Faida za kitunguu saumu: Tumia vipande 2 vya kitunguu saumu upate faida zifuatazo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Karibu kwenye chaneli yetu! Katika video hii, tunazungumzia faida za kitunguu saumu (garlic) kwa afya yako. Kitunguu saumu ni kiungo chenye nguvu nyingi za kiafya na kimekuwa kikitumiwa kwa karne nyingi katika tiba asili. Baadhi ya faida kuu unazoweza kupata kwa kutumia kitunguu saumu ni pamoja na
1. Kuimarisha Kinga ya Mwili
2. Kupunguza Shinikizo la Damu
3. Kupambana na Magonjwa ya Kansa
4. Kuzuia Maambukizi
5. Kuboresha Afya ya Ubongo
6. Kusaidia Kupunguza Uzito
7. Afya ya Ngozi
8. Kupunguza Uchovu
9. Kusaidia Mmeng'enyo wa Chakula
Asante doctor Kwa maelekezo yako
Asante Doctor nitakupataje?
0743039890
Doctor naomba namba yako ya simu please
Doctor naomba numbera Yako ya simu pease
Unatumiaj yaan kwa mfano kwa ucku unatakiw kula punje ngap?
Toa maelekezo vizuri Doctor kwani humu kumejaa maswali tu kira mtu anauliza
Dr ninaomba namba yako please
Jee nikitaka kupunguza sum mwilin je
Mjamzito anaruhusiwa kutumia kitungu saum
Jee nikitaka kupunguza mwili jee
Lease naomba number doctor please nahitaji hayo mafuta
upo wap
Unameza au unatafuna kitunguu saumu?
Dr.samahan, tunatumia muda gani? Tunaweza tafuna au kukisaga?