DOGO JANJA Amjibu MWIJAKU "Kabla Sijamuoa UWOYA Niliyajua Yote"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
- DOGO JANJA Amjibu MWIJAKU "Kabla Sijamuoa UWOYA Niliyajua Yote"
Ishu ya Picha za mke wa Dogo Janja, Irene Uwoya, Zilizozua kizaa zaa mitandaoni siku kadhaa zilizopita Na kuwaacha watu Wakiwa na Mshangao na wengine kuongea na kutoa maoni yao juu ya picha hizo zilizokuwa zikionesha sehemu kubwa ya mwili wake wazi, akiwemo Msanii wa Maigizo Mwijaku Ambae alidai kuwa Dogo Janja Hana sauti Kwa Ireni.
Kupitia Global TV , Dogo janja, Kamjibu muigizaji huyo kuhusiana na mkewe.......
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
kim kardasgian wakumfananisha na bongo movie 😂😂😂unachekesha sanaaa
Safi sn dogo Janja!! Kwanza wanaokomalia maisha ya wenzao, ya kwao yamewashinda na hawana kazi za kufanya. Mwenye akili atahangaikia ya kwake na wengine wataiga kwa kuvutiwa naye. Sio mnakaza mishiiiipa kwny ndoa ya mtoto wa watu. Ni aibu sana komaeni na ndoa zenu.
Masikio yamesisimka kusikia huo utumbo daaah Mungu akusamehee dogo jinga daaah!! Unamuhisi hasaa dogo yupo tunduni
Dogo Hauna Akili Wallah Eti Unaitwa Abdulliazizi Na mke Anaitwa Sheila wallah mtahukumiwa na mungu kwa matendo yenu eti mmefuturixha loooooh..mungu anakuona h
Maskini mamayako amepata hasara kweli unahukumiwa huna lolote unaunga mkono mkewako kukaa kaa uchi hovyooo
Asiah Mariam tena kala hasara kubwa
Asiah Mariam mi ndiomaana nimekataa umaarufu daaah
hakuna watu wanao jiheshimu kma wakristo
Wabongo kazi mnayo...kinachonishangaza ni jinsi mnavyojituma kulalamika vitu ambavyo mumewe mwenyewe kwake anaona ni raha na birudani kwake
Kwanzaa dogo arejalu kawamuna alaliinsai jemaswali ulioyajibu hapo namungu utaenda kumjibu hivo namkeo kama nimuiclam asituzalilishe wanawake wakiiclam
Subhana ALLAH....brother umepotea hayo maneno ulio ambiwa na muikaju ni maneno ya ALLAH,,,,umejipanga vp kupinga ambri ya ALLAH?.....umepata hasara kubwa sana-hadithi yasema al duniyya mazraku al ahera....dunia ni makulima ya ahera.....walima nini kaka hapa duniani ndio kesho mbele ya ALLAH upate makulima mazuri?
Yoooooo maskini unatiya huruma sana dogo njanja kazi zenu nikuiga maisha yawengine nyinyi niwa Africa musijilinganishe nawa marecani pole sana tu
Vizuri sana bro dogo janja umewaweza
mjinga kweli hana sauti akiongea tu anatishiwa atamwacha😂😂😂😂😂😂😂😂
Dogo janja sijakuelewa kabisa. kijana muslam bibi yako anakaa uchi. msabwanda unaonekana Pole sana kwa janja ulo nalo kakangu kwa nyumba 😢😢😢
Hakili auna dogo ww kumbe nilikuwa nakuona wamana kumbesaa mbovutuuu inafuraia mkeo akaeuchi utaulizwa kwaallah umeifungaje nyumba yako
Sio kila ndege analiwa wengine ni madege ya pwani madege yasoliwa sasa unapopoteza nguvu kuwinda dege lisoliwa ukishalipata itabidi ujilazimishe kula tu ivo ivo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu awaongoze inshallah hamjui mtendalo
GOOD ANSWER AMEITOA JEE WAKRISTO MNARHUSIWA KUVAA .!VILE JAWABU N KUA KUNA UASI KTK DINI .
Pole yako
Kwel we dogo huna kaul kwa mke wako!😂😂 leo nd nimeamin😟😟Nd maan hata mama yako hakutokea kweny harusi yenu.. Coz wasanii sometimes mnaleta ustaa kweny hamna😎😎
Hapo Waandishi unaonekana ni Wapumbavu sababu mnamuhoji 'Mpumbavu naye anawapa majibu ya kipumbavu,
Inaonekana wazi kabisa bado ni mdogo kifikra huyo 'Dogo janja' hata anavyowajibu hao waandishi
kwa hiyo dogo mnaiga maisha ya akina kim da polen
Jeee bakwata hamjaonaa au wengine wanaruhusiwa kuvaa mavazi ya uchi haki sawa kwa wote itendendeke
ww Dogo janja uzeeni utapata xhidaa sanaa
Yule manzi kaloga huyu dogo washalaalaaa oyeyayeeeeeeeee
hahahahaaaaa r😆😆chuga mmekuja kuwaje aceeeeee
Jamani c uchawi mkumbukeni mungu hiinijia masogange ,Sam,kanumba,nawengine wamepita nassisi tuponyuma haya kama watatoka kimaisha
Duh nomaaaa dogo acha kuangalia jirani anafanya nn,chunga familia yako kwakufata magundisho ya dini yako looooooh bado unaakili ya kitoto mnaolea nn mkiwa hamjitambui????, hamkumbuki kufa jamani, ungekua wangu ww ningejipatia mithawabu ningekunyooosha, minywele ningeipunyua hiyo ili ukose hizo akili kabisa.
Duh nimeamini kweli dunia imeisha yani ww janjaro niboya huna ata akili yani mnasubutu kumsapot mkeo kwenye ubumbavu duh mungu anakuona
dogo janja ushapata ugonjwa naona sura tu inaonesha kipo kikusumbuacho ni siri yako
Shuweha Omar true
Shuweha Omar Daah wewe mtu ulikuwa moyoni kwangu hata mimi naona Sio wa kawaida ivi sijui anaumwa au anakula nini?
dogo utapata tabuu sanaaah
Daaaaah huyu dogo kweli ninamwonea huruma jamn
Sawa Sawa dogo jajaja jibu sahihi wache vifuu tundu haonwanaopenda kufatilia yawatu
Huyo jamaa bado ana akili za kitto, haya nasimkanye mkewe aendelee kumuunga mkono na kumpa huru wakufanya anavyotaka, mwisho atajuta, na asubiri kushare na wenzake kama anaona ni vizuri mkewe kupiga pic za kuonesha mwili wake na amejua hizo pic zimeonekana na waume wangapi wengine wamebaki kumtamani tu sio mbali atakuja kuibiwa, na dogo janja ndio atapata tabu sana.
Mwanamke mwenyewe Tako halina ushilikiano na mipaja umuringaniashe na Kim Dogo umechemka.. Pumbafuuu sana, mbona amevaa viatu mchuchumio vinausiana vipi na beach boya wew.. Huna sauti kwa mkeo
Tatizo alikimbia shule, onasasa yanayo mpata, ni haibuu kwa families, Irene anamwongoza sogo janja, ukubali ukataeey huo ndo ukweli
Dogo janja move forward achana nao Anglia maelewano yako namke wako kwani hakuna mkamilifu
acha mjinga dogo jibu maswali kwausahihi dini hairuhusu mbona wewe umeruhusu ujinga inaonekana unakubali ushetani kuliko kumkubali mungu
Utapata shida sana nasema utapata shida sana
Kwanza vp dogo unachawa naonaunajikuna
ww bado kabisa
Eti yuko beach?!nguo yenyewe kama nguo ya kulalia wakati yuko kwa bwana amvalie 😁😂😂! Na ushamba pia unachangia mwisho ni aibu tupuu 🙈
Sipendi kumwingilia mtu na maisha yake ila ukiweka kitu kwa public your intention is people to see. So she wanted to be seen that way l don't think if is right. And then dogo Yani unamlinganisha mkeo na Kim Kardashian??? Do you know Kim vizuri unajua alikuwa anafanya Shughuli gani hapo zamani yani hapo umenichefua
makoiga mg
Mwichukuru 🙆😁😂😂😂
hahaaa mtoto anajiamin balaaaa
Mwanaume bwege wakidigital,Eti Kim Kadashian!!!!!ka boya huyo Kim ni Mwafrica!!! Mnajifanya mnaishi kwa kuiga wazungu mwisho mnaiga hadi visivyoigwa.
dogo kweli kashikwa antia huruma
We dogo chiz sana
Haaa haaa Haaa haaa Dogo janja Yuko strong na ndoa yake wanajarb kumegesha ndoa yake lakin hamtaweza hawawamependana jaman for real asanyie mnamjadili mkewake mpaka kero Haaa haaa haaa kuwa namapungufu nikawaidaaaa hamnaalie mkamilifu jaman duuuh!!
nyoko weee kweri huna sautiii mavi wee mkomagee kuvamia mi mama
Hadi huruma
Tz fateni maisha yenu yenu yana washinda kazi kufata yawatu tuta ishiya uma sikini tu mpaka tuna kufa watoto hawana hata chakuris zaid yaumbeya ndo wata ris uwomenda wakumuona kakaa uchi kwanza hapo ayupo uchi mna juwa uchi nyiee nyuko zenu fateni maisha yenu siyo yawatu
umeongea point sana ,,,,,,,,hatakama Dogo janja naye alimind mke wake kuvaa vile hawezi kusema public wanamalizana chumbani kwao kafundwa Dogo,,,,afu wanaosema Dogo janja kaolewa fresh tu mbona na vyuma HIV fresh tu oleweni na nyie kma mmetamani ,,,,,, mbona mnanyauka tu kitaa pumbavuuuu
Unatutia aibu katika uislam na jumuia ya Africa mashariki.....watu km nyinyi huku kwetu tunawaita washamba+254
masikini mpaka atia huruma huyu dogo
kabemendwa akili zinazidi kuwa ndogo
Hana akili dogo janja
Watanzania wasome u star mumependa sana...Dont marry a woman older than you...Man smart Woman smarter
Amepatikana huyo
Maskini utajuwa wazi kuwa hanasauti kwa anayemwita ndie mkewe yaani umruhusu mkeo apige picha z uchi was mnyama alafu unasema nisawa daaah sijaona mwanaume mpumbavu Kama ww
Uboya huo star bongo!!
Reemii Omar Nyie ndo wanafiki, sasa mlitaka avae Dera, kwa vyovyote vile hiyo picha ingetumwa kama asinge ipost yeye. Uislam uislam lakini ni wanafiki kama nini.
Reemii Omar .hana sauti.kwanini aliposti? mitako nyama.zimemshuka? anajiuza?
kuna haja ya serikali kuingilia kati hawa wanaojiita representers wa online tv yaan mtu anakurupuka tu kutoka kitandan naye anajiita representer hajui maadili ya wanahabari,hajui kuhoji watu vizur, hajui kubalance story wala nn kama hao jamaa wanaomuhoji dgo janja yaan wapo wapo tu mwsh wa sku wanachafua taaluma za watu yaan wanahabari
jaman mwanahabar ni proffesional kama proffesional nyngne kam udaktrar au engeenering tuziheshm watu wamekaa darasan
Aonyenyeshe na uke wenyewe huo maana mapaja hayatoshi. Si unasema mke wako yuko sahihi aonyeshe na unakopita huko ili tukague maana si mnataka tuone pumbavu zenu
Majanga haya
Yeye mwenyew kashapangiwa siku ya kupewa hakiyake sasa unafikili akiwa upande mwingine sindo atanyimwa kabs
Sijawahi ona mume boya na bwege kama hili jamaa nilikuwa namkubali but for this NOOO.... so unamfananisha kim kardashian na mkeo... au vanessa mdee na mkeo wote mmeoana hamna akili
weee ni juhaa.... yaani umuachee mkeo awache waxi kilicho chako kisha waona ni sawa tu...kwelii juha hubaki kuwa juha tu sio kosa lako ni imani kwako bado ni ndogo
Acha kutetea ujinga dogo simama Kama mwanaume
Daah! Dongo boya....nilikuw nakuona mjanja kumbe amna kitu kabisaa ww.....ww unamjua kim ww?
Kweri binadam hamna dogo
Hatukatai asiende ufukweni why apost?? Kujidhalilisha tyu 😟😟
Duuuhh huyu dogo kavurugwa
Hv hawa jamaa mbona wanashindwa kuuliza maswali Sasa hapo suala la dini limetokea wapi? hojini kuhusu utamaduni wa Tz
Masikini janjaro muache kuparamia mimama iliyoshindikan.
Hili dogo janja dogo povu dogo jinga
Jamani tujitahid kuwapeleka waatoto chuo cha kiisilamu waijuw dini maana huyu Dogo janja ingelikua kaenda madulasa yote haya asingeyafanya pôle sana dogo
naam madrasa hakuna hapo mziki umemtawala mshenzi huyo
Eti kwan wakristo mnaruhusu mambo hayo nyie ! Ahahahahah hapo umenifurahisha sana umefikisha ujumbe wa allah kiaina ahahaha safi sana jazaaka llahu khayra ndo imavyotakikanwa dogo namna hiyo ukipata kaupenyo unafikisha ujumbe wa allah kiaina Azwiim jiddah
Wewe si Dogo janja tena wewe Dogo jinga nangoja bakia kuletewa watoto wanje sasa Kisha ubandikwe tako hilo umeamua mwenyewe kulionyesha wanaume tupo Kwanza kama huyo ndo mzuri wewe Walisha wangarisha wanao kula ni wengine
Nimda sasa hana mimba
Wako wenye shabaha akilenga hakosi shauri yako Dogo jinga
Waswahili mmezidi ndio maana hamuendelei na kutoka kimaisha kwa kufatilia yawatu munaumia nini na aliekabidhiwa karidhika acheni uchawi huo
dogo janja nakuonea huruma umejipima chupi za wakubwa we ni Mtoto Tu
C tunasemaga mtu kanya yan kaharib
Dogo janja kubali mkeo kanya ni ujinga kujitetea hivo!
Haina haja mambo mengi kwa ufupi tuseme umekaliwa
Sio sawa kukaa uchi
yan we chalii auna jipya umeenda kuoa jimama ona sasa madhara yake kwanza ww mwenyewe ujitambui
uyu kaholewa puuuhuuuuuuu
ila Dogo umewajibu vzuri
Makubwa haya kwa hiyo ni maarufu ndio afanye hivi basi Ingeishia tu kwenye cm yake nasio kwenye mitantando jaribu kummrekebusha ili baadhi ya vitu aviache na kwakua tabia inadirishika basi naimani atabadilika hii sio poa kabisa hata kama alikuwa ufukwenialitakiwa ajiatili kwa kuwa ni mke wa mtu na ni mama sasa
Dogo jinga
Huna akili ww mtt kama mamaako ameshindwa kukushauri,watu wema pia wameamua kukushauri bado unajifanya kichwa ngumu,subiri mwisho wako utakavyokuwa mbaya.Mke lzm awe mtu wa kujistiri si tu kwa ulimwengu lkn HASA kwa wazazi wa mwanaume.Mwisho wako ujauona ww hawa wanaokushauri wameuona yamkini mwisho kwako na madhara utakayoyapata
We c janja tena'ni dogo falaa'c chali ya Arusha,,
uislam sio jina
ni tabia
Dogo janja hana akili anaiga kwa kina Kim mshamba huyo mtto ngoja wampufulie huyo mke wake aslie
umejitahidi sana kujibu..... acha waongee tu.... ndo wabongo tulivyo
Dogo akili huna mkeo yule angebaki na picha ktk simu kakutia aibu
mbona kama anaogopa kuongea
Kwani uyo dogo janja ni nani na huyo uwoyo ndo nani....!!!!!? nahisi hawa watu wanaufosi ustaa ila wakumbuke ustaa haufosiwi na ukifosi utajizalilisha bule.....! kina diamond na kina wema sepetu hajafosi ustaa ila ustaa uliwafata
Dogo unazingua wesema2 umezidiwa umri mpaka kauli
Huna akili.
sasa ww n dogojanja au dogo jinga
Duuuh
DOGO UMEKUWA,KIUMRI TUKO SAWA TOFAUTI ONLY TWO YEARS BRO NDO ULIYONIACHA,UNA HEKIMA ZA KIUME ,UKO SAWA SANA BRO,WE NDO MWENYE MKE HAO MACHOKO WALIKUSAIDIA KUWINDA,WAACHE UJINGA
JANJA SASA NIMEAMINI WE JANJA KWELI ,HATA ATEMBEE UCHI WAO INAWAUMA NINI ,ISHI MAISHA YAKO,UKIONA INABID KUFANYA FANYA UTAKAVYOAMUA SIYO MABWEGE WAKUENDESHE KWAN WAMEOA WAO MBONA WAJINGA
JANJA SASA NIMEAMINI WE JANJA KWELI ,HATA ATEMBEE UCHI WAO INAWAUMA NINI ,ISHI MAISHA YAKO,UKIONA INABID KUFANYA FANYA UTAKAVYOAMUA SIYO MABWEGE WAKUENDESHE KWAN WAMEOA WAO MBONA WAJINGA
Unauliza unafikiri atakubari kuwa hanasauti ? isipokuwa matendo ndio yanayo kufanya ufahamu kuwa hanasauti
I had to stop watch it baada ya kumtaja Kim kardashian. Jinga kabisa
acha zako dogo janja mi ni shabiki wako sana ila kwa hapo unapotea kingine eti unasema humjui mwinjaku huo ni uongo mwinjaku ni staa kuliko hata wewe
Mtapata tabu sanaa mnaotoa mapovu waacheni bhn yupo beach mlitaka avae nn nyie mkienda bichi mnavaaga mabwanga achen uxhambaaa
Ruby Fabian i
Mungu. Atakuliza.maswali. kaburini. Akuna.usitaa
Kim kadashian??