Ndege ya rais izidishe mzigo kweli.? Na kweny hiyo ziara hakua peke yake ziilikua zaidi ya ndege 3 ila zingine zilipita salama ktk hiyo hiyo anga.. kuna mengi nyuma ya pazia ambayo sio rahis kuweka wazi
@@ce-08 ni kweli ila wenzetu israel wana kikosi hatari kinaitwa #mosad hichi kikosi kazi yake kubwa ni kufanya zile oparation ngumu na wana ujuzi mkubwa mno mno ktk kutekeleza kazi zao na wana mtandao mkubwa.. wakifanyaa jambo mpka uje uwagundue sio leo ni miaka mingi
Wewe ni umbwa sana,, laana ya Israel na YESU, waachie wenyewe watamalizana siku za ziki kuu, mkristo wa neema hapaswi kumlaani Israel. Sbb,, MUNGU alituonya tusimlaani yakobo na kizazi chake, bali tumwombee, na kum'bariki.
How uzito bro 😂😂😂 helicopter inaweza nyanyua gari😢 kwa mawazo yangu madogo nazan Iran wanaisi kusema ukwer kwmb israel kausika ni kuonesha uzaifu kuwa jeshi lao halipo tayari kikamilifu kivita
Sisi waanga wa msiba huo tutakukumba haswa kaliakoo nzima tuko nanyi maana waarabu mmeieshimisha kaliakoo bila nyie sisi na wazungu tusinge weza kuleta maendeleo
Ee Mwenyezi Mungu zibariki nchi za afrika na amani yake.
🇹🇿 Tanzania
🇰🇪 Kenya
🇺🇬 Uganda
🇷🇼 Rwanda
🇧🇮 Burundi
🇸🇴 Somalia
🇪🇹 Ethiopia
🇿🇦 Afrika Kusini
🇳🇬 Nigeria
🇬🇭 Ghana
🇨🇮 Ivory Coast
🇸🇳 Senegal
🇲🇱 Mali
🇲🇦 Morocco
🇪🇬 Misri
🇩🇿 Algeria
🇹🇳 Tunisia
🇱🇾 Libya
🇸🇩 Sudan
🇸🇸 Sudan Kusini
🇨🇩 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
🇨🇬 Kongo-Brazzaville
🇦🇴 Angola
🇿🇲 Zambia
🇲🇼 Malawi
🇲🇿 Msumbiji
🇧🇼 Botswana
🇳🇦 Namibia
🇱🇸 Lesotho
🇸🇿 Eswatini
🇲🇬 Madagascar
🇲🇺 Mauritius
🇸🇨 Seychelles
🇰🇲 Comoros
🇨🇻 Cape Verde
🇬🇶 Equatorial Guinea
🇬🇦 Gabon
🇨🇫 Jamhuri ya Afrika ya Kati
🇨🇲 Cameroon
🇹🇩 Chad
🇳🇪 Niger
🇧🇫 Burkina Faso
🇧🇯 Benin
🇹🇬 Togo
🇱🇷 Liberia
🇸🇱 Sierra Leone
🇬🇲 Gambia
🇬🇼 Guinea-Bissau
🇬🇳 Guinea
🇲🇷 Mauritania
🇪🇷 Eritrea
🇩🇯 Djibouti
🇸🇴 Somalia
Ameeeeen
Aamin
Ila Somalia Umerudia😂
Amen
rajabukipara3008 watu mko makini
Siyo kweli hii wanataka kupoteza aibu na uzembe uliojitokeza
Kweli
@@PUTINN365ukweli utajulikana baada ya miaka kazaa.
My Frend ibrahim rais❤❤
Ndege ya rais izidishe mzigo kweli.? Na kweny hiyo ziara hakua peke yake ziilikua zaidi ya ndege 3 ila zingine zilipita salama ktk hiyo hiyo anga.. kuna mengi nyuma ya pazia ambayo sio rahis kuweka wazi
Labda huko kwenye kuzidisha mzigo lakini kwenye ajar inamtokea mara kibao mwenzio kapta salama wewe unashindwa kupitia na eneo ni lile lile
@@ce-08 ni kweli ila wenzetu israel wana kikosi hatari kinaitwa #mosad hichi kikosi kazi yake kubwa ni kufanya zile oparation ngumu na wana ujuzi mkubwa mno mno ktk kutekeleza kazi zao na wana mtandao mkubwa.. wakifanyaa jambo mpka uje uwagundue sio leo ni miaka mingi
Uzuri mungu ndoanahusika na hali ya hewa .. tutajua tu, twendeni pole pole na taarifa wameitoa wenyewe,
Mungu wa islael ndiye aliyemtandoka huyu jamaa maana Mungu ndo anausika na hali ya hewa.
Wewe pambana na Mungu wako wa AFRICA baadae umtafute na Mungu wa Tànzania alafu umtafute Mungu wa Mkoa wenu
😂😂,,,😂😂😂😂😂@@kombosalehe9787
Jingawew ATI mungu wa israeli
Mjinga moja wew😏
Wameaminishwa vibaya. Soma mathayo 21-33 . Utajuwa uwepo wa MUNGU bado upo kule? Taifa la MUNGU ni TZ kwa Sasa ila wengi hawajajuwa watajuwa tu.
Uzembe wa hali ya juu kwa Iran
IRAN WANA KITU KAMA DHARAU HIVI KW MTAZAM WANGU UKO HIVYO HAWAKO MAKIN SANA MAAN MHM AJALI YA KIZEMBE KABISA.
Sababu nyepeeeeees kweli kweli ambazo hazina hata mashiko. Yaani hii taarifa unaweza kusema ni za ki intelligence kweli?
Bull shit. Aibu tupu.
Acha uongo ndege iyo inauwezo wakubeba watu 8 na ndio waliokuemo aya ao wengine wako wapi
Izraelii wana wa Mungu ndio walimpeleka kuzimu
🎉🎉🎉 haaa😢
Kariwa. Kichwa. Israel ni mbwa sana
Wewe ni umbwa sana,, laana ya Israel na YESU, waachie wenyewe watamalizana siku za ziki kuu, mkristo wa neema hapaswi kumlaani Israel. Sbb,, MUNGU alituonya tusimlaani yakobo na kizazi chake, bali tumwombee, na kum'bariki.
Tayari kazi imeisha,, tulo hai tuendelee na safari.
Ukijikuta mbabe hakikisha na akiki unazo..mweye akili ni mwenye akili tu😂😂😂
Mm Nina wasiwasi says na hawa iran ,wanatumiwa na marekani hawa ,kudsi Wana ugomvi na marekani siokweli,wanafahsmiana hawa
Hakuna Lolote nimbinu za Marekani Na Israeli tu lakini ndio hivo
Netanyahu mwogope sanaaa amasi wqnajuta
Islaeli
Ww unahisi wangekuja na majib gan?
Nanlii
How uzito bro 😂😂😂 helicopter inaweza nyanyua gari😢 kwa mawazo yangu madogo nazan Iran wanaisi kusema ukwer kwmb israel kausika ni kuonesha uzaifu kuwa jeshi lao halipo tayari kikamilifu kivita
Hii nikwel au 😢😢😢😢
Wameficha ukweli
Nchi za kislam comedy sana
Sisi waanga wa msiba huo tutakukumba haswa kaliakoo nzima tuko nanyi maana waarabu mmeieshimisha kaliakoo bila nyie sisi na wazungu tusinge weza kuleta maendeleo
Una uhanga gani 😂na huo msiba wa Rais wa Iran 😂
Yaani unakula ugali na mlenda kama mimi alafu unajiita mhanga wa msiba wa Rais wa Iran 😂😂
@@zebedayokatamaduni9676 saws
Wakali wa hizi kazi ndo wamemuua. Iran dhaifu sana.
Alafu bado unataka ukapigane na Israel
Wauaji walitumia akili sana,na walihakikisha hakuna mtu wa kupona
iran maneno tu ila kuna viongizi wangazi zajuu wanazungukana nimachawa wa American
Yani acha tu nicheke... Hii ndo nchi ambayo waislamu huwa wanaitegemea ili ije imchape Israel... 😂😂😂
aibu nzito 😂😂😂
Kufilana tu apo bongo
Huu ni utapeli wa America aiseee hii ni ajari ya kuseti kabisa
Dhu sma alikwenda wapi
Sio kweri watazidishaje mzigo kwani ao walio kuwa umo ni makonda wadaladala awajui idadi rasmi ya mzigo kwenye ndege kauliwa uyo
😂😂😂😂 eti ni makonda
Hiyo ni kazi ya kiddon aka nncha ya mkuki
Aliuwawa huyo
Stories
Masubi... Iam a big fan but this is 🐂💩