KISHK MBELE YA MUFTI ATOA WASIA MZITO KTK MKUTANO WA VIONGOZI WA BAKWATA ..TUJIANDAE SIKU YA QIYAMA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 23

  • @hawamadaraka9833
    @hawamadaraka9833 4 ปีที่แล้ว +2

    Kishik yuko sawa.....hakuna kumuogopa mtu wakuogopa ni Allah mwenye akili ameelewa alichomaanisha shkhe wetu. Allah ampe maisha marefu shekh wetu huyu ni msema ukweli.

  • @bilalysalum5638
    @bilalysalum5638 4 ปีที่แล้ว

    Shekh kishk mungu akupe umri mrefu inshaallah maana wewe no msema kwel

  • @jamalbahdela524
    @jamalbahdela524 4 ปีที่แล้ว +2

    Bakwata jumba la udongo piga chini tuanze mpya ya tofali.

  • @AliMohamed-gv7nw
    @AliMohamed-gv7nw 2 ปีที่แล้ว

    Kishky hueleweki penda sana kukaa nawanafik namakafiri wakishia hapana uislaam hapo kakae naahlu sunna wenzio

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 4 ปีที่แล้ว +1

    Hii taasisi ya bakwata hakuna chichote wanachokifanya kwa manufaa ya waislamu nipeni mfano hata kitu kimoja.
    Hili ni tawa la CCM na kanisa katoliki

  • @mwanaimaabdallah7825
    @mwanaimaabdallah7825 4 ปีที่แล้ว

    Amiyn

    • @ahmedjuma2674
      @ahmedjuma2674 4 ปีที่แล้ว

      Naomba kujua kazi ya mufti wa wote wa muungano wote

  • @vagusnerve8797
    @vagusnerve8797 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu kishk hata haeleweki kua ni Salaffi, suffi, hizbi, ibaz, shia au ni nini.
    Kila shm yupo

    • @mwawekomiuda5777
      @mwawekomiuda5777 4 ปีที่แล้ว

      Weee wataka awe nani?

    • @uthmanihimbawe5244
      @uthmanihimbawe5244 4 ปีที่แล้ว +2

      Anakuumiza moyo wako😀😀😁

    • @jamalbahdela524
      @jamalbahdela524 4 ปีที่แล้ว +5

      Kishki ni muislaam, we baki na kundi lako.

    • @mwanaishamlima2047
      @mwanaishamlima2047 4 ปีที่แล้ว +3

      Ni muislamu kamili sio kama ww

    • @mwawekomiuda5777
      @mwawekomiuda5777 4 ปีที่แล้ว

      @@mwanaishamlima2047 Samahani nilikuuliza kutoka a na ilivyo comment sina muda wakubishana. Mm ni muislam kamili Alhamdulillah lbd ww una mapungufu hujiamini