RAIS WA ZANZIBAR AKAGUA UWANJA WA AMANI/UJENZI WA KISASA UMEFANYIKA/ASILIMIA CHACHE..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2023
- Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, MHE. Dkt Hussein Ali Mwinyi amefanya ukaguzi wa Uwanja wa Amani Leo Aug 27.
Baada ya hapa MHE. Rais Dkt Hussein Ali Mwinyi atahudhuria Usiku wa Vitasa ndani ya Mao Tse Tung kama Mgeni Rasmi wa Usiku huo. - กีฬา
Good president 👍👍👍💯
Watu wa camera 🎥 hawakutoa picha nzuri
WATU ambao wanahakikisha usalama wa mheshimiwa RAIS hivi kweli mlikua makini kweli ata kofia ngumu hamkumvisha umakini jamani
Jenga viwanda vidogo vidogo ambavyo vijana watafanya kazi na kuepukana kuvuta mabangi na madawa ya kulevya na pombe na kupunguwa kwa umalaya mana mtu akitoka asubuhi kurudi jioni ni kulala Tu
Kama majukwaa hayatkuw na viti japo vya plastic basi bure tu