“Nakumbuka namna nilivyokutana na wewe, Nakumbuka namna ulivyonifanya niamini kuwa kuna mapenzi ya dhati, Nakumbuka namna ulivyonipenda na kunijari mithili ya mtoto mdogo.
❤❤❤🎉🎉 nipo ndan jamani munaoangalia au kuisikliliza mukiwa mechelewa km mimi like bas tujuane ee tupo wachelewaj hatukosag🤣💪 Ankojy asante vitu 🔥🔥🔥👏🪑🎧🏃
Wow Anko jay wetu weee iyii masiku unatuleteya vitu vipya kila siku 🎉🎉🎉❤❤❤ Asante sana Anko jay kutukubuka saa yote nipe ata like juu nakufwatlia kumi kwa kumi ❤❤❤ simulizi zuri sana
Oyoiiiiii Anko jay shukrani tunakupenda zaidi hatimae umeachia mzigo mpya wow acha tusikilize kosa langu kunanini🎉🎉🎉🎉🎉🎉nilikuwa nime boeka kwa kukosa mr love kumbe kuna kitu tena❤❤❤❤
Maskini naye ni mtu😃😃.Ngoja nipitie Italy nikafanye mahitaji Milano.Nawaambia maskini watafute hela.Bila hivyo maskini ikija vita watakua Wa kwanza kufa
Ankojay kosa lako hutaki kutupa halima last episode sasa mbon nisipige kelele asnte sana kwa hii acha nisikilize huku najobika mimi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤ mashabiki wa Ankojay mungu awabariki nyote popote mlipo in shaa Allah ❤❤❤❤❤
@@lilianeerica3318 ukikosa siku moja unaona km mwaka janakwa kwangu ilikua ngum sijapata kuona tangu niishi kw familia ya ankojy ujuwe hiisjui imetoka mda ganii
Mtu anaweza kufanya popote au kusoma yaani vyovyote vile akawa kahaba,kila eneo analoishi mtu iwe kanisani au msikitini kuna tabia zote mbaya na nzuri zinazomhusu binadamu,kutafuta mwenza wa maisha inahitajika msaada wa Mungu,
Ni kweli apambane tu,Mungu atamfungulia mlango,hayo ni mapito tu atamnyoshea huko mbele ya safari😢😢inaumiza na mchozi ya mwenza ktk ndoa ni hatari kwa anaeliliwa Mungu hapendi kabisa wanandoa kutengana😢
Sio kila mufanyaaa bar ameendaa kujiuzaa wengine wanazifanya tuuu kukimu mahitaji ya familia hawa wanawake wananichefua yani mwanamke mwezenu mnamsema nikama hamjazaa jamani 😢😢
hi wadau nimekuwa wa kwanza leo nakupenda anko j na wanasimuulz wot comment jmn ❤❤❤
❤❤❤🎉🎉 nipo ndan jamani munaoangalia au kuisikliliza mukiwa mechelewa km mimi like bas tujuane ee tupo wachelewaj hatukosag🤣💪 Ankojy asante vitu 🔥🔥🔥👏🪑🎧🏃
Jmniiii wa kwanz leo mnip like zanguuu alaf uncle j malizia bas simuliz ya halim naisubir sanaaa
wale Wazee bandika bandua tujuane maana kuanzia asubui tupo you tube simulizi moja mbk nyengine yani nalala na kuamka umuu❤❤❤
Ni uvivuuo atamimi na ipenda ilasioivyo🎉🎉🎉
Asante anko jay 🪑🪑🪑🎧🪑🪑🎧🪑 naona badika baduwa hakuna kulala Hadi raha ❤🪑🪑🪑🎧🎧
Wow Anko jay wetu weee iyii masiku unatuleteya vitu vipya kila siku 🎉🎉🎉❤❤❤ Asante sana Anko jay kutukubuka saa yote nipe ata like juu nakufwatlia kumi kwa kumi ❤❤❤ simulizi zuri sana
mfalme wa simulizi ni anko J ❤❤❤ kukupenda tuu ndio kitu ninachoo juaga 😊
Waooo! Tupo pamoja
Kwa kila mtu anae sikiliza simulizi za ankojay mapesa MUNGU afanyie kila jambo kwako liwe la heri na mafanikio kwenye maisha yako 🤲🤲🤲🤲
Amen🙏🙏🙏
Amina
Kazi ipo kumbe, kosa hilo jamani Acha nisikilize mie ❤❤
Haaaaaa rahatu akuna upweke kwaankojj❤❤❤🎉
Ahsante bwana anko Jay simulizi ❤❤❤❤
Nita maayamke wake🎉🎉🎉ila jakline ni mtu mzuri
@anko wee looooh utatua please njoo taratibu duuuh 😂😂😂 uku mr love 🔥🔥🔥sumaiya mwendo utatuua na mwendo huu
❤❤Anko J wew noma King 👑 wetu asubuhi Mr love jion KOSA LANGU had rahaa kujeni wanafamilia wa Anko J like hap kwa Anko J 😂😂❤❤🎉🎉
Leo nmewahi Sana,kazi nzuri kaka ❤❤❤.
YAAANI ANKOOO ANASIMULIA MBK ROHO INARUKARUKA KAMA NDAMA CHANGA AISEEE POKEA MAUA YAKO🌹🌹🌹🌷⚘ NIPEENI LIKE ZA LASTBORN 2KIZONGA MBELE
Kutangulia sio kufika ❤❤❤❤❤❤❤ nawapenda sana mashabiki wa wenzangu
Pongezi zako anko kweli upo makini na mashabiki zako kuwapatia furaha sijui kosa gan zakalia imekuja nalo🪑🎧
Tuko xambamba paka tamati king 👑 of voice unaitajilizi kwamana unatufurahixha sana kipenzi chetuu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante anko j kwa simuliz nzur jaman
Yaani anko siku hzi unanifurahisha Hadi natamani nkubless something 😂❤🎉🎉
Nimewahii leoo🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Yule dada anaye omba like Kwa Kasi ndo naaingi like kwangu tafadhali 😂😂😂
Dah maskini wanapitia magumu
Wa mwishooo Like zangu Kaz nzur anko jay❤❤❤
Oyoiiiiii Anko jay shukrani tunakupenda zaidi hatimae umeachia mzigo mpya wow acha tusikilize kosa langu kunanini🎉🎉🎉🎉🎉🎉nilikuwa nime boeka kwa kukosa mr love kumbe kuna kitu tena❤❤❤❤
Haya jamaniii hilo KOSA LANGU HAYA TUJUWE HILO KOSA LANGU 😢MUNGU NI MWEMA ❤
Mpenzi naomba unikumbushe jina la hii simulizi ulioweka profile yako ..
@@MwanatumuJumaa-rj4fgkarma😊😊😊😊
@@MwanatumuJumaa-rj4fg karma kipenzi changu
Anko J sema fulusu na sio furusi OK Mr voice 🔥🔥
Asante sana Anko jay wewe ni moto kabisa nakwaiyo sauti utatuhuwa mungu akulinde Anko❤❤❤❤❤❤
Leo hakuna kulala shukran kaka Ankojay ubarikiwe ❤❤❤
Ahsante ancojay siko mbali na wewe
leo mimi ni wamwisho naomba like zenu❤❤❤
Tunakupend san anko j❤❤
Asante saana Anko Jay mungu akubariki akupe ngumvu
🎉🎉🎉 Leo chukuwa ❤❤❤ yako ankojay
Asante sana Ankoo J unavyotujali tukimaliza Moja unatuletea nyengine mungu akubari sana,but tumalizie Halima ama ahadi yko mpaka tarehe 20
Sijuw kosa langu
Wa 8 😂😂😂 wapendwa wa ankojay kigongo kipya hicho wapo kosa langu limefanyaje twendeni nayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Kazi nzuri sana❤
❤me wa kwanza
♥♥ anko j nakupenda san .
Wao like zenu.jamani
anko j❤
Asante sana ankojy kwa kutuletea simulizi ya koso langu🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️🎉 from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Yaani mimi nilivyo upata uchungu leba eti nimwache mwanangu ntakua chizi 😚😚😚
Esta amekula Wa chuya ngoja aje uku ulaya alafu afanywe changudoa 🤣🤣🤣🤣
@@zenaathumani8144😂😂au atatolewa figo na maini na kisha kufanywa ndafu 😂😂shenzi zake sana😂
Maskini naye ni mtu😃😃.Ngoja nipitie Italy nikafanye mahitaji Milano.Nawaambia maskini watafute hela.Bila hivyo maskini ikija vita watakua Wa kwanza kufa
Zena Italy pande zipi nataka nipitie Maranello nikaagize ferrari
Aya kosa la mtu huku❤❤🎉🎉
Siamini leo nimewahiii🎉🎉
Wakwanza mmmm
Kaka upo kabisa naomba part 2 ya kosa langu
Ankojay kosa lako hutaki kutupa halima last episode sasa mbon nisipige kelele asnte sana kwa hii acha nisikilize huku najobika mimi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤ mashabiki wa Ankojay mungu awabariki nyote popote mlipo in shaa Allah ❤❤❤❤❤
♥️🙏
Cjachelewa sana nmejarbu ❤
Dah Asante sana Ankojay kwakutujali❤❤❤❤ hakika unajitahidi hatakama uko mwenyewe unabidii sana❤❤uzidi kubarikiwa❤❤❤
❤❤ nikua spo Ewan wa ha niwape hai niikwa sasiklz moja baada yangine wadau wangu🤝
@@TeklaNdekeja salama kabisa🥰🥰🥰yani simulizi za Ankojay zote nilizimaliza hadi nabaki nikitafuta yenye sijasikiliza🤣🤣🤣🤣
@@lilianeerica3318 ukikosa siku moja unaona km mwaka janakwa kwangu ilikua ngum sijapata kuona tangu niishi kw familia ya ankojy ujuwe hiisjui imetoka mda ganii
Wtu wna roho mbay humu jmn hamjanipa ata like moja bc na mm kuazia leo stow like zng😥😡😡😡
Jamani ss waviporo tulio imisi binti halima tujuane pengine anko jy katusahau
KOSA LANGU , kunanini kwenye hii simulizi ya KOSA LANGU😢 wacha nisikilize kwanza 🎉🎉
Asante mfalme wetu jay❤
WA 30 JAMANI LIKE TAFATHALI KISHA NAMI NA DONDOSHA LIKE KWA WOOOOTEEE❤❤❤❤
Kazi nzuri 🎉🎉
❤❤❤❤❤ kuwahi raha san
One hour a go na sina habari duuu😮😮😮
Asante tuko gardo kusikiliza ❤
Hakika nimewawahi❤❤❤❤
Wow Anko ❤❤❤❤
Eti fulusi nime cheka🤣🤣🤣
Mtu anaweza kufanya popote au kusoma yaani vyovyote vile akawa kahaba,kila eneo analoishi mtu iwe kanisani au msikitini kuna tabia zote mbaya na nzuri zinazomhusu binadamu,kutafuta mwenza wa maisha inahitajika msaada wa Mungu,
Kweli kabisa
Asante sana ❤❤❤
😂😂😂😂jay unajua adi fulusi duh😊
Wamwishoo Leo jaman 😂🇴🇲🇴🇲♥️
Anko jay 🎉🎉🎉asante ila twaomba halima jamni 😢
Tarehe 20 mbona sie tumetulia tunasubir unanini lakn au apeleke mbele tarahe
@@SalamaMwaga-co3st🤣🤣🤣❤️❤️👍
Naipeda sana sauti yako anko jey
Hivi anko j unalalaga saa ngapi? 😮😮
Anko tushamis lissa mwala bwana hawa wengne hatuwaelew kbs
🎉🎉🎉❤❤❤
Wa kwanzaa😂😂😂
Astee ankjay
Jamani acha nimechewaaaaaa😢
wa kwanza 😂
Thanks Ankojay wetu ❤️
❤❤❤
Hadi uruma aivan pole😢😢😢
❤❤
Ila sifa anazopewa Anko j duuh so poah😅🙌
Wow ♥️♥️🌹🌹🌹🌹👋💃 thanks Ankojay
Tuko sambaba mpaka tamati kiny of voice anko familia
Nakuaminia Anko😂😂😂😂
Asante ankojay ❤
❤❤🎉
Haya mm wamwisho ila msisite ku like comment yangu😢😢
Aivan usililie wembe huyo mwana mke sio sahihi kwako kama ameweza kuacha mtoto wake ww n nani kwake 😢😢😢inaumiza ndiyo ila pambana na hali yako
Ni kweli apambane tu,Mungu atamfungulia mlango,hayo ni mapito tu atamnyoshea huko mbele ya safari😢😢inaumiza na mchozi ya mwenza ktk ndoa ni hatari kwa anaeliliwa Mungu hapendi kabisa wanandoa kutengana😢
❤❤❤❤ like bs
Mumbi Wa Naivasha ako locked wapi likes
Kwakweli hapa Esta ni mwanamke tu,hana sifa yakuitwa mama,hakuna mama anayeweza kuacha mtoto wake kiurahisi hivyo kwa sababu yoyote ile😢😢😢
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Sio kila mufanyaaa bar ameendaa kujiuzaa wengine wanazifanya tuuu kukimu mahitaji ya familia hawa wanawake wananichefua yani mwanamke mwezenu mnamsema nikama hamjazaa jamani 😢😢
❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Roho yangu kwatu
Vyuma juu ya vyuma
Vipi halima jmn tarehe 20 mbali kumbe duuuh 🙆🏿
Hatimae nimekua wakwanza like zang tafazali
Nimekuw wa 84 leo nipen like zenu jmn japo nimechelew ila cyo sana wtu wamelala naona mpka saiv nafas hazja jaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Binti Emmy inakuja lini anko
Kwann kuna kuwahi lakin 😂aya mkuje