sisi waisalamu tunayo mafunzo kwa Mtume Muhammad swala Allahu aleyhi wasalam yani duwa ni baina ya mja na Mola wake uache kutumia Uislamu kwa kuwatumia wasio elewewa kwani mmeanza kuwa kama wakina matapeli kiboko ya wachawi na mwamposa. Al Islam huwa Sunna wasunna hiya L Islam
Watu wanashida na wanashindwa kufika mahala pakusemea unaweza sema si Amuombe mungu wake ila jua kuwa watu wanaomba ila hawajui nn waombe so unapopata mtu wa kukupa maana ya kujua nn upambanie Kama uyu ndio anafungua ubongo wako kwahyo Kaka p u nguza ujuaji Kuna watu tunajifunza hapa
Subhaanallaah,vituo vya Dua kwani Wana Dua special wameteremshiwa wao? Wengefungua vituo vya kuwafudisha waliosilimu sio dua.hawa wagongaji tu.dua jiombee mwenyewe muislamu
Allahumma amiin 🤲 thumma amiin 🤲 Yarrab 🤲 atatukutanisha ln shaa Allah kheir
As-salam Alaykum warahmatullah wabarakat vipenz vya Allah
dr sulle , pole na majukum yako ya kila siku ninakuomba ukipata nafasi tutembelee nasisi watu wa manyara wiliya simanjiro
Asant
Utapeli hapa
sisi waisalamu tunayo mafunzo kwa Mtume Muhammad swala Allahu aleyhi wasalam yani duwa ni baina ya mja na Mola wake uache kutumia Uislamu kwa kuwatumia wasio elewewa kwani mmeanza kuwa kama wakina matapeli kiboko ya wachawi na mwamposa. Al Islam huwa Sunna wasunna hiya L Islam
Acha ujuaji bhna Kwan lazma useme
Watu wanashida na wanashindwa kufika mahala pakusemea unaweza sema si Amuombe mungu wake ila jua kuwa watu wanaomba ila hawajui nn waombe so unapopata mtu wa kukupa maana ya kujua nn upambanie Kama uyu ndio anafungua ubongo wako kwahyo Kaka p u nguza ujuaji Kuna watu tunajifunza hapa
Imam wa wasomi wa dua kaisha patikana bado masihi dajali kuja
Subhaanallaah,vituo vya Dua kwani Wana Dua special wameteremshiwa wao? Wengefungua vituo vya kuwafudisha waliosilimu sio dua.hawa wagongaji tu.dua jiombee mwenyewe muislamu
Wamefanya miadhara miaka na miaka hawana hata chuo cha kufundisha vijana badala yake wamegawanyika kila mmoja na dawa zake