Nashukur kwa maelezo mazuri ,Naomba kuuliza je baada ya kuonekana kuwa na dalili za awali na ukapata tiba je kuna uwezekano wa kupata maambukizi mapya baada ya tiba ya awali?
mung,atuepushe wakina mama,Mimi ni mmoja wapo kama wewe Leila,ila tofauti ni moja mume Wang hanipi ushirikiano kama masharti ta dawa yanavyo sema hunungunika kuwa namnyima unyumba.bado nipo kwenye matibabu ya awali.
Mwenyez mungu tuondolee maradhi hayo
Aamiyn
Amini
Wenye nao Allah awape afya na wengineo Allah awalinde na haya
Allahumma Aaamiin 🙏 YYARAB Taqabali duw''aaa
Nashukur kwa maelezo mazuri ,Naomba kuuliza je baada ya kuonekana kuwa na dalili za awali na ukapata tiba je kuna uwezekano wa kupata maambukizi mapya baada ya tiba ya awali?
mung,atuepushe wakina mama,Mimi ni mmoja wapo kama wewe Leila,ila tofauti ni moja mume Wang hanipi ushirikiano kama masharti ta dawa yanavyo sema hunungunika kuwa namnyima unyumba.bado nipo kwenye matibabu ya awali.
Mariam Adam habar mariam, samahan naomba number yako kuna vitu nahitaj unieleweshe
Mariam Adam pole
Pole mariam kuwa na uvumilivu mung akupe afya
Mariam Adam pole sana
Pole sana kipenz wahanga tuko wengi
Nipe namba yako nashida
Mko wap
Mukowapi dokta
ttc
Naomba namb dockta
je mtu mweny kirus cha HPV atakuw na cancer ya mlang wa kizazi
Ndio kama HPV haijatibiwa
Gharama ni kiasi gani kwa kipimo hicho?
Kukosa nguvu kwa mwili hasa miguuni,matiti kuuma sehemu za kunyonyeshea ,kichefuchefu, na kizunguzungu ni dalili za saratani?