Shekhe hapo naona unaosha uso na mikono kwa mchanga na tumeamviwa tupukuse bi wujuhi wabaidiya (bi kwa maana baadhi ya sehemu sio uso wote au mkono wote)
Allah akulipe ila naomb kufahamishwa kdg cjafaham kitu apo ikiwa mwnyw kutayamam alihofia barid Kali itamletea madhara kiafya vp pind barid itakapo kata atalazimika kuog Tena au ndo mtu atakua ametwaharik
mashalla sheikh jazakallah khair
🕌mashaallah
Alhamndulillah
Shekhe hapo naona unaosha uso na mikono kwa mchanga na tumeamviwa tupukuse bi wujuhi wabaidiya (bi kwa maana baadhi ya sehemu sio uso wote au mkono wote)
Yuko sahihi baadh ya viungo imekusudiwa sio viungo vyote vya udhu ila unapangushwa uso na nikono kikamilifu
Naeza kupata namba zako za what's app tafadhali
Mimi pia naomba namba
Allah akulipe ila naomb kufahamishwa kdg cjafaham kitu apo ikiwa mwnyw kutayamam alihofia barid Kali itamletea madhara kiafya vp pind barid itakapo kata atalazimika kuog Tena au ndo mtu atakua ametwaharik
Swali zuri sana
Nnachofahamu udhu wa tayammam hubatwilika kwa kupatikana maji sijajua kuhusu janaba