Nikwel mm nishayaon kwamacho yngu mtu akifanya Ivo mm sikutak ten kutibiwa man nilion huyo niongo sikurud ten kwa mgang ndio maan tukawa tunasema haramu lkn kumbe hatujui akili zetu wanatufunik
Somo lako zuri linaelimisha jamii na khatma yake jamii itaelimika kiasi cha kwamba watajua elimu ya Ramli ni mahesabu yanayoitaji elimu sio kufunika watu kwa mazingaombwe ya uongo .Elimu ya ramli sio elimu Ya majini kama watu wanavyodhani sababu manabii walitumia kwa hiyo nabii hawezi kupewa khabari na majini bali Roho wa mungu . Kingine wapo majini nao wanasoma elimu ya ramli vivyo hivyo kama wanadamu na wapo majini wanaaguliwa nyota zao na wanaadamu hivyo hivyo na wapo wanaadamu wanaaguliwa na majini kifupi alie na elimu sahihi anaweza kumsaidia mwenzie ila tusikae na imani kuwa majini ndio wanaelimu na ujuzi wa kila kitu .
Nikwel mm nishayaon kwamacho yngu mtu akifanya Ivo mm sikutak ten kutibiwa man nilion huyo niongo sikurud ten kwa mgang ndio maan tukawa tunasema haramu lkn kumbe hatujui akili zetu wanatufunik
Pole sana.
umenena kbc
mimi ling;atwa mgongoni kutoa jini n damu nyng zilinitoka
Somo lako zuri linaelimisha jamii na khatma yake jamii itaelimika kiasi cha kwamba watajua elimu ya Ramli ni mahesabu yanayoitaji elimu sio kufunika watu kwa mazingaombwe ya uongo .Elimu ya ramli sio elimu Ya majini kama watu wanavyodhani sababu manabii walitumia kwa hiyo nabii hawezi kupewa khabari na majini bali Roho wa mungu . Kingine wapo majini nao wanasoma elimu ya ramli vivyo hivyo kama wanadamu na wapo majini wanaaguliwa nyota zao na wanaadamu hivyo hivyo na wapo wanaadamu wanaaguliwa na majini kifupi alie na elimu sahihi anaweza kumsaidia mwenzie ila tusikae na imani kuwa majini ndio wanaelimu na ujuzi wa kila kitu .