Hading ya film au Jina la film siwezi kuituma baadhi ya magroup wanaweza kuifahamu sio ya maadili na isioelimisha kwa upande wowote... Jitahidini jina liwe lipo kitaalamu na Lugha asilia yenye kuelimisha na kuheshimika.... It's my advice...
Mkojani bin darueshi ndugu yake mboso khan, kaka yake rajkhan mjombaake ma mbwende khan ebanaa ukooo wetu tunapendana madem banaaaa one day inshaallah naamini tuta shoot pamojaa
Nani ameona mkojani amevaa shati jipya na kofia 👍
Majuto wa 2
Uyojamaa kairudisha comedy bongo
Kama unamkubali mkojani gonga like apa
Asante mkojani mzee majuto huyu hapaaa
Hadithizakiswahili
Hahahah mapema sana
mgeni wa Kinabiiiiiii
Kipupe
Kanupa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyooo jamaa chizi kweli kwelii aseeee duuuu nimecheka Sana eti inatakiwa uzungumze na mimii
Mkojaniiiiiiii
Meamka asubuh na week end hi, mnaniliwaza na stress zang za kuachana na MKE,
Nitafute hewan broo
Pole sana broo ndio maisha
@@mubasosi7932 nakupataje ?
Jaman daah😂😂😂😂😂huyu mkojan
Oy
Nice
🤣🤣🤣😁😁😁😁 umenifuraisha sana kwakweli kwahii
Aaah jamani ndio mambo yangu hayo sasa 🤣🤣 napenda sana mademu
Kali sana 🔥
Mkojani uko vizuri sana kaka,
😁mkojani fala sana 😁eti msanii wenyewe kayumba halafu show mwanza 😁😁 ungemalizia kwa promota magali 😁😁ungetisha sanaa😁😁
We ninoma mkojani
Mtihan wa kinabii nitauweza kweli dah mkojan hatar
Hahahahaha mahalimu
Over Achievers wamegonga like
Kumi juu ya kumi mkenya nikiwa Dubai mnanipeleka sawasawa
Salute
Safi
Ananyao za majuto
Mkojani ww n mrithi Halal wa Majuto
,💥💥💥💥💥💥💣
😀😀😀
Good good good tena good nimeipenda hiyo mkojani fundi ila sitokusahau uwongozi wa oso online
*Kama hilo Tangazo LA Ku skip LA AZANIA halijakuja kwako wakati movie hii ikiendelea basi kunakitu umekosa* 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dahh mkojani umetaja chumba Cha masela msuwaki, dumu ndani, mkojani wee noma nani amesikia kauli ya baraka mpenja macho yako yanaona Kama mimi
Mkojani unaweza broo ukiacha bongo movie ww stress zitarudia kwenye vichwa coz asaivi zimepotea broo
Tumempata mlithi Wa Mzee majuto
Mkojani kweli unanifurahishaga sana
Mikoba ya king majuto unayo Asante Sana kwa kutokea mungu akusaidie mungu anatupenda
Dah mkojani unanitoa stress zangu kabisa yan upo vzr mtuwang
uhakika kbsa
👌
Mkojani muongoooo😂😂😂😂😂
Fantashiru haiyachwi bwana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hawa machizi nawapenda bure
Naona hapa ni ubaya Kwa ubaya 😅😅
Hading ya film au Jina la film siwezi kuituma baadhi ya magroup wanaweza kuifahamu sio ya maadili na isioelimisha kwa upande wowote... Jitahidini jina liwe lipo kitaalamu na Lugha asilia yenye kuelimisha na kuheshimika.... It's my advice...
Ok
'Usilete mambo ya kilingeni mchongo uta haribika' 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
th-cam.com/video/q--xulHJYyE/w-d-xo.html
Mkojani wa Kwanza kufika Nyumbani kwa MBWANA ALI SAMATTA
Hhhh
Wataalam wa hizi kazi.
#100%
🇰🇪 *KENYA KAMA KENYA*
dah mkojan noma fuso imefunikwa turubal lkn mzigo unaonekana
Hapanaaaa
Mkojani wewe wakubalika sahi kwa comedy huna mpinzani
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 buku 10 imtoka na mzg kakosa
Mitihani wa kinabii
😂😂😂
Wewe mkojani hauma pesa jamademu
Kama kawa nawapokea ndani ya damam city shukran oso
Mzigo umechan tulubai dah💥💥💥🤣🤣🤣🤣
Hapana ni mapema sana nipe muda
Saivi inakaribia Jioni
Mkojani 🤣😂🤣😂🤣 mweu sana
Mkojani hapo angekaa nagwa ukapigwa kwanza🤣
🤣🤣🤣Angebaki kumezea mate
Fuso yenye turubai 🤣🤣🤣🤣
Duhh
Kkkkkkkkkkkkkkkk Aise Mkojani amebahatika kununua mtaa mzimaa
Macho yako yanaona kama Mimi au macho yengu yanaona kama yako
Mkojani bin darueshi ndugu yake mboso khan, kaka yake rajkhan mjombaake ma mbwende khan ebanaa ukooo wetu tunapendana madem banaaaa one day inshaallah naamini tuta shoot pamojaa
Mkojn mwish wa matatz dah😂😂😂😂😂
Huu mbona mtihani wa kinabii 😂😂😂😂
Haaaaaaaa mnatupa Raha sana
Uyo demu wa kwanza mkali kamodo fulani hiv amaizng
Swagazako hizoooo hahaaaa shikamoo mapenz
Hili jitu Hatari Mkojani hahaha
Nipe mda mkojani anasema sahv tayar jion duh
Yaani pale ndipo tulipojichanganya😃😀
Sasa Mkojani mbona unakosa kila siku??😂😂😂😂😂
Mambo hayo yanajileta mkojani.unanicha hoi
Good morning 😘😘
dar aroo mkojan anachekesha kwri
Aki nimechekeka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mkojani kweli we ni zaidi ya comedy
Mkojani yonde majutu Penza botia mosusu butie yakufatia
Et fatashiru haiachi bwana mganga duh🔥🔥🔥
Huyu mtu namkubali sanaaaa
Leo wa nane nipen like mkizingua hatuwek next episode!
🤣🤣🤣Eti bongo fleva napewa mtihani wa kinabii gonga like kama umesikia hiyo
Mkojani baba lao
Sio pw mkojani unajua xnaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila mkojani shenzi sana
Mkojani endelea hivyo hivyo utakua wa kwany Tz
mkojani bin salueshi
Ahahaha et fantashiru haiyachwi bwana
Daaaaah aiseeeh hatareee sana mkojani unaweza
My fav all the time🤗🤗🤗
😂😂😂😂😂 mkojani wee noma yani.
Mkojani umekosa kila kitu ss
🤣🤣🤣🤣, mie napenda mademu bwana...
Nakubar cana mkojan
Sa mwanang si ndo unilete sura yakazi oya kuna ten plen hpa
Mtoto anamatege kama magoli madogo ✌️
😂😂mkojani Bhana ananfurahisha kweli 🙌
Safii
Kkkkkkkkkkkkkkkk Eti Mtihani wakinabi Eeeeeh Muumba wangu Mkojani Mlinde milele
Hahahhahahahahq
Mkojooooniii umetishaaaa
Nimekudelete akafu nimekulimove hahahaha😂🤣🤣🤣
yaaan mkojani kalishika game ivi ivi dah komaa bro
😂😂😂😂😂😂 mkojanii
Saf
Hahaha we jamaa chzi una muacha dem mkal kama yule