ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

MKUTANO MKUU YANGA | Serikali yaridhia Yanga kujenga uwanja, yaipa masharti

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 มิ.ย. 2024
  • MKUTANO MKUU YANGA: “Tumepokea maombi na tumeridhia kuyaingiza katika mpango wa uendelezaji wa eneo hili la Jangwani” maneno ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa akijibu ombi la Yanga SC kuhusu eneo la ujenzi wa uwanja wao.
    Ni Mkutano Mkuu wa Yanga unaofanyika leo kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere, Dar es Salaam.
    #YangaAGM2024 #YangaSC2024 #YangaSC #AGM2024 #MkutanoMkuuYanga #MkutanoMkuuYanga2024

ความคิดเห็น • 15

  • @YassinGofrey
    @YassinGofrey หลายเดือนก่อน +2

    Hiii Mungu awabark sana serikal

  • @Emmydeo-jm7zy
    @Emmydeo-jm7zy หลายเดือนก่อน +1

    Yang yang bingwa tenaa

  • @MwanahamisiShabani-nk7wm
    @MwanahamisiShabani-nk7wm หลายเดือนก่อน

    Mungu awalinde serikali na hongera uongozi wa Yanga

  • @musasaguti4760
    @musasaguti4760 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika waziri, umesema kweli

  • @AllyKiduka
    @AllyKiduka หลายเดือนก่อน +1

    Jemedari ataharisha uchungu

  • @YassinGofrey
    @YassinGofrey หลายเดือนก่อน +2

    Yanga SC ni Bingwa tena

  • @harithmsiu8980
    @harithmsiu8980 หลายเดือนก่อน

    👏🏽👏🏽good newssss

  • @StanfordMwaipopo
    @StanfordMwaipopo หลายเดือนก่อน

    Naitwa Stanford brown mwaipopo wa mbezi malamba ma wiki nataka kujua kama kweli kizumbi amesajiliwa yanga au amesajiliwa na timu gani maana mpaka sasa sirlewi mara amesajiliwa yanga mara timu nyingine naomba ufafanuzi wa kina Mimi ni yanga ya hers said nawathamini wachambuzi wote hongerebi kwa KAZI nzuri na mungu awabariki

  • @H3s4d
    @H3s4d หลายเดือนก่อน

    Kwa mfumo huu mashabiki wanatakiwa wawe na kadi ili wachangie timu yetu

  • @user-mm9mu5uw4u
    @user-mm9mu5uw4u หลายเดือนก่อน +1

    😊😅

  • @hidnakirungi6546
    @hidnakirungi6546 หลายเดือนก่อน

    Uyu jamaa ni mtu makin sana lkn km umjui utais km kvuli" pambana kiongoz!

  • @VantinMassawe-dh2xf
    @VantinMassawe-dh2xf หลายเดือนก่อน

    Valentin j massawe

  • @adolfutoyi6677
    @adolfutoyi6677 หลายเดือนก่อน

    Kila mtu bingwa

  • @dicksonsimon5734
    @dicksonsimon5734 หลายเดือนก่อน

    😅

  • @mushtaqahmedkadiri2575
    @mushtaqahmedkadiri2575 หลายเดือนก่อน

    Assalaamalaikum mimi naishi Dubai ni Rafiki wa mtangazaji wa kabumbu wa R T D Mr SALIM MBONDE kama kuna mtu anaye mjua huyo rafiki yuko wapi anitumie msg kwenye hiyo e mail yangu na kama Ana namba yake ya mobile tafadhali anytime AHSANTE