SIMULIZI MPYA- UMRAA..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ธ.ค. 2023
- Umraa ni binti anaeishi kijijini na wazazi wake, ni familia ambayo ilikuwa inapitia hali ya umaskini, lakini kutokana na tamaa ya Babaake anamuozesha Umraa kwa mzee mwenye watoto zaidi ya 30 na yeye akiwa ni Mke wa nne kwa mzee huyo... changamoto alizokutananazo kwanza alisingiziwa yeye ni mchawi na pia aliishi maisha ambayo wake wenza walimfanyia vituko kila kukicha.... ni simuliz tamu sana na kusisimua... ungana nami LUCAS LUMBASI mpaka mwisho
Kama umependa simulizi zangu usisahau ku subscribe katika channel yangu kwa simulizi zitakazo kukuburudisha, kuelimisha. Pia Tembbelea kurasa zangu za mitandao kajamii
INSTAGRAM: / lucaslumbasi_tz
FACEBOOK: / mrlumbasi
TIKTOK: / lucaslumbasi - บันเทิง
Wazazi washenzi sana hawa,wanatawaliwa na tamaa mbaya ya kuuza binadamu,ndiyo maana naulaani sana utaratibu wa mahari unaoleta mateso makubwa kwa baadhi ya wanawake,ni sawa na utumwa uliokuwako kabla ya kupata uhuru,wanaotetea haki za wanawake hawaoni mambo yaliyo muhimu wanatetea upumbavu kibao tu
Next
Tunakupenda ❤ lukas Lumbas,, has a kicheko chako jmn jmn
❤❤❤❤❤❤❤❤mob love to mr lukas lumbasi kwasimulizi nzuri❤❤❤❤
Daaaaa to sad pole umraa🥹🥹
Lucasi lumbas again
Pole sana umraa masikini imepitia mengi kwa umrii mdogo 😂😂😂ila ningekua mimi nisngerudi hata kwa uchawi khaaa
So kurudi tu hata huko kuoleka kwa libabu kwa shinikizo ya wazazi nisingeoleka hizo ng'ombe mbona wangejua jinsi ya kuzilipa aaah 😀😀😀
Lucasi kaka angu natafuta kwanguvu najitahidi hata kwa kidogo nichangie kifaa chako najisikia vibaya kukaa siku nyingi hivyo bila kukusikia
Mungu akutie nguvu 🙏 😊 na asante saaana
Asante sana ❤❤❤❤
Nimemiss simurizi zako brother Asante sana ❤
Courage kaka na merci kwa yote🙏
Wapili🎉🎉
Pole sana Umraa! C'est domage! Much love from🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Wakwanza jamqni naomba like zenu jamani
Leo utalala vizuri umekuwa wa kwanza😅😅😅
Shukra ndugu Lucas ulipotea lakini sasa umerufi mungu akubariki amin ❤❤❤
Amen saada 🙏 😊
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI your welcome
❤❤❤❤❤❤
Nimewai❤❤❤
Watatu pamoja sana Lucas lumbasi ❤❤❤
Hongera😅😅❤❤❤❤❤
Shukran kaka Lucas
Daaah inasikitisha saana yaani mwanamke anatumika kama kitega uchumi daaah balaa....ila simulizi nimeipenda saana🎉🎉🎉🎉🎉
shukrani Lucas kwa kazi nzuri na wenye mafunzo mengi
Karibuu 🙏 😊😊😊😊
Tamu sana usicherewa mwendereza maua yako lukas🎉🎉🎉🎉🎉
Inatoka leo saa tisa kamili... 😊😊
Tupo hapaa 😂😂 thenk you sir Luca 🏃🏃🏃🏃
Daah pole yake Yani nishida sana aswa kuolewa namtu usie mpenda ❤🇴🇲
Waooo shukran sana ❤❤❤😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉😢😢
Karibuu 🙏 😊😊😊😊
Usitucheleweshe sana basi mr
Inatoka leo saa tisa😊😊
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI naisubiri mnooo
Tumalizie mapema jmn
Inatoka leo saa tisa kamili
❤❤❤❤
Nzuri mwendelezo tafadhali
Pole sana jamani kweli roho hiziyo kwa na huruma kwa mtoto wa mtu
Thank youuuuuuu so much 💞 mungu akubariki sana twashukuru sana kaka yetu Lucas Lumbasi mjengoni ❤❤🎉🎉
Karibu sana Fetty😊
So sad UMRAA
Pole umraa
Very stor so much ❤❤
Many many thanks
Afu wanaume sijui ni vile hawajui utungu wa labour ndo maana huwa wanasapot upuuzi,nyie nyie wababa subirini siku yenu yaja, anyway thanks Lucas kwa kutukumbuka waiting 4 de next episode ❤❤🎉🎉
Karibuu, inatoka leo saa tisa🙏 😊😊😊😊
Please part 2
Inatoka leo saa tisa😊
To day I'm 11 ❤❤❤❤
❤️❤️❤️🎉🎉
Interested story ❤❤
Hadithi tamu lkn huo mlio kwenye background unakera jamani. Acha simulizi iwe simulizi ndio inapendeza. Tuna masikio mawili tu. Sauti yako Anko Jay inatutosha
❤❤❤🎉
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤
Waxaxi wengine bn yani mali mbele kuliko hata utuu tena mtoto wenu jamani
So mchezo unatambulishwa mke 4 imejin kwa mzee ana watot 30😢😢😢😢
😂😂😂😂watoto 30 dear ukadhani ni wengi bc?kijiji kimoja krb na kwetu kuna mzee alikuwa na watoto 200 na wake saba sasa sijui ndo alikuwa anatafuta sifa maana ni Maasai na wengi wao husema mifugo,mashamba,wake na wtt ndo utajiri kwao
Asante kaka
Junia Zima wanakula siku mbili😂😂😂😂
Umura😂😂😂😂😂 jmn
😢😢😢😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Maisha ya watu wenye tamaa na mali ni mabovu mnoo ila siku zote MUNGU hajawahi mtupa mja wake tena ili ufanikiwe mitihani nilazima ukumbane nayo
Kabisaa😊
😅😅😅😅😅😅😅
❤❤❤
Yaani watu waliokuuza unatoroka unarudi tena pale unaakili kweli? Hata kama hujasoma hata akili za kujiongeza jamani 😮😮😮hapa mtunzi umefeli kwa kweli
❤❤❤❤🎉🎉🎉
🎉
😢😢😢😢😢😢😢😮😮😮😭😭😭
😢😢😢😢
LUMBASI UNAUPIGA MWINGI SANA
Tusubiri dk 90😊
Nice story
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
❤🎉🎉
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉