Fanya kwa bidii jifunze mapato na matumizi ya fedha acha fikra za kimaskin usijituma utatumika loh watz fikra zen fupi mkiona mtu kafanikiwa tyr mshamtengenezea habar zenu wakat wanahustle hamuoni ila mafanikio yao yanakuja kuwaamusha na kelele nyingi waafrc bana wivu wa kimaendeleo mwingi, mnakuja mjua mtu akishafanikiwa wakt wa shida wala hamuoni😂 mxiuuu achen roho za kimaskin bana fanyen kazi kila kitu kinawezekana na muache matumiz mabovu ya fedha nunua nawe tuione
Mashallh
kaa ukijuwa Kama iyo pesa ni ya haki, Basi mauwa yako tunakupa lakini Kama nipesa ya mwarabu, jiandae kwa adhabu ya mungu.
Dp noma
Dp world endelea na Rushwa sk moja gari hio itakuua
Maokoto ya dubai
Wakati anamiki baloon we ulikuwa unamiliki nn?
Kibaraka
ushamba uwooo Gari niusafiri wa kawaida
Pesa ya bandari
Mpiga picha umekwama wapi maana hatuoni magari tofauti na wa misifa
Maulid kweli umezaliwa na mwanadamu mwenye mifupa aliyeumbwa na Mungu.umeongea kikubwa
Dpw
Kuna cku muda utaongea
Kitenge akili mingi
Mbona hiyo gar tunaijua jamaan
Tapeli huyo Mungu anakiona , unadhulumu kabisa
Acha makasiriko, fanya kazi kwa bidiii. Wewe sio Mungu acha kuhukumu.
Fanya na ww utapeli ishu ni unanini Njia ya kufika hapo juu utajua ww (yote kwa yote ni umaskini unadhalilisha
Hela za bandiri, INAUMA
Fanya kwa bidii jifunze mapato na matumizi ya fedha acha fikra za kimaskin usijituma utatumika loh watz fikra zen fupi mkiona mtu kafanikiwa tyr mshamtengenezea habar zenu wakat wanahustle hamuoni ila mafanikio yao yanakuja kuwaamusha na kelele nyingi waafrc bana wivu wa kimaendeleo mwingi, mnakuja mjua mtu akishafanikiwa wakt wa shida wala hamuoni😂 mxiuuu achen roho za kimaskin bana fanyen kazi kila kitu kinawezekana na muache matumiz mabovu ya fedha nunua nawe tuione
Wivu
WIVU TU HUYU ANAHANGAIKA MIAKA 30 ILIYOPITA
WAKATI MWAKA 2000 ANANUNUA BALOON WE ULIKUWA UNAMILIKI NN?
Wivu +roho mbaya =uchawi
DPWorld wamewezesha
Hiyo kampuni itakuwa na magari mazuri kwa sababu ya jamaa wa yanga
Maulid ni mtu mzima lakin hazeekiii😂😂😂😂
Sana MashaAllah yupo vizuri ❤
Sura imashaanza kushuka mcheki vizuri