TUNDU LISSU- URAFIKI WANGU NA RAILA ODINGA ULIINGIA DOSARI ALIPOMUUNGA MKONO MAGUFULI...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 พ.ย. 2023
- #jambotv
TUNDU LISSU-UAMUZI WA RAILA ODINGA KUMUUNGA MKONO ALIYEKUWA MGOMBEA MWENZA MAGUFULI KULIPONZA URAFIKI WETU...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Safi sana mh rais wangu tundu lissu
Uchaguzi watZ siyouchaguzi nikiinimacho tu,nimambo yakishenzi kabisa TZ yaccm ninchi yenye watawala wapumbavu wakufikili, hawana akili yakufikilia maisha yavizazi vijavyo vilevile wanadhani mabilioni yawizi yatawasaidia milele upumbavu usiyoelezeka
Raila wala hana habari na wewe wala hata hajawahi kukutaja raila na jpm ni mda mreeefu wanajuwana
Inakuhusuje wewe? Wewe ndiye msemaji wake?
Huo ndio ukweli anajikosha tu JPM na Odinga kitambo,wapambane na Mwenezi 😂😂
Hakuna uzuri wowote .Hata wewe Tundulisu ungefanya hivio ungekuwa kiongozi.unasema hivio kwakuwa huna nafasi yoyote
Mawazo Yako ni akili za ki CCM . Na ukiwa na akili za ki CCM nyeupe kwako ni nyeusi . Na nyeusi kwako ni nyeupe .
Mawazo ya kijinga yamejaa kichwa chako
Lione nalo hili, hovyoooo!!
Huwezi kuwa Raisi wa nchi yetu wewe! Tulia wewe ni mmarekani!😂😂😂
Mmarekani wa mama yako!
Mamayo
Rais hafukuzi watu bali anawahamishia sehemu salama na kuwajengea makazi bora. Huyu jamaa ni mropokaji tu! Anautaka uraisi kwa hali yeyote ile! Mpuuzeni. Tanzania 🇹🇿 ni nchi salama kabisa!❤❤❤
Mpuuzi na mjinga wa kutupwa ni ww hapo usie jitambua.
Use your brain 🧠 pse
Mropokaji mamako
Hujielewi wewe