Uongozi wa Yanga lazima wawe makini sana. Huu uhusiano usiathiri timu ukaleta mfarakano wa wachezaji.. Timu iwe kwanza mahusiano ya watu yawe baadaye. Wachezaji wengi wan mahusiano yao.
Ndio maana Magoma anadai katiba og timu imekosa heshima mchezaji anapewa uhuru wa kumtambulisha hawara tena kiruka njia cjawahi ona duniani timu imekua kama genge la kihuni kuna wapenzi na mashabiki ambao ni maustadh na wachungaji leo mnawaweka kwenye nafasi gani hii ni aibu ina maana Mobetto ni muhimu sana kuliko watu wenye akili zao pale Yanga yaan manara katukosea ku entertain na kuukaribisha uzinzi kwenye club
umsifie hamisa kwa kujidhalilisha au??? Kwani mwanzoni alikuwa hivyo uyo....si alijifanya binti wa kiheshima clasic hana mambo mengi leo ikawaje??c atukupangii uishije ila tunakuona chinga
HUYO AZIZ ATACHUNWA KUANZIA MSHAHARA HAD POSHO ZOTE HAMISHA YUPO KIMASLAH HUYO MTOTO WA TOWN WE ENDELEA KUMUITA MALAYA WAKAT HUMILIK HATA ACOUNT YA M PESA😂😂😂😂
Nyie wanadamu msiokuwa na haya,Mapenzi ya watu yanawahusu nini , nyie waacheni tu na Mapenzi yao ,Yakwenu yenyewe yanawashinda ya wenzenu mtayaweza?Mtashentwa,Weeee! Hauogopi!!!!!👊👊👊👊👊👊😡😡😡😡😡😡😡
Tuache wivu wa kitoto,nani asiyejua Hamisa ni mrembo?Apewe maua yake,Mungu ndiy aliyempa zawad hiyo ,tujifunze kumsifia mtu inapobidi,hiyo ndio tabia njema!!
Mrembo ndiyo ila Malaya, kuwa Malaya Kuna mshusha thamani ya urembo wake, imagine unakuwa na mwanamke eti kisa mzuri lakin rafiki yako nae kapiga, mara cjui Nani kapiga huyo demu wako au takataka inayoonekana nzuri tu machoni.
Wana yanga kuweni makini hamisa atamaliza kiwango cha azizi halafu mwisho wa siku atashuka kiwango na hatimayake mtakosa kitu mlichotarajia kutoka kwa azizi
Nimeipenda hiyo
What a beautiful girl 😢
Tamasha sijalielewa
Tamasha la mapenzi
Side Mbona Kama Makasililko
😂😂😂 kwa kweli
Kashajizalilisha na hafai hata kutangaza tena bidha ya simba
Uongozi wa Yanga lazima wawe makini sana. Huu uhusiano usiathiri timu ukaleta mfarakano wa wachezaji.. Timu iwe kwanza mahusiano ya watu yawe baadaye. Wachezaji wengi wan mahusiano yao.
Point kubwa
Hakika Ili ni Tamasha la mapenzi au wapenzi
Huyu dd mbona ana wapenzi wengi yn mwl wake ni biashala mpk wachezaji wadogo
Alokwambia azizi k nimchezaji mdogo nani wewe?
Huyu Aziz K ana hatari ya kurudi Bukinabe na bukta na T shirt ya Yanga tu
🤣🤣🤣🤣 Bukinabe ndio wapi huko
Kweli
HOME BOY WEW NDO TOP WA NEWZ TZ..HUJAWAHI FELI 😁
Hellow
Uzinifu tu kufanya ya mana aaaah 😂😂
But boy isn't mine Hahaha he is running 😂😂😂 i
Ndio maana Magoma anadai katiba og timu imekosa heshima mchezaji anapewa uhuru wa kumtambulisha hawara tena kiruka njia cjawahi ona duniani timu imekua kama genge la kihuni kuna wapenzi na mashabiki ambao ni maustadh na wachungaji leo mnawaweka kwenye nafasi gani hii ni aibu ina maana Mobetto ni muhimu sana kuliko watu wenye akili zao pale Yanga yaan manara katukosea ku entertain na kuukaribisha uzinzi kwenye club
Mobeto day ..😂😂😂😂😂
Mheshimiwa me nashida nawewe
umsifie hamisa kwa kujidhalilisha au??? Kwani mwanzoni alikuwa hivyo uyo....si alijifanya binti wa kiheshima clasic hana mambo mengi leo ikawaje??c atukupangii uishije ila tunakuona chinga
Tamasha la kutambulisha WAZINIFU 😂😂😂😂
Wivu tu kuoga aaah
😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Wazinifu day
😂😂😂
Ghalib angalia sana huyo Aziz K atashuka dhamani mpira utamshinda wanawake wengi ni wachawi anamnyonya nguvu zake ooohooo
Huyo, Hamisa, mbuziwaalubadili
Na ndoa ifate😂tu
Hatun r
Sehemu muhimu hii Kuna watu wa heshima simu kutabulishana wapezi
Mtu mwenye miaka 27 + kumtambulisha mpenzi kuna ubaya gani
HUYO AZIZ ATACHUNWA KUANZIA MSHAHARA HAD POSHO ZOTE HAMISHA YUPO KIMASLAH HUYO MTOTO WA TOWN WE ENDELEA KUMUITA MALAYA WAKAT HUMILIK HATA ACOUNT YA M PESA😂😂😂😂
Wananchi sanukeni😊😊😊😊
Nyie wanadamu msiokuwa na haya,Mapenzi ya watu yanawahusu nini , nyie waacheni tu na Mapenzi yao ,Yakwenu yenyewe yanawashinda ya wenzenu mtayaweza?Mtashentwa,Weeee! Hauogopi!!!!!👊👊👊👊👊👊😡😡😡😡😡😡😡
Ooh
Ndiyo mana mama dangote akutaki Dem mswahili sana
Hahaaaaaaaaaaaa🎉 wapewe Maua Yao jaman
Wanatumia nguvu kubwa sana kutuibia mwana Simba wetu
Mmngetumia na nyiee mmpe ata chamelonee akae naee😂😢
Mnatambulisha ndoa(au imekuwa Arusi)au tamasha la mpira.
siyo arusi ni harusi kolo wewe
Wenye chuki na chuki zao wenye choyo na choyo zao n nan c hao 😂😂😂😂😂😂😂😂
Siku akipata bwana Simba atahama?madada zetu bongo bhana dah😅😅
Tuache wivu wa kitoto,nani asiyejua Hamisa ni mrembo?Apewe maua yake,Mungu ndiy aliyempa zawad hiyo ,tujifunze kumsifia mtu inapobidi,hiyo ndio tabia njema!!
Kweli kabisaa ♥️♥️ aliyepewa kapewa
Kwer kabisaaa
kweri iyo tim ya kiswairi
adi ndowa za mkeka anaye ozesha manara
apo kazi ipo ajiagariye
manara atammendeya uyo Dem amurize makabira aricho fayhiwa
@@issahamis581 ndo nini hik?jifunze kuandika
Mrembo ndiyo ila Malaya, kuwa Malaya Kuna mshusha thamani ya urembo wake, imagine unakuwa na mwanamke eti kisa mzuri lakin rafiki yako nae kapiga, mara cjui Nani kapiga huyo demu wako au takataka inayoonekana nzuri tu machoni.
Wana yanga kuweni makini hamisa atamaliza kiwango cha azizi halafu mwisho wa siku atashuka kiwango na hatimayake mtakosa kitu mlichotarajia kutoka kwa azizi
mwanamke ni shetani ktk mafanikia
Hilo liko wazi lakini asijua anaweza ona eti wamuonea wivu wakati hakuletwa na mapenzi
Hamisa ni chuma. Kila kitengo chake kiko vizuri.
wakiachana analudi simba
Wote hao wapuuzi wanazini kabla ya ndoa ati Waislamu gani hao
Huo ni upumbavu mapenzi uwanjani
Tuweni makini na ubunifu wa kilopolopo🐷🐷🐷
Huy hata hatusumbui km shepu
yake isiyoelewek
Ndiyo maana mama hajapiga simu leo😅😅😅😅
😂😂😂😂alipiga
😂😂😂
Sasa mama apige simu kwenye tamasha la mapenzi 😂😂😂 baada ya kutambulisha wachezaji wanatambulisha wapenzi wao 😂😂