Marcy mungu amekupangusa machozi hakunatena kulia coz mungu anasem mwenye kunguza mayatima hamenguza mboyi ya jicho lake ndio maana amewatumia mfalume na shasha na oastor kuokoa watoto wako pia wewe, I love you 💕💕 guys with your good job you are doing be blessed always
@ALICEDOREEN-sd4hc kuna kuuza nyanya Gulf which is a big term,but mradi ali invest,mungu azidi kuwa mutetezi wake, though ulimi ilitamka kuuza nyanya in capital letter 😂😂😂😂
mercy hakuenda ng'ambo kujipodoa na kununua nguo kwa shein,akitake picha na pause na kufanya TikTok 😂😂😂 she's brave ...shida ni alipata mwanamme pumbafu
Ila mm niko na swali na si kwa ubaya sisi huku kutoka nje ni shida aliwenza aje kufanya biashara na akiwa kwa waiguru ama ni kemboi sina wakina mwarabu anawenza kurusu ufanye kazi yako mwenyewe nje
😂😂😂nyanya za Saudi SI za kenya😂😂 bt Asante pastor,shasha,mfalme mercy uza hiyo plot ununuwe kwingine usirudi kusema huna wazazi MUngu ni mzazi mkuu Tena waa ya hatima Bora umerudi mamaa jibe moto mama yale umepitiya hku ndyo mazito yap
Mercy amenichanua teamstrong tufungue biashara kenya team sasha n.a. mfalme na pastor nice job mercy be strong 😢
Nikushauri dada kama unaogopa kurudi kwako uza nyumba zako na mashamba nenda mbali kanunue kwengine ujenge ili uwe mbali na adui zako ili wakusahau
Marcy mungu amekupangusa machozi hakunatena kulia coz mungu anasem mwenye kunguza mayatima hamenguza mboyi ya jicho lake ndio maana amewatumia mfalume na shasha na oastor kuokoa watoto wako pia wewe, I love you 💕💕 guys with your good job you are doing be blessed always
Imagine hii ni uongo huyu SI mercy,😂😂😂
This lady she is my cousin na tuko nae apa Nairobi,hii kitu ni uongo
Aki uyo pasta mungu azidi kumupa guvu❤
Wow i like this pastor watching from USA
Mungu awabariki saana 🙏🙏
Be blessedin Jesus name pastor na mfalme
Ghai, pole Mercy kuishi bila wazazi inauma sana 😢pia mm n yatima tuliachwa watatu tukiwa wadogo sana lakini sai we are old i thank God ❤❤
God bless you 🙏🙏🙏
Mungu athidi kuwainua Kwa kazi nzuri
God bless you mfalme
Mungu yupo paster and mfalume mpalikiwe sana mucy mungu atakuaja
Mungu hawabariki sana na hawalinde ❤❤❤
Mercy mungu anakupenda sana
Hongera dada kwa kuja Kuna watoto wako pia usijali mungu yupo pamoja na wewe atakulinda daima
God bless this good pastor for helping Mercy get justice.
Glory to God
Glory b to the living God.
Mercy ni smart sana upstairs 🎉❤
Mungu abariki hao watoto wako
Mbarikiwe sana,,, mercy acha mungu akupe nguvu NEMA kibali,,kila mahali uendapo🎉
Wow that's the day welcome mercy ushughulikie watoto wako na mungu abariji pastor na mfalme family
Mercy ni msupuu sana haki na vile bwana ameoa bb ya watoto watano
Nice job to Pastor,Mfalme n Sasha Mungu awabariki aki
Marcy mungu tu
Akika mungu ni mwema
Polesana my sister 😭😭😭😭😭😭
Pole dada
God is good all the time
Akika mungu ni mwema walai
Congratulation,pastor mfalme kwa kazi nzuri
Kumbe kwakina mercy ni kitale, welcome home mercy
Mfalme kwa kazi mzuri xna
Mercy n karembo kushinda huyo mwanamke mwenye bwana alioa mungu tusaidie sis single mother 😢
Ukiwa na number za mfalme unisaidie nahitaji kuongea now
kazi nzuri jamani❤️🎉🎉🎉🎉🎉 mungu awaongoze kwa kila jambo ,ameen
Wow nice job pastor, sasha and mfalme I'll contact you..... watching from London
We are a family here
Mercy never mind God is our. parent
Mungu tusaidia ss amby tuko inje ya Kenya
Kuna kuuza nyanya means another term to kemboi team strong 😂😂 anyway Good luck Mercy
Apo Kuna kitu😂😂😂😂
@ALICEDOREEN-sd4hc kuna kuuza nyanya Gulf which is a big term,but mradi ali invest,mungu azidi kuwa mutetezi wake, though ulimi ilitamka kuuza nyanya in capital letter 😂😂😂😂
True but with God all things are possible,bora amefanya kitu ya maana
Kemboi *kuuza nyanya*/
😂😂😂😂 kuuza nyanya 😅😅
😢😢😢❤❤❤
But mfalme kwa ukweli hungemkumbusha wazazi 😢
mercy hakuenda ng'ambo kujipodoa na kununua nguo kwa shein,akitake picha na pause na kufanya TikTok 😂😂😂 she's brave ...shida ni alipata mwanamme pumbafu
Mimi nilipenda huyu pastor ma mfalme KWA kuokoa watoto na Mali y huyu dada
Naye mungu wa mayatima ako pamoja na wewe
Mfalime asante kwa kazi mzuri,,,,mko side gani huku Nairobi please
Kemboi wanakuanga na mapeni hapa siri niawana gulf siwezi tambua
ni masetani lakini mungu alisinda
May God bless all of you for standing with Mercy .Mungu awazidishie
Mercy sasa ingia kwa wokovu fully
Marcy be strong sio wewe peke yako ata Mimi napitia hayo mapito
Sorry baby girl
macy ukiogopa unaweza uza na uende mbali utakua sawa
Mumgu ni mwema
Ila mm niko na swali na si kwa ubaya sisi huku kutoka nje ni shida aliwenza aje kufanya biashara na akiwa kwa waiguru ama ni kemboi sina wakina mwarabu anawenza kurusu ufanye kazi yako mwenyewe nje
Sikiza poa story yake
Alikua na rafiki yake Kenya wakifanya biashara pamoja
😂nyanya za Saudi ni 😷Sasa usijali mwarabu akubali ufanye biashara la la ooh kumbe ni kemboi basi eeh jibu umepata
Eti nyanya za saudi😂😂😂😂bt enwei welcome waingo@@salomewamuhu2252
Pole sana dada mung akusaidie na watoto wako
Wacheni MUNGU aitwe MUNGU.
Mercy enda kwa plot yako
Vile nimekuwa nikifuatilia hii story haki nimekuwa nikilia everytime nikifuatilia,but God is good,n auze hizo Mali aende mbali
Aimen aimen 🙏
Mfalme I need your help through pastor, but sa nime jaribu kucall watu na what's up haifanyi, sielewi mercy amekuwa aki communicate aje, natamani Sana
Send me your number here
😭😭😭😭😭
Watu kumi small youtube tupitiane
Ebu ukiweza uhame uko Macy Dio uedele mbele uwachane nawao na uze hizo vitu zako ununue kwingine kma Kwa wezekana
😅😅😅
Mercy kaa unaogopa uzaa ongea na pastor mteja apatikane usonge kwingine.
Mercy please can you be my sister? Ukam tuishi pamoja
Mauwa ya yellow 🟡💛 sio poa kupea mtu next time Sasha buy pink white au red
🤣🤣🤣sawaa
@Sashamfalme yh hata wewe mtu asikupee yellow uchukue dear n vile hukuwa unajua
Kama mnajua maana ya kuuza nyanya ukiwa kemboi Saudi si nyanya za kawai ama ni zile zinauzwa huku
😂😂😂nyanya za Saudi SI za kenya😂😂 bt Asante pastor,shasha,mfalme mercy uza hiyo plot ununuwe kwingine usirudi kusema huna wazazi MUngu ni mzazi mkuu Tena waa ya hatima Bora umerudi mamaa jibe moto mama yale umepitiya hku ndyo mazito yap
Naomba numbers za huyu mfalme
0799121633
Nataka namba mfalme I need to talk with you please 🙏
0799121633
Kama wewe ni Kemboi na hujajiweka vibofozi kila mahali kweli ulienda kutafuta Doo na ulichuwa shida yenye ilikupeleka
With an empty suitcase hii story iko na kipindi mob
Exactly hta Mimi nimeona Iko empty vile pastor ameinuwa😂😂
Was thinking about this nikakimya tu,hiyo suitcase ni kubwa but si heavy
Glory to God
Glory to God