Daaah pole sana Asaa kwa kupoteza mama yko kipenzi na pia hongera kwa kuokoa kijiji chenu Sona nimekuvulia kofia mama,Asante felix na kigotym asanteni sana kwa simulizi nzuri na yenye mafunzo kwa maana mm nimejifunza kitu hapa good job simulizi mix Entertainment,
Mashabiki wenzangu wa simulizi yani mwenzenu sio kuchanganyikiwa kwa hizi simulizi. Yani sitaki hata moja inipite hadi Nimechelewa mwisho wa hii simulizi. Shukran Sana kaka felix
Salam kwa wote waliousika kwenye simulizi hii napongezi kwa company yenye kusimamia nambunifu namzee mzima Mr Felix mwenda kwakweli cmuzi hii imetufunza mambo mengi aswa kua natamaa haifai kuana roo mbaya halikadhalika natuta zidi kuzitupia macho simulizi kusudi kuburudika kujifunza nakujipa moyo wakikua baya kumtendea mwengine cpoa asanteni nyote kaka zangu dada zetu mungu awazidishie kubuni zaidi na zaidi shukran.
Daaah pole sana Asaa kwa kupoteza mama yko kipenzi na pia hongera kwa kuokoa kijiji chenu Sona nimekuvulia kofia mama,Asante felix na kigotym asanteni sana kwa simulizi nzuri na yenye mafunzo kwa maana mm nimejifunza kitu hapa good job simulizi mix Entertainment,
Asate sana simlizi mix fellix mweda Amani kigoye Mbalikiwe sana kwa kazi zuli
Félix mwenda nashukulu kwa kutupa burudani asante ❤❤❤
Asante brother Aman kwa simulizi taam but umeniacha na kiu ya Aman na mwenzie hatukujua maisha yao yamekuaje baada ya kuiba pesa!!!
Shukran kaka felix mwenda na amani kigoye Kwa simulizi mix nzuri
Asante sana baba masauti felix mwenda na mkali wetu amani kigoye mbarikiwe sana
Ahsanteee Amani na ferix nawapenda sannaah
😄😄wewe tuliaa😄mizimu mizimu.
Ok.pongezi kwenu mtunzi wetu na msimuliaji wetu.
Namba 2
Jamna kazi nzuri saner simulizi mix me nawapenda bureee💓💓💓💓
Asante kwa simulizi nzuri🔥♥️
Hii nimeipenda sana. Bonge la simulizi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪😘😘👌👌🎂🎂🙏🙏🙏
Congratulations (wanday na Asa) kuweza kupambania kijiji chenu, hongera mtunzi na shukraan za dhati kwa Felix
Shukrani sana simulizi mix na kaka felix mwenda na amani kigowe kwa kazinnzuri♥️
Safi sana m2nzi imefikia tamati hiii na vip kina Amani maishayaooo
Kijiji chetu aya twende kazi baba
Mmewahi jamn Ahsanten Jamn Kaka Masauti
Daaah mzee chambusa huyoooo
Congrats Kwa KAZI nzuri Felix
Aya jmn tukutane kwenye, ROHO ZA BINTI SITA🔥🔥😐 MZg wa moto kabisa,simulizi mix baba lao
Nazipenda sana simulizi zako filix mpaka sauti yako yaani unavojua kusimulia shukran🙏
Naam!!
Asante kaka Felix na Amani nice story 👌
Mwisho mzur
Shukuran sna msumlzi wetu
asanteni saana tunajifunza mengi
Dah. Tam nilitaman kujua emy na Aman malipo yao yalikuaje😥
Asante sana simulizi mix
Asante sana nimejifunza
Shukran sana 💕
Mashabiki wenzangu wa simulizi yani mwenzenu sio kuchanganyikiwa kwa hizi simulizi. Yani sitaki hata moja inipite hadi Nimechelewa mwisho wa hii simulizi. Shukran Sana kaka felix
nzuri sana asanteni simulizi mix kwakutuelimsha na kutuburushisha piya
Simulizi tamu sanaaa🥰 mwisho mzuli ila at ujajua sona na mume we walipata mtoto
iyo ni kweli wanawake tunaweza
Salam kwa wote waliousika kwenye simulizi hii napongezi kwa company yenye kusimamia nambunifu namzee mzima Mr Felix mwenda kwakweli cmuzi hii imetufunza mambo mengi aswa kua natamaa haifai kuana roo mbaya halikadhalika natuta zidi kuzitupia macho simulizi kusudi kuburudika kujifunza nakujipa moyo wakikua baya kumtendea mwengine cpoa asanteni nyote kaka zangu dada zetu mungu awazidishie kubuni zaidi na zaidi shukran.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mzee Cha mbuso kaingiaa Cha kikeee😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Shukran sana brother
😃😃😃😃😃
@@radhiaomary5591 🤗😄😄
Asante
Asante felix kwa kuitimisha simulizi yetu yenye mafunzo mazuri
Nzr sana❤
Well done Assa kazi iendelee 💪🏼
Shukran
stor nzur sana ila nitmn kuwaon emy na aman likiwakut jmbo
Tumefika mwisho
Asante sana kwel simurizi mix 🥰🥰🥰
❤️❤️❤️❤️🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
VP kuhusu aman na Emmy ilikuwaje
👌
Thanks
💖😍
Dhaa pole Sana Assa pamoja na waddey Kwa kupoteza mama yenu Ila hongereni pia Kwa kukomboa Kijiji Chetu Mungu awe nanyi daima
🥺🥺🥺🙄
Vipi tenaa🤣🤣
💋💋💋💃💃💃💃👍😭😭😭
Aman we kiboko wa story za ajabu na mila potofu wAkomboe wenye mila za kijinga
Shukraan kaka Felix na Amani
Asante