Mwakinyo kuzichapa Mei 31, mpinzani wake hajawahi kupigwa na Mwafrika
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- “Niwashukuru Azam TV kwa kutupa nafasi hii ya kuja mbele ya Watanzania tena” sehemu ya maneno ya bondia Mtanzania, Hassan Mwakinyo akizungumza wakati wa utambulisho wa pambano lake la Mei 31 dhidi ya Mghana, Patrick Alotey.
Mwakinyo amesema yeye atakuwa Mwafrika wa kwanza kwenda kuharibu rekodi ya bondia huyo ambaye hajawahi kupigwa na mwafrika yeyote.
Tutakaonunua ticket za vvip mikono juuuu na like kama zote ,all the best champez
Ungemnyoosha yule mtt ili ajifunze Adabu
Mwamba kabisaaa huyu wengine wapaka piko tu😂😂😂😂😂
Tuko nyuma yako MWAKINYO champion boy
Vp jaman uyu azam TV imerudi kwa mwakinyo au vp
Wana Mogadishu family tunafuraha ya Azam tv kuonyexha pambano la ceptein wetu bila figus mungu wabariki sana
No dought....We gonna win a fight as usual @ Champez one time
mwankinyo usituangushe kaka nataka umfunge mdomo yule makonde maana ana mdomo sana nataka umpe funzo ajue mziki na boxing ni kitu tofauti
Nime furahi Sana kuwaona Azam tv wapo Tena na mwakinyo
Ngumi zako ni ngumi zakumfuraisha mtazamaji naimani kubwa wapenzi wangumi tutapata burudani
MWENYE NYOTA ZAKE HAPA TANZANIA TUNAIMANI NAE UKIBISHA KAKOJOE KALALE . CHAMPEZ MWAKINYO YEYE NI MMOJA TU WENGINE WAWACHE WAPAKE PIKO
Kila la kheri mwakiyo wetu❤❤twakuombeya duwa .
Likiisha hili inshallah tunatak utunyooshee yule pimbi homonize
😮😮 Yaani ww mtangazaji umeua hasa. Yaani hongera hasa kwa asilimia zote.
Uwongo mtupu, mpinzani wake NDIZI si bondia madhubuti. Na Mwakinyo analijuwa. Hivyo asijitape sana. Tunajuwa atapata knock out dakika za mwanzoni. Kama kweli yeye ni nzuri aletewe ASEMAHLE WELLEM tuone.
Mungu akubariki
Namber one Tz champez
Hamonize aanze Na mandonga kwanza ndio kiwango chake,asitafute kufa mapema Na bondia namba moja Wala asione kifua cha jimu ndio kupigana .
😂😂
Champez tupo na we we DIAMOND WA NGUMI tanzania
Dua kaka kila la khert
Tuko pamoja
Mungu akusaidie profenal
😂😂😂sema mwakinyo ana vineno vya kijinga we unadhani maneno Yana mlenga nani
Nakubaliiii💯
Hicho kimakonde umechapia
Azam tv mume maliza bifu yenu na mwakinyo niwapongeze sana uzalendo kitu chamaana sana
Tanga moja kama anakuja nyumbani halafu pambano litakupa hela kitaifa,kipaji unacho ila msisahau figisu mkija ulaya bila usimamizi mnawekewa madawa kwenye maji ya kunywa vyakula tangu hotelini,na hii sio kwa wanamichezo mpaka kwa viongozi wetu wa nchi wakija nje kusaini mikataba muhimu ya nchi wajipange ,tunalinda nchi taifa na maslahi.maoni yangu ni hayo tuu.
Uyu mtu ni dhahabu kataa kubar
Mtu wa maana kabisa
Bondia pekee Tanzania na Africa nimwakinyo akina kiduku nimaneno2 ndiyo wanayo lakini ulingoni hawana lolote naamini tunashinda hili pambano 🙏
Mwakinyo is perfect of boxing
Nakukubali sana brother achana nawarembo ambao wanajiita jeshi uku katoboa pua anavaa hereni
Mchape na konde Kwanza tukae kwa rah mtaan
Tanga kwanza mandalizi mama mungu akujalia ushinde mwakinyo hana mpizani
Dakika 2 tuu
Dakika 2 2
NAKUAMINIA SANA CHAMPEZ NA NAKUOMBEA SANA UMPIGE KO HUGO PATRICK
Mungu mkubwa masta utadhinda nitaswali saa nane usiku juu yako
Izo kofia zanzibar tunauziwa elfu 60
Vaa vizuri kuwa Smart, umekaa kama waigizaji wa comedy
😂😂 .MUONGO SANA WEWE WAKATI ALIPIGWA ANAPIGA GOTI NA JAIME YULE MZAIFU 2 KAMA WEWE ALAFU ANAKATA TAMAA MAPEMA HAMNA KITU PALE NDIZI ZINAENDELEA TU. UNAJISIFIA KUMBE UNAMJUA KUA NI NYANYA YA MASALU😅
amesema hajawahi kupigwa Africa acha chuki sikiliza alafu jaime sio bondia kiazi alimpiga Liam smith na sasa ana fight na canelo, tushakuelewa aya mkali ni yule kanjubai
Tunangoja pambano lako na wewe tukuone 😂😂
@@yunussera4146 😃😃😃
Allah akulinde bondia wetu
Champez nakukubali fanya kitu💪
Mtoto wa makorora hijawai kufeli,kila la khery
Wacha kwanza atimize malengo yake kilakitu Kina wakat kwawale mnaosema apigane na twaha
Allah atakujali utashinda ndugu yang
Acheni ujinga kimakonde chenyew hujui unaropoka tu hapo.. anzeni na twaha kwanza mbona mnakimbia kimbia!??
Twaa kiwango chake kibovu . Acha chukidogo
Tatizo kwenye maongezi yako mipasho haikosekani 😂😂😂
Pamoja kak mung akutangulie katk hil
Mimi nilijuwa anaanza na kundo boy 😂😂😂😂
Mungu akuongozee chapeziii
Kila atuwa Duwa..kila la kheri,bingwa
Mwakinyo ni mtu wa maana kabisa Africa 🔥🔥🔥
Kazkaz kaka ubingwa wetu
Kila khery champion!!
Baba natamka Allah akupe nguv
Champenz ❤
Binafsi nimefurahi Azam kumsamehe mwakinyo na kukubali kufanya naye kazi tena.
Kwani aliwakosea nini
@@Rahima-v5j lile pambano ambalo hakupanda uwanjani hali yakuwa Azam walishafanya promotion na walilipia haki za kurusha matangazo hayo
Kaka usiagusha maana tunkumbea 3:59 ❤
Respect home boy
Mashaallah
Makonde pumbavu zake
Amina tunakuombea baba❤
All the best international champion ☺🔥🔥
AONGEE YEYE MWENYEWE SIO WEWE THAT'S NOT PROFESSIONAL 😂😂
Katuchapie mtu mwamba
Sisi tupo nyuma yako mpaka wakuuwe 😂😂
All the best
Datuna kuamini broo
Tunakuombea mkuu
You are Tanzania One, lakini acha ujinga ujinga uliokujaa kichwani kwako wa kutaka kupigana na Hormonize, huyo dogo sito level yako hata kidogo, achana naye Focus with your vision kama malengo yako tangu unaanza boxing ni kumshikisha adabu huyo dogo basi pigana naye, lakini kama kwenye focus zako hayupo achana naye kabisaaaaa.......tena mwambie kabisa kuwa sitapigana nawewe nakuogopa utanipigia jambo liwe limeisha awe mshindi yeye.
Your the eye of National Brother.
Twaha nae afate taratibu?
profeshinal Boxing tz wapo watatu mwakinyo ,toni rashid, ibra clasic hizi ni kz
Les go 🏆 champion boy.. 🥊🥊🥊🎉🎉🎉
Mbona kwa Twaha kiduku hamisemi maneno hayo
Mnakwepa kwepa tu
Huu ndio utoto ambao hatutaki
Kwani bondia wakupigana nae ni kiduku tu
We ni fala unadhani hiyo profile ya mwakinyo ameipata kipumbavu
Mimi nilifikiri unapigana na mmakonde mx
Mwenyengumizake kaludi
GOAT IN BOXING...KEEP IT UP BRO
Tuko nyuma yako
Au harmonize 🤔🤔🤔🤔
Uhakika baba
Izi pigo za mwkinyo sio poah
Champenz one time
Uyo mpinzani wa champezi ni harmonize ndo hajawai kupigwa😂😂😂
Go champion
Champeez babaaaakoooo
We nani kwan date31 burdaaan andaen nanyie roko
Taree iyo😊
Wasike wakam badilisha mpinzani tu..!!
SHIDA UNAUGOMVI NA AZAM MALIZA UGOMVI NAO
Ugomvi umeshaisha,ndio maana azam wenyewe wamepost hii habari
Wateimu champez kk very nais
Tutaka kuona akicheza na yule msouth africa
Watoto wa ushwaz huwez kutuekea mipaka mogadishu halaaaaaa
Mwisho wa siku uyo mpinzani hatokei konde boy anapanda na mwakinyo
Akimpiga utaskia mambwiga wataongea upuuzi
Machipx4realy
Apo ulivo kua na sifa usipande ulingoni km skuzile
Alituangusha kwa mwingeleza
Pamoja sana kaka ChampeZy💪💪💪💪💪💪💪💪
Kweni yule asemehle welle vp
Vp azam mmemsamehe huyu mzee wa mipasho.
Konde boy unapigana nae bro