MUONEKANO WA NDANI, KABURI LA BILIONI 1 LA TAJIRI ALILOJIJENGEA NA AKAZIKWA LEO..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • MUONEKANO WA NDANI, KABURI LA BILIONI 1 LA TAJIRI ALILOJIJENGEA NA AKAZIKWA LEO..
    MWILI wa mganga wa jadi, Anthony Lumuliko Mwinami almaarufu Dokta Mwandulami, mkazi wa Kijiji cha Wangama, Kata ya Mtwango mkoani Njombe, umezikwa leo Julai 09, huko nyumbani kwake ambapo alijijengea kaburi lake la Bilioni moja akiwa bado hai.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 448

  • @ibrahimhemedi9079
    @ibrahimhemedi9079 3 ปีที่แล้ว +28

    Kufa ni kufa nothing else uzikwe hewani au mchangani mwisho wa maisha yote Amen.

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 3 ปีที่แล้ว +5

    Subhannahllah Allah atupe mwisho mwema, Alhamdulillah kwakuwa muislam

  • @MyName-wd8cp
    @MyName-wd8cp 3 ปีที่แล้ว +27

    Kifo ni kifo uzikwe kifaghar ama kimasikin, hisabu nikwamba umesha kufa. Mazishi mazur hayampelekei mtu kuingia peponi Ila kwa Amali njema (matendo mema)

    • @silasilevokatus3240
      @silasilevokatus3240 3 ปีที่แล้ว +1

      Xikwakufuluiyooooooooo atambinguniafikiiiiiiiiiiii ataixhia motoniiiiii mileeeree amen

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 3 ปีที่แล้ว +1

      Mm na shangaa, kuna watu wenyeshida wako hai, watu wengine wanachezea pesa badala ya kutanguliza kwa mungu kesho ukazikute.

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 3 ปีที่แล้ว +3

      Tumshukuru الله wote ambao tuko kwenye dini ya hakki, nazani tumeelewana, czani kama kunaambae alishawai kufanya huu upuuzi.

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 3 ปีที่แล้ว +1

      Kuna mayaatima, kuna watu wanaumwa kuna watu wana lala njaa na shida nyingi cczoelezeka, etu mnacheza na pesa. Malaika mnao usika fanyeni kazi yenu.

    • @lovemwantiti8130
      @lovemwantiti8130 2 ปีที่แล้ว

      @@myunaniniahmad6463 amiiin

  • @rahimaan6481
    @rahimaan6481 3 ปีที่แล้ว +10

    Alhamdulillah ya rabby kwa kunijaalia kuwa muislamu naona fahari 👏👏

    • @neemamdami7466
      @neemamdami7466 3 ปีที่แล้ว +1

      Usilinganishe dini na mhemko wa mtu.
      Naona mnaidharau sana Dini ya Kikristo kwani ililetwa na mtume au na Mungu mwenyewe.
      Muachieni Mungu kazi yake yeye ndio atajua ahukumu vipi

    • @evelynsalila9700
      @evelynsalila9700 3 ปีที่แล้ว +1

      Ukiwa muislamu ndo haufi au

    • @rahimaan6481
      @rahimaan6481 3 ปีที่แล้ว +2

      @@neemamdami7466 mbona makasiriko 🤣🤣🤣kiufupi ukifa mkristo motooooon hakuna mjadala hyo sio dini ya Allah ni watu tu walibuni upooo kwaio jiandae na adhabu ya Allah hakuna kufichana hpaa moto unawahusu kama ww ni kafiri upooo 😂😂😂kama ukichukia chukua sumu unywee 🤣🤣🤣✌️

    • @rahimaan6481
      @rahimaan6481 3 ปีที่แล้ว

      @@evelynsalila9700 hahahaha jmn mbona jazba 🤣🤣🤣kufa tunakufa ttzo umefia kwenye ukafiri au sasa nyie makafiri moto wenu ni waina yke pole my hio ndo hali halisi 🤣🤣🤣ukivimba basti 😂😂😂

    • @evelynsalila9700
      @evelynsalila9700 3 ปีที่แล้ว +2

      Mmmh unyenyekevu ni kitu kizuri kweli huyo kafa wew unaanza kujadili dini za watu vipi mda mwingine siyo lazima kukoment kama hujaelewa jambo na unavyo sema wakristo tukifa motoni utafikili wew ndiyo mwenye mbingu (pepo) mwenye mbingu ndo atakae amua siyo wew sawa🏃🏃

  • @jrrashidi8955
    @jrrashidi8955 3 ปีที่แล้ว +3

    Jamani umu wengine msijifanye kama mmetumwa na mungu kuja kuhukumu pambaneni na alizenu mbona nyinyi wengine ni wezi , wachawi ,wazinzi wanafki mungu ana wachoratu wala awawekei mabango

  • @hadijambwana9068
    @hadijambwana9068 3 ปีที่แล้ว

    Naomba mungu nae aoneshe maajabu yake zAid ya uyo marehem alivoonesha kituko.mana aqkma alisamin kuanatakufa bas alitakiwa kujua kia kunamungu anaeweza zAid ya yye.wezake wakigundua kia ataufanye nni bado kuna mungu muamuz wa mwisho bas uwa wanaish kia na vtu vya kfahar na kutovuka mipanga ya maajabu

  • @alicebutoyi3615
    @alicebutoyi3615 3 ปีที่แล้ว +1

    Atawoza. Anuke kweri🤔. Emungu wangu. Mwiri kweri umefadhiwa vizuri. Ira Rohoooo nayo

  • @captaindunga.5849
    @captaindunga.5849 3 ปีที่แล้ว +15

    Hizo ni mbwembwe tu sana sana amejiongezea zambi... kichapo kipo pale pale mana hiyo ni kufuru.

    • @ryamhassani1441
      @ryamhassani1441 3 ปีที่แล้ว +3

      Ukimwambia mwenzako ana dhambi je wew ni mtakatifu only GOD knows

    • @edinanchimbi702
      @edinanchimbi702 3 ปีที่แล้ว +2

      Ametumia helazake kuuhifadhi mwili wake sio dhambi. Na amepunguza adhabu ya udongo mengine hakina ajuaye ya ahera pengine wewe unayehumu ndio kitakipata

    • @captaindunga.5849
      @captaindunga.5849 3 ปีที่แล้ว

      @@ryamhassani1441 wee ni mtoto wa kiislamu au laa sijui pengine ni jina tuu umeamua kutumia... ila kama ni muislamu kweli ni zambi kutetea upuuzi watu ndo wanakwenda na wakati ila mambo ya kidini hayaendi na wakati walivoelekezwa na allah ndivo hivo mpaka dunia inaisha. Sasa kama kweli we ni muislamu hembu tujuzane ni wapi au ni kitabu gani cha dini kimehalalisha makaburi ya namna hiyo? Tuache mihemko munguanasema HAWATAKUA RADHI MAYAHUDI NA MASARA MPAKA MFUATE MILA ZAO. Hizo ni mila za wayahudi muisla ukishadadia umepotea.

    • @captaindunga.5849
      @captaindunga.5849 3 ปีที่แล้ว +1

      @@edinanchimbi702 ukisema hivo unakosea kazi ya pesa sio kumuhifazi mtu masuala ya kidini hayaendo na wakati ila watu ndo wanaenda na wakati masuala ya kuzikana yote yameongelewa hadi kwenye vitabu... sasa hebu niambie mtume gani au nabii gani aliwahi kuzikwa kwa staili hiyo? Sema tunapotoshwa na utandawaz ndo mana unakuta kaburi linawekwa tairiz hiyo ni kufuru waislamu huwezi kuwaletea upuuzi huo hata kama ulikua na pesa kontena utaratibu wa mazishi ni ule ule.

    • @fatmaismail7683
      @fatmaismail7683 3 ปีที่แล้ว +1

      Ndugu yangu iko ivi ujijengee usijijengee adhabu ya mungu iko palepale unapojiskia kufanya kitu hapa duniani we kifanye tu we Fanya tu kinachowezekanika

  • @aarthuranangwe532
    @aarthuranangwe532 3 ปีที่แล้ว +10

    Mchezo huo uezi Fanya Kenya....Hilo geneza litaibwa na marehemu kutupwa hapo chini...MTU kama amekufa amekufa ...Yanini kuharibu fedha zote hizo wakati maskini walala Hoi wanakufa njaa...alafu mnafanya na maombi kabisa !...sio poa mjue

  • @mawaidhatvonline4601
    @mawaidhatvonline4601 3 ปีที่แล้ว +16

    Jeneza ml 3 lkn hajakutana na mola wake akiwa salama mtihan mkubwa sana

  • @salahsalum5543
    @salahsalum5543 3 ปีที่แล้ว +3

    Kama kataka hivo kwa heshima zaidi wasingemtia kwenye jeneza Bali wangemkalisha kwenye kiti ameegemea na suti yake na feni limpepee ama aisii na MKONONI wangemshikisha simu na foñi masikioni na Kila baada ya MDA kuja kumbadilisha nguo na kuogeshwa kwa Mpira Kama inavooshwa gari car wash na pafyumu hapo ñdio watamuenzi kiheshima zaidi

    • @wasalimie11
      @wasalimie11 2 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 jamani 😳😳😳😳😳

    • @user-ro3ke1vt5f
      @user-ro3ke1vt5f 10 หลายเดือนก่อน

      😅

  • @tuzonyava8306
    @tuzonyava8306 3 ปีที่แล้ว +7

    Cc wabena tupunguze kujikweza ,kwani kama hatuna kwakuweka pesa zetu hapa Njombe tutafute mikoa mingne tuwasaidie watu wenye matatzo na kama hawapo wenyematatzo hapa Tz tupeleke pesa zetu huko Madagascar zikanunue vyakula watu wasife njaa

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 3 ปีที่แล้ว +1

      Mwache ni hela zake

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 3 ปีที่แล้ว +4

      kweli kabsa ndugu una akili sana Allah akubarik kwa uwezo mkubwa wa akili na huruma na kutokuwa mbinafsi Allah akubarik wingine ubinafsi na uchoyo ndi unapelekea haya wakat binaadam winzie wanakufa njaa naye akifa anaoza hatobaki kitu kuna umuhimu gani wakugharamia kitu ambacho kitaish mifupa na watu hawaiyoni

    • @musafute2793
      @musafute2793 3 ปีที่แล้ว +1

      Ni hela zake tafta za kwako kasaidie watu

    • @jacksongeorge3964
      @jacksongeorge3964 3 ปีที่แล้ว

      Tafuta zako ndo uzipangie hivyo sio za watu

  • @lucynelsonmungure1719
    @lucynelsonmungure1719 3 ปีที่แล้ว +2

    Kaburi ndani ya nyumba na uko juu watu wanaishi au maana naona mapicha picha tu kweli dunia ina mambo hii ndo nini sasa

  • @barakashadrack7695
    @barakashadrack7695 3 ปีที่แล้ว +8

    Yaaan mm nilijua huko mbele kumbe ni hapa Tz

  • @wemapingu8937
    @wemapingu8937 3 ปีที่แล้ว +1

    Khaa hili kaburi au chumba. Kweli ukiwa na pesa unajikuta hata Mungu unammiliki. Kweli Mungu ni wapekee

  • @aishatarimo6780
    @aishatarimo6780 3 ปีที่แล้ว +6

    Jaman mm huyu baba namfahamu alikuwa mganga mkubwa sana pale Njombe jina la uganga alikuwa anaitwa Mwandulami

    • @simonmushi5569
      @simonmushi5569 3 ปีที่แล้ว

      Mbona kazikwa na padre wakat hawaruhusu?

  • @lordsmenas3267
    @lordsmenas3267 3 ปีที่แล้ว +10

    Mungu mpokee mwenzetu huyu AMEN

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 3 ปีที่แล้ว +8

    Hii ndio Tanzania💥💥💥

  • @Myright888
    @Myright888 2 ปีที่แล้ว

    Pastor Ameshawaombea na wote watakaozikwa humo, au nimeskia vibaya?
    Eh Mungu utusamehe sote🙏

  • @ramadhaninyangasa7275
    @ramadhaninyangasa7275 3 ปีที่แล้ว +6

    Wote hao wametawaliwa na ibilisi, munngu anasema mtu akiwa haoni maneno yake hapa duniani atapata maisha ya dhiki duniani na siku ya kiama atafufuliwa akiwa kipofu, uislamu raha na Mambo yake mepesi,

    • @ramadhanmahongole5663
      @ramadhanmahongole5663 3 ปีที่แล้ว +1

      hiyo ni din yako ya uislamu na imani ya wenzio inasema ivo wanavyofanya soma vitabu vyote usisome msafi pekee ake halafu ukimbie kwenda kuwafundisha imani nyingine jinsi ya utaratibu wako

    • @user-rt1bz7lk4s
      @user-rt1bz7lk4s ปีที่แล้ว

      😂😂😂 huyuu alojijengea kaburi hilii anaonekana anaogopa kufaaa ndio maana kajijengea kaburi na katika na taaaa 😂😂😂😂😂😂

  • @kipletumba5781
    @kipletumba5781 3 ปีที่แล้ว +13

    Watu wanachati chini ya kabuli hahahahha

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 3 ปีที่แล้ว +1

    Hata Yesu Ajafukiwa Wakati Alikufa Ivo Yuko Sahihi

  • @esthernsami7732
    @esthernsami7732 3 ปีที่แล้ว +5

    Huyu ni mtu anayejifanya mkubwa kama Prince Philip wa uingereza. Watanzania wenzangu acheni kujikuza. Hayo siyo maisha halisi ya waafrika.Hakuna tmalii atakayefika hapo

  • @mosesmwailenge5192
    @mosesmwailenge5192 3 ปีที่แล้ว +10

    Apumzike kwa amani unalaisisha tuu utazani mbingu ya mjomba ako kama alikua mwenye haki atalipwA haki kama alikua mwenye zambi atalipwA ya zambi kwa iyo mungu ndyo top wa hukumu ya haki mwanadamu huwezi batilisha nihayo tuu loho itendayo zambi ndyoo itakayo kufa

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 3 ปีที่แล้ว

      tena afadhali hizo pesa angewapa wamasikin wakala hata kama alikuwa namakosa wale aliowasaidia wakiongea na mungu tu kuwa amsameh makosa yake ampe punziko la popen angeweza kusamehewa baadh ya makosa sabab sie binaadam wote tunamakosa na ndi maana hutubu na kutoa sadaka ili touba na sadaka zishiriki kwa pamoja kutuomnea misamaha ya dhat kwa Allah

    • @yusuphmalongo4514
      @yusuphmalongo4514 3 ปีที่แล้ว

      Kwer eti apumuzike kwa amani kivip maandiko yanasema mavumbini turitoka na mavumbini tutarudi sasa yeye kapingananMungu hajawekwa mavumbini inakuwaje sasa

    • @pitargamba9208
      @pitargamba9208 3 ปีที่แล้ว

      @@yusuphmalongo4514 isikuhangaisshe nae kaenda mavumbini maana mavumbi yamehusika kujenga hilo kabuli.

    • @pitargamba9208
      @pitargamba9208 3 ปีที่แล้ว

      @@yusuphmalongo4514 isikuhangaisshe nae kaenda mavumbini maana mavumbi yamehusika kujenga hilo kabuli.

    • @yusuphmalongo4514
      @yusuphmalongo4514 3 ปีที่แล้ว

      @@pitargamba9208 sawa nimekuerewa k

  • @belthonbakinikana9062
    @belthonbakinikana9062 3 ปีที่แล้ว +5

    Mchungaji ana kazi kwakweli

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 3 ปีที่แล้ว +4

    Ingefanyika ulaya msingeongea utumbo wenu, lkn kwa kuwa ni bongo watu wanaongea kama wamevimbiwa ndizi kisukari, nchi kibao tu watu hujiandalia makazi yao ya milele!

    • @dorahy1579
      @dorahy1579 3 ปีที่แล้ว

      James, Ulaya watu hawafanyagi ujinga ujinga. Ukifa au unavhomwa unarudi majivu au unaxikwa tu udongoni. Hivi ni vituko vya ulimbukeni

  • @subiramohd1895
    @subiramohd1895 3 ปีที่แล้ว +5

    Hahahaaaa kaburiii apo alipo halitaki hata kulisikiya hamujui tuu ee mungu nidumishe kwenye uislamu inshallah

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 3 ปีที่แล้ว +1

      insha allah yaraby na tufe tukiwa islam safi na tutoe shahada kwake Allah

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 3 ปีที่แล้ว

      Hiyo ni imani yenu lkn quran inasema hakuna hata mmoja wenu isipokuwa yule atakayeingia jehanam, usalama wenu uko wapi hapo? Quran 19:71. Kasomeni hiyo kwanza, mkibisha mje niwape aya nyingine nyingi za kutosha zinazoonyesha hamuendi kokote isipokuwa jehanam.

    • @frankmtei3017
      @frankmtei3017 3 ปีที่แล้ว

      Yesu ndie njia

    • @zumbeshauri8114
      @zumbeshauri8114 3 ปีที่แล้ว +1

      Hakika hii ni laana acha tubaki waisilamu

    • @frankmtei3017
      @frankmtei3017 3 ปีที่แล้ว

      @@zumbeshauri8114 laani ni nn????

  • @naimumtinda2494
    @naimumtinda2494 3 ปีที่แล้ว +5

    At mafundi ujenz bado haujaisha,vip ciku mkirudi kumalizia ujenzi mkutane nae akiwa kasimama mtamsalimia si et ee

    • @wlkmwlkm2174
      @wlkmwlkm2174 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @yahayab4u614
    @yahayab4u614 3 ปีที่แล้ว +1

    Namshukuru Allah kuwa mwislam makafir ni Moto 2

  • @africangirllifestyle7686
    @africangirllifestyle7686 3 ปีที่แล้ว +5

    Mungu ampunzishe amen

  • @lunkundijoseph9899
    @lunkundijoseph9899 ปีที่แล้ว

    Raha ya milele akupe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie amina

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja1762 3 ปีที่แล้ว +11

    Mmmhhhhhh, mi nilizan ndani kuna shimo, mmmmh hiii ni mpyaaaaaaaa,

  • @ambakisyejeremia4204
    @ambakisyejeremia4204 3 ปีที่แล้ว +3

    Pumuzika kwa Amani Dr Anthony Mwandulami

    • @claudiavictory3475
      @claudiavictory3475 3 ปีที่แล้ว

      Yan kumbe Mwandulami alikufa jmn,baba yule alikua mganga konki balaa

  • @moudywaziri2774
    @moudywaziri2774 3 ปีที่แล้ว +11

    Kina Firauni walizikwa kwenye mapiramidi lakini ndio wamekufa tuu

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 3 ปีที่แล้ว +5

    jaman

  • @isayasway4892
    @isayasway4892 3 ปีที่แล้ว +2

    Huo ni upumbavu ilibidi afukiwe na udongo ndio maana halisi ya mavumbini sasa hapo hawajamzika ila wamemuweka! Acheni kumkufuru mungu alaf isitosh alikua mganga wa kienyeji.

    • @dennisevarist
      @dennisevarist 3 ปีที่แล้ว

      Wayahudi wanafukiana chini?
      Wahindi wanafukiana chini?
      Wachina wanafukiana chini?

    • @boniphacelusato
      @boniphacelusato ปีที่แล้ว

      Je kuwa mganga ni kosa?

  • @magrethstanl5891
    @magrethstanl5891 3 ปีที่แล้ว +1

    mbona watu tukipata fedha huwa tunamkufuku mungu why yesu alizikwa kabsa na maandiko yanasema ulitokea mavumbin utarud mavumbin mbona watu mna fanya hvyo mungu hapend mfukien huyo mtu na udonngo muepuke laana

    • @dennisevarist
      @dennisevarist 3 ปีที่แล้ว

      Umewahi kufuatilia Yesu alizikwa kwa style gani? Unafikiri alifunikwa na udongo? Unaambiwa jiwe liliwekwa mlangoni mwa kaburi sio alifunikwa na udongo.

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 3 ปีที่แล้ว

    Ee Mungu,bariki vinavyostahilivBulletin kuombewa

  • @georgeswaiswai4581
    @georgeswaiswai4581 3 ปีที่แล้ว +10

    Sasa huo msalaba,wanini,mbona mnaidhalilisha,msalaba,huyo vyake,nivibuyu,namkia wafisi

    • @miriammworia1297
      @miriammworia1297 3 ปีที่แล้ว +1

      Msalaba Ni mti wa aibu kwa hiyo akiwekewa msalaba Ni sawa.

    • @miriammworia1297
      @miriammworia1297 3 ปีที่แล้ว

      Vibuyu ni aibu na msalaba pia Ni aibu.

    • @joymsupagladysijeya8384
      @joymsupagladysijeya8384 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂Pole nimecheka

  • @wasalimie11
    @wasalimie11 2 ปีที่แล้ว

    utazania hekalu ya malkia😭😳😳siwezi hata kusema RIP juu bado hajarudi mavumbini msishindane na m mungu inaweza ikaporomoka anytime

  • @daudichawo240
    @daudichawo240 3 ปีที่แล้ว +5

    Sasa imebaki nyumba ya mizimu😊

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtu akishakufa haombewi na ukimuombea unapoteza muda wako tu,mara tu baada ya kufa ni hukumu,palipo nafsi ya marehemu ndipo matendo yake yalipo. Hakuna ktk Biblia palipoandikwa kuwa ombeeni marehemu,someni neno la Mungu kwa makini

  • @mwajmikoroti3230
    @mwajmikoroti3230 3 ปีที่แล้ว +1

    Innalillah wainnailayh rajuun Allah tusamehe hatujuh tulitendalo

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 3 ปีที่แล้ว +4

    Naona wameweka na socket jirani na sehemu itakayowekwa jeneza sasa sijui watampa na Smart Phone

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 3 ปีที่แล้ว +6

    Nadhani hamjui Mwili wa binadamu unavyotia harufu kali Mtakuja kimbia nyumba hiyo.

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 3 ปีที่แล้ว +6

    Wanarana

  • @vianerymgaya8834
    @vianerymgaya8834 3 ปีที่แล้ว

    Huyu ni mganga wa kienyeji maarufu sana mkoani Njombe

  • @ModestaMassawe-br1bw
    @ModestaMassawe-br1bw 7 หลายเดือนก่อน

    Kungekuwepo na rufaa ya kifo alikuwa na uwezo wa kukata rufaa haki Iko Kwa Mungu tu

  • @goncerhaule1874
    @goncerhaule1874 3 ปีที่แล้ว +11

    Jamani wengi mnamuhukumu kama mbingu hataiona niyeye nawewe uangalie yako tukisoma bibilia tunaona wazee wetu walikuwa nawake wangapi

    • @oopsm3574
      @oopsm3574 3 ปีที่แล้ว +1

      Siku ya mwisho kiama mbingu zita kunjwa kama karatasi biblia Inasema hivyo

    • @TharsilaAthanas-iu2qf
      @TharsilaAthanas-iu2qf 7 หลายเดือนก่อน

      Mbingu hazikunjwi zinakua milango ndan ya quran

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 3 ปีที่แล้ว +3

    Wamuekee na mziki mamma mapesayoo wa daimond na TV

  • @hadijambwana9068
    @hadijambwana9068 3 ปีที่แล้ว

    Mh jmn mungu mmoja ata angetaka azkwe mlangoni akiwa amekaa ktk kiti bado angekufatuu

  • @dennisevarist
    @dennisevarist 3 ปีที่แล้ว

    Hapo naona kwa macho ya kibinadamu ni kwamba tunaona jamaa anazikwa na ibada ya kidini inafanyika na sisi tunajua jamaa hakuwa mtu wa dini ila mganga wa kienyeji. Japo hatujui nyakati zake za mwisho jamaa alifanya kitubio au hakufanya hayo anajua Mungu na hao viongozi wa dini. Tofauti na hayo sioni kosa jingine sababu kama ni namna ya kuzikwa kwamba watu walitaka afukiwe na udongo nawakumbusha tuu kuwa hata Yesu na manabii na mitume wengine hawakufukiwa ila walihifadhiwa kaburini sababu ndio utaratibu wa Myahudi, msijifanye mnajua sana na huku maandiko hamsomi, mnasubiri kiongozi akujaze mauwongo uyabebe

  • @jubilatemanase9050
    @jubilatemanase9050 3 ปีที่แล้ว +22

    Wangeweka na lift ya kushusha jeneza ingependeza!

    • @magrethdavid3377
      @magrethdavid3377 3 ปีที่แล้ว +1

      😆😆😆😆

    • @gracedotto5523
      @gracedotto5523 3 ปีที่แล้ว +1

      Kamekufa kabra kabr halijaisha

    • @joycechaz2840
      @joycechaz2840 3 ปีที่แล้ว +1

      @@gracedotto5523 yani si aliplan ujenzi uishe lini dah ukiwa na pesa ni shida😢

    • @happinesszabron6811
      @happinesszabron6811 3 ปีที่แล้ว

      @@joycechaz2840 hahahahaaaaa jamn mi mnanifurahisha

    • @happinesszabron6811
      @happinesszabron6811 3 ปีที่แล้ว

      Sasa kawekwa hapo afufuke au itakuwaje pesa hz kwakweli ni maradhi

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 3 ปีที่แล้ว +8

    Kinacho fata akiwa anaharibika harufu itakuaje duhhh.patakua hapatoshi

  • @mediotanzania2165
    @mediotanzania2165 3 ปีที่แล้ว +4

    Mambo ya Nigeria yamekuja na bongo tanzania

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 3 ปีที่แล้ว +3

    Hata ningezikwa kwenye kaburi la matirion. Swali. Je Roho yang inakwenda wapi , MOTON AU MBINGUNI.

  • @merryemanuel2674
    @merryemanuel2674 3 ปีที่แล้ว +1

    Maonesho hayo mungu tuhurumie Sisi waja wako Tulio baki

  • @sheddykayanda4369
    @sheddykayanda4369 3 ปีที่แล้ว +16

    Ama kweli mafundi wana kazi yaani watakua wanajenga na jeneza liko hapo kweli 😠😠😠😧

    • @subiramohd1895
      @subiramohd1895 3 ปีที่แล้ว +2

      Waache hata waje waone joka linatafuna maiti

    • @ayoubabdulrahman1305
      @ayoubabdulrahman1305 3 ปีที่แล้ว

      @@subiramohd1895 😁😁😁😁

    • @brightjosephat6910
      @brightjosephat6910 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣kwakweli

    • @bintysaid1964
      @bintysaid1964 3 ปีที่แล้ว

      @@subiramohd1895 hahahaha wamuone katolewa nje kajaa mavumbi

    • @happinesszabron6811
      @happinesszabron6811 3 ปีที่แล้ว

      Maiti atafufuka kuwasogezea udongo wamalizie kaburi lake mi ndo ingekuwa mwisho lkn comment za humu znanichekesha sana jmn

  • @asnathmasegenya9890
    @asnathmasegenya9890 2 ปีที่แล้ว

    Malaika walinde kaburi waache kulinda walio Hai maana u know how neno La Mungu linasema afavyo mnyama ndivyo hata mwanadamu maana wametoka mavumbini na mavumbini tutarudi

  • @bintally4891
    @bintally4891 3 ปีที่แล้ว

    makumbusho yake hayo . angekuwa kiongozi tungeona fahari kufanyiwa hayo maana viongozi wengi wamejengewa makaburi lakini kwa kuwa huyou aliishi kijadi tutaongea mengi sana.

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 3 ปีที่แล้ว +1

    Alikua Sawa Mana Mwili Wa Marehemu Inamana Kumbe Mtu Kabla Ya Dakika Za Kufa Unaweza Kuchukua Atua Ya Kujenga Kitu Cha Kuifazia Mwili Wako Inamana Mwili Ndie Wenye Kufa Nasio Roo Ajakosea Chochote Wenye Lawama Mjua Wazi Ajakosea Kujenga Kabuli La Kuifazia Mwili Wake

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 3 ปีที่แล้ว +3

    Malengo yake hayakuwa ufahari ila kuweka kivutio ili akumbukwe na watu wajue habari zake hata akifa sio mbaya ametumia jasho lake hajamchangisha mtu.

  • @benjamininyambaso5041
    @benjamininyambaso5041 3 ปีที่แล้ว

    Uyoo fundi anasema ijenzi bado unaemdeleaa😱😱😱

  • @zaitunihotti4110
    @zaitunihotti4110 3 ปีที่แล้ว

    Sijawah kuona mazishi ya namna hii wala kuskia kuna kitabu cha Mungu kilichosema kuna kuzikwa kwa namna hiyo hii ni waz kbs kiyama kipo krb

  • @qasimqasim3736
    @qasimqasim3736 3 ปีที่แล้ว +4

    Kwasababu tuu amewahi kufa kabla hajamalia angeweka, tv na friji kwaajili ya vinywaji

    • @yusuphmalongo4514
      @yusuphmalongo4514 3 ปีที่แล้ว

      Kabisa

    • @maryshantel6167
      @maryshantel6167 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,na kibaa chakishkaji kwaajiri yakuenjoy weekend angeweka uyo,sema mafundi wanaendelea naujenz so ukute wakaweka kagrosary apo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,mungu atuhurumie jamani pesa izi.

  • @wazirimohamedi4884
    @wazirimohamedi4884 3 ปีที่แล้ว +6

    Kua uyaone

    • @saadacharasaada1958
      @saadacharasaada1958 3 ปีที่แล้ว

      😀😀😀maajabu yadunia haki watu mnamano sana

  • @giftmusa6543
    @giftmusa6543 3 ปีที่แล้ว +2

    06:44 mchungaji kabla ya kuanza Sara niwaite wazee(Waganga wa kiengeji)

    • @omikajanja1134
      @omikajanja1134 3 ปีที่แล้ว

      Nami nimepata ukakasi wa uwepo wa mtumishi wa Mungu any mwenye kuhukumu ni Mungu pekee

    • @happinesszabron6811
      @happinesszabron6811 3 ปีที่แล้ว

      Hatujawah zika siye tukaendelea kuliona jeneza

  • @zynabmanyandeshi7143
    @zynabmanyandeshi7143 3 ปีที่แล้ว

    Mmh haya mapya.. sijawahi kuyaona tangu kuzaliwa kwang

  • @ashurahaji9115
    @ashurahaji9115 3 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo kali kama tungekuwa tunarudi tungejionea mambo yaani chini Kama ulaya du

  • @allyfaki7862
    @allyfaki7862 3 ปีที่แล้ว +1

    Mm najiuliza tu kipindi mafundi wanajenga alikua anaaga mke wa kia anaenda sait au???

  • @joymsupagladysijeya8384
    @joymsupagladysijeya8384 3 ปีที่แล้ว +2

    Uyo ataishi apo apo ndani awenzi enda freemason nimeani freemason wapo wapo sijawai ona tangu nizaliwe

  • @heritier5119
    @heritier5119 3 ปีที่แล้ว +3

    Hizo pesa angewasaidia masikini angejiwekea hazina yake mbinguni

    • @edinanchimbi702
      @edinanchimbi702 3 ปีที่แล้ว

      Misaada alikua anatoa sana. Alifanya ya watu na mwisho kafanya yake kwani kakosea nn jamani.

  • @jullykweka4502
    @jullykweka4502 7 หลายเดือนก่อน

    Ibada nusu mkristo wake watatu

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 3 ปีที่แล้ว +1

    Mh jamani huyu ni mganga wa kienyeji maarufu sana iringa tangu enzi hizo mi mdogo namsikia sana huko iringa wafanyabiashra wengi sana ni mashuhuda wa hili ss mchungaji na mganga wa kienyeji wapi na wapi? Au aliokoka kabla hajafa?

    • @estermwinami3130
      @estermwinami3130 3 ปีที่แล้ว

      Alikuwa muumini mkatoliki haswaa na alibadilika akawa anafanya clinic za tiba mbadala

  • @heritier5119
    @heritier5119 3 ปีที่แล้ว +4

    Pesa za masharti huwa unaambiwa siku ya kufa

  • @swalehmgumia926
    @swalehmgumia926 3 ปีที่แล้ว

    Mtumishi sijui anasalishaje swala ya maiti, ulirud kwa udongo na uliumbwa kwa udongo,, duh aisee

  • @marymwacha995
    @marymwacha995 3 ปีที่แล้ว

    Na MTU kuishi kwa kumtumainia Mwenyezi Mungu huwezi kuteseka ivi, kwanamna ingne nimateso tu kwani inamaanisha nn mmh! Hii ni dhehebu gani lkn?

  • @mohammedkhkombo4439
    @mohammedkhkombo4439 3 ปีที่แล้ว +1

    It doesnt matter how it made !

  • @amossteven4587
    @amossteven4587 3 ปีที่แล้ว +2

    Hata ukifanyaje mwili ni wa kuharibika tuu, lakini na hao mapdri wanaomba Mungu amsamehe makosa, sala zao hazina mana mbele za Mungu.

    • @liberatusmboje8332
      @liberatusmboje8332 3 ปีที่แล้ว

      hazina maana wewe ndo Mungu?

    • @anthoniam.nyangalima837
      @anthoniam.nyangalima837 3 ปีที่แล้ว

      Mungu atusamehe daima! Kamwe tusihukumu daima maana hata sisi sio wakamilifu

    • @dullarajab7901
      @dullarajab7901 3 ปีที่แล้ว +1

      Hii shida kubwa wallahi waandishi kaeni siku nne halafu nendeni tena tupate habari inshaaalla

    • @assilaibra4563
      @assilaibra4563 3 ปีที่แล้ว

      @@dullarajab7901 🤣🤣🤣🤣
      Labda Wamemkausha Asioze Kinyume Na Hapo Watakiambiana.

  • @hadijambwana9068
    @hadijambwana9068 3 ปีที่แล้ว

    Angafnya la ajabu kuzuia kfo chke.dah na mtumusha nae anaitoa ibada etc apo ndo kazikwa au?cjaelewa

  • @ashiraally527
    @ashiraally527 3 ปีที่แล้ว +3

    Mtangazaji eti hapa mweri ndo utakuwa ushafika duuh

  • @chawalive
    @chawalive 3 ปีที่แล้ว +2

    Jamani mimi nifundi hii tenda naiuza wengine muendelee mimi nimefika mwisho khaaaaa

    • @joycechaz2840
      @joycechaz2840 3 ปีที่แล้ว

      Kwanini umeuza

    • @happinesszabron6811
      @happinesszabron6811 3 ปีที่แล้ว

      Hahahaaaaaaaaa uza tu kaka maana hapo mmezikwa wote na maiti sa si mko kaburini

  • @esthernsami7732
    @esthernsami7732 3 ปีที่แล้ว +3

    Je kwa nini hakuwaza kujenga shule badala ya mabilion kutumika kwa kaburi

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 3 ปีที่แล้ว +2

    Makubwa😭😭😭😭😭🥺🥺🥺

  • @rokoowilfred2318
    @rokoowilfred2318 3 ปีที่แล้ว

    Hayo ni ya kibinadamu ngoma huko alipo mtu ambaye ni roho ndio Kimbembe yuko wapi?

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 3 ปีที่แล้ว +1

    no sense

  • @neemamdami7466
    @neemamdami7466 3 ปีที่แล้ว +4

    Sasa subiri harufu mpaka mlifukie

  • @agathaaroni7783
    @agathaaroni7783 3 ปีที่แล้ว

    Me ingekuwa mwisho kujenga,, mmmh

  • @cmsa1r
    @cmsa1r 3 ปีที่แล้ว +6

    Maaaaaagano

    • @essauchauya3161
      @essauchauya3161 3 ปีที่แล้ว

      Nimekuelewa sana yamkini hayo NI maagano kabsa.

  • @stellashore3104
    @stellashore3104 3 ปีที่แล้ว +3

    Ni kujipotezea muda tu.
    Bora hiyo pesa angeachia familia yake angalau wajipunguzie shida za hapa duniani

    • @clemencekaogo8826
      @clemencekaogo8826 3 ปีที่แล้ว

      Kwake na familia pesa haikuwa tatizo alitaka tu aweke kumbukumbu vzr pindi akifa

    • @gracenavilo5872
      @gracenavilo5872 3 ปีที่แล้ว

      Mpuuzi wewe umeona familia inanjaa kama unavofikiri wewe?Angalia maisha yako acha kuhukumu mwenye kuhukumu ni Allah pekee

    • @stellashore3104
      @stellashore3104 3 ปีที่แล้ว

      Grace hujaelewa bado, ukielewa utakumbuka.

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 3 ปีที่แล้ว +5

    Maajabu haya watu wanabariki kaburi ambalo wamo humo humo !!😂

    • @salmacazzy1915
      @salmacazzy1915 3 ปีที่แล้ว

      😂😂

    • @SHEIKHMWAIPOPOTV
      @SHEIKHMWAIPOPOTV 2 ปีที่แล้ว +1

      Huo ni upagani na nimila za kishenzi hata yesu hakuzikwa hivo Yani huyu mzee anaonekana hata ukristo haujui hiyo ni Mila ya kishirikina na mungu anamuuliza mudu huu anaonekana ni mtu anae taka sifa tuu hakuna lolote hapo

    • @devisshirima6780
      @devisshirima6780 2 ปีที่แล้ว

      @@SHEIKHMWAIPOPOTV hata mila haina uchafu huo Shekh !! Mila zenyewe wanawazika watu kwa namna inavyotakiwa! Huo ni utararibu wake aliojiwekea !! Alisahau kwamba akishakifa ataiacha dunia na fahari zoote alizojiwekea !! Firauni alizikwa na dhahabu pamoja na wajakazi waliokuwa wakimhudumia lakini mpaka leo hajawahi kurudi matokeo yake mabaki yake yamekuja kutolewa kwenye piramidi na wanasayansi na wanayachezea chezea tuu maabara ambapo angekuwa hai sidhani hata kuna mtu angeweza kumsogelea, dhahabu zake zimeishia kuwekwa makumbusho na zingine kuibiwa na kupotea lakini hajaweza kuzuia visichukuliwe. Isitoshe maandiko ya Mwenyezi Mungu yanasema mwanadamu ni udongo na udongoni atarejea, sasa yeye amerejea hewani Shekh yupo kinyume na Mungu mwenyewe !! Atapewa tuu umaarufu ambao hatauona wala hatousikia !!

    • @devisshirima6780
      @devisshirima6780 2 ปีที่แล้ว

      @@SHEIKHMWAIPOPOTV Na kingine kasahau kuwa hazina haiwekwi kwenye vitu bali inawekwa kwa watu pale utakapokuwa unaishi, na pia hazina inawekwa kwa Mwenyezi Mungu pekee ili hata ukifa hutaiona Jehanam. Kaburi la gharama ya mamiloni pengine alikuwa hasaidii ndugu au jirani waliomzunguka na hata sadaka alikuwa pengine hatoi !! Utukufu wa duniani utatumaliza wanadamu kwakweli

  • @sakinasakina1286
    @sakinasakina1286 8 หลายเดือนก่อน

    binadamu wengine tumuogope mwenyezimungu kwa hili jamani kufuru ya mwenyezimungu hiii

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 3 ปีที่แล้ว +2

    Mbona kama ana ishi tu mazishi haya kama freemason....eti umlinde ndugu yetu huyu alijua atakufa

  • @lusajojoram4522
    @lusajojoram4522 3 ปีที่แล้ว +16

    Siku akianza kunuka ndio watapata akili mganga wa kienyeji na wewe mchungaji njaa hujui huyo ni mpagani

  • @dianacharles5105
    @dianacharles5105 2 ปีที่แล้ว

    Huwa nikipita hapo huwa naogopa kabisa mm kwakweli

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 ปีที่แล้ว +1

    inawezekana naye ardhi imemkataa km ilivyomkataa firauni sisi tunaona ni mbwembwe lakini ni 1 ktk adhabu za Allah .

    • @joycechaz2840
      @joycechaz2840 3 ปีที่แล้ว

      Ardhi inaweza kumkataa akiwa hai?

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 ปีที่แล้ว

      @@joycechaz2840 Ardhi.inamkata anapokufa . mfano nzuri firaun

    • @joycechaz2840
      @joycechaz2840 3 ปีที่แล้ว +1

      @@kiri5807 ooh kumbe asante kunielewesha

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 ปีที่แล้ว

      @@joycechaz2840 🤝

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 2 ปีที่แล้ว

    Kumbe Ni mganga wa kienyeji

  • @PetVMyinga
    @PetVMyinga 3 ปีที่แล้ว +1

    Pamoja na kwamba kufa ni kufa tu hakuna hakuna anayependa kuzikwa vibaya ukishuhudia watu wanavyokuchotea chepe za mchanga khaaaaa

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 3 ปีที่แล้ว +3

    Wamezika kilocal kwa kufuata Mila na desturi zao

  • @aishadaudi1081
    @aishadaudi1081 3 ปีที่แล้ว +2

    Wakwe mbona kazi wanayo

    • @claudiajames2003
      @claudiajames2003 3 ปีที่แล้ว

      Hivi wakwe wangekufa kabla yake ingekuwaje?