ASKOFU na MFANYABIASHARA MONABANI AFUNGUKA KUPORWA KITUO cha MAFUTA na KUVUNJWA kwa KANISA la MUNGU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • ASKOFU na MFANYABIASHARA MONABANI AFUNGUKA KUPORWA KITUO cha MAFUTA na KUVUNJWA kwa KANISA la MUNGU...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 73

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 หลายเดือนก่อน +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @newchemchem5251
    @newchemchem5251 3 หลายเดือนก่อน +3

    Watu wa Mungu awatunze sana Mungu Yuko nyuma ya kanisa lake siku zote watu waache kudhihaki kanisa la kristo Mungu anaona Kila kitu walichotendea kanisa Mungu asinyamaze Kwa kweli

  • @ASALABOY
    @ASALABOY 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nimedifunza Kitu hapa uyu baba anamoyo wapekee sana mungu atafungua Milango Mze Wangu Askofu .

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 3 หลายเดือนก่อน +2

    Pole mzee wetu monaban hata huku moshono masaleni pia wamekufanyia figisu dahhh aisee

    • @Soon815
      @Soon815 3 หลายเดือนก่อน

      Moshono pande gani??

  • @godlivingkoikan6297
    @godlivingkoikan6297 3 หลายเดือนก่อน +4

    Pamoja na hayo mapito huyo mzee yupo vizuri ni bilionea namjua vizuri
    Changamoto alio nayo ni kuwaamini watu
    Mali inahitaji roho ya kibepari zaidi,
    Ukisikiliza vizuri utaona alikuwa hana wana sharia wazuri.
    Lakini kuhusu lile eneo la ngulelo alikosea sana kutobadili mmiliki wa eneo watu wakachungulia wakaona pa kupita .
    Kisheria Mwenye hati ndio mmiliki wa ardhi

    • @user-xq9dh7hi1x
      @user-xq9dh7hi1x 3 หลายเดือนก่อน

      Sahihi hapa kuna chakujifunza kwa kweli

    • @lameckdaniel6724
      @lameckdaniel6724 3 หลายเดือนก่อน

      Ila haki yake haitaenda Bure , hao watoto wakamuombe msamaha mzee

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 3 หลายเดือนก่อน

    Pole sana baba mungu akutie nguvu ! Mwamin mungu tu

  • @shavasjohnkay-cw8lg
    @shavasjohnkay-cw8lg 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutunze Askofu. Mungu sio dhalimu hata aisahau kazi ya mtu .Na hili nalo litapita.

  • @emmanuelkiwango6638
    @emmanuelkiwango6638 3 หลายเดือนก่อน

    Utajua hujui, Pole sana Mzee

  • @oscarulotu9878
    @oscarulotu9878 3 หลายเดือนก่อน +1

    Monaba baba ,ardhi ni mali ya Mungu ,pia ardhi ndiyo inawapokea watu wote baada ya maisha haya, wote waliokudhulumu na kuchukua vifaa ya kanisa ibada itafanyika kwake ,Mungu adhihakiwi , naomba utulie kwa Mungu ,hat ayubu alinyanganywa vitu vyote lakini alikuja kurudishiwa vitu vyote

  • @mustaphashabaz
    @mustaphashabaz 3 หลายเดือนก่อน

    Pole sana

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wazir wa ardh mbona kaziba maskio kwenye hil

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 3 หลายเดือนก่อน +1

    Simulizi yake inaonyesha uonevu mkubwa sana na hapa ndipo hitaji la katiba mpya inapoonekana. Katiba mpya itampa mwananchi uwezo wa kudai haki zake na mifumo kutenda haki.

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kwenye biashara oote lazima ufanye due diligence, institutions za Tanzania haziko stable ni rahisi sana kuibiwa. Hiz verbal agreements ziliwork out mwaka 47 ...

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 หลายเดือนก่อน

      Sio tz due diligence ni jambo la msingi in a gist of any meaningful business mahali popote duniani, lazma uweke protection mechanism ya kulinda hela u don't just go n put ur money that easily, otherwise u will find urself at quagmire.

    • @AgustinFonga
      @AgustinFonga 3 หลายเดือนก่อน

      Monabani uipofikia yatosha iliobaki mwanbie muumba wetu ulivyonipa vilikuwa vyako Mimi nilikuwa msimamizo wako tuu pia hawakuchukua vitu tuu na waumini wako na kansa lako wamethihakiwa na Mimi nimebaki Sina kazi naomba kazi nyingine NA nakuarifu hapo uwe uneachana na mahakami ukabaki na mungu haiwezekani huku Iko mahakamani huku Iko kwa mungu ndugu yangu achana na yakaisari Baki na mungu najua unaumia na mambo ya Dunia nakutaarifu achana na mambo ya Dunia waandishi WA habari hao ndio waliogozana na mafaisayo kwenda kumihukum mungu yaani YESU na sehem nyingi kama wanasheria wanaandikwa wakitaka kujua Ili wamshtaki ikiwaona wamekuja kutaka kujua utajiuwa kwa kukosa mali au Vipi ndio maana wanakutaka ubakize mali umeche waambie wachukue zote ubakize na mungu

    • @kazikazini1042
      @kazikazini1042 3 หลายเดือนก่อน

      ...in a quagmire

  • @user-rs4vz2vt9z
    @user-rs4vz2vt9z 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kama walikula hela zako,na sasa wanaona wivu jua shetani kaingia mungu hataka kimya,wataanguka mmoja baada ya mwingine,jipe moyo mungu wetu halali.

  • @joeldaniel3348
    @joeldaniel3348 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo monaban msanii sana kuna mtego ameulizwa na ndugu mwandishi wa habari kuhusu mali na kumtumikia mungu anasema yale ni maandishi mdogo madogo daah hatal na kanisa Amejenga hukumu ilivo tolewa kuwaaminisha watu na ngulelo na
    Relini kuna sehem umezinunua nazo zinamigogoro mingi

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 3 หลายเดือนก่อน +2

    Interview ya pili alisema aliingia kwenye siasa ccm ili kulinda mali na je kujenga kanisa na kujipa uaskofu ni kulinda nini

    • @massweafuraha4994
      @massweafuraha4994 3 หลายเดือนก่อน

      Msanii huyoo wakati aliingia kwenye siasa alinunua mapanga kwaajili yakushugulikia watu wa upinzani alafu Leo anajiita askofu

  • @shavasjohnkay-cw8lg
    @shavasjohnkay-cw8lg 3 หลายเดือนก่อน

    Kolumba kuwa makini unapomhoji mtu mambo usiyoyajua. Kuna watu walimtumikia Mungu kwa mali zao. Kwani Bishop akimtumikia Mungu kwa mali zake ni dhambi? Na usikariri utaratibu wa kanisa kutumika kila mahali. Kila huduma ina utaratibu wake. Ni vizuri ukatembelea kwenye taaluma yako. Mungu hadhihakiwi chochote apandacho mtu ndicho atakachovuna.

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 3 หลายเดือนก่อน

      Mali yakanisa siyo mali yaaskofu, kanisa ni taasisi cy mali inafsi

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kanisa ni taasisi kwa nini baada ya kujenga kanisa aliendelea kushikilia kanisa kama mali yake

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 3 หลายเดือนก่อน

      Very good. Ile ni mali ya kanisa siyo mali yake

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kanisa siyo mali binafsi, kanisa ni taasisi sy mali ya mtu inasikitisha kwanini askofu anajimilokisha mali ya kanisa?

    • @joycemeela8595
      @joycemeela8595 หลายเดือนก่อน

      @@emmanuelmlowe-ew7gx pole sana baba Askofu Mungu akulinde

  • @ElihrJones
    @ElihrJones 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mtangazaji kafanana namimi nimemuina mpaka nikashtuka nikasema mm nimetokeaje hapo

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupiganie

    • @petertemu7136
      @petertemu7136 3 หลายเดือนก่อน

      Ampiganie Tapeli?

  • @stephenluoga9186
    @stephenluoga9186 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi nadhani hapo Familia na Baba askofu wangekaaa In Win Win situation kua hata kama Mahakama imetoa hukumu kua umevamia eneo ni sahihi lakin umeshaweka asset mbali mbali sasaa ni issue yakufanya mauziano upya na kuweka Fidia za familia kusumbuliwa ili kuondoa migogoro ambayo sometime haina ulazima

  • @nicebatare2737
    @nicebatare2737 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwako pazuri jamani achana na watu wasiyo jua kutafuta pesa

  • @foka255
    @foka255 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee pesa unayo ila unachokikosea vitu vingi unafanya kienyeji sana kwanza hapo ulipofikia ulikuwa unatakiwa kuwa na Mwanasheria wako hayo yote yasingekukuta.

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli hii nchi ngumu sana

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 3 หลายเดือนก่อน

    Sawa unahaki lkn umewaibia waumini wako umefanya biashara gani?

  • @user-sl7mi8vc9b
    @user-sl7mi8vc9b 3 หลายเดือนก่อน

    Mzee kama wamechukua pesa zako warudishe fungua kesi wamechuku pesa zako Kwa njia ya udanganyifu

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 3 หลายเดือนก่อน

    Ukitaka umalize haraka nenda kwa makonda

  • @donekikimario3539
    @donekikimario3539 3 หลายเดือนก่อน

    Nilijuaga Masikini ndio tunaroho mbaya kumbe hata matajiri wakubwa duh hii dunia ngumu sana

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi umeuliza vizuri maswali ya dini hivyo huyu mzee ajielewi

  • @massweafuraha4994
    @massweafuraha4994 3 หลายเดือนก่อน

    Je anakumbuka zile shoka na mapanga aliyonunua kwaajili yakuwashigulikia watu wa uponzani? Au ndo sehemu yakumtumikia Mungu?hukumu ni hapa hapa

  • @niyonzimakatama6516
    @niyonzimakatama6516 3 หลายเดือนก่อน

    Unapenda kumiliki ardhi zenye migogoro kwanini angalia kama kule relini unga Ltd unaona ni sawa? Na bado utanyanganywa tu! Zamani siyo leo

  • @LemaRapoi-np2gs
    @LemaRapoi-np2gs 3 หลายเดือนก่อน +1

    Minathani tumuachie mungu

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 3 หลายเดือนก่อน

    Majaji wengi hufa haraka kwa sababu ya dhuruma kama hizi na wanalindwa sana kwa kuwa haki za watu baadhi yao ni wapindishaji tu kama kwa huyu askofu wamemfanyia hivi unatarajia nn kwa vizazi vyao?

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 3 หลายเดือนก่อน

    Mzee wewe ni mtumishi wa Mungu nikiwa mdogo siku nyingi miaka hiyooo KKKT

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 หลายเดือนก่อน

    Baba Askofu kila jambo lina utaratibu na kanuni zake. Je, wakati unanunua hayo maeneo kwa nyakati tofauti ulishirikisha familia nzima ili wakubali au wakatae kwamba haliuzwi na mmiliki Titus? Nyaraka zina majina na sain zao wote? Itakuaje basi mahakama wakatae ushahidi wote huo? Kama unayosema ni kweli tupu kwanini walikaa kimya mpaka umauti ukamkuta mmiliki sio kwamba alikua anauza kinyemela tu bila ridhaa ya familia?!

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu babu ajikite kwenye kusali sana, aachane na kugombania mali za dhulma.

  • @user-jn2cf7mg4t
    @user-jn2cf7mg4t 3 หลายเดือนก่อน +1

    Umefamia kwasababu palikua pori Sio Wacha umasai wewe

  • @petertemu7136
    @petertemu7136 3 หลายเดือนก่อน

    Monabhan Kweli amesomea Uongo.95% ni uwongo Jimmy hakuwahi kukubali kwamba amekuuzia. Na je?Kazi ya Msimamizi WA Mirathi ni kuuza Mali? Jimmy alikuuliza Nitakuuzia je kitu ambacho sio changu?maana Title Zina jina la Titus Aaron Mollel na sio Jimmy

  • @stephenluoga9186
    @stephenluoga9186 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu mtangazaji anaijua pia na biblia kwa kias fulan this why unaona anauliza maswali yanareflect kwenye bible

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 3 หลายเดือนก่อน

    Mali yakani siyo yako

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 3 หลายเดือนก่อน

    Kolumba uko viziri achana na maaskofu wa uongo

  • @petertemu7136
    @petertemu7136 3 หลายเดือนก่อน

    Hivi uwe na Mikataba uwe na Title bado Mahakama ikuone wewe ni MVAMIZI? Monabhan awe Mkweli tu

    • @EZRA-b1c
      @EZRA-b1c 3 หลายเดือนก่อน

      Umeona ee Inashangaza sana

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 3 หลายเดือนก่อน

    Ndo mana baraka anaogopa chungu maana tumbo litapasuka

    • @petertemu7136
      @petertemu7136 3 หลายเดือนก่อน

      Si Avunje hicho chungu Kama hakijamrudia Monabhan.anachoeleza ni uwongo mtupu.

    • @PrinceHendry-hp8vv
      @PrinceHendry-hp8vv 3 หลายเดือนก่อน

      @@petertemu7136 Acha kudandia tren kwa mbele na haujui kitu hata nikikuuliza aliemuzia monabani alifariki lini na ugonjwa gan hujui

  • @joellongidare8280
    @joellongidare8280 3 หลายเดือนก่อน

    Haki ya mtu haipotei

    • @shabanponera2895
      @shabanponera2895 3 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa, ndio maana wenye haki yao wamepewa mzee anabaki kubwabwaja tu, uliona wapi mali ya familia anauza mtu mmoja, ndiomaana alishindwa kubadili majina kwenye nyaraka

  • @user-le1mo8ru7u
    @user-le1mo8ru7u 3 หลายเดือนก่อน

    Dd

  • @oscarulotu9878
    @oscarulotu9878 3 หลายเดือนก่อน

    Monaba baba ,ardhi ni mali ya Mungu ,pia ardhi ndiyo inawapokea watu wote baada ya maisha haya, wote waliokudhulumu na kuchukua vifaa ya kanisa ibada itafanyika kwake ,Mungu adhihakiwi , naomba utulie kwa Mungu ,hat ayubu alinyanganywa vitu vyote lakini alikuja kurudishiwa vitu vyote

  • @petertemu7136
    @petertemu7136 3 หลายเดือนก่อน

    Kanisa Monabhan alijenga wakati Hukumu imeshatoka ya kwamba ni MVAMIZI

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 3 หลายเดือนก่อน

      Ninkweli kanisa alijenga bada ya hukum?? Kama ndoivo mbona io ni hatara sanaa manake alitaka kujificha kwenye kivul cha imani

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 3 หลายเดือนก่อน

    Lakini ungetakuwa uwashirikishe watoto wa huyo mwenye shamba wakubali,huenda muuzaji hakushirikisha watoto.

    • @lameckdaniel6724
      @lameckdaniel6724 3 หลายเดือนก่อน

      Huyu Mzee ukimsikiliza vizurii inaonyesha aliuziwa shamba mana HUWEZI wekeza miaka yote hiyo Hawa watoto waje baada ya baba Yao kutokuwepo ndio wamshitaki huyu Mzee , inaonyesha ni kitu walikipanga na kitaleta shida badae kwenye maisha Yao mana hela ya mtu hata kama aliuziwa kimakosa itadai mana ni haki yake.