Mishono ya Vitambaa ya guberi african women Dress Fabric dress
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Uhali gani wapendwa wangu Karibuni tena kwenye chnnel yangu leo wapendwa nimewaletea mishono mizuri Sana ya guberi.
Guberi ni aina ya mshono unakua mpana haishiki mwili unawekewa urembo wa dizaini tofauti tofaut Kama utakazoziona hapo kwenye video
Mshono huu unaweza kushonwa na watu wa rika zote wanene wembamba wanaweza kushona pia unaweza kushonwa kwenye kitambaa kitenge khanga wewe tu upendavyo
FACEBOOK
dawa mseba
INSTAGRAM
Dawa_mseba
Unaweza kutembelea account zangu izo kwa mawasiliano zaidi Karibu.
Copyright Disclaimer Under section 107 of the copyright Act 1976, allowances is made for "Fair use" for the purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research. Fair use is a use permitted by copyright Statues that mightwise be infringing. Non profit, education or person use tips the balance in favor of fair use.
ALL RIGHTS BELONG TO THEIR RESPECTIVE OWNERS.#mishonoyavitambaa#mishonoyavijora
Kazi nzuri sana
Asante mpenzi kwa mishono mizuri! Nakupenda sana dear 🥰🥰🔥
Asanteee sana hawa nakupenda pia 🥰🥰
MashaaAllah mishono mizur gubeli zaukweli ukovizur sana hongera.
Asanteee sn mpnz 🙏🙏🙏
Nimeipenda hongera
Kaz nzuri
hongera kwa kz mzur
Nimenda sana iyo mishono
Nimepeda sana
Nimependa sana mishono
Nimependa sana mishono
Napenda sn
Mashah Allah
Nimependa
Nice
Nimempenda sana kaz yako dada ang
Mishono ni mizuri na nimezipenda sana
Asantee sn 🙏🙏🙏
Nice
Majeje
Nimeipenda sana mishono yako
Kazi yako nzr nimeipenda
Smart mashaallah 👌
Nimepeda sana
Huna baya mishon pambe
Dadanimeipendakaziyako ukovizurisana
Naomba unijibuu myyyyyyyyu
Nimeipenda Iko poa
Asanteee my 🙏🙏
nimeipenda
Hauna baya dadaang mishono pambe nimepend san
Nimependa mishono yako hongera dear
Uko vizuri
Asante kwa mishono mizuri
Aya shukran sn 🙏🙏
Nimepeda sana mshono
3:27
Iko vzur
Ongera mishono mizuri
Asanteee sn mpnz 🙏
Mishno mizur san
Safe sana
Hbr ningeomba unitumie hy kot nyekundu tu
Nimependa saana hata sisi unatusaidia
Naomba nambayako natumia sim yamume wagu
Nakuomba nijifunze
Mishono ya vitambaa
Naomba unifundishe jinsiya kukata mchono wa bubeli
naomba mishono ya vitambaa vya shifoni
Mishino ya kudariz mabazee
Mm naitaji hii video napataje
Tuma surual na blauz za vitenge
Wewe ni fundi?
Nataka nguo
How can I get one and how much is one
Munapatikana wapi naomba namba yasim
Fundi wew mwenyewe au unapatikana wap
Nishaur nitafute kitambaa gan na nishone mshono gan ili nipendezeeeeeee naomba unisaidie aina ya kitambaaa
Nunua kitambaa English satini mshono shona half ya kuunga chin itapendeza my
Mishono mizulo ila naomba uonyeshe na Jin's ya kaka a
Uko vizur sana nataka nijue Jinsi ya kukata
Aya my ntafanya ivyo 🙏🙏
Tumieni mishono ya maguberi kwenye tikitok Mimi nimpezi wenu
Aya Mrs msonde asanteee sana ntafatilia 🙏
Mashaallah
Asanteee sn mpnz 🙏
Ww fundi kma fundi twambie mana utachukuwa mshono fundi ndo mtihani
Nimependa mishono yako
Mishono mizuli San
Asanteee sn mpnz 🙏🙏
Tupiamishono mifupiya kitambaa
mishono pambee ata mtu mwembamba c anaweza kushona na akapendeza
Ndio my anashona inapendeza sn🥰🥰
@@msebachannel sawa dear pia mi ni mweupe ni rang gan ya vijora itanipendeza ukiacha maroon dark blue na nyingne
@@daliadayana4428 Kuna hii blue Masai mpnz ni tram utapendeza sana
Nina kitambaa mita mbili na taka nishono hivi
Kama ni kitambaa cha mapana 60 kinatosha
Mishono mizuri dada
Aina ya vitambaa na majina
Pambe
Tupe namba wasap