Watanziani ni watu waajabu sana vitu kama hivi divyo vya kuvipa masikio na kujifunza kitu kwa maisha but wao wako tu na kiki za hamo na kajala,naumbea sijui nani kawaroga wa tz nashagaa
Brother KP bhana kwanza hongera kwa mwanzo mzuri wa kutufanya Tanzania kuwa na kiwanda Cha gari. Hata hivyo natamani serikali yetu wangeliona hili na kukuwezesha kuwa na production kubwa itakayotoa ajira nyingi na ujuzi mkubwa kwa vizazi vijavyo....
Brother Masoud wazo lako ni zuri Sana tatizo letu tuna tamaa Sana na hatutaki tujishughulisha, pia umesahau maisha wazazi wetu waliyotupitishia na many wrong people waliotuunganisha nawo
Trust me.. huyu mwamba anakuja kua the next billionaire na haitachukua mda sana tukumbuke mafuta yamepanda na kdg umeme ni rahic so ni bonge la fursa
Mzee watu hawaamini vya hapa kumbuka pikipiki za umemw na guta za umeme zimejaa
Thanks Sns mrudishe tena ktk kipindi hatujatosheka tafadhali humble, Smart guy (masoud , masoud)❤🇨🇭🇹🇿
Watanziani ni watu waajabu sana vitu kama hivi divyo vya kuvipa masikio na kujifunza kitu kwa maisha but wao wako tu na kiki za hamo na kajala,naumbea sijui nani kawaroga wa tz nashagaa
This plan is amazing. Ni kuwa na watu ambao wanandoto kwa ajili ya wengine. Shida viongozi wetu ni watu wa maofisini tu.
Masoud Ana uwezo wa Ajabu• watu Kama hawa wanakufa na utajiri mkubwa zaidi ya vitu wanavyo viacha duniani.
Upo SAHIHI 💯🤝
Sikuwahi fikiria hata siku moja kama huyu jamaa ana akili ya ajabu kias hiki💥💥💥💥
Big Up KP Clouds huyu jamaa mpeni hata Ukurugenzi hamtajutia ubunifu wake
Intelligence mindset
Brother KP bhana kwanza hongera kwa mwanzo mzuri wa kutufanya Tanzania kuwa na kiwanda Cha gari. Hata hivyo natamani serikali yetu wangeliona hili na kukuwezesha kuwa na production kubwa itakayotoa ajira nyingi na ujuzi mkubwa kwa vizazi vijavyo....
Akili kubwa sema wachawi walikuwa wengi waziba ridhik naamanisha
Nakukubali sana masudi biology nakufatilia
Akili kubwa sana uyu jamaa aise yaan nimeinjoy sana kumsikiliza wooow 💪
Multitalenented
Brother Masoud wazo lako ni zuri Sana tatizo letu tuna tamaa Sana na hatutaki tujishughulisha, pia umesahau maisha wazazi wetu waliyotupitishia na many wrong people waliotuunganisha nawo
Great mind
genius
Mashaallah 👍
Great minds
Genesis
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Unaakili sana
masoud you are a genius
Kujua kama ulie Nae anakupenda kweli
th-cam.com/video/NgLIUH1CDE4/w-d-xo.html
Tumepata madini si haba 💕🙏
F
pt 4 tafadhali... Ouuuuuufffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffff
Nchi hii ngumu sana Kipanya
Never give up
Son unos X18TINDER.Uno de Losj mejores ❤ Mañas no se la. .