NENO LA SIKU | Mathayo 5 | Maombi Ya Kuvunja Vifungo Vya Maneno | Isaac Javan

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2024
  • Leo tunasoma kitabu cha Mathayo sura ya tano, na tunaenda kufanya maombi ya kuvunja vifungo vya maneno. Katika maisha haya, watu wengi wamefungwa kiroho kwa sababu ya maneno. Inakuwa hivyo kwa sababu maneno yana nguvu ya kiroho ya kubadilisha maisha ya mtu.
    Maneno yakitumiwa vibaya yana uwezo wa kuharibu maisha ya mtu. Katika siku ya leo tunaenda kuomba ili YESU atufungue na kutuweka huru kutoka kwenye kifungo cha utumwa wa maneno. Nakuombea Mungu akutane na wewe siku ya leo, na akushindie kwa utukufu wa jina lake. Mungu akubariki sana na kukulinda. Amen!

ความคิดเห็น • 32

  • @user-fx5ob5bg1z
    @user-fx5ob5bg1z 6 หลายเดือนก่อน +1

    Amen amen 🙏🙏🙏🙏

  • @rhodamwakatundu5226
    @rhodamwakatundu5226 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Yesu

  • @user-om5gn8gx6c
    @user-om5gn8gx6c 6 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu

  • @ispiyvette3664
    @ispiyvette3664 6 หลายเดือนก่อน

    Ameeen ameen

  • @akhalakwalubisia1738
    @akhalakwalubisia1738 4 หลายเดือนก่อน

    Asante yesu amen ❤❤

  • @zenataashura792
    @zenataashura792 6 หลายเดือนก่อน

    Amen Amen

  • @emelinekweka848
    @emelinekweka848 5 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 6 หลายเดือนก่อน

    AMEN AMEN AMEN

  • @yvonnemanisha9267
    @yvonnemanisha9267 6 หลายเดือนก่อน

    Amen Amen 🙏

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 6 หลายเดือนก่อน

    Asante YESU

  • @Deborahdeborah-ee5oe
    @Deborahdeborah-ee5oe 6 หลายเดือนก่อน +3

    Amen ubarikiwe na Mungu wa Ibrahimu kwa kurisha KOndoo za Bwana uzidi kujazwa na Roho mtakatifu asante

  • @hdhjdh775
    @hdhjdh775 หลายเดือนก่อน

    Amen 🙏🙏❤❤

  • @agnesmakena22
    @agnesmakena22 6 หลายเดือนก่อน

    Hallelujah 🙌

  • @Paa4749
    @Paa4749 6 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @cesiliamasumu432
    @cesiliamasumu432 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana sana Baba unazobaraka zako toka kwa Bwana umetuwezesha kusoma. NENO LA Mungu tena na Maombi juu Barikiwa Mtumishi wa Mungu asante

  • @creativepublishers7746
    @creativepublishers7746 6 หลายเดือนก่อน

    Baba ubarikiwe sana kwa huduma njema

  • @zitashio7920
    @zitashio7920 6 หลายเดือนก่อน

    Asante sana mtumishi wa Mungu hakika nimebarikiwa

  • @shanimshana477
    @shanimshana477 6 หลายเดือนก่อน +1

    Amen, ubarikiwe sana mtumishi wa mungu. Asante kwa kutufungua mimi na familia yangu

  • @DorcasAsia
    @DorcasAsia 2 หลายเดือนก่อน

    Amen be blessed ❤

  • @AdrianaProsper
    @AdrianaProsper 6 หลายเดือนก่อน +1

    Amen ubarikiwe mchungaji

  • @DaHasha
    @DaHasha 2 หลายเดือนก่อน +1

    Amina 🙌🏽

  • @serinaserina9639
    @serinaserina9639 6 หลายเดือนก่อน

    Ameen Ameen baba barkiwa kwa somo 🙏

  • @dorcasasia2819
    @dorcasasia2819 6 หลายเดือนก่อน +1

    BWANA YESU asifiwe mtumishi wa Mungu aliye hai asante sana kwa kunifungua macho na kunifundjsha jinsi ya kuomba be blessed servant of God 🙏

  • @vickymacharia3790
    @vickymacharia3790 6 หลายเดือนก่อน

    Shalom

  • @naomi5040
    @naomi5040 6 หลายเดือนก่อน

    Emen

  • @neemalety5600
    @neemalety5600 6 หลายเดือนก่อน

    Mbona no yako haifanyi WhatsApp

  • @DinahDina-sf8qr
    @DinahDina-sf8qr 4 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d 6 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @hawamasomora-os9np
    @hawamasomora-os9np 6 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @mkailivin4050
    @mkailivin4050 6 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @Africanah100
    @Africanah100 6 หลายเดือนก่อน

    Amen