Mimi ni mwanachama hai wa Yanga. Aziz Ki .ameanza nyodo zake kama wenzake waliotangulia kina Feizal, Mayele, na wengine. Nashauri Uongozi hata akija Bure msimchukue, kwani muda wa usajili bado tafuteni mwingine mdogo kwa bei rahisi. Hata aende Simba asitutishie nyau. aende !!zake mpeni kwaheri.
Simba waache uzembe wa kushindana waachane na Azzi waangali uhitaji wa simba mm naona simba kama bii3 zipo wadili na Elia Mpanzu ana uwezo mkubwa kuliko Azzi
Simba wameshafilisika hawawezi kumsajili Aziz wala haoni wachezaji wanamvutia Simba ni utopolo mtupu waliousajili msimu huu kama amuamini ngoja ligi ianze ndipo mtakapoamini kuwa akuna usajili wenye tija uliofanyika Simba msimu huu
Mimi ni mwanachama hai wa Yanga. Aziz Ki .ameanza nyodo zake kama wenzake waliotangulia kina Feizal, Mayele, na wengine. Nashauri Uongozi hata akija Bure msimchukue, kwani muda wa usajili bado tafuteni mwingine mdogo kwa bei rahisi. Hata aende Simba asitutishie nyau. aende !!zake mpeni kwaheri.
hahahahahaha jinga wew inawauma cyo simba hawamtaki
Simba waache uzembe wa kushindana waachane na Azzi waangali uhitaji wa simba mm naona simba kama bii3 zipo wadili na Elia Mpanzu ana uwezo mkubwa kuliko Azzi
Wanasimba msidanganywe na wachambuzi hawa Injinia hawez kumwachia Azizi na wala simba hawamhitaji .
Okeeeeeeeeeeeeeeeeee
Akitaka kuondoka aende salama,,,aliondokaga mayele na ushindi ni uleule na maneno yalikua mengi kama hivi
Simba wameshafilisika hawawezi kumsajili Aziz wala haoni wachezaji wanamvutia Simba ni utopolo mtupu waliousajili msimu huu kama amuamini ngoja ligi ianze ndipo mtakapoamini kuwa akuna usajili wenye tija uliofanyika Simba msimu huu
Watani mmeingiliwaaaaaaaaaaa
hapo sio udhaifu wa chama,chama anakiburi na jeuri,na mpangaji wa matokeo
Subiri mwisho tuone nani ataumbuka
Nyie ujinga mtauacha lini?
Yanga haina tatizo kaondoka mayele na ubingwa upo wakimchukua sawa aende
Unajifarii mbona mmemchukua chama😂
😂😂😂😂
@@sarahgaula2220 Lkn hakuleta ubingwa kwenye timu yake huu ni msimu wa tatu.
Ameona sehemu ya makombe ni Yanga tu kwa misimu hii 20 ijayo.
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu mchezaji anaangalia maslai
Nye nimatapeli kwendeni huko
Imeisha hiyo ki ni mnyama😂😂😂😂
Amewashinda Chama, mtamuweza Ki?
Mafala Hawa watafuta likes na views nkest
Munapoteza muda tu huyo ni Mali ya watu