Kwa wingi wa wanaume wanaomtumikia Mungu kwa uimbaji hii kwaya imeupiga mwingi kabisa, sijapata kuona, kwaya Nyingi wanawake ndio hua wengi, wanaume unakuta wanakuwa wachache Sana, lakini hii kwaya naona ni kama nusu kwa nusu, watwambie wanatumia mbinu gani kuwashawishi wanaume kuimba ili na kwaya zingine waige mfano huu maana wanaume kama vile hua hawapendi kuimba kwaya makanisani
Afu kweli 😮Sikuwaza hilo mpaka ulivosema wewe 😅.Lazima kuna namna wanafanya siyo bure 🤣🤣🙌🏾🙌🏾🙏🏿. Mbarikiwe sana king’ongo You guys have been my favorite toka enzi zile Kimara sda
Hongereni kwa kazi nzuri but matching imeminywa sana ina shots fupifupi mno but all in all 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Nice to see mwl Mwasomola on da stage, Mwl Nickson big up....keep it up 🔥
King'ongo SDA Choir. Nawapenda Sana, barikiweni kazi KUBWA 💯
Yaan huu wimbo 🔥🔥😍😍 hiyo machi sasa inabariki
Kwa wingi wa wanaume wanaomtumikia Mungu kwa uimbaji hii kwaya imeupiga mwingi kabisa, sijapata kuona, kwaya Nyingi wanawake ndio hua wengi, wanaume unakuta wanakuwa wachache Sana, lakini hii kwaya naona ni kama nusu kwa nusu, watwambie wanatumia mbinu gani kuwashawishi wanaume kuimba ili na kwaya zingine waige mfano huu maana wanaume kama vile hua hawapendi kuimba kwaya makanisani
Hahahaha asante kwa kuliona hilo, kwaya ni uinjilist na watu wamejitoa na wanapaswa kujitoa waume kwa wanawake, Tunashukuru kwa hilo, Mungu atukuzwe.
Afu kweli 😮Sikuwaza hilo mpaka ulivosema wewe 😅.Lazima kuna namna wanafanya siyo bure 🤣🤣🙌🏾🙌🏾🙏🏿. Mbarikiwe sana king’ongo
You guys have been my favorite toka enzi zile Kimara sda
Hongeren jamani nyimbo nzuri na mmeimba vizuri😘😘
Mmenbarkiiii nawakubali namuona asiaa apo kama kawaida yakeee❤❤❤❤❤❤❤❤❤ sanaaaa
Barikiweni sana kwaya ya kimataifa Injili yenu kwa njia ya uimbaji iwafikie wengi na kuwaongoa
Amina Nie
Haleluyaaaa nabarikiwa sana sana nikiwa huku mbali, naona mnatubariki siku kwa siku….
King'ongo I'm speechless jaman. Mungu azidi kuinuliwa juu. Mpo vzr mnoooooooooo
Ebwanaeee hakika hili nijeshi la MUNGU 🔥🔥🔥
Jamani hii kwaya ni nzuri sana .Niko Marekani
Waooo, tumefurahi kusikia kutoka huko.
Nyimbo zeni ni sawa kabisa nathamani mutaimbia mbinguni. Kikoa chenu napenda
@@kingongosdachoir7856to
Jamani nyie ndo mliobaki apo darr mnatikisaaaa mbarkiwwee
Kama Bahari nasi tushuke kwa unyenyekevu ili izidi kujaa Neema, natutaendelea kuleta mahubiri kwa njia ya uimbaji siku kwa siku.
Amen
God bless you kingongo wonderful and beautiful songs
Kazi nzuri, sifa kwa Mungu
Mbarikiwe sna wana wa Baba, Mm na mke wng tumefurahia sna ujumbe
Mbarikiwe sana King'ongo tuombeane soon mambo yetu pia yatakuja mazuri ❤️
Jamani mpo dar sehem gani
Mbarikiwe sana kwa kazi nzuri sana, jina la bwana litukuzwe
Nimebarikiwa mno nawapenda Sana mnatendea haki bando langu
Mtunzi wa nyimbo za kwaya hıı abarikiwe sanaaa, anajua sanaaa
Amina 🙏
Aminaa...powerful
Mmenikumbusha nyumbani. Naja hivi karibuni
Mbarikiwe na Yesu Msabato
Mungu nimwema sana tumia karama yako vyema
Hongera Sana
Amina yesu asifiwe
You blessed us with the song in kariobangi camp meeting and now am back here to look for it
Hongereni Sana nyie ni wafalme wa mziki
Nce nce nce chungu 🔥🔥🔥
Nyungu yabuka mhuu mnawekeza vipaji bwana awajaze zaidi
Barikiweniii saaana waimbaji wa king'ongo
Mkono ulitulia Asante Mungu
Barikiweni sana 🙏🙏
Hongereni mwimbo mzuri sana.
Mungu awabariki kwa Ujumbe mzuri.
Mbarikiwe sana kwa nyimbo nzuri wimbo mzuri ubunifu wa hali ya juu
Mungu awabaliki sana lakin mwenyekit mi naomba tu ule wimbo wa vitu sita
Mnanibariki sana
Wow!!! Glory to Jehova!! Mbarikiwe King'ongo!
Nice voices
Hongera sana
Hello, I love to see you. I am Haitian
Mungu awabariki
Mbarikiwe sana wapendwa
Nawapenda sana, barikiwa sana
Hongera kwaya marafiki wangu. Bwana Yesu awabariki sana
Tunashukuru Pastor
Mbarikiwe watu wamungu nawapenda sana
be blessed sana daima nawapenda King'ong'o
king'ongo mbarikiwe Sana Kwa kazi hii nzuri,
Hongereni kwa kazi nzuri but
matching imeminywa sana ina shots fupifupi mno but all in all 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nice to see mwl Mwasomola on da stage,
Mwl Nickson big up....keep it up 🔥
Asante sana na tumepokea maoni yako
Mbarikiwe Kwa Wimbo Mzurii
🔥🔥🔥🔥
Another One
soon
Its sounds beautiful.....what's the language....🥰🥰
Swahili language
#SwahiliNation
#TANZANIA🇹🇿
Mbarikiwe sana watu wa Mungu nataman kujua mpo mkoa gan
AMINA
Barikiwa Sana msonge mbele
Barikiwa sana
Barikiwa sololist MUNGU akuongezee mara dufu maana umeifanya kwa moyo
Fire vocals, powerful singing, beautiful message
Aminaaa
Continue with your strengths ❤
The song has really blessed me and the vocals are so nice.
I played the song many times until the singers were about to ask for water
BWANA awabariki sana kwa huduma hii, hakika watu wa MUNGU wanabarikiwa
Nyimbo tamu na sauti nzuri. Twashukuru kuwa nanyi SDA Church Kariobangi main - Kenya. Karibuni tena
nice 👍🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu awabariki sana, my favourite choir all the time. Mungu azidi kuwainua
🔥🔥🔥this song, Bwana awabariki
Amina, nimebarikiwa huku Ziwani. Natafuta ule wimbo wa kijaluo unaosema Sibuor kayuda
Kwa kweli Yesu ametukuzwa kwa huu wimbo mutamu❤
Kiwalani
Kutoka ziwani SDA camp 2024 nimebarikiwa
Amen, nice song, nice ujumbe, perfect, keep it up ❤🙏🙏
Hapo mwanzo key ya kuruhusu waimbaji waanze hicho kinanda kimeimba chenyewe nimerudia zaidi ya mara 30
Kazi ya kupenyeza injili kupitia muziki mzuri iendelee. Nyie bado ni Bora miongoni mwa walio Bora.
Tunashukuru na Sifa na utukufu umrudie na ufike kwa Mungu muweza wa vyote kwake yeye ndio tunaweza.
Ameni
Kweli mungu awabariki sana
Nawaombea sana mungu aendelee kuwatia nguvu kwenye uimbaj wenu kwan kwel cm zetu zimeharibu maadil indead
Amen
noma
Englis fepaco nzambe malamu
I love the blended voices and the arrangement though I do not understand the language. Writing from Zambia.
Yesu hatuachi tuharibikiwe kamwee
mchague basiiiiiii
mm nmemchaguaa zamaniiii🙏🙏
Beautiful song, God bless you
Good song
So wesome watching live from mombasa God bless you
Vous chantez tres bien continuer comme ça
Hongereni sana kwa WIMBO huu
Munachanua vizuri na kuimba vizuri mungu awabariki
Jiwe moja tu tandika adui akimye barikiweni kwa ujumbe
Tunashukuru sana kwa WIMBO mzuri❤
jamni Bwana Yesu atukuzweee
anastahili milele
❤
Mungu awe nanyi m ni amos natokea bukoba kagera tz
🎉
Mungu wambinguni awabariki nawapendaaaasana
Praise God for this amazing choir❤
mungu awabariku sana mlifanya vema
Waah! hawa sasa ni moto wa kuotea mbali.
Blessings 🎉 indeed
Nice singing, Nice message. God bless you.
Nawapenda sana na wafata sana apa congo
Karibuni matema beach kyela mby
Ninabarikiwa sana na wimbo huu
❤mbarikiwe sana watu wa mungu
amen
Bwana awazidishie ujuzi wa utungaji wa nyimbo. Mimi niko DRC mjini Goma(SDA Mabanga).
When a pot is broken, it needs to be fixed
Nabalikiwa sana watu wamungu
Amen amen amen amen amen