Huyu jamaa amekiri lilikuwa goli Hali na anasema Kama raisi wa CAF hakupaswa kuweka maoni yake hivyo anasema wanahitaji kuangalia upya VAR ,waamuzi na wasimamizi wa michezo kuhusu matatizo Kama hayo kwa maoni yangu hata ukimuangalia anaona aibu kwa yaliyotokea lakini timu yake imenufaika kushiriki klabu bingwa ya dunia kupitia mchezo ule na kujihak8kishia kupata bilioni zaidi ya 130 Sasa hapo ndio utaona ulikuwa ni dhamila wao kufanya vili na Kama amekiri Basi Yanga ilidhulumiwa wanatakiwa kulipwa fidia ya mabilioni ya fedha kwa uzembe au njama za motsepe dhidi ya Yanga ili kujihak8kishia kupata pesa hizo
If you regret that was a goal and there was something wrong in VAR, referees and linesmen incompetence Yanga SC should be compensated for what happened
Maskini Nafsi inamsuta baba wa watu Kwa dhulma waliotufanyia,but Mungu ni wetu Sote Kwan wao wametolewa Kwa kupigwa nje ndani walipotamani kufika Mungu kawaambia mm Sina masihara ukidhulumu Haki ya mtu😂😂😂😂😂😂
Kwani ni kina nani walompokea huyo mdhulumati mkubwa malipo duniani akhera kuhesabiwa litimu lake lenyewe ovyooo halikusonga mbele ndo hukumu ya wadhulumat hiyo dadekiiiii😂😂
Mjinga sana huyo kwanza kuonesha jinsi Gani tuliumia uongozi msingempa mwaliko huyo mpuuzi. Yeye ndio mwenye mamlaka ya juu kabisa kwenye mpira Africa! alishindwaje kuipa haki timu inayostahili?
A true leader Your speech is magnificent Our country should be very proud 5years back Tanzania was a dark football county Now we share ideas with caf president Tanzania is home of south Africans and all Africans Welcome mr president and feel to be at home
Mnaochangia kwa kumtusi nashindwa elewa ni lugha inawachanganya au vipi.mbona anachoongea musepe safi sana acheni mihemuko football haihitaji mihemuko.
Anatukanwa coz kwa nni hkusema Cku ile ssa saa hii lina nguvu gani kwetu kma goli na malengo ya team ilikua wcheze nusufainal na sio kufahitia fidia hio inauma na kupelekea matusi
Hicho ndicho kilichokosewa, kukosea kama refarii ni ubinaadam lakini wakati vipo vyombo vinasimamia vilipaswa kumzuwia japo mechi mbili tatu kuonesha kilichotokea sio sawa.
Hapa anadhibitisha tu kwamba Zanzibar inadhulumiwa na Tanganyika. Michezo sio suala la Muungano lakini HAKI zote CAF na FIFA zinabaki Tanganyika. Ili uwe mwanachama wa Jumuiya za Kimataifa ni LAZIMA uwe sovereignty state. Sovereignty state ni Tanzania.
Analeta kauli za Kidunduka kwakua yupo kwetu anajistukia
Huyu jamaa amekiri lilikuwa goli Hali na anasema Kama raisi wa CAF hakupaswa kuweka maoni yake hivyo anasema wanahitaji kuangalia upya VAR ,waamuzi na wasimamizi wa michezo kuhusu matatizo Kama hayo kwa maoni yangu hata ukimuangalia anaona aibu kwa yaliyotokea lakini timu yake imenufaika kushiriki klabu bingwa ya dunia kupitia mchezo ule na kujihak8kishia kupata bilioni zaidi ya 130 Sasa hapo ndio utaona ulikuwa ni dhamila wao kufanya vili na Kama amekiri Basi Yanga ilidhulumiwa wanatakiwa kulipwa fidia ya mabilioni ya fedha kwa uzembe au njama za motsepe dhidi ya Yanga ili kujihak8kishia kupata pesa hizo
Mwambie basi akupe izo pesa
❤❤❤❤❤yan.naipenda❤❤❤❤❤❤.yangaa.jaman❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
If you regret that was a goal and there was something wrong in VAR, referees and linesmen incompetence Yanga SC should be compensated for what happened
Huyo anajikosha kwa vile kaja kwenye nchi yetu sasa hiyo kauli yake inatusaidia nini mpuuzi huyo
Very good political manager
Sasa uyu kafata nn mbwa simpendi kama nini uyu
Pumba mmoja huyu
Ulitakiwa kupigwa makofi matakatifu SEMA Tanzania nchi ya amani
Yani kama mm ningemtia mbata moja2 mpuuzi uyu🦛🦛🦛
Huyu jamaa anazani sisi mafala tunaweza kusahau alichotufanyia
Kwani kafanyajje jamani?
Maskini Nafsi inamsuta baba wa watu Kwa dhulma waliotufanyia,but Mungu ni wetu Sote Kwan wao wametolewa Kwa kupigwa nje ndani walipotamani kufika Mungu kawaambia mm Sina masihara ukidhulumu Haki ya mtu😂😂😂😂😂😂
What has CAF done to the referees who denied Yanga clear goal. We will never stop blaming you personally for what happened
Mmmmmmh yani siyo viongozi tuu wasiasa wanao tuzengua mpaka wa mpira nao pasua vichwaa hakuna pakuengemeaa ujingaa mtupuu kwanzaa msimpingiye makofii huyuuuu
HUYU AJUI KAMAA ANAJIKAANGA MWENYEWE KWA MAFUTA YAKE,ANAWEZA ASIPIGIWE KURA NEXT TIME ONCE AGAIN
Linafki tu hilo pumbavu kabisa
Kwani ni kina nani walompokea huyo mdhulumati mkubwa malipo duniani akhera kuhesabiwa litimu lake lenyewe ovyooo halikusonga mbele ndo hukumu ya wadhulumat hiyo dadekiiiii😂😂
Dhuruma yake kakosa kwenda hata Final msenge huyo 😅
Mjinga sana huyo kwanza kuonesha jinsi Gani tuliumia uongozi msingempa mwaliko huyo mpuuzi. Yeye ndio mwenye mamlaka ya juu kabisa kwenye mpira Africa! alishindwaje kuipa haki timu inayostahili?
Mkae nae kwa akili huyo
Katuumiza tayari
Kaona kafika kwetu ndo anakubali goli wakati alisabisha mikeka kuchanika kenge hyuyu
Haha
Natamani alipokanyaga, nisije pagusa hata siku moja maana yanitia kichefu
Hana maajabu amalize muda wake aende zake mbele huko,mdomo kama njia ya haja kubwa,Kiko wapi mbona hakuna alicho pata
Yani sasa ndy itasaidia nini mbwa wewe
Nonsense!
The kalio mkubwa we hebu tulia
hajijui huyu analeta kichefuchefu kwetu
NAmsikia tu na simuelew uyo shoga
Mbona kama ajiamini unazani malipo yapo mbinguni awapi apaapa ipo siku nawe utalia kama watanzania tulivyoumia mungu yupo🇹🇿
Watanzania tunalia vipi ,mbn unajumuisha wote,,
@@IssacNtacho Ata wewe unalia kwa kupigwa 7 & 2 kwaiyo kaa tulia kumbuka kexho tunajambo litawafata ukouko 🤣🤣🤣🤣🤣
@@remidusmwanandenje-yy5gs 7&2 zipi hzo,
Kwani kaja Tz kufanya nn Tapeli mkubwa yy shubamiti mzulumishi mkubwa mlaa Rushwa takata hiiiii iondokeeee harakaaaaa
Hahahahahahahaa
eti kama kiongoz huwez kukoment kuwa lile lilikuwa goal kwa sababu ya kananun huyu jamaa ni kibaka wa mpira
😂😂😂
Hahahahahaha 😂😂😂
A true leader
Your speech is magnificent
Our country should be very proud
5years back Tanzania was a dark football county
Now we share ideas with caf president
Tanzania is home of south Africans and all Africans
Welcome mr president and feel to be at home
Huyu ni tapeli wa mpira
Fainali gani
Africa footbool ligi kwa wanawake
Ni finali za Timu za Taifa kwa Vijana. Ngazi ya CAF. Sawa.
Wanafunzi wa shule...😢😢😢
Huyu ni wakupuuzwa
Uzungu mwingi mjomba sisis mashabiki wengi wao shule zetu za mpimbamaze,tulegezee ili tukupate vyema.
Unasema
Leo ili iweje mzee we kausha tu
Lina tabasamu lina jua kabisa goli ila alichofanya anajua yeye na malefa pumbavuu sana ilo jamaa😂
Alichezesha yeye kwani
Kuuu mama mama akeee
Ovyoo
Mnaochangia kwa kumtusi nashindwa elewa ni lugha inawachanganya au vipi.mbona anachoongea musepe safi sana acheni mihemuko football haihitaji mihemuko.
Half minded people hao... lugha haipandi😊😊😊😊
Anatukanwa coz kwa nni hkusema Cku ile ssa saa hii lina nguvu gani kwetu kma goli na malengo ya team ilikua wcheze nusufainal na sio kufahitia fidia hio inauma na kupelekea matusi
Ohhh sasa nimeelewa ni kwanini hii fainali imepelekwa Zanzibar na sio Babati. Ni kwasababu huyu jamaa anakuja kuitazama hii fainali. Hahahahahaha
MngeuliA sasa hilo swal mbona mlikuwa kimya😂😂😂
Naomba uturudishie goli letu
Mshamba shobo. Kwann hakusema siku zote
Hawa Hawana utu tuliwapigania uhuru tuwalaani
Jinga tu hilo
Tanzania, zanzibar ndio nin? Zanzibar ndio iyo iyo Tanzania
2:22
Atuache tusha sahau
Na ili kuonesha namna alivyopuuza the same refa kaamua mechi ya final fala kweli
Hicho ndicho kilichokosewa, kukosea kama refarii ni ubinaadam lakini wakati vipo vyombo vinasimamia vilipaswa kumzuwia japo mechi mbili tatu kuonesha kilichotokea sio sawa.
Matako yako msenge wwe
Fainali ya kitu gani??
Mtieni makofi kdgo
Now if u thought it was a goal why ur organization doesn't take any action until now, there just embarrassing the game of football
Kadi yako ya uanachama Simba sports club inakusubiri mzee Baba..Uliupiga mwingi sana..Karibu msimbazi 😂😂😂
.
K2
Mm sielewi Kuna Tanzania ,na Kuna Zanzibar?halafuna nyinyi Ayo mmeanza lini kuandika kichwa Cha habari ,na kinachoongelewa?
Hapa anadhibitisha tu kwamba Zanzibar inadhulumiwa na Tanganyika. Michezo sio suala la Muungano lakini HAKI zote CAF na FIFA zinabaki Tanganyika. Ili uwe mwanachama wa Jumuiya za Kimataifa ni LAZIMA uwe sovereignty state. Sovereignty state ni Tanzania.
Roho inamsuta
Hahahah........Kaona ajihami mapema kabla ya kuhojiwa 😅😅
Lile halikua goli 😊😊😊
Aibu 😂😂😂
Kamati yake tendani ilitoa maamuzi gani
Kaongea vizur nyie mlitakaje
Falazooo...
Kwani yeye ndo kachezesha yaani vyura bwana😅
😂
Pambaneni na mzoga wenu na kesho tunawafata huko huko arusha
Huna akili pimbi wewe kwan wanaomtukana huelewi wanachokilalamikia ,ushashamba lugha yako ni kiswahili bro kingerza ni utumwa wa fikra
Tanzania bhnaaa 😂😂😂
Mpumbavu
Corrupt football leader