Dada asante kwa hizi tutorials yani ni wewe ndio umenisaidia mpaka nimeweza kupika keki ikaumuka na hapo ni baada ya. Kulipa 800k for a baking class that didn't do much for me,Mungu akubariki...back to my question unafanyaje kupata buttercream so white,yangu hua inaishia na yellow tint no matter how much I beat my butter..please help!!
Asant kwa som dad, ila mim napat shida kidog katik kuwez kuchangany hiy icing, n chocolate,. Huwa unatumia nin n nin? Au hiy butter icing unachanganyaj
Thank you unatufundisha taratibu na Kwa umakini wengine huwa wanaharaka sijui za nini god blessed you Kazi ya mikono yako
Thank you
Waooooooooooooh . I real like it , I'll try thanks mziwanda
yaani hata kama hupendi kupika kwa namna unavyofu ndisha lazima ujue ure a good teacher for me my lovely sister,your my role mode love💋💋💋
Thank you dear
Mashallah, asante sana dada kwa elimu unayotupa mungu akubariki sana na akuongezee palipopungua
Safi my dia, ukipata scraper lile la chuma litakurahisishia kazi zaidi. Nakukubali sana
Hongera!Kazi safi na mafundisho rahisi kwanu.
Safi sana Mungu akubariki unatuelewesha vzr
Thanks mziwanda bakers umenisaidia sana kupamba cake hongera sana
Asante kwa darasa zuri mi nahitaji msaada jinsi ya kutengeneza mchanganyiko wa hiyo fondant uliyopambia.
Asante Sanaa kutufuza jizi ya kutengeneza na kurembesha cake,lakin nawake aje picha kama ni birthday
Ubarikiwe kwa masomo unayotoa dada nimetengeneza ka buter creem ka somo lako jana kametoka bomba sana
May Allah bless you my sister I like ur work thanks for ur help **!!
Nzur sana,nimepata ktu
Nimekupenda kwakwel Asante Sana kwa ujuzi huu 🙏🙏🙏
Karibu sana
Asante sana mungu akuzidishie kwa somo zuri
Excellent mamaa av loved this. Asante sana
Nilichokupendea tu unafundish kwa umakin hd mtu unaelew vzr shkrn
Asante mwalimu unafundisha vizur jamn
Mashaallah 🤲 asante dear
Asante sana my dear mungu azidi kkubariki walahi
Asante dear.. Nice video
Asante kwa maelezo mazur
Nimejifunza sana dada
Nimependa idea ya kikwaruzio cha Nyanya ntajarbu ahsante
Nahitaji kujifunza ila sina vifaa vya kulembea nimekupenda bure Dada yangu.
Wow kazi nzuri leo nimeshinda kwa page yako mamii una roho nzuri ubarikiwe sana
Amiin my dear
Mungu akubariki dada unamoyo mzuri sanaaaa
Dada unajua kuelekeza ad Raha,be blessed
Iko pouwa
Yaani nashkuru saaaana sis nimejifunza mengi
Karibu ❤❤
Dear you teach are the best may God continue bless you
Mm nikigundisha kwann nikiwa na zungusha batta cream na keki inazunguka
Nimeona video thankx....
umepika vizuriii
Nataka kujua jamnii icing sugar unatakiwaa utumie blueband kiasi gan kwny kuyeyushaa na je inatakiwaa iwe nyepesi au
Hongera, madarasa yako yanansaidia sana
Shukran dear
Ni crumb coat yaani kuziba machenga ya cake. Kazi nzuri Sana dada
Darling Aroma 🥰🥰🥰🥰
Thank you
@@mziwandabakers8297
)0
My dear mungu akubariki
Mmmh...nzuri jameni.Napenda unavyoelekeza😍
Shukran 😘
Nimechukua somo jingine ntalifanyia kazi Mungu akubariki sana akupe wateja wengi wengi wengi sana😘😘😘😘😘😘
Nashukuru sana nimeelewa vzur mno.
Yes had rahr
Me nimejifunza at na nimetengeneza
Asante sana nimejifunza kitu
Lovely tutorial, just to add it’s not Icing sugar, it’s Butter cream/Icing or frosting
A,aleykum Dada huna Dara's to faut na youtube
So beautiful
Je niaje nitategeneza icing ikauke haraka
Ipo video yetu jinsi ya KUTENGENEZA Butter cream icing mziwanda Bakers
@@mziwandabakers8297 Link please
Nakukubali sana dada angu
Do you teach and it's how much
Mm Nina uliza mbona bata icing Yangu haikauki alafu inakua njano so nyeupe many nisaidie
nimekupenda bureee
Tupeni vipimo sahih vya butter cream icingsugar pls
Nimekupenda bure,unamaelekezo mazuri unaeleweka
Nashukuru karibu sana
Kazi nzuri dada, nauliza unga gani huwa unatumia kipika cake?
Nataka kujifunza na mm live kabisa unapatikana wapi
Unaelekeza vizur sana
😘
Barikiwa sana
Nataka nione jinsi ya kutengeneza icing sugar
Dada unaweza kukrim kwa kutumia kile Cha kusagiza Cha plastiki au mpk hicho Cha chuma
Asante sana dada
Thank you sweetie I’ve learned a lot but I have one question why do not to keep cakes on the fridge?? Please ni reply
It’s doesn’t melt??
Jamn kwenye kuchanganya icklmu sugar unachanganyia nin jmn mbon m. Nilchanganyia mji ikabuma
Asante kwa kunijibu kwa vitendo jinsi ya kukata cek
Shukran
Thanks love
Leo nimekua wa kwanza gonga like zenu hapooo.asante sanaa super woman
😂😂haya dear 🥰🥰🥰
Dada asante kwa hizi tutorials yani ni wewe ndio umenisaidia mpaka nimeweza kupika keki ikaumuka na hapo ni baada ya. Kulipa 800k for a baking class that didn't do much for me,Mungu akubariki...back to my question unafanyaje kupata buttercream so white,yangu hua inaishia na yellow tint no matter how much I beat my butter..please help!!
@@lucykasiga6928 thank you for the feedback dear,jaribu kimbo its white pia uipige sana
Mbona inamatundu
Hongeraa saaana kwa somo zuriii,naomba unisaidie kwenye icing sugar unaweka nn ili ikauke haraka?
Hio icing sugar unaipataje
Wouh!! I like it but I have a question??
Ask please
Nielekeze jins ya kutengeneza ice iyo nyeupe na ya choculate
Cake moja tatu mia pakt ngap ya icing?
Asante sana mpenzi, kisha naomba darasa la kupamba nimenogewa ujue😂😂
🥰🥰😘
Nahitaji kuja kujifunza nikimaliza shule .Sasa hivi nipo kidato cha NNE mwaka huu nahitaji kozi ya miezi mitatu
Ubarikiwe sana mpendwa
Asant kwa som dad, ila mim napat shida kidog katik kuwez kuchangany hiy icing, n chocolate,. Huwa unatumia nin n nin? Au hiy butter icing unachanganyaj
Yeah changanya na cocoa dear na chocolate Paste
Ukokoo na mim nibakizien nakuja soon!! AHHAHA shukran kwa somo tunajifunza ..
🥰🥰😘
Umetumia kopo la nchi ngapi manager inaonekana no ndefu
6"
Good
MashaAllah. Nataka kutengeneza kama hiyo. Lakini nataka recipie pls sister
Halafu nitakutumia kwa whattsapp. Namba yako pls
Hahahaha safiii besti
😘
Nko dope
Dada mziwanda tunaomba utufundishe jinsi ya kutumia ovalet kwenye keki na recep yake
Nitajitahidi kufanya hivyo dear
Asante sana ❤
Nikitaka iyo cream iwe softy natakiwa nifanye?
Jinsi ya KUTENGENEZA Butter cream icing angalia PROCEDURE
Nazidi kujifunza barikiwa dada
🥰🥰
Wow mamy nmepnd asn ila natka video ya kutngneza icings
Ipo jinsi YAKUTENGENEZA Butter cream icing mziwanda Bakers
Hi
sorry
Video ya yako tegeneza hio cake 🍰 plz
Tufundishe iyo icing ya chocolate dear yan
Mamy natka unifundishe face to face upo wap
Hiyo keki kama kijani umeipataje hiyo rangi
Wow
Safi sana.
mashallah asnte dear,,, hiyo chocolate icing unachangany nn na nn
Mashaallah ningekuwa apo karibu ningeshiba keki izo za wapishi😀
😂😂
Mziwanda hvy mnavyo kata unavifanyia nini
Samahani Kama hiyo inch 7 vipimo vyake
🎂😋😋
Thanks, lakini how can I make that cream yakupamba keko
Zipo video zake just andika jinsi ya KUTENGENEZA Butter cream icing
Mziwanda Bakers sawa , nashukuru sana
Somo limenifikia wakati muafaka.Asante sana
Nimeipenda burr
Umetumia vipimo gani hiyo keki
Jinsi ya kupika keki isiwahi kuharibikq
Buttercream yako ni laini kama blue band , unatengenezaje maa 😢😢
Salam aleikum naweza kusoma online
Ndio karibu 0768859358 WhatsApp
Na nikifunika cek Na fondant mbna aikauki fondant ya juuu ya cek mpenz
Huenda unafunika kabla Butter haijakauka
Nataka namba yako