Kitu cha ajabu nini?! Supu inawauma saaaaana! Na supu tutaendelea kuinywa! Supu inawakera kwa sababu ilianza baada ya kipigo cha 5-1🤣🤣 supu mkumbuke ni gharama🤣 Na hatuachi🤣
Kwani watangazaji wa Tanzania na wachambuzi ni vipofu au kumbukumbu zao hazina kumbukumbu? Tulejee miaka Simba inachukua ubingwa Mara nne mfululizo, taarifa ya tff ilikuwa inasema timu gani ilikuwa inaingiza mapato mengi kuingia viwanjani? Msimu uliopita ni timu gani kwenye mechi zake za mikoani zilikuwa na watazamaji wengi?
WAZEE WA SUPU. Nasir KHALFAN wewe ULIWASIFU YANGA KUINGIA BURE NA KUPEWA SUPU ZA BURE... AACHA WATUMIE NGUVU......AHMED ALI ANAWAZODI NYINYI WOTE HAPO WASAFI....
Kkkkkk Supu tatizo mnaendekeza sana vibudu
Ticket zimejaa kitaa za simba! Haina maana!
Wwni shoga mtangazaji
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza yanga hatamkiwasifia yanga ni timu ndogo saana kwa dume la Simba na kila kitu wanaiga
Inaelekea zile supu zilikuwa zinawauma kwelii😂😂
acha walendo maisha awo simba awana pesa zakula supu
Supu za club ya YANGA, uwanja wanaenda wapenzi wa yanga ❤❤❤ tunahamasishana sisi! Yanga inaingiza mashabiki kila siku 😂😂😂
Wasaidieni hata ninyi wasafi mmekuwa 10 pamoja na manara aly kamwe na wale 2 jumla 12
Kama uwanja umejaa tiketi zinazozinazopatikana zinatoka wapi?wachambuzi mlionunuliwa na Simba acheni ukuda
Mnazingua bhana acheni utoto supu iyo vip..?
Kitu cha ajabu nini?! Supu inawauma saaaaana! Na supu tutaendelea kuinywa! Supu inawakera kwa sababu ilianza baada ya kipigo cha 5-1🤣🤣 supu mkumbuke ni gharama🤣 Na hatuachi🤣
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza yanga timu ya Wala supu jezi vitenge vyaharisi wazee wa kujikuza subilieni🎉 ❤ wake zetu❤❤
@@Stephano722 kuna Adam na Hawa
Sio hawa na Adam,mpaka hapo utakuwa umelipata jibu nani mke kati ya Yanga na Simba
@@Stephano722 Na usubiri tarehe 8 upakatwe tena ndo uanze kulialia
Jumamosi uoneshe tiketi ndio unywe supu
Wakitaka ticket ziishe wawapikie supu washabiki wao
Kweny supu Makolo kibao wanakuwa
kumbe bado unazo wenzio wameshasahau hukoo supu Fc
Kwani watangazaji wa Tanzania na wachambuzi ni vipofu au kumbukumbu zao hazina kumbukumbu? Tulejee miaka Simba inachukua ubingwa Mara nne mfululizo, taarifa ya tff ilikuwa inasema timu gani ilikuwa inaingiza mapato mengi kuingia viwanjani? Msimu uliopita ni timu gani kwenye mechi zake za mikoani zilikuwa na watazamaji wengi?
😅😅😅😅supu kama supu hao wanasubir jumamos waambiwe kiingilio bute
Nguruwe fc mbona povu
Wacha zikimbie sisi tumesha pumzika na hizonbio za ticket
Rasta fc.
Yaani TANZANIA Ina Wachambuzi Wa Hovyo Sana Katika Nchi Yetu Wapuuzi Sana Nyie Wachambuzi Wajinga.
Supu sport club😂😂
WAZEE WA SUPU. Nasir KHALFAN wewe ULIWASIFU YANGA KUINGIA BURE NA KUPEWA SUPU ZA BURE... AACHA WATUMIE NGUVU......AHMED ALI ANAWAZODI NYINYI WOTE HAPO WASAFI....
Endelea kurukaruka utatulia tu,bado yaan hapo bado,subiri ligi ianzee mtatulia
Anawazid nini😂😂😂 labda anawazid kuwaongopea madunduka