Hapana itakuwa ngumu maana mataifa yaliyopo BRIC na yanayotaka ingia yapo na umuhimu mkubwa na nguvu kubwa.na unajitegenezea uhitaji wake..sasa hivi dunia ina elekeaa jua linapochomoza"Mugabe"@@christinewomanoffaith5479
Ndo tunayopitia Tanzania, maumivu ya ujamaa tunayaona, chama kimoja, ufisadi wa viongozi, hao wasiojulikana wanavyoendelea kutumaliza na hatuna tunachoweza kufanya, viongozi wamekuwa watawala kama ufalme, wakiongoza wao na familia zao. Badala ya kuongoza wao wanatawala
Shida Sio chama Kimoja, shida ni tabia za watu. Mbona China imeendelea kwa huohuo Ujamaa na Chama Kimoja??. Tabia za raia ambao baadae wanakuwa viongozi, watumishi etc Ndio zitaamua nchi iweje. Kama tabia zenu ni mbovu hata muwe na vyama 100 ni Sawa na bure. What matters is PEOPLE .
@@anny19988 Chama kimoja ni mfumo WA ujamaa na ndiko tulikotoka. China kweli Wana chama kimoja lakini sio wajamaa tena ila wao hawalindani, waziri akifanya ujinga anapelekwa mahakamani na sheria inatendeka na viongozi wanalijua hilo. Ona alivyoanza Magufuli kuwaadhibu viongozi au kuwafukuza kazi walifanya upuuzi ilikuwa Jambo zuli labda nasi tungefika mbali, lakini nae akawa anatawala zaidi ya kuongoza, wasiojulikana kama wote na wananchi tunaogopa hata kujitetea. Ujamaa si Jambo rahisi
@@anny19988well said Tatizo watu ,mfumo unaowaweka shida tupu Halafu tunawalaumu wazungu as if wanatulazimisha wakati Kuna watu wasomi na akili zao wanawaz familia zao na sio nchi zao
Sasa niwaulize swali wana sns, huwa mnatuambia hawa warusi hawana historia ya kushindwa vita, mbona leo unatuambia afghanistan(taliban) waliwashinda????.
Afghanistan kugumu weweee😂😂😂. Hamna aliepamudu. Ila pia Marekani walisapoti makundi ya waasi ili kuzuia wasovieti. Hayo makundi ndo baadae yaligeuka Taliban na Al Qaeda. Yaani magaidi wote wa dunia unaowajua ni Made by US . Marekani inawatengeneza kwa manufaa yao halafu wakishindwana wanawaumiza wao
Wooo hoooo ombi langu limekubaliwa asante sana SNS 🎉❤❤
@SNS🎉
Ahsante kwa Makala nzuri.
Binadamu akichoshwa na unyonyaji, hofu hutoweka, badala yake huchukua maamuzi ya kujinasua alipo nasa.
Moja ya makala niliyo kuwa naisubiri kwa hamu sana asante sana Sky
Makala 360 🔥🔥🔥💯💯💯
Habari nzuri sana
Makalaya 360 is the best i never missed it big up Bro Sky ❤😍
Asante kwa story nzito na kutuelewesha nini kilicho tokea
Walimu wa kirusi waliokuwa wakifundisha baadhi ya sekondari za Tanzania walifunga virago. Walikuwa walimu wazuri sana wa advanced maths na physics
Duh
WALIFUNGA
VIRAGO KISA NIINI?
Umoja Wa kisoviet ulianguka haikuwa sababu na urusi kuanguka ilibaki imara💪
U soviet ulianguka brics inainukia
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nayo itaanguka tu
Hapana itakuwa ngumu maana mataifa yaliyopo BRIC na yanayotaka ingia yapo na umuhimu mkubwa na nguvu kubwa.na unajitegenezea uhitaji wake..sasa hivi dunia ina elekeaa jua linapochomoza"Mugabe"@@christinewomanoffaith5479
@@christinewomanoffaith5479 we kama nan
@@christinewomanoffaith5479Chawa wa mashoga ww
Baaaaaas hapo nimefurahia ombi langu limekubaliwa😂😂😂❤❤❤
Hyo hata usipo kula ukisha pata food ya brain huwa na furaha 😊😊all the time
Sio kweli ,
Lete ukweli tuupate
Kupinga bila kutupa huo ukweli Haina maana
Unawajuwa taliban wewe?
@@radjabusuleiman6486😂😂😂
Nilkuwa naisubili saana hii pia naomba ufafanuzi kwanini urusi haikuwa na makoroni africa
Ahsante
Imekaa kimkakati zaidi😅
makaka nzuri mzee safi
tanzania na ccm
Fanya research mwenyewe
Makala 360 iko poa sana
Ccm lini na nyie 😢😢😢
Ans mnajuwa kutupatia gabarit nyeti
Already remade it 🔥👽🪐
👍👊✌️.
Na mimi ombi langu fanyeni SNS kuhusu uwepo wa ofisi ya NATO kwenge ofisi za AU Ethiopia.Pleaseeee
Kama unakubal i SNS gonga like
Kumbe urus ni nchi ya kishetan tangu zaman 😢😢😢
Kwa ukatili ni sehemu ya tabia kuu
Warus wa buza hawapendi kabisa habari hizi
Mnazid kunifurasha
Mbona unarusha picha za vita ya piki ya Dunia sio za 1980
Ivi czech slovakia Yugoslavia nazo zilikuwepo kwenye umoja huu?
Hapana,Yugoslavia ya Tito ilikua na nchi kama serbia,slovenia,montenegro,croatia,kosovo,bosnia&herzogovina
kwa mara nyingine urusi inapigwa na ukraine tena😅😅😅
Bado na dj smaa atuletee ile makala ambayo ametuahidi asijifanye anajisahaulisha
Makala ya kimagharibi hii, ingawa kunabaadhi ya vitu vinaukweli.
Ambavyo sio vya ukweli ni kama vipi?
Hizi ni story za magharibi
Tupe zako mkuu itapendeza😅😅😅
Wewe tuambie kilichosababisha kuvunjika kwa umoja wa kisoviet
Mwambie Sma hatujasahau
SNS HAWANA JAMBO DOGO.
KAMA UNAIKUBALI SNS USIPITE BILA KULIKE
Leta makala ya bomu la tsar
Dola ya Iran inakwenda kuanguka soon
Yes itaanguka
Sky ,kremea ni nchi gani mbona siiyoni hapo?
Cremea ni sehemu ya jimbo ndani ya ukrein
@@lusajomwaipopo5042 Kihistoria walipewa na Urusi Ndiomaana Urusi amelichukua hilo eneo Mwenyewe😷
Ndo tunayopitia Tanzania, maumivu ya ujamaa tunayaona, chama kimoja, ufisadi wa viongozi, hao wasiojulikana wanavyoendelea kutumaliza na hatuna tunachoweza kufanya, viongozi wamekuwa watawala kama ufalme, wakiongoza wao na familia zao. Badala ya kuongoza wao wanatawala
Shida Sio chama Kimoja, shida ni tabia za watu. Mbona China imeendelea kwa huohuo Ujamaa na Chama Kimoja??. Tabia za raia ambao baadae wanakuwa viongozi, watumishi etc Ndio zitaamua nchi iweje. Kama tabia zenu ni mbovu hata muwe na vyama 100 ni Sawa na bure. What matters is PEOPLE .
@@anny19988 Chama kimoja ni mfumo WA ujamaa na ndiko tulikotoka. China kweli Wana chama kimoja lakini sio wajamaa tena ila wao hawalindani, waziri akifanya ujinga anapelekwa mahakamani na sheria inatendeka na viongozi wanalijua hilo. Ona alivyoanza Magufuli kuwaadhibu viongozi au kuwafukuza kazi walifanya upuuzi ilikuwa Jambo zuli labda nasi tungefika mbali, lakini nae akawa anatawala zaidi ya kuongoza, wasiojulikana kama wote na wananchi tunaogopa hata kujitetea. Ujamaa si Jambo rahisi
@@anny19988well said
Tatizo watu ,mfumo unaowaweka shida tupu
Halafu tunawalaumu wazungu as if wanatulazimisha wakati Kuna watu wasomi na akili zao wanawaz familia zao na sio nchi zao
Lima mvua zinanyesha
China imebaki na ujamaaa wa kisiasa ktk uchumi ni beberu na bepari mkubwa tuu@@anny19988
Sasa niwaulize swali wana sns, huwa mnatuambia hawa warusi hawana historia ya kushindwa vita, mbona leo unatuambia afghanistan(taliban) waliwashinda????.
Afghanistan kugumu weweee😂😂😂. Hamna aliepamudu. Ila pia Marekani walisapoti makundi ya waasi ili kuzuia wasovieti. Hayo makundi ndo baadae yaligeuka Taliban na Al Qaeda. Yaani magaidi wote wa dunia unaowajua ni Made by US . Marekani inawatengeneza kwa manufaa yao halafu wakishindwana wanawaumiza wao
Putin atauludisha akishinda vita ya ukreani
😂😂😂😂😂
Ndoto hizo ye mwenyewe walewale tu
Nchi zote zinazoishia na '...stan'😅
Aisee zilikuwa nchi nyingi