Muheshimiwa jussa mungu akuweke akupe umri mrefu hakika ww ndio pekee uliebaki kuikomboa zanzibar yetu na sku moja inshaallah zanzibar yetu tutaikomboa tutakua huru kwa uwezo wa allah
Mheshimiwa kilaninapo kuona na kukuskiya hotuba yako bado naendeleya kutokwa na machoz namkumbuka sn maalimu seifu mungu amlaze mahala pema peponi na sisi mungu atujaliye kile alichotuwachiya tukitimize kugonbowa nchi yetu.
@@nailamohd7693 wananisuuza roho yangu wallah uyo maalim alikua ananimaliza asa Allah amrehem nlitaman sku moja awe raisi wetu yani nlikua Kila siku naivutia picha siku akiwa raisi😓
inshaallah mimi ni UK mwaka wa 20 sasa lakini naamini hawa wanafunzi wa Maalimu walio hitimu wakiikamata Zanzibar wataifanya Zanzibar kana Singapore kama lile lile len'go la Almaroohum Maalimu Seif Sharifu bin Hamad..
Mh . Ismail Jussa namkubali mno na moja kati ya sababu n kwamba yy ni mtu ambaye ana uwezo mkubwa wa kujibu na kujenga hoja kwa namna zote ukileta hoja kihuni bas aweza kujib kihuni kliko ufikiriavyo na ukileta hoja kistaarab bas yy ni mstaarab mno kwa hvyo ngoma ichezwavyo ndivyo ipigwavyo...
Viongozi kama hawa ndio wanaotakiwa hongera sana baba Jusa haturudi nyuma
Jussa tupo p1 inshallah ,one day tutasahau yote ayo inshallah 🙏
I am proud of you Ismail wewe Marshal💯👌
Maashaallah mimi nam
cop Almaroohumu Maalim Ismail you was born to be Politician 💯👌,Allah akuweke wewe hadhina ya Wazanzibar...thanks
Mashaallah unajitahidi kiongozi wetu Ismail jussa nakupenda kwa ajili ya Allah sw
Pambana tuko pamoja
Muheshimiwa jussa mungu akuweke akupe umri mrefu hakika ww ndio pekee uliebaki kuikomboa zanzibar yetu na sku moja inshaallah zanzibar yetu tutaikomboa tutakua huru kwa uwezo wa allah
Allah akufanyieni wepesi mpaka zanzibar kamili
Sawasawa kiongozi Allah atatufikisha safari yetu ya zanzibar kamili ❤️
Ismael Jussa ni Icon ya Chama chetu cha Act wazalendo' Insha'Allah tunahitajia uje Ugombee Nafasi ya Rais Zanzibar.
Mungu akueke jussa
A true patriot and a true Zanzibari who never shook or lost hope
Mheshimiwa kilaninapo kuona na kukuskiya hotuba yako bado naendeleya kutokwa na machoz namkumbuka sn maalimu seifu mungu amlaze mahala pema peponi na sisi mungu atujaliye kile alichotuwachiya tukitimize kugonbowa nchi yetu.
Huko peke yako
Mie ndio nasangaa kuona watu ikija mchango wanachama wengine au Wazanzibar wengine waseme wamechoka hawa uzalendo wao una mapungufu
Naona raha kumsikiliza mhe. Jussa
Hujanishinda mimi😊
Ah naona mimi ndio no 1 sichoki kumsikiliza 😃 baada ya Maalim anafata Mheshimiwa Jussa
@@nailamohd7693 wananisuuza roho yangu wallah uyo maalim alikua ananimaliza asa Allah amrehem nlitaman sku moja awe raisi wetu yani nlikua Kila siku naivutia picha siku akiwa raisi😓
inshaallah mimi ni UK mwaka wa 20 sasa lakini naamini hawa wanafunzi wa Maalimu walio hitimu wakiikamata Zanzibar wataifanya Zanzibar kana Singapore kama lile lile len'go la Almaroohum Maalimu Seif Sharifu bin Hamad..
Mh . Ismail Jussa namkubali mno na moja kati ya sababu n kwamba yy ni mtu ambaye ana uwezo mkubwa wa kujibu na kujenga hoja kwa namna zote ukileta hoja kihuni bas aweza kujib kihuni kliko ufikiriavyo na ukileta hoja kistaarab bas yy ni mstaarab mno kwa hvyo ngoma ichezwavyo ndivyo ipigwavyo...
Mashaallah hongera sana
Ma Sha ALLAAH
Sawa sawa
اطال الله في عمرك يا الرجال
Allah akuhifadhi.
Kabisa kheri kubwa
Bado hatujakata tama ,Mapambano yanaendelea mpaka tone la mwisho la damu yetu.
nasie wanachama pia tulikuchangia kwenda kusoma
Hizo mashine zenyewe zishawashinda
Gd
SEMA sana lakini kwa urais mtaishia kunawa
Kama Mungu ni baba yako basi wataendelea kunawa
Ila kama Mungu yupo basi inshaallah siku akiamua tu
Jusa kumbaro
This man is an Arab