Vijana kaunti ya Nyamira wameahidi kuendelea kuandamana wakidai uongozi bora
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
- Vijana kaunti ya nyamira wameahidi kuendelea kuandamana wakidai uongozi bora chini ya uongozi wa Gavana Amos Nyaribo. Vijana hawa wakidai kwamba waraka uliowasilishwa na kundi la vijana kwa gavana halikuwakilisha wakaazi.
Ruto must go
Hadi mwisho
Nyinyi endeleeni mimi siko
Haujatajwa
@@shiqowb5450 kwani umekasirika 😭😭😟