Me ya kwangu jamani hiyo lock ikianza kutoa hewa hakibani tena mvuke unatoka moja kwa moja then inaniunguzia😥na mwanzo haikua hivyo. Nisaidieni tatizo ni nini??
Aunt samhn mm ninayakwang lkn kunabaadhi ya vitu haijaandkwa je nawez nkapikia kit chcht mfn maharag makande yaan chchte hakiykuwa havijaandkwa hp kwny hilo jiko
asante sana, nmenunu hii kitu imebid nije nijifunze kuitumia kwanza
😂 kama mm tu
Ya kwangu cha kuhesabu dakika hakijirudii nafanyaje?
Ikitokea imeunguza tatizo ni nini??
Naomba namba zako za sinu
je kama na ikiweka taa ya kijana na maharage yanakuwa hayajaiva bado inakuwaje hiii
Kipenzi nielekeze jinsi ya kupka nyama Kwa pressure cooker
Me ya kwangu jamani hiyo lock ikianza kutoa hewa hakibani tena mvuke unatoka moja kwa moja then inaniunguzia😥na mwanzo haikua hivyo. Nisaidieni tatizo ni nini??
Kwani hakuna fundi na inakula umeme
Aunt samhn mm ninayakwang lkn kunabaadhi ya vitu haijaandkwa je nawez nkapikia kit chcht mfn maharag makande yaan chchte hakiykuwa havijaandkwa hp kwny hilo jiko