Baadhi ya viongozi wa vyama pinzani jimbo la Kondoa wamefanya maamuzi ya kuhama vyama vyao na kujiunga na chama tawala, CCM. Hizi ndizo sababu za kuhama kwao.
Mtaendelea kusifu na kutengeneza watu eti wanahama mkitaka tujue hayo mnayosema mngeacha vyama vifanye.mikutano sasa mnawabana wenzenu halafu mnajiita washindi wao watajulikana vipi iwapo mmewazuia kufanya chochote hatuwaelewi waacheni muone moto
Mungu tuongoze
Ktk ccm kuua upinza ndo maendeleo makubwa wanayojivunia. Bila hta haya 4 sure this is Tanzagiza!!!
NDIYO MAANA MAFISADI KAMA LOWASSA WANATAMANI WATU WALETE FUJO ILI WATUMIYE LAWAMA SERIKALI , BADALA YA KUKOSA SERA.
maendeleo hayana chama . teh teh...
Ccm oyeeee
ccm oyeeeeeeee duhh mitahamia mbinguni
Watapata tabu sana
Chezea anco magu weeee
CCM oyeeee.
Mtaendelea kusifu na kutengeneza watu eti wanahama mkitaka tujue hayo mnayosema mngeacha vyama vifanye.mikutano sasa mnawabana wenzenu halafu mnajiita washindi wao watajulikana vipi iwapo mmewazuia kufanya chochote hatuwaelewi waacheni muone moto
Habil Mselemu mikutano subri 2020sasa nikazitu
Kwel jombaa nmekuelewa
kwani maendeleo yana chamaa? iyo ni njaa tu ya madaraka inawasumbua,
njaa mbaya chadema haina mwkiti Wa jimbo wala Katibu Wa jimbo endeleeni kumdanganya asieelewa
Maskini nchi yangu miaka yote maendeleo kwetu ni barabara
Ww mungo cdm haikuwa na mwenyekiti wa jimbo wala katbu wa jimbo ww mungo na uache kusaidia shetan kazi
Ccm oyeeeee