Mungu wangu pia mume mwema anatoka kwako,,,na nimekuomba nangojea huu mwaka mungu tenda tu kwa ajili yangu am 24years and I need a home,,a family 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
This song has been a timeless blessing! Today, I make this prayer earnestly. May our Good Lord bless me with a good Wife. I believe one day I will come back and testify.
Nakupenda Sana kaka yangu.maana baba yangu alikuwa unaupenda Sana me nikiwa sijuwi maanayake kumbe baba anamuimbia mama❤ nasasa nipo 2024 namuomba mungu namimi snipe mume mwema❤
Vraiment gloire à Dieu tout puissant maître de l, univers pour moi je ne s, aurais qui est la bonne femme,or la belle famme viens de Dieu, c, est une faveur que Dieu accorde aux hommes une fab
2024 tujuane hapa kwa like 😊
nipo mkuu
Mke mwema
Bonny uishi milele kwa ajili yetu❤❤❤, Jana tuli shitushwa na habari za kifo chako ila Mungu alisaidia we ni mzima, zilikuwa habari za upotoshaji
Mungu wangu pia mume mwema anatoka kwako,,,na nimekuomba nangojea huu mwaka mungu tenda tu kwa ajili yangu am 24years and I need a home,,a family 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Hello kathuree
Hello too
Please, contact me
I want you to be my wife😊
❤❤❤❤
2024 Leo maisha yamenipiga nikaikumbuka hii nyimbo nikaitafta , acha tu nioe nimechoka
Nimechekaaa
Who else come to watch after death confirmation 😢😢
Me here.😢
Me
Ni uongo hajafa
Me
@@Janet-uy5by Doh nmeona kwa kasolo,,aki watu
Kupitia huu wimbo nipokee mume mwema kutoka Kwa Mungu
Please, contact me
Urinipa mke mwema rkn akurudi kwako Asante kwa yote mungu wangu 😭😭😭🙏
Pole sana 😢😢😢😢😢 MUNGU mwema
❤❤❤pole usijali Maisha iko hivo
This song has been a timeless blessing! Today, I make this prayer earnestly. May our Good Lord bless me with a good Wife. I believe one day I will come back and testify.
Amen pastor..May God answer you Bonnie..
Amen may God open ways for you🙏🙏
Am here as mke mwema 4 you
Mtumishi no worry nakuombea maisha marefu ya Amani na afya njema ktk Yesu
So Amezing song yaani mungu naye ninani.hawezi kukunyima unayemtaka
Huu wimbo ninanikupusha my mum alipofariki nikikumbuka huu wimbo nataaza kukumbuka my mum
Huu wimbo unanikumbusha. Marehemu babaang alipoachana na mamaang akawa anashnda kutwa anacklza huu wimbo😢
Nikweli❤🎉amina
@@millicentakinyi55045:53 5:53 Nike kamaujapata mkemwema kaziunayo
Nikweli bila mungu huwez kumtambua aliye mwema ni mungu tu anayejua sirin
Kutambua mke mwema nikaz@@millicentakinyi5504
Ni Kweli Hilo Mungu tu Ndiyo anajua mke mwema
Mwanamke bira mume hajakamilika mungu nasubir mume bora kutoka kwako mwaka huu😢🎉
Mungu anipe make mwema
Thank you Bony for this song..Be blessed from Kenya..Mimi hujiuliza mke mwema hutoka wapi..nimejua sasa..Asante..barikiwa..
Ulinipa mme mwema akarudi kwako,Bado nangojea mapenzi Yako yatimie
2024 tuko tunangojea mke mwema
Nakupenda Sana kaka yangu.maana baba yangu alikuwa unaupenda Sana me nikiwa sijuwi maanayake kumbe baba anamuimbia mama❤ nasasa nipo 2024 namuomba mungu namimi snipe mume mwema❤
Please Sasha, contact me
Hitting song. It's true good husband and wife come from God
Munguu mwaka 2024 naomba mume bora na sioo bora mume
Hii wimbo ni mzuri sana kwa wale wote tuko nyumbani tujue kwambia ni mungu atatupa mwaume mwema kw hivyo tuanjie mungu kwa Kila jambo
Bwana get out and look for a husband. Usikae hapo ati Mungu atakuletea bwana.
Bonsoir serviteur de dieu je suis vraiment dans la joie pour avoir s'aboné à vous je suis à Kinshasa
Jina la Mungu lapewa sifa kuupitia uu wimbo wako mama,ubarikiwe milele bukuku
mungu tuzaidia pia tupate mume mwema
Mungu akutieee nguvu Bony mwaitege, Wimborne mzuri sanaaa
Nimemuomba Mungu nangojea mke mwema 🙏
Asante sana bony najickia Raha sana ninaposikiliza 😅uy wimbo
Kupitia wimbo huu mke Mwema_Nimekuomba Mungu wangu pia mke Mwema anatoka kwako Bwana!!
Nabarikiwa na huo mwimbo🔥🔥🔥
ata afya njema vivyo hivyo mungu nimekuomba afya njema kwangu na kwa uzao wangu na Nina Imani Kuwa nitapata
Wow my one and only ❤️⭐⭐
❤ I love this song and I will continue waiting
Nimekuja hapa baada ya kusikia umefariki kumbe ulikuwa uzushi
Pia mimi imgn
Kupitia wimbo huu nahamn mungu utatenda nipate mke mwema mcha mungu
thanks Kwa message nzuli ulontumia nmejifunza kitu kabisa🙏 be blessed
Vraiment gloire à Dieu tout puissant maître de l, univers pour moi je ne s, aurais qui est la bonne femme,or la belle famme viens de Dieu, c, est une faveur que Dieu accorde aux hommes une fab
Aki nimejifunza kuwa mke ni wa mhimu sana katika nyumba
This song has made me cry.i never realized it's symbolism until now
Daaah asate boni mwatege mm ninamke lakini kama sina mke napata tabu kiukweli tuombeane ila mungu anakusudio lake
Enzi za nyabatango oyeeeeeh daaah siku ni Habari sana
Mungu nibariki na mume nimechoka KUKA pekee yangu
Kweli,?
Kweli mke mwema anatoka kwa Bwana 🙏🙏
Bony nyimbo hizi mbona zilitubariki sana, kiasi cha wengi kuokoka kuliko matoleo yako mapya?
mimi pia Mungu nipe mke mwema nangojea
We thank God. Wonderful.
Kweli kaka ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wimbo unanikumbusha nikiwa mdogo sana nakati ya musoma
Mafanikio ni mungu 100%
It was hit song ...I can remember this song my mom liked it until she died
Huu wimbo unanikumbusha nikiwa primary,nikiiba sony teki yabuda nikiizikiliza huu wimbo
Inanikumbusha sn hii nyimbo
Baba pati wa vwawa yumba yako eyapoti ya zamani hari yahewa duu
Leo nimekukumbuka huu wimbo
ASante kaka bonny napenda sana nyimbo tamu❤❤❤
my prayer nipate mke mzuri🙏
May God bless u so much Am from kenya
Mwanamke ni mashine ya kusaga na kukoboa kwer
Kwanini hu wimbo haikufika 10million views😢sually
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Now🇵🇦🇵🇦🇵🇦🇵🇦🇵🇦
I will play it on wedding day
May his soul Rest in Peace
are you mad
Boni hapa ilikua bado mshamba sieti
Nabalikiwa sana na uu wimbo
Nice song
Ubarikiwe ndugu.nyimbu nzuri
unanikumbusha mbali san
Mume mwema hutoka kwa bwana
Thanks brother for this
Ni maandiko matakatifu.amen
This make me cry....
Waaaah,wanikumbusha mbali sana.😅😅😅
Still blessing this song
Wimbo mzur sanaa asilimia 100
Unahuzunisha pia unafurahisha but all in all nimuzur
🙌 🙌 🙌 ,,safi kabisa
Hata Mimi nakumbuka mbali sana
Lovely wife
🙏🙏🌸🌹 for real keep it up
Mbona ulitoa video ya "siku zinakuja?"
2024 ❤
Ooh God help me
Kwema mchungaj❤
Ndio kwema
Mungu akulinde
😁😁😁, hapa hatupangishi vijana ambao hawajaoa ...mmh, hapa katupiga na kitu kizito
Mungu abari sana
Wimbo nzuri sana wa ushauri
Ni nyimbo nzurri
Thanks God thanks Jesus and u brother God bless you with this song 🙏🙏🙏🙏🙏👏👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋
Bonny l love u aky
Hii nyimbo inakumbusha saana bibi yangu
Nangojea mkemwem
Emeeeni❤
Genesis 1:1🤔
Mungu naomba mke mwema🙏
😂😂😂 vipi kuhusu hizi ngu zinakutosha kweli
🙏🏼🙏🏼
Inspiring
Ameeeeeeen ameeeeeeen
Amen 🙏🙏🙌🙌
Safi