Kishik yuko sawa.....hakuna kumuogopa mtu wakuogopa ni Allah mwenye akili ameelewa alichomaanisha shkhe wetu. Allah ampe maisha marefu shekh wetu huyu ni msema ukweli.
@@mwanaishamlima2047 Samahani nilikuuliza kutoka a na ilivyo comment sina muda wakubishana. Mm ni muislam kamili Alhamdulillah lbd ww una mapungufu hujiamini
Kishik yuko sawa.....hakuna kumuogopa mtu wakuogopa ni Allah mwenye akili ameelewa alichomaanisha shkhe wetu. Allah ampe maisha marefu shekh wetu huyu ni msema ukweli.
Shekh kishk mungu akupe umri mrefu inshaallah maana wewe no msema kwel
Bakwata jumba la udongo piga chini tuanze mpya ya tofali.
Kishky hueleweki penda sana kukaa nawanafik namakafiri wakishia hapana uislaam hapo kakae naahlu sunna wenzio
Hii taasisi ya bakwata hakuna chichote wanachokifanya kwa manufaa ya waislamu nipeni mfano hata kitu kimoja.
Hili ni tawa la CCM na kanisa katoliki
Amiyn
Naomba kujua kazi ya mufti wa wote wa muungano wote
Huyu kishk hata haeleweki kua ni Salaffi, suffi, hizbi, ibaz, shia au ni nini.
Kila shm yupo
Weee wataka awe nani?
Anakuumiza moyo wako😀😀😁
Kishki ni muislaam, we baki na kundi lako.
Ni muislamu kamili sio kama ww
@@mwanaishamlima2047 Samahani nilikuuliza kutoka a na ilivyo comment sina muda wakubishana. Mm ni muislam kamili Alhamdulillah lbd ww una mapungufu hujiamini