@@mustafamasudi8093 eti bhana, Russia kasaidia nchi za kiafrika kupata uhuru wake kipindi cha ukoloni na kusaidia kuzipa nguvu baada ya uhuru, sijui huyo jamaa hapo juu anaongea nini?
Sasa hivi kilicho baki nuclear haito tumika, kwenye bara lolote ila tu naona uraya wavulugana wenyewe kwa wenyewe urusi wataitwaa Ukraine, kama ilivyo kua climea vita itaisha ,maisha yataendele urusi watabaki kuwa champion
Ww3 ni lazima... nchi za Europe na marekani pamoja na Urusi yenyewe zitakuwa na uharibifu na maafa ambayo hayajawai tokea kwenye vita yoyote ile.... Ufaransa, Uingereza, Japan, Marekani, Norway nk.. dhiidi ya Urusi, North Korea, China, Turkey... Halafu kuna Israel - Iran war pia... yani hizi miaka za hapa mbele nikubaya
Umerlezea tofauti mchambuz, strategical ni mabomu ya kimkakati ambayo huharibu eneo kubw kama vile Jimbo/mkoa na hata nchi lkn tactical huahribu eneo dogo tu ambalo ni hatarishi Kwa wahusika.
Mrusi Nia ya kuichukua Ukraine sio TU kumiliki..lkn nimkakati kuja kuipigà uturuki na wanàamini uturuki ni Mali yào,au ifungamane na urusi na sio ulaya.mmarekani na jumui ya ulaya hawata kubali.
Uyu Ukraine anataka kupotea .sio muda watatilia Huruma . Putin ni kiongozi Makini sana . Sio uyo Mlevi wa Ukraine sio muda maji ataita Mma dadeki . Huu mwezi auishi
Ajaribu kutumia..aone atakachofanywa...ndo utakuwa mwisho wake...vita vimeshamshinda hivi..kavamia mwenyewe sa ivi analilia..mwaka wa ngap huu anaua askari wake wasio na hatia for political ambition.
Magharibi washajipanga kukabiliana na Urusi endapo atatumia hizo silaha za nyuklia.Watu washaingia ndani ya Urusi tayari ,kuna nini tena.Urusi atachakazwa hata kabla ya kutumia hizo silaha.Asicheze na mmarekani.
US na RUSSIA wanakaa kwenye meza moja kuipush Dunia kwenye new order hakuna uadui Kati Yao ila wanauconfront ulimwengu ili ipatikane sababu nzuri yakudemand new order. Hebu chunguzeni tu vizuri ndugu zangu
TEAM PUTIN GONGA LIKE HAPA USIPOTEZE MUDA NI MCHACHE SANA
Ukraine anataka kupewa silaha za masafa marefu hili apige sehemu za Rusia..
Wametoa onyo mapema
Magharibi wasije wakajichanganya....
Yaani hapo hakuna mzuri hata mmoja mmarekani au mrusi wote ni pumba tu maana wote wanatudhalau sana Africa
Rusia haidharau Africa.... Na hana madhara hasi makubwa kwa Africa.....wengine WANAKUJA kutuibia kila siku@@DAVIDKISWAGA
@@DAVIDKISWAGAyaan wanaofilana na wasiofilana nd wawe sawa?
@@mustafamasudi8093 eti bhana, Russia kasaidia nchi za kiafrika kupata uhuru wake kipindi cha ukoloni na kusaidia kuzipa nguvu baada ya uhuru, sijui huyo jamaa hapo juu anaongea nini?
Ndugu nataman nkutusi ila wewe n urusi@@DAVIDKISWAGA
Sasa hivi kilicho baki nuclear haito tumika, kwenye bara lolote ila tu naona uraya wavulugana wenyewe kwa wenyewe urusi wataitwaa Ukraine, kama ilivyo kua climea vita itaisha ,maisha yataendele urusi watabaki kuwa champion
Ushindi wa mapema kabisa bila ubishi
@@sonnyr1899 kbsaaaa
Ashindwee 😢😢😢
@@bonifasiemanueli21
Ndio tayari we hukusikia mawaziri wanavyo jiuzulu uko
WW3 ni lazima... hilo haliepukiki
WW3 na winer atakuw mrusi ila nchi za afrika tutaathirik sana maana tumezoea kuomba omba kwao , hii WW3 itasababidh afrika kusimam yenyew
Tujitegemee sasa
WWW3 ndo hii na inakaribia kuisha urusi anashinda
Team putin, tupo pamoja
Urusi
Haezi shindwa kamwe vita atagawanya Dunia makundi mawili imeandikwa mtaikumbuka hikomenti
SNS 4 🧬♥️
Abadilishe hiyo doctrine kwasababu NATO na Marekani wanampiga kutumia Ukraine pole pole ku.dhoofisha
Atumie tu hata tactical vita iishe
Ww3 ni lazima... nchi za Europe na marekani pamoja na Urusi yenyewe zitakuwa na uharibifu na maafa ambayo hayajawai tokea kwenye vita yoyote ile.... Ufaransa, Uingereza, Japan, Marekani, Norway nk.. dhiidi ya Urusi, North Korea, China, Turkey... Halafu kuna Israel - Iran war pia... yani hizi miaka za hapa mbele nikubaya
Mna habari nzuri lakini una stuck sana bro
Umerlezea tofauti mchambuz, strategical ni mabomu ya kimkakati ambayo huharibu eneo kubw kama vile Jimbo/mkoa na hata nchi lkn tactical huahribu eneo dogo tu ambalo ni hatarishi Kwa wahusika.
Big up Urusi
Mm sijakuelewa point yako ali masubi
Mrusi Nia ya kuichukua Ukraine sio TU kumiliki..lkn nimkakati kuja kuipigà uturuki na wanàamini uturuki ni Mali yào,au ifungamane na urusi na sio ulaya.mmarekani na jumui ya ulaya hawata kubali.
Ninaswali pia kwa Wana sns, Russia orthodox wanahusikaje kwenye hii vita na kwa nini,?
Uyu Ukraine anataka kupotea .sio muda watatilia Huruma . Putin ni kiongozi Makini sana . Sio uyo Mlevi wa Ukraine sio muda maji ataita Mma dadeki . Huu mwezi auishi
Sk tangaza mwenyewe bhana huyu mtangazaji bado sana kama anasoma gazeti
Sautiiko wp😊
Akifanya hivyo itakuwa kajivunjia heshima yeye mwenyewe na atasababisha Russia igawanyike maana ataiingiza Russia katika hasara kubwa.
Kaka ubalikiwe
Ee MUNGU Saidia,
AAMIN
Bwana masubi ebu jichangamshe kidogo unajua sna tatzo upo slow sna 🫡
Habari kama hii asome fredrick bundala, huyu anafaa kuwa mchambuzi siyo kusoma taarifa, anaongea maneno kwakusitasita sana.
Mtego
Kwa kawaida mtu muoga lazima apige kelele ili umuogope
Kwa jicho la tatu . Russia inatoa onyo kwa Nchi Yoyote itakayompa Ukreni makombora ya masafa marefu..kwamba moto utawaka ....
Kwanza wanaopiga kelele hapa familia zao ziko ulaya mbona mkitoka Africa hamuendi kazi urusi mnakimbilia ulaya na marekani wanafiki nyinyi
Bring back DJ sma
@@amirshaa5627 DJ sma yuko sana kwenye GPS
Nadhani bado kidogo tu Rasia wamkamate Huyo kibaraka Zelensk
Kama mtapata muda someni kitabu kinaitwa vatican Billions by Avro manhattan imeeleza mengi kuhusu Russia na West country
Ajaribu kutumia..aone atakachofanywa...ndo utakuwa mwisho wake...vita vimeshamshinda hivi..kavamia mwenyewe sa ivi analilia..mwaka wa ngap huu anaua askari wake wasio na hatia for political ambition.
Unaongea usicho kijua wewe
Baba putin tumia baba ila usimsahau marekan ndo chanzo cha huu mgogoro usipige mmbwa piga mwenye mmbwa
Putin baba lao ❤❤🌹🌹
🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇰🇪🇰🇪
Vita ya 3 ya dunia ikitokea magharibi ndiyo wataumia wengine hawana cha kupoteza
Magharibi ipi....labda Africa Magharibi😅
Wana vita na nato siyo ukrain
Wakristo tunasoma biblia na intuambia next world super power ni US+vatican. Daniel na ufunuo imeeleza yote, kwa anayependa kujua asome
Magharibi washajipanga kukabiliana na Urusi endapo atatumia hizo silaha za nyuklia.Watu washaingia ndani ya Urusi tayari ,kuna nini tena.Urusi atachakazwa hata kabla ya kutumia hizo silaha.Asicheze na mmarekani.
Super power americ huu muchezo kashaupanga makusudi
Acha uongo km 1000 unazijua wewe
Huuuraaàaaaaaaa
US na RUSSIA wanakaa kwenye meza moja kuipush Dunia kwenye new order hakuna uadui Kati Yao ila wanauconfront ulimwengu ili ipatikane sababu nzuri yakudemand new order. Hebu chunguzeni tu vizuri ndugu zangu
Hz ni bwebwe 😂😂 yan akijichanganya tyr urus inabaki history kama unabisha njoo nikutatue malinda
Urusi sio Afrika na nchii za kiarabu unavyo fikiria 😂😂
Mshamba wewe hujui chochote sasahivi umepoa, huna shule kichwani endelea kuangalia Hollywood movies
Kwel itabaki stor ulusi anatapatapa
@@AlexGwiha nimuono wako wanae tapatapa niwaloanzisha vita vikao havishi kama wachawi 😀😀😀