Aliegundua marekani anaitwa Amerigo Vespucci Na amerik imepew Jin Kwa heshim yak ila Columbus alifik marekani kumfata Amerigo Na alivofik pwan alikuta meri ya Amerigo Na alipojitahd kumtafuta aliegundua Amerigo alifariki huko huko amerika
@@madetetv6576 hata hao Wahind wekundu waliingia malekan kupitia kisiwa cha araska wakati wa barid hua kunaganda kabisa watu wanatembea juu yake sasa walipita pale kuwinda dubu wakavuka na kujikuta wapo marekan kurudi ikashindikana
Sababu palikua pameyayuka na maji yamejaa kote na Columbus alipitia hapo walipokua hao wahind wekundu lakin waafrica walikua washafka kitambo sana mfano kuna malikia wa hapa naijeria alijega mji wake kwa mapambo yaliotokea marekan miaka mingi sana ata kabla ya hili jina Yesu
Asante Justin shed
Ahsanteh Sana Engineer Shedy
Your are the best 🥰
Wapili jaman like that
Safi sana jastin
Ok poa nzuri hiyo
DAAAAH KIUKWELI ULIMWENGU UNA SIRI NZITO..
kaka nakubari sana kazi yako let's talk a business
Tusimulie kuhusu braziri na sherehe za mashetani
Dunia ina mambo hii😊
Aliegundua marekani anaitwa Amerigo Vespucci Na amerik imepew Jin Kwa heshim yak ila Columbus alifik marekani kumfata Amerigo Na alivofik pwan alikuta meri ya Amerigo Na alipojitahd kumtafuta aliegundua Amerigo alifariki huko huko amerika
Leta story ertuglu ganz
🎉🎉🎉🎉
Chirstopha columbus alikuwa kiongoz wa wap
Hao wahind wekundu walikuwa wp wakat uyo koloma analigundua ilo bala
Tusimulie ya Andrwe cunanan
Naomba video ya genge hatar la Los pepes
Hata Kuna historia zingine Zina sema yule malikia wa Nigeria kutoka kabila la Igbo ilifika America kabla ya hao wote
Ni uongo mkubwa sana utagunduaje taifa ambalo lipo tayari?
Marekani haikuwa taifa lilikiw bara la amerika kulikuwa na wahindi Kule
@@madetetv6576 hata hao Wahind wekundu waliingia malekan kupitia kisiwa cha araska wakati wa barid hua kunaganda kabisa watu wanatembea juu yake sasa walipita pale kuwinda dubu wakavuka na kujikuta wapo marekan kurudi ikashindikana
Sababu palikua pameyayuka na maji yamejaa kote na Columbus alipitia hapo walipokua hao wahind wekundu lakin waafrica walikua washafka kitambo sana mfano kuna malikia wa hapa naijeria alijega mji wake kwa mapambo yaliotokea marekan miaka mingi sana ata kabla ya hili jina Yesu
@@wewa7329 mhh umepata wap hii habari waafrika marekani wamepelekwa kipindi Cha utumwa baada ya columbas kugundua the New world
@@madetetv6576 propaganda za wazungu kusema wamegundua Africa kusini Capetown huzijui kumbe
Tunaomba kuusu tukio lililo toke kule Brazilian
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍.
Katiya ibin batuta na Columbus nani WA kwanza kufika marekani mbna unatuchanganya
Babtuta alikuwa Mwarabu wa kwanza na mwana jiografia kufika visiwani vya pwani ya Afrika mashariki na Kulwa ila sio Marekani, kasome vizuri historia