Israel pamoja na vituko vyake vya kuua Raia na viongozi wakubwa.Bado Iran inawadharau sana tena wala hampi uzito wowote.1-Kitendo cha kiongozi wake mkubwa kabisa nchini Iran kuswali swala ya ijumaa eneo la wazi tena ikiwa imetangazwa siku kadhaa waziwazi nikujiamini kukubwa sana.2-Rais wake kuenda Doha Qatar waziwazi tena huku nchi yake ikimimina mabomu israel Na Akaenda kukaa siku mbili kufanya vikao tena vinavyotangazwa.3-Leo waziri wao wa mambo ya nje kuenda Lebanon makusudi huku israel ikiwa imepiga marufuku kutua ndege yoyote ya iran hata ya Abiria.Huu ni uchujaa wa kiwango cha juu sana
Umeona wapi urusi na China wakiseka wamemsaidia iran silaha au wanajeshi? Mashoga ndio wanasaidiana wao kwa wao. Iran ni vidume wanatengeneza silaha wenyewe
Unaumwa wewe. Marekani inamtegemea myahudi kiteknorojia, wakuu wa kijeshi nchi nyingi duniani wanasoma pale Israeli hata Tanzania maafisa wetu wa kijeshi huwa tunawapeleka israeli kusoma
Wew haujui unachokisema na haujui maandiko embu ngoja nikufundishe (Ezekiel 39)Mungu hajawah kusema uongo na ni lazima urusi iungane na mataifa mengine ili wawe na nguvu Kisha kupitia Israel ndo Dunia itajuwa kuwa Mungu yupo na taifa hilo
Wamebaki 20,000 tuu washauwawa sana mwaka huu
BACHUNYA family Iran❤
Akili huna vyanzo ulivyotumia ni uongo vitu vya jesh huwez kuvijua
haha
Iam dom ainampa makombora ya iran kwanina fathaa yamepita nakushambuliwa.j
Israel pamoja na vituko vyake vya kuua Raia na viongozi wakubwa.Bado Iran inawadharau sana tena wala hampi uzito wowote.1-Kitendo cha kiongozi wake mkubwa kabisa nchini Iran kuswali swala ya ijumaa eneo la wazi tena ikiwa imetangazwa siku kadhaa waziwazi nikujiamini kukubwa sana.2-Rais wake kuenda Doha Qatar waziwazi tena huku nchi yake ikimimina mabomu israel Na Akaenda kukaa siku mbili kufanya vikao tena vinavyotangazwa.3-Leo waziri wao wa mambo ya nje kuenda Lebanon makusudi huku israel ikiwa imepiga marufuku kutua ndege yoyote ya iran hata ya Abiria.Huu ni uchujaa wa kiwango cha juu sana
Na Iran Bila urusi na china Hamna kitu😂😂😂
Yy anatenge na kuuza amuone netanyau kila anapo utubiya bunge irani
Umeona wapi urusi na China wakiseka wamemsaidia iran silaha au wanajeshi? Mashoga ndio wanasaidiana wao kwa wao. Iran ni vidume wanatengeneza silaha wenyewe
Iran na urusi zote zina nguvu ndugu Nadhani Iran kama haongpzi kuwa ma newclear bomb ni watatu duniani
Muamdish hujui chochot ,hv istael anavyopmabn kila sik itakuwaj awe ana silaha chache ?
Israaaelii bila baba yao marekani ni hamna ktu
Unaumwa wewe. Marekani inamtegemea myahudi kiteknorojia, wakuu wa kijeshi nchi nyingi duniani wanasoma pale Israeli hata Tanzania maafisa wetu wa kijeshi huwa tunawapeleka israeli kusoma
Wew haujui unachokisema na haujui maandiko embu ngoja nikufundishe (Ezekiel 39)Mungu hajawah kusema uongo na ni lazima urusi iungane na mataifa mengine ili wawe na nguvu Kisha kupitia Israel ndo Dunia itajuwa kuwa Mungu yupo na taifa hilo
Hun unalolijua mzee kale kanye
@@CharlesMbise-hc2szyaan wew ndoo hamnazo kabisaaaaa bado akili yako ipo kwenye maandiko wakati now tupo kwenye uhalisia.
IsraHell Watakiona ChaMoto hapahapa Duniani...😂😂
Sio kirahis Kama unavyofikilia kaka
nenda iran sasa uone kitachokukuta
Israel haipigiki
Tuko pamoja
Mbona Hitler aliwapiga