'Nimeshawahi kwenda kwa Mganga wa kienyeji' - Darassa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
  • Msanii wa bongofleva Darassa ambaye jina lake limeongoza kwa kutajwa mara nyingi kwenye namba kubwa za chati za Radio/TV Tanzania kutokana na hit single ya 'muziki' , amekaa kwenye Exclusive na Diva.
    Diva amefanya Exclusive Interview na Darassa kupitia ALA ZA ROHO ya CloudsFM na kumuuliza maswali mbalimbali Darassa.

ความคิดเห็น • 74

  • @jasminasha9551
    @jasminasha9551 8 ปีที่แล้ว +2

    asante sana kwa majibu yako mazuri Darassa, hata kama maswali hayakuhusu mziki wako yalikuwa mswali yasiyo kuwa na mahadili kwa upande wako. Natupenda sana Darassa pamoja na mziki wako pia jiepushe sana na mastaa wakike . Pamoja sana wakati wote Darassa💋💯

  • @irenesamson2752
    @irenesamson2752 8 ปีที่แล้ว +2

    kwel ww n darassa,big up kwa kujibu maswali vizur

  • @elizabethkazaula9087
    @elizabethkazaula9087 8 ปีที่แล้ว +2

    Kaza buti Swaiba yangu. Hapa kazi tu. Mtangulize Mungu kwa kila jambo unalofanya.

  • @nyamizikhamisi8327
    @nyamizikhamisi8327 8 ปีที่แล้ว +1

    ukiona star anajipambapamba huyo ni Dada mavaz hayahusik katk muzik achen ushamba wa kuigaiga na kumvunja moyo mtt wa mwanamke mwenzenu .....keep it up darasa

  • @italkitalk2216
    @italkitalk2216 8 ปีที่แล้ว +1

    uko juu sana nimekupenda

  • @husseinswahili7382
    @husseinswahili7382 8 ปีที่แล้ว +2

    Intarvier iko poa hasa kwako Star wetu #DARASSA napenda majibu yako unapo kuwa kwenye kipindi.

  • @nancywanjiru178
    @nancywanjiru178 8 ปีที่แล้ว +3

    Darasa uko juu!usijali Ma haters huwahakosi , ur going far keep the fire burning!🔥🔥🔥🔥

  • @sifacycy_bby8827
    @sifacycy_bby8827 8 ปีที่แล้ว +4

    Alijibu maswal yote vzr Hongera san #DARASA kwakueza kufunguk mbele yawat ilicho wahi kufany pia ulivy eza kuambia wat hiv basi uzidishie na kumuomba #MUNGU msamah maana 🙏 ndie zaid kuliko sisi uliewez kutu fungukia kuhus "Waganga w. ......... pia Asant sn millard Ayo kw kipindi.

  • @pinieljohn768
    @pinieljohn768 8 ปีที่แล้ว +4

    hongera sana kaka unavuma xana mnaochonga kaz kwenu kwan kuvaa inakuhuxu nn achen ushamba

  • @miriamusadiki9712
    @miriamusadiki9712 8 ปีที่แล้ว +3

    Lilke you darasa unajitambua unajielewa huna mbwembwe nyingi in short you are on fire

  • @EdwinOmegaodhis
    @EdwinOmegaodhis 8 ปีที่แล้ว +6

    just be you. Darassa anatisha wanaotaka avae vizuri mjue kwamba that is his taste.

  • @awadhomary5117
    @awadhomary5117 8 ปีที่แล้ว +5

    yuko sawa tu ndivyo alivyojiweka atabaki kuwa star tu Darasa

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 8 ปีที่แล้ว

    endelea na style yako iyoiyo very simple nimeipenda
    big up

  • @irenesamson2752
    @irenesamson2752 8 ปีที่แล้ว

    bro nikupe big up,umejibu maswali kiakili saana

  • @dingimtoto9477
    @dingimtoto9477 8 ปีที่แล้ว +1

    sana br dr and bibiye@divathebass@mwaaa

  • @irenesamson2752
    @irenesamson2752 8 ปีที่แล้ว

    m sioni tatizo na mavazi yake,,darassa yupo vizur.

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma1 8 ปีที่แล้ว +2

    Darasa anajibu kaswali kwa hekima sana. Sikujua kwamba baadhi ya wasanii kama Darasa wana heshima wanapokuwa wanaongea na watu .

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 7 ปีที่แล้ว

    Dah. Uzungu mwingiiii. Mmh Diva

  • @pazzygunner9099
    @pazzygunner9099 8 ปีที่แล้ว +2

    jus do Yah tings fella, let Em tok

  • @gracekalinga5408
    @gracekalinga5408 8 ปีที่แล้ว +4

    katika interview za watu maarufu hivi haiwezi kamilika bila kuwahusisha diamond & Allykiba?? !! shikamoo CMG unajua kujibu maswali had raha🙌🙌🙌🙌🔥

    • @jaitonmis955
      @jaitonmis955 8 ปีที่แล้ว

      Grace Kalinga hapo sasa me pia nashangaa kila kitu mond na kiba mbona watu wa kawaida tu.kutoka nje ya nchi icwe shida kwa wengi

  • @ashirafukapelega8821
    @ashirafukapelega8821 8 ปีที่แล้ว +1

    Darrasa ..kaza game ngumu

  • @amdunshomary7423
    @amdunshomary7423 8 ปีที่แล้ว +2

    saruti kwa darasa wengine wataendelea kusubil 2

  • @sky-wz5zi
    @sky-wz5zi 8 ปีที่แล้ว

    weka muzikiiiiiii

  • @bensonfrank9578
    @bensonfrank9578 8 ปีที่แล้ว +4

    huyu diva Amna kituu kabsa ajui kuuliza maswali

  • @oyay2821
    @oyay2821 8 ปีที่แล้ว

    darassa ni moto wa kuotea mbali

  • @jajajaja9670
    @jajajaja9670 8 ปีที่แล้ว +1

    you're so gud

  • @amenaamena7325
    @amenaamena7325 8 ปีที่แล้ว +2

    jamni.huyu darasa.jina lake kmli anaitwaje

    • @shabansalum162
      @shabansalum162 8 ปีที่แล้ว +2

      Amena Amena anaitwa sharifu ramadhan

    • @kinyagajr2399
      @kinyagajr2399 7 ปีที่แล้ว

      Shaban Salum anaitwa sharifu thabiti

  • @josephsanga3408
    @josephsanga3408 8 ปีที่แล้ว +5

    nguo sio ustaaae

  • @irenesamson2752
    @irenesamson2752 8 ปีที่แล้ว

    nimependa saana darassa alivyo Cheka baada ya kuulizwa swali la kajala na wolper

  • @therealomisa_facts1027
    @therealomisa_facts1027 8 ปีที่แล้ว

    Class hebu jaribu kumshirikisha Mondi tuone hiyo ngoma ita hit vp cz ushakubalika tayari sasa tafuta ujulikane kimataifa ili mshirikiane kuipeperusha flag yenu ya Tz

  • @keziahkamau1160
    @keziahkamau1160 8 ปีที่แล้ว +3

    you are. an iron man. keep going. waitin mo frm you. am mad abt ua hiphop

  • @mwanahella9650
    @mwanahella9650 8 ปีที่แล้ว +2

    😢😢😢yaani Diva jamani😏😏hata hao maboss zako kz wanayo .
    ss umemleta Darasa kum interview lkn unatafuta maswali yaani hata cha maana hakuna mxiuuuuu

  • @aselakessy8102
    @aselakessy8102 8 ปีที่แล้ว +2

    na enjoy ukinyooshaga mikono yako kama unapaaa yan mi hoiiii

  • @husenadamson975
    @husenadamson975 8 ปีที่แล้ว

    acha maneno weka muziki

  • @allysalimvumbi5211
    @allysalimvumbi5211 7 ปีที่แล้ว

    mwaka wake huu jama

  • @salimrajum3616
    @salimrajum3616 8 ปีที่แล้ว +8

    sasa avae vp na anavyovyaa anamuonekano tayari.U star ni Focus sio mavazi.

  • @josephmunna8577
    @josephmunna8577 8 ปีที่แล้ว

    kip watchin😂😂😉😂😂😂..

  • @bomayuri7481
    @bomayuri7481 8 ปีที่แล้ว +1

    huyu diva maneno mengi auliz hata cha maana 😁😁😁 alfu darasa anamjbu in detail ata ajishtukii maswali yake

  • @nyanda427
    @nyanda427 8 ปีที่แล้ว +2

    Seems like host hukuwa tayari kumhost mkali wetu darasa

  • @josephmunna8577
    @josephmunna8577 8 ปีที่แล้ว +2

    ishachuja

  • @cuthbertmarkyshirima9647
    @cuthbertmarkyshirima9647 8 ปีที่แล้ว

    darasa una majibu pafect

  • @irenesamson2752
    @irenesamson2752 8 ปีที่แล้ว

    HV hawajawahi ona mastaa wa nje wanavyoo vyaa,,mfano Eminem wanavaa kawaida na utakuta wapo kwenye event kubwa.

  • @SuperSperro
    @SuperSperro 8 ปีที่แล้ว

    kila la kheri Darassa kua muangalifu na nafsi yako.

  • @edimundialoyce6505
    @edimundialoyce6505 8 ปีที่แล้ว +1

    yaan wnyw wanamuonaga nanliu tu ndo anajua kuvaa mtu akivaa kawaida et hajui kuvaa

  • @RASHIDRashid-wz2uo
    @RASHIDRashid-wz2uo 8 ปีที่แล้ว +1

    yani mnamuita msanii afu mnaanza kumuimbisha nyimbo zake hiyo katengeneza mwenyewe na anaifahamu kuliko mnavoifahamu nyiesio performance iyo ni interview

  • @tonykipobota4265
    @tonykipobota4265 8 ปีที่แล้ว +12

    diva nafikiri hukujiandaa kabisa kwa ajili ya kumu-interview darassa, unatafuta mno maswali, huulizi maswali ya maana zaidi, unatoka nje ya mada na maudhui hasa ya kipindi chako. poor interview

  • @jalaljalal5258
    @jalaljalal5258 8 ปีที่แล้ว +5

    mpelekeeni hizo nguo za ki star pumbavu hamuishiwi maneno acheni gubu

  • @boscochance6417
    @boscochance6417 8 ปีที่แล้ว

    vulnerable you just be yourself bro!!

  • @gottaboy4178
    @gottaboy4178 8 ปีที่แล้ว

    darasa inapaswa abadilike awe na muonekano wa kistar hasa kwenye mavazi

    • @gottaboy4178
      @gottaboy4178 8 ปีที่แล้ว

      u star ni package, siyo kuwa na hit song peke yake, anaweza kukosa baadhi ya madili licha yakuwa msanii hivyo kukosa mtonyo kama wasanii wengine wanavyofanya, hata kama ni hip hop mbona kina job makini wanapendeza so he need changes

  • @hassanjambe2980
    @hassanjambe2980 8 ปีที่แล้ว

    #👏 #Hello Friends NyOte Poaw XANA ©®™#🍇

  • @shedrackgosberth1746
    @shedrackgosberth1746 8 ปีที่แล้ว +2

    kaza buti kijana uko poa mno

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 8 ปีที่แล้ว

    cmg

  • @salvatorynyemba2747
    @salvatorynyemba2747 8 ปีที่แล้ว

    piga manguo ya kiustar

    • @afropanorama4730
      @afropanorama4730 8 ปีที่แล้ว

      Salvatory Nyemba unaonekana limbukeni wa mavazi

  • @jastinhambo5581
    @jastinhambo5581 8 ปีที่แล้ว

    mbona darasa anavaa fresh tu ? tatizo nn jamani au kwa kua ni star???

  • @ummyissa4622
    @ummyissa4622 8 ปีที่แล้ว

    😃😃😃😃😂😂na mlegezo wake jukwaani kila saa anapandisha suluali😃😃😃😃uwiii jmn

    • @rashb_for_lifebb
      @rashb_for_lifebb 6 ปีที่แล้ว

      Never trust anyone trust your self and focus on yua duties music,

  • @deusinhorupheo8272
    @deusinhorupheo8272 8 ปีที่แล้ว

    aiseh
    darasa
    n
    zaid
    yao
    mziiiiiiiki
    tumbo
    joto

  • @irenekalugula5227
    @irenekalugula5227 8 ปีที่แล้ว +2

    honestly what is this with diamond and alikiba???? both of them have not commented about it but why is it always a topic to people??..... SMH..... woke wanajenga na kukuza taifa by their songs. cut the crap guys and focus on what is important. JUST SAYING

  • @_KING1031
    @_KING1031 8 ปีที่แล้ว

    Dada huyo si professional. Utam-interview mtu vipi na uko busy na hizo messaging zako. So unprofessional

  • @ibumaokola8019
    @ibumaokola8019 6 ปีที่แล้ว

    dalasa mateja tena wakutupws

  • @sirhersi
    @sirhersi 8 ปีที่แล้ว

    Clouds wanaruhusu vipi maswali yasiyo na heshima kuulizwa kwenye redio inayosikilizwa nchi nzima na watu wa rika zote kama haya?. Ni aibu kubwa hii, eti akivua huyu na yule....ujinga mtupu. Shame on you!!....TCRA wanafanya kazi gani?

  • @kinyagajr2399
    @kinyagajr2399 7 ปีที่แล้ว

    msanii lazima uwe unajitambua ilikuwa haina haja ya kujibu maswali ya kijinga sana