OTHMAN MASOUD AHOJI UJENZI WA MASOKO ZANZIBAR

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
  • Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT - Wazalendo Zanzibar
    Mhe. Othman Masoud Othman, amesema kwamba Waanchi
    wanahitaji kujengewa misingi imara na bora ya kuwezeshwa
    kiuchumi kwa kuwa lipo soko la uhakikla la kuweza wananchi
    kuuza bidhaa zao za aina watakazozizalisha.
    Mhe. Othman ameyasema hayo huko katika Jimbo la Wileza
    kwen ye viwanja ya Stela madukani Daraja bovu alipohutubia
    mkutano wa hadhara ikiwa ni mwendelezo wa mikutnao ya
    chama hicho.
    Amesema kwamba wajarisi amali wakiwemo mafundi seremala
    wanavipaji na ujuzi mkubwa wa kuzalisha samani zinazohitaki
    esana katika soko la ndani na nje ikiwemo kwenye hoteli utalii
    zaidi ya 600 zilizopo, lakini anachohitaji ni kuwezeshwa
    kutumia zana za kisasa ili azalishe bidhaa bora na kuweza
    kupambana na umasikini.
    Amfahamisha kwamba hoteli zote zilizopo zinamahitaji
    makubwa ya bidhaa za ndani lakini kutokana na kutowezeshwa
    wananchi Zaidi ya asilimia 80 ya mahitaji hayo ikiwemo mboga
    mboga, mayai , nyama na vyenginevyo vinaagizwa kutoka nje
    ya Zanzibar jambo ambalo lingezekana kuwepo kwa wananchi
    wanaozalisha.

ความคิดเห็น • 12

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 4 หลายเดือนก่อน

    Sema babaaaaaa

  • @SabraNassor-hv1xi
    @SabraNassor-hv1xi 4 หลายเดือนก่อน +1

    bora wajenge hayo Majengo kuliko izo bilioni kuliwa na watu wachache

  • @hbtv4169
    @hbtv4169 8 หลายเดือนก่อน

    miliion 9 !!!😢😢😢 mm laki moja kwa mwezii

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 4 หลายเดือนก่อน

      Riziki ya mtu huwezi kuila wewe,ndivo tulivoumbwa.Fanya kaziyo upate rizikiyo

  • @hbtv4169
    @hbtv4169 8 หลายเดือนก่อน

    PESA TAMUU

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 8 หลายเดือนก่อน +1

    Bwana mdogo unapigiwa vingora unalala na majeshi mlandoni mshahara milioni 9 kila mwezi sisi unatufanya mapunguani na serikali Ya umoja ?

    • @salyali7807
      @salyali7807 8 หลายเดือนก่อน

      Usiseme sisi jisemee wewe mwenyewe tu. Sie wazanzibari tumeridhika na msimamo wake

    • @mamafaiza1720
      @mamafaiza1720 8 หลายเดือนก่อน

      Tunampendaga makamo wetu jisemee mwenyeoo matako wee

    • @user-pf6yw7vh1p
      @user-pf6yw7vh1p 4 หลายเดือนก่อน

      Sasa ndio vp mbona hueleweki

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 4 หลายเดือนก่อน

    𝖧𝖺𝗐𝖺𝖾𝗅𝖾𝗐𝖾𝗄𝗂

  • @NdongaKichwa-hz7jf
    @NdongaKichwa-hz7jf 8 หลายเดือนก่อน

    Porojo zimeaza kitambo hakuna Ata moja linano fanyika

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 4 หลายเดือนก่อน

      Ndio maana liko hilo porojo,maana hawabadiliki wala hawataki kubadilika ili kuepusha maafa ya 2020