Masoud Kipanya ana ndoto za kuanzisha mji (city) wake, hivi ndivyo atakavyofanya - Part 3

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 31

  • @francismwacha253
    @francismwacha253 2 ปีที่แล้ว +5

    Trust me.. huyu mwamba anakuja kua the next billionaire na haitachukua mda sana tukumbuke mafuta yamepanda na kdg umeme ni rahic so ni bonge la fursa

    • @buchanagandirwabahenga2950
      @buchanagandirwabahenga2950 2 ปีที่แล้ว

      Mzee watu hawaamini vya hapa kumbuka pikipiki za umemw na guta za umeme zimejaa

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 2 ปีที่แล้ว +2

    Thanks Sns mrudishe tena ktk kipindi hatujatosheka tafadhali humble, Smart guy (masoud , masoud)❤🇨🇭🇹🇿

  • @ramasonkalujefa4620
    @ramasonkalujefa4620 2 ปีที่แล้ว +3

    Watanziani ni watu waajabu sana vitu kama hivi divyo vya kuvipa masikio na kujifunza kitu kwa maisha but wao wako tu na kiki za hamo na kajala,naumbea sijui nani kawaroga wa tz nashagaa

  • @dr.sarahbusongo
    @dr.sarahbusongo 2 ปีที่แล้ว +2

    This plan is amazing. Ni kuwa na watu ambao wanandoto kwa ajili ya wengine. Shida viongozi wetu ni watu wa maofisini tu.

  • @gsmartcreation5655
    @gsmartcreation5655 2 ปีที่แล้ว +5

    Masoud Ana uwezo wa Ajabu• watu Kama hawa wanakufa na utajiri mkubwa zaidi ya vitu wanavyo viacha duniani.

  • @boas_bj
    @boas_bj 2 ปีที่แล้ว +3

    Sikuwahi fikiria hata siku moja kama huyu jamaa ana akili ya ajabu kias hiki💥💥💥💥

  • @dismasruga1568
    @dismasruga1568 2 ปีที่แล้ว +1

    Big Up KP Clouds huyu jamaa mpeni hata Ukurugenzi hamtajutia ubunifu wake

  • @daudintoke3733
    @daudintoke3733 2 ปีที่แล้ว +4

    Intelligence mindset

  • @boazmasha5251
    @boazmasha5251 2 ปีที่แล้ว +1

    Brother KP bhana kwanza hongera kwa mwanzo mzuri wa kutufanya Tanzania kuwa na kiwanda Cha gari. Hata hivyo natamani serikali yetu wangeliona hili na kukuwezesha kuwa na production kubwa itakayotoa ajira nyingi na ujuzi mkubwa kwa vizazi vijavyo....

  • @hildpaul7823
    @hildpaul7823 ปีที่แล้ว

    Akili kubwa sema wachawi walikuwa wengi waziba ridhik naamanisha

  • @MARAMBOTv
    @MARAMBOTv 3 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana masudi biology nakufatilia

  • @miriamngosha6856
    @miriamngosha6856 2 ปีที่แล้ว +1

    Akili kubwa sana uyu jamaa aise yaan nimeinjoy sana kumsikiliza wooow 💪

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 2 ปีที่แล้ว +3

    Multitalenented

  • @dikodikson559
    @dikodikson559 2 ปีที่แล้ว +1

    Brother Masoud wazo lako ni zuri Sana tatizo letu tuna tamaa Sana na hatutaki tujishughulisha, pia umesahau maisha wazazi wetu waliyotupitishia na many wrong people waliotuunganisha nawo

  • @napster2558
    @napster2558 2 ปีที่แล้ว +2

    Great mind

  • @allyammar5409
    @allyammar5409 2 ปีที่แล้ว +3

    genius

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 2 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah 👍

  • @napster2558
    @napster2558 2 ปีที่แล้ว +2

    Great minds

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc 2 ปีที่แล้ว +2

    Genesis

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @mariamndimbo8833
    @mariamndimbo8833 2 ปีที่แล้ว +1

    Unaakili sana

  • @danielmalle9395
    @danielmalle9395 ปีที่แล้ว

    masoud you are a genius

  • @ladysasty
    @ladysasty 2 ปีที่แล้ว

    Kujua kama ulie Nae anakupenda kweli
    th-cam.com/video/NgLIUH1CDE4/w-d-xo.html

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 ปีที่แล้ว +1

    Tumepata madini si haba 💕🙏

  • @samylvnabil1557
    @samylvnabil1557 2 ปีที่แล้ว

    F

  • @mytelecom2019
    @mytelecom2019 2 ปีที่แล้ว

    pt 4 tafadhali... Ouuuuuufffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffff

  • @nekashash2190
    @nekashash2190 2 ปีที่แล้ว

    Nchi hii ngumu sana Kipanya

  • @shazilimatola229
    @shazilimatola229 2 ปีที่แล้ว

    Never give up

  •  2 ปีที่แล้ว

    Son unos X18TINDER.Uno de Losj mejores ❤ Mañas no se la. .