Ep 135 Mejja part 1 Parenting & Health Insurance Iko Nini Podcast
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Join this channel to get access to perks:
/ @ikonini
Support...M-PESA TILL No: 5928023
MPESA 0722524151 Makarios Ouma
Subscribe To DJ ZaQ's Channel
/ @djzaq
Subscribe To Mwafreeka's Channel
/ @mwafreeka
BUY MERCH: www.ikoninipod...
Mejja is a man with a big heart and magical talent; Keep going man.. thank you for steering through life’s hardships somehow to the greatness of your realm.. big up..
NHIF ni insurance kama kawaida.. penalties and arrears ziko tu within the current year but mwaka iki lapse inarudi zero unaanza a fresh. So wasee wengi self employed hutegea January wanalipa hiyo 6k for the whole year ama hiyo 500 monthly. NHIF huokolea sana. Kuna msee alinishow hiyo ganji unalipa na ukose kuitumia huwa unasaidia somebody else mwenye ni msick like those who do dialysis twice a week. 3 months ago mama ameborn our 2nd born via CS na bill ilikuwa 30k and was paid by NHIF.
This is a good realisation, sijawai angalia NHIF hii design
@MEJJA, if you're reading this: You should really try TRANSGRESSIONAL THERAPY. It helps. Utakuwa fiti. Suppressing hizo feelings in the long run huwa detrimental bro.
Kuna topic imeshukishia mejja na umeishindilia sana, work on that...ni maoni yangu
Sawa for kujua kushinda Mejja who called us back to tell us this was his best interview ever. But we will ignore him and take your word master. 😁😁
Mwaf angefaa kuanza hii conversation na "Okwonkwo pole umekuja ghaflaaa..."
The Legend himself, maze staying in the game for this long istn't east,big Mejja ,one of my favourite artist
This guy is so intelligent
Only a few can understand
💯 and forever a true lyrical Emcee 🎶 💯.
ilikuwa Njugush now its Mejja, shit is getting better and better!!!!
💯 💥.
Am back again with my baba watoto I told him hakuna vile anahama hapa he is here to stay ...iko nini
ka uliacha kulipa NHIF na umemaliza 1 year, u only pay 1500 na inakuwa active. hizo arrears zi huwaiviwa
What i have learnt ni ati respect Indian Doctors.. kitu ikienda mbaya sana Aga khan Parklands ndio ma hosi though money matters
Naskia tu kucheka nikiona mejja akiongea…😂😂😂 sijui ni coz ya memory ya video zake ama?, until he gets serious. He has some good points though👏🏾👏🏾👏🏾👊🏾
*Mejja alijipata kwa ambulance ya ukweli. Hiyo ni serious mazee.*
Mwaf did a great job by asking the hard questions, sometimes we need to talk about sensitive things, ni therapeutic.
Facts
Wadau mlisema Christmas comes early for Iko Nini family.
AbakuRama. Rutagarama. Mtoto wa Khadija.
Jamaa noma kutoka Majengo ya NYERI!
Kushikilia tumbler for an hour kimejja🤣
Bigup man,we ni inspiration mtoto wa hadija💯
💯.
Great Convo. Mejja has a good head above his shoulders for sure. Mwafreeka na ZaQ priss walahi leteni SHIKS KAPIENGA!
IKO NINI! 💯
Love the message Mejia. We have to let our princess know that black is beautiful, fuck what society says! 🤛🏾
Moving on after a failed relationship at times sio rahisi..mapenzi wewe 😂 😂
Mapenzi labda ulaya, hapa Kenya ni biashara.
Mungai Eve just featured this segment shout out to iko Nini.
Waaa bunde ya matope reem 2002 hyo ndo ilikuwa vako
Didn't know about this podcast till today, this my second episode.. much love from SEATTLE, WA. Good job keeping the legends inspirations
Welcome. There’s over 400 hours to explore 😁
NHIF should onboard Mejja to market them, he puts it very well!!
💯.
Nitashugulikia NHIF Monday 28th/05/23 asubuhi. Thanks for info.
IKO NINI! this was a dope conversation 👌 with Mr Tumbler 🔥🔥❤👏👏
Mejja, is a story teller. I can hang out with him. Great interview!
Hio story ya tumor,my brother had a tumor and he had been complaining about having headaches. One day, he slept and he never woke up. The post mortem determined that he had a brain tumor
Wazi, you guys are really doing a good job. Mejja 🔥🔥
Health insurance huokolea mbaya sana majamaa. NHIF pekee imetosha. Alafu mwaf lipa 1500 pekee alafu after 3 months kadi yako inakua active
Ati globe akunaga jam... Being lead mdogo mdogo... Kweli ma shorti wanaweza ku capture ma jamaa
on NHIF....if you pay upfront for three months wanaeza consider io time uko admitted kwa hosi....big up hii episode ilikua🔥🔥🔥🔥Iko NN🥃
Mimi nazo hug sikosi kupeana, ata hubby akiwa.... But hatunanga issues
Hapo kwa responsibilities nakubaliana na Mejja. Hakuna cha 50/50 kwa relationships. Mwanaume agharamike kejani. Imagine utoke hustle upate dem alifagia kila kitu ali buy kejani amehama nayo. 😆
Iyo part ya made watoxic kuiva ni ukweli kabsaa.
Yaani ni kama nilikua hapo na nyinyi tukipiga story. Hadi time ya kucheka na cheka, Kwanza hio story ya longi za TOKYO
NHIF itabidi umelipa ya 3 months ndio uregularize account yako kama uko na arresrs
I feel like giving Mwaf and Zaq hiyo hug inaongelewa. Hii interview ni AWESOME
😂😂
Maze,Mejja amedunga points nzito nzito.Mwanaume kuzoea kujifanyia vitu personal inasaidia sana even in very unfortunate situations kama your partner passing on.Hii life huwezi jua bana...
Imenibamba sana nimepata hii podcast. Tangu tene nimekuwa fan wa mwaf manze, always thought podcast ingemfaa mbaya so imenibamba 2 kuona ako na podcast , kwa hiyo maneno hata mimi nipewe invite kwa podcast siku moja...one love wadau
I love meja's humility
I'm not the best dad but I will try my best to my kids Ooh God help me
💯.
Excellent interview
💯.
😂😂 I had a brown bell bottom corduroy
Mwaf, NHIF kama hujalipa for over 12months huwa wanafuta hizo arrears. Una anza fresh. Only thing is that ita take around 4 months from the date of payment ndio uanze kuitumia
Hi Podcast ina grow vifiti sana ,Bigup Mwaf na Boy wako !!
Mwaf kwa hiyo case ya NHIF if you have defaulted for more than a year, to activate your account you only pay for the last 4 months but if default is for less than a year you pay for the total defaulted months.
This is one of the best .. hata before nianze kuwatch..
Maze good job Mwaf na Zaq. Last week Njugush Leo the king himself. Grateful
I donned both Tokyo and Corduroy. Katambe!
Iko nini napenda iyo upgrade clarity sai iko top
Yani Majja ako na connection ya Rwanda? Rutagarama inakuanga Rwandan name.
Nooo freaking way… Mejja ni noma 🔥🔥 mmeshinda… your are going places 🫡🫡👍🏽
Content
Mejja genge!! This man always a vibe man🔥
Vile inafaa. Manze Ile siku imefikaaa. Okwonkwo is in the HOUSEEEEE.
Mejja Is Wise Manze
Noma Sanaa...I really love this show👍👍
Iko niniii!! leo ni session na landlord 😂😂😂😂S/O to Mejja for comin thru
Siku imejengwa with this episode of Mejja
Congratulations Mwaf
Kazi safi, the future is here
😅😅😅Hyo ngoma ya Drake huitwa Mine Still ft Yung Bleu
Finally Okonkwo mwenyewe on the couch 🔥 🔥
Leteni Akothe Sasa
Mapema ndo best 👍👍Okwonko 💪💪
Mwafrika na anapendaga story dark
Dark experiences make us human. Surviving them inspires others
Leo nafeel nikama mwaf umeuliza Mejja maswali too personal na hafeel kuzijibu.. unafanya hadi mtu anafeel uncomfortable kuskiza juu nininfo anapeana tu out of respect sio kutaka🤦.I hope part 2 ni brighter.big up
He did not say that after the interview so it is your personal opinion 😁😁
Transparency is iko nini
Alcoholism is a serious mental illness. We need an extensive awareness on it.
hizi show mmeleta back to back ni 🔥🔥🔥🔥🥃...to more educative shows💪🏾
Finaaaaaallly mwaf......okwonko iko nene!!!!!big up💪💪💪
Iko nini mumetuamulia🔥🔥🔥
Here we go again..
Mejja, let kids be kids... Watcha wapigwe na vuaa
Mejja pokea maua yako buda, wewe ni Legend.
Different perspective on life issues great interview
Damn!! Brooklyn Masala...I had forgotten this Jam
Mejja ni Mejor
Iko nini! Dope stuff na Mejja okwonkwo
Solid Interview! #GoodStuff
💯.
Kazi safi
okwonko is one of the sharpest people i know
Now this is true
And kibe
O yes and very wise naturally. He doesn't fake it.
Iko nini
Hii channel n addictive walai 😂
Okonkwo baba yao🔥
To reactivate your NHIF card after defaulting costs Ksh 1500
Very touching
Big up true
Okonkwo, do not give up your small responsibilities to the lady your dating. Chunga manipulative chicks...?
You guys are amazing. U bring shows that are relevant. Thumps up!!!
Iko nini 💯🔥
jaba and big G leads will mess up your appendix.
Kanairo dating ogopa😂😂💯
Interesting conversation hapa 🔥
Part 2
Iko nini,, mbona mejja hamalizi drink,😂
Iko Nini!
Mejja was a bit emotional when talking about her mum
I realize the same and lam like mwaf si aachane maye juu energy yake inaisha
king king meja . real OG
iende sana
A lot of lessons learnt from this podcast:
1. Health .Importance of early detection of diseases as well as competence of health workers
2. Family is everything
3. Positive vibes in life
4. Relationship red flags should never be ignored
I've really laughed ,,