Duniani hakuna mkamilifu, mkamilifu ni Mungu tu. Tuache kuhukumu kila mtu ana dhambi yake. Kaka wa watu yuko vizuri, mashallah. utapata mke usijali. Muda ukifika utapata.
Hadija Kopa Mama etu mzuri sana wa Kizinjibar mwenye roho thabiti lakini tamu is ishafika tena ya kuacha mambo ya kidunia sasa hivi inshaallah lazima to focus na Ahera okay¿thanks
Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu¿ukumbusho kwa waislamu wote na hasa kwa ndugu za wa Kizijibar,nafuteni njia yoyote ile ya kutafuta risk za halali lakini msijiingize katika hambo ya gharamu katika kutafuta kwenu risk kama vile kuimba na mambo mengine hizo ni aamali shaitwan ,tufanyeni wema na dumuabuduni Muumba wetu kama alivyo tusimulia kwenye Qur'an tukiuchezea tuu huu wakati aliotupa tutakwenda kulia kilio kisichonyamazika,tunako elekea kuna mawili tuu Janaah au Jahanamu,Shukran..
Kweli namuelewa kwasababu nilimsomesha skuli ya Rahaleo.cema hawezi kunijuwa miaka mingi sana ss kaishi katia maisha magumi.acha ajidai .m.mungu hamtupi mja wake.
@travelstylish nurse Sikushangai Hujui Ukisemacho ZANZIBAR Tuna Rais Wetu Mawaziri Wetu Baraza letu la Wawakilishi( BUNGE) Mahakama KUU Vitambulisho Vya Mzanzibari na Katiba ya ZANZIBAR So Ukerewe na Mafia ndio Visiwa Zanzibar ni Nchi
Polen sana maana chote mumeangamiya hakuna hata wakumsomeya mwezake duwa maisha ya duniya yamewahadaa sana km c waislam namenye aklzake tmamu hamuozeshi mwazawe ukoo huo
Tuombeane mwisho mwema tuu. Hata ukimuona mwenzako anakosea dhahir shahir, jukumu LAKO la kiimani ni kumuombea Dua na kujiombea na wewe ILI usikutwe na Hilo Jambo baya. Aijuae kesho ni MUUMBA tuu 🙏
@@ALIMOHD-bk9lr nkwel ila wamezd daima mama huwaongoza watt wake njiya njema ya kwenda pepon ilaajabu ya huyu bb yy anasimama kdete kuwapoteza watt wake inaskitsha sana
Zuchu nmetembea nae kipind nakaa jran yake ila kwa sasa nipo mwanza hata namba zake sina alafu DM hajibu sms zangu na nikikumbuka hatujawah kukosana 😭😭😭😭😭
Khadija kopa ni mtu mwenye imani sana na mkareem saana ..Allah ampe afya na furaha yarabb
Ameen yarabi
Amin
Ook and I
Amin rabby amin
Mashallah kaka yake zuchu ume fana na mama yako kweli
Mtoto anamzungumzia vizuri sana mzazi wake Good thing ana appreciate mama yao kapambana kuwalea
Mashaallah bro mungu akuzidishie umrii mrefuuu
Big up to Suma....mshkaji yuko real....Nimeinjoy sana interview
mshikaji nimemkubali,hana shobo anajieleza vizuri yaani safi sana kaka
Wah ! Am learning alot of Swahili ..Shobo ni show off ama ? Haki Tanzania
Haaa haaaa Shobo mimi sijuwi nini maana yake neno jipya hilo kwenye Kiswahili...
@@NehemiahRotich its street language which means being too erratic and flattery 😆.
@@jumahamis227 Wow thanks
Mungu ajaalie siku moja mufanye maamuzi ya kuacha kuimba, mziki mtihani.
Kweli kabisa
Kivip
Kwel kabisa
Kbs
Kabiasa waache wamtumikoe mungu tu
Ndio Suma kitambo sana mwanangu Salute from🇩🇪🇩🇪
Duniani hakuna mkamilifu, mkamilifu ni Mungu tu. Tuache kuhukumu kila mtu ana dhambi yake. Kaka wa watu yuko vizuri, mashallah. utapata mke usijali. Muda ukifika utapata.
Jamaa kaongea fresh Sana ndio Maisha Binadamu tunatoka Mbali sio nyie tupo wengi tumeanza kula ngumu lakini Mungu ni mwema saivi Afadhali kidogo
Safi sana.
Jama anajieleza vizuri sana
Tumefurahi sana kuona story ya Zuchu
Mchabga Og Shukran
Nimependa jinsi anavyojibu maswali
Hadija Kopa Mama etu mzuri sana wa Kizinjibar mwenye roho thabiti lakini tamu is ishafika tena ya kuacha mambo ya kidunia sasa hivi inshaallah lazima to focus na Ahera okay¿thanks
Kafanana na mama yake kabisa
Nakupenda sister duu
Legendary of zenji flava
Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu¿ukumbusho kwa waislamu wote na hasa kwa ndugu za wa Kizijibar,nafuteni njia yoyote ile ya kutafuta risk za halali lakini msijiingize katika hambo ya gharamu katika kutafuta kwenu risk kama vile kuimba na mambo mengine hizo ni aamali shaitwan ,tufanyeni wema na dumuabuduni Muumba wetu kama alivyo tusimulia kwenye Qur'an tukiuchezea tuu huu wakati aliotupa tutakwenda kulia kilio kisichonyamazika,tunako elekea kuna mawili tuu Janaah au Jahanamu,Shukran..
Umenena booo wa malhayatu ddunya
Hakika kaka
Hamna mtu mwembamba shida tu zinatuendesha lkn Allah kareem one day yes
Smart Guys Tuliobaki Tanzania Kama Sio Afrika ni Mimi Na Huyu Mwamba..! We Do Live Our Life
Kaka unasautii y utangazaji ❤️❤️
Ndy
Leo hii malkiya wa bng fleva zuchu
Young Zuchu is so beautiful 🤩
Mungu amhifadhi
Jamaa yuko Real ukizingatia alikuwa anakula jani watu wa hivi hata wakiacha uwa wanakua straight😀😀😀😀
Hahahaa
Ñimempenda Sana.....mkweli hana maringo💙
Sasa yeye kasema ukweli interview yake...watu wengine wamewatafsiri vibaya.... Dunia hii....
Jamaa Yuko vizuri Sana 👍🏼👍🏼👍🏼
Mashallah Allah Barik Family Ya Babu Yangu.
Kaka kamfanana sana na mama yake Hadija Kopa.
Sana yn
Home sweet home Kwaalinatoo,Melanin media @suma kopa 🤩🥰💯💥🙏
Nyumbani ni nyumbaniii😍😍😍
I see ile nyimbo ya Sister duu hadi leo nimetoka kuiangalia... 🙏
Kwaiyo zuchu anauri gani
Hata mim bro..Ile ngoma naikubal Sana haichuji
Hilo Neno, Uwaa. Mjamaa hakushika kitu. Kiswahili kitamu sana, ukikielewa.
Haya mambo mengine hata hayaeleweki au mama hakuwa makini,Zuchu alipozaliwa bi Khadija alikuwa super star so Zuchu alitakiwa kuwa mtoto wa ki-sure
Mziki zaman ulikua haulipi
Taarab ilikua hailipi kihivyo ndugu yangu
Tatizo umeanza kufuatilia mziki Diamond ameshakuwa Star.
@@jabirnext 😂😂😂Ni kwelii itakua hivyoo!!
@@jabirnext kwakweli hahahahaha
All the best.
Twapenda vitu positive
Sharot sana Broo numekukubali Bure 💯🙏💯💯💯
Kaka km kaka 💪💪💪💪💪
Safi kijana unajua kujieleza
Zuchu 💓
sister duu ni hit song kwenye zenji flavour
Kafanana na mama yke hafi jicho
Gang Star wa Zanzibar 🤗💯🔥
Mashallah
Kweli kabisa kila kitu kina mwisho kikubwa kupambana na kuwa na iman natuzid kumuomba Allah
Waach na kuimb mziki ni haram
Baba nilikuwa naikubali sana kazi yko ya Sister du yn kpnd kile ww ni Star Suma kopa pembn kira kirami Umeupiga mwingi
Mwanangu nakukubali maneno mazima kabisa
mchizi li2tesa na ile ngoma ya "sister duu"
big up @sumakopa
Suma Kopa 👍
Safi sana wasafi mko juu
Kweli namuelewa kwasababu nilimsomesha skuli ya Rahaleo.cema hawezi kunijuwa miaka mingi sana ss kaishi katia maisha magumi.acha ajidai .m.mungu hamtupi mja wake.
Kusema ukweli huyu jamaa anajibu maswali vizuri kuliko korosho
Mtnt
NAMPENDA SANAAAAA.....#ZUCHU...Maashaallah
Mungu ni MWEMA
Hivi Khadija kopa ana watoto wangapi
Namafahamu San huyo Dogo asitusahau tukija hko Dare-eslam
nimemkumbuka classmate wng Asha apo nyuma kwa mzee masoud
Asha chifu 🤣🤣
❤❤❤❤❤❤
Zuchu 🔥🔥🔥
Kaka mzuri na mkweli
Khoo nimependa bureee sasa kashaoa au bado na hao walokuwa wanakataa posa washamba wajui maana ya usanii
Suma nimesoma nae mwembe shauri skul
ZUCHU 🤩💖
💅🙏
Mm nipo na hadija kopa ni mama kma mamangu so cmuogopi baly na muheshimu...leteni iyo posa kenya 🥰
Ushayamaliza ww ailete uku kwetu Kenya😂😂
@@fatumahassan1371 kabsa
Zuu mzuriii
Nzuri sana
Mashallah sura yake kama ka kibwana.
Dah maisha jmn watu wanatoka mbali
Yes real bro tuwakilishe kitaani kwetu kwaalinatu
Kaka una sauti ya kua mtangazaji kipaji icho kitumie kaka suma
my lovelly county .........zanzibar ma home
noooooooo
Zanzibar kubaya
@@nilansaid2927 hhh kwani nani kakwita
@@nilansaid2927 Tunashukuru na ubaya wetu
@travelstylish nurse Sikushangai Hujui Ukisemacho ZANZIBAR
Tuna Rais Wetu Mawaziri Wetu Baraza letu la Wawakilishi( BUNGE) Mahakama KUU Vitambulisho Vya Mzanzibari na Katiba ya ZANZIBAR So Ukerewe na Mafia ndio Visiwa Zanzibar ni Nchi
Mashaallah kaka yake zuchu
Nic
Amefanana na Mama yk
sana mamake mtupu
@@rahimalewe2835 😊😊
maa shaa Allah
Polen sana maana chote mumeangamiya hakuna hata wakumsomeya mwezake duwa maisha ya duniya yamewahadaa sana km c waislam namenye aklzake tmamu hamuozeshi mwazawe ukoo huo
Tuombeane mwisho mwema tuu. Hata ukimuona mwenzako anakosea dhahir shahir, jukumu LAKO la kiimani ni kumuombea Dua na kujiombea na wewe ILI usikutwe na Hilo Jambo baya. Aijuae kesho ni MUUMBA tuu 🙏
@@ALIMOHD-bk9lr nkwel ila wamezd daima mama huwaongoza watt wake njiya njema ya kwenda pepon ilaajabu ya huyu bb yy anasimama kdete kuwapoteza watt wake inaskitsha sana
Sahihi
@@official_yuram6711 umeonaee
Ww unaehukumu utajua Kama utaenda pepon?.achen kuhukumu mungu ndo atajua mwisho wake
Uswahili mwingi sana hwa kumbe
Zanzibar...
Familia nzima haijielewi,murudi kwa Allah kama sio ivo moto wa Allah unawasubiri
Pitia na hapo bomani kwetu usalimie majirani 😉😁❤🇨🇭🇹🇿
Umehama bomani?
Jamani na me bomani nimekaa
@@nurually8466 oooh pia mimi baba yangu alikuwa polisi
@@nurually8466 ata mm pia
Wapi alipo sema awasaidi
Gansta wa Zanzibar
We are enjoying exposing People. This is all about!!!!!!
Kafanana sana na baba yake kibwana
Big up brother
Zuchu nmetembea nae kipind nakaa jran yake ila kwa sasa nipo mwanza hata namba zake sina alafu DM hajibu sms zangu na nikikumbuka hatujawah kukosana 😭😭😭😭😭
Weee kweli msenge,kwa hiyo Kama umetembea nae unataka iwe matangazo? fala weweeee
Bado uNaweza temBeaaa naeeeeee mbnah
😅😅😅daah nacheka lkn naumia
@@leahfanuel254 😀😀😀, imebidi mimi nicheke comment yako et
Yaaaani we huna akili ata kidogo
Njoo unioe
sistaduu hee kali hio ngoma
uko vizuri una maringo mtu pis suma kopa
Enzi zangu za utotoni tulikuwa tunachota maji hapo jirani kwa khadija kopa
Umefanana na mama ako
Babu umekuwa bonge mashallah
Zanzibar kama 🇴🇲
Mh
@@umakramzahor4836 😀😀😀😀😀😉😀
Hahaha kama suwaq
😘😘umenikumbusha mbali
Akojenga nyumba wakaa kwa mzee wko
Suma nakukumbuka tulikua jirani nyumba yenu jirani na na bimwana kwao nyanyaa kundembaa.. unaongea ukweli mlitoka mbali......
Huyu kk mzur km mm yake
Jamaa amekaa kilaini sana yani kama naniliu vile ...
@@kitomondo 🤣🤣🤣si ameiga mwili wa mazaa
Hahaa mpe K basi
@@kitomondo 🤔🤔🤔
Jaman maixha yana badilika
jama anajielezia vidhuri sana wallah hadi rah
Itapendeza Zaid zuchu na mama hadija muiboreshe nyumba iko poua
Nawapenda mnoo
Hiyo nyumba ameijenga Bi Khadija peke yake wakati Zuchu bado ndio kwanza mchanga mpaka ime maliza Zuchu bado hajaanza ata kuimba bado mdogo .
Anaishi Dar, hii amepangisha
VP sidey
We ndezi weee
Ni kwa Ali Natu na siyo Ali Natu unaanza na neno "Kwa Ali Natu"