Muandaa shamba na mpandani mungine'na mvunaji mungine!tujifunze kurudisha fadhila na kumuheshimisha mtu alie kushika mkono na kukusafishia njia,binadamu tunasahau haraka watu walio nyuma ya mafanikio yetu!ubinadamu kazi!kaka amechoka uvumilivu baada ya kufunikwa hali akiwa hai!mbaya zaidi kutupwa kapuni!kila akiomba nafasi Nandy anamtolea nje,aibu kwa Nandy, mtu huyu si wa kumsahau kwenye mafanikio yako
Daah hii ya msafara ulivyo pambana machozi yame nilenga lenga Mungu akufanyie wepesi kijana Ubarikiwe sanaaaa 😍
Leo mimi wa kwanza msisahau kunipa likes mukishindwa na warogaa😂😂😂😂😂😂😂
NDIVYO INAVYO KUA, LEO Matunda anakula BILNASS
yaaani wasafi mada zao sio za msingi sijui huyu kamfanya ivi sijui huyu ana lile ukhanis ukhaniss 😂
Daaaaaaa Allah azid kukupa moyo uwo uwo kijana wangu
Safi sana mwana....umempambania mno
Leo mimi wa pili jamani like zangu ya zawadi 😅
Jmn watu wakumbuke waliko toka da mshikaj moyo Safi yani
Mungu atakulipa Zaidi 🙏🙏una moyo mnoo
Muandaa shamba na mpandani mungine'na mvunaji mungine!tujifunze kurudisha fadhila na kumuheshimisha mtu alie kushika mkono na kukusafishia njia,binadamu tunasahau haraka watu walio nyuma ya mafanikio yetu!ubinadamu kazi!kaka amechoka uvumilivu baada ya kufunikwa hali akiwa hai!mbaya zaidi kutupwa kapuni!kila akiomba nafasi Nandy anamtolea nje,aibu kwa Nandy, mtu huyu si wa kumsahau kwenye mafanikio yako
❤❤
STOP she s owner man 👨 stop 🛑 ❌❌❌❌
Mind ur English