MAULID KITENGE ATAMBA KUENDESHA GARI HII YA NDOTO YAKE, ASIMULIA GARI YA KWANZA KUMILIKI MWAKA 2000

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 32

  • @faiditv5535
    @faiditv5535 ปีที่แล้ว

    Mashallh

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd ปีที่แล้ว +1

    kaa ukijuwa Kama iyo pesa ni ya haki, Basi mauwa yako tunakupa lakini Kama nipesa ya mwarabu, jiandae kwa adhabu ya mungu.

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 ปีที่แล้ว +1

    Dp noma

  • @reginardtibishubwamu1522
    @reginardtibishubwamu1522 ปีที่แล้ว +1

    Dp world endelea na Rushwa sk moja gari hio itakuua

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 ปีที่แล้ว +2

    Maokoto ya dubai

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 ปีที่แล้ว

      Wakati anamiki baloon we ulikuwa unamiliki nn?

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 ปีที่แล้ว +1

    Kibaraka

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 ปีที่แล้ว

    ushamba uwooo Gari niusafiri wa kawaida

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 ปีที่แล้ว

    Pesa ya bandari

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 ปีที่แล้ว +1

    Mpiga picha umekwama wapi maana hatuoni magari tofauti na wa misifa

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 ปีที่แล้ว

    Maulid kweli umezaliwa na mwanadamu mwenye mifupa aliyeumbwa na Mungu.umeongea kikubwa

  • @shahidi615
    @shahidi615 ปีที่แล้ว +1

    Dpw

  • @babaabro8847
    @babaabro8847 ปีที่แล้ว +1

    Kuna cku muda utaongea

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh ปีที่แล้ว

    Kitenge akili mingi

  • @nickylyanga2139
    @nickylyanga2139 ปีที่แล้ว

    Mbona hiyo gar tunaijua jamaan

  • @elishamungaya8038
    @elishamungaya8038 ปีที่แล้ว +1

    Tapeli huyo Mungu anakiona , unadhulumu kabisa

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 ปีที่แล้ว

      Acha makasiriko, fanya kazi kwa bidiii. Wewe sio Mungu acha kuhukumu.

    • @chrismassawe2939
      @chrismassawe2939 ปีที่แล้ว

      Fanya na ww utapeli ishu ni unanini Njia ya kufika hapo juu utajua ww (yote kwa yote ni umaskini unadhalilisha

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah ปีที่แล้ว +4

    Hela za bandiri, INAUMA

    • @missminnatz
      @missminnatz ปีที่แล้ว +1

      Fanya kwa bidii jifunze mapato na matumizi ya fedha acha fikra za kimaskin usijituma utatumika loh watz fikra zen fupi mkiona mtu kafanikiwa tyr mshamtengenezea habar zenu wakat wanahustle hamuoni ila mafanikio yao yanakuja kuwaamusha na kelele nyingi waafrc bana wivu wa kimaendeleo mwingi, mnakuja mjua mtu akishafanikiwa wakt wa shida wala hamuoni😂 mxiuuu achen roho za kimaskin bana fanyen kazi kila kitu kinawezekana na muache matumiz mabovu ya fedha nunua nawe tuione

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 ปีที่แล้ว

      Wivu

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 ปีที่แล้ว

      WIVU TU HUYU ANAHANGAIKA MIAKA 30 ILIYOPITA

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 ปีที่แล้ว

      WAKATI MWAKA 2000 ANANUNUA BALOON WE ULIKUWA UNAMILIKI NN?

    • @chrismassawe2939
      @chrismassawe2939 ปีที่แล้ว +1

      Wivu +roho mbaya =uchawi

  • @oyay2821
    @oyay2821 ปีที่แล้ว

    DPWorld wamewezesha

  • @abrahamlabby2230
    @abrahamlabby2230 ปีที่แล้ว

    Hiyo kampuni itakuwa na magari mazuri kwa sababu ya jamaa wa yanga

  • @khadijajuma6271
    @khadijajuma6271 ปีที่แล้ว

    Maulid ni mtu mzima lakin hazeekiii😂😂😂😂