe kama ulivyo na utaendelea kua kama ulivyo huna sifa za kua kiongozi au bana wa familia madako yako @@Zuwenamachela
Wewe ni mwana siasa WA chuki.
Huna agenda Kabisa
Unajua huyu ni muongo tena sana anatafuta attention halafu akishika uongozi yake mabaya zaidi na mtajuta mda mfupi tu yuko chini ya wazungu huyu na wazungu wanatamani tanzania vibaya sana mama hauzi sio mjonga hivo
acha ujinga wa kutawadha kwa udongo ..wewe au kula nguruwe unaposikia njaa
Upewe nn sasa wakat unaitukana serikali kumbe ulizitaka
kuna siku utapata ufahamu
Ni wapumbavu tu ndio watakaomuelewa huyo Mtu
Ni mataila tu hatamuelewa huyu mtu
Ni mataila tu hawatamuelewa huyu mtu
kinyume chake ni wewe ..unayetawadha kwa udongo au mchanga badala ya maji
Hivi lisu Una akili timamu au unaugua kichaka
Akil ndog san ww
Akil ndog san ww
We zombi unatumia masikio kuskiza ama dole gumba?
Hayakuhusu fanya yako ushike dola tukuone huko ndo KUROPOKAROPOKA unakoambiwa bro sa hivyo vitusaidie nini sie? Hayo yatakuua na visasi!!!
Wacha kumkufurisha Mtu kumwita Mungu wewe
Doctor Silaa nayeye kwanini hukumshauri nayeye akaingia kwenye 18 zahuyo mtuu??
Haka ka khadija wat kafuatilieni mtakuta kana kazi maalum
Unawadanganya.wewe kila kitu ni kusema tu uwongo.tuseme wanyama wako tanzania tu.acha kudanganya watu.eleza sifa utawasaidia nini?
Mlopokaji anaongea, ndio mana magu hakutaka ujinga wako
Mjinga ww mavi kwel
@Samuelmanga-r7z mbona mavi ni ya mama yako, aliekuzaa, Huwa huyaoni.
Wacha Ujinga na Propaganda Tundu Lisu
Muongo
Tulia we matako
@MmohamediSaidi UNAFIRWA WEWE KUPE WA LISU
Jamaa yupo sahihi sema Basi ti
KATIKA VIONGOZI WA SIASA WAOLETA VURUMAI KTK NCHI MMOJA NI HUYU NDIO ALISEMA KAMBARAGE HAKUNA SERA ILA MATUSI TU.
HUNA LOLOTE WEWE NI FEKI TU
Mbaguzi saana Tundu lisu.. Hawazi kutoboa kwa Tanzania 🇹🇿 ya leo
Wabaguzi huwaoni mpaka unamwita lisu mbaguzi!wewe Ni nyau kasoro mkia.
@vicentbunzal7342 mi naomba apate uraisi nawe utakiri.... ndugu yangu
Kenya ingemfaa zaidi kwenye UBAGUZI wa makabila na eneo 🤔🤔😀😀
@@KS-iw7qv lisu siyo mbaguzi bali hali ya hii nchi ilipofikishwa na wanoiongoza inatakiwa mtu mwenye akili Kama lisu ndo tutafika kwenye nchi ya ahadi tunayoitaka,toka nchi inapt Uhuru Ni chama kipi kimewahi kutawala zaidi ya ccm,inatakiwa kubdilisha uongozi Kama marekani wanavyofanya ndo tuje tujue Kama lisu Ni mbaguzi,Mimi naamini lisu Ni mtu mwema kabisa kwa hii nchi yetu tofauti na wengine.
Huyu jamaa wakati mwingine huwasimwelewi mbona hana sera yoyote kazi kuongelea watu mara kupigwa risasi na kutukana watu huwezi kulazimisha maji ya pande mlima
Angelee kutomb
Mpe maneno yakuongea wewe si mwandaaji wake
Wewe ni mbulula tu..uko wapi kwanza!
Ukiwa na akili ndogo humwelewi ...si kosa lako
Hata umhjmu wa katiba huoni. Kweli mtatazama hamtaona mtasikia hamtaelewa. Siku ukipata wazo la kujikwamua utamelewa huyu Lissu
Mwandishi msenge kumamaeed
Matusi ya nini sasa
KIGULU NA MAMBUMBU U WENZIE ANAMTONGOZA NDUGAI UMEISHA WEWE HUPATI NCHI SUBIRI KIPYENGA KIANZE ,,,UNAANZA UKABILA UNAMTAKA NDUGAI KIUKABILA HATARI DIKTETA HATARI
Lisu tangaza Sera ya chama siyo kusema tabia za watu
Msapoti hushoga
Kwani mashoga waliopo Serekali iliyopo madarakani inaongozwa na Lisu?.je mbona hawashughuliki nao walioshika nchi sasa ?
Nimeamini huyu jama ni kicha anavuta bangi maneno yake yote niuongo ana chuki za kidini
Akili ndogo haiwezi kumwelewa Lissu
Hilo jamaa jinga sana
Kama huna hata D Moja huwezi kumwelewa Lissu