Ila tu ukweli bahat upi vzur sana kila upande na nzuri zaid madensa wako wana mishemishe sana kitu ambaccho kinanogesha sana upande wa mashabiki na watazamaji kwa ujumla . Hongera sana na tunakuombea udumu zaid kwenye game.
😢hakika unafundisha jamii bwana mungu akuongezee fikila nyingu kila kukicha ngoma zako bana ni kali hakika simu duuuu yahalibu sana maisha ya watu kila pande ukiitumia vibaya kweli yaua
Kaka ww namba moja kati ya wasanii wa asili ninao wakubali anafata bahati wasanii ambao hawanaga majungu hawana muda wa kumuimba mtu vibaya hata kama amuseme kwa mabaya kiasi gan
Huna mpinzani kaka , ww msanii wa kisukuma uliyebaki na asili ya kisukuma 🤴🏾
Hongera sana brother, kazi yako ni nzuri.
Kijanaa ana talent.saf kbsaa
🕺💃🕺💃🕺..wabungarama kweli sm nimbaya kulingana naunavyotumia. Na commeñts nikiwa Bariadi kijjijini.
Nko NRB Kenya very nice dance
Umbe mzuri sana
Umefanya kazi zuli sana nimezikubali hujawahi kufeli nakupa leki zako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🙏🙏Pamoja sana kaka kazi yako nzuri saana✍️
Nakuelewaga San Mwamba kwass hamn mwingine
High performance.
Watu wako makini na kazi yao big up Bahati kula 100%
Nimekuelewa Brother Bahati
Pongezi kwako my best ahsante kwa video yako pendwa kwa hakika lazma itaingiza Faida kwa wenye macompyuter.
Hongera xana kaka kwa kuzidi kuelimisha jamii❤
Ila tu ukweli bahat upi vzur sana kila upande na nzuri zaid madensa wako wana mishemishe sana kitu ambaccho kinanogesha sana upande wa mashabiki na watazamaji kwa ujumla . Hongera sana na tunakuombea udumu zaid kwenye game.
Nakukubali san kalib huk niko dar es salam kalib san mwamb
Upo vzr nimekuelewa 2po pamoja 🎉🎉🎉❤
Goma kama hili limenikumbusha kijijini🎉🎉🎉🎉
Aisee unamisamiat mizri sana ambayo inafundsha jamii Mungu akpe nin bas ukuzdshie maisha marefu ili uelmishe zaidi90%.
Ujumbe mzuri sana aise Kongole Sana Kaka
Naludia kusema tena mungu abariki kazi yako Nhongole.
Duuuuuuuu una balaa kaka
Daahh amani.sana kaka
Hakika nazikubali sana ngoma zako bahati b;!!!!!
Ata mm nimeenda nyimbo zako❤
Kaka una jua sana kuhimba sisi wasukuma pamoja na wewe
Nakubali kaka nimeerewa sana nyimbo iyo mm madaha salala mwanza mwankuba kaz zuri san pamoja kaka yang napeda san asil yetu❤❤❤❤😂😂🎉🎉
🔥🔥🔥Malenga wa kanda ya ziwa
Hakika unakosha sana bro mpe hai mtoto zuchu❤❤
Konde boy wa kisukuma ❤❤🎉🎉😢😢 Mungu najuwa kweli😢😢😢
Mambo ni moto sasa kaka Bahati Bugalama
Nakubali chuo
Pg kaz kaka angu
Asawa kaka
😢hakika unafundisha jamii bwana mungu akuongezee fikila nyingu kila kukicha ngoma zako bana ni kali hakika simu duuuu yahalibu sana maisha ya watu kila pande ukiitumia vibaya kweli yaua
Mama sindono ninoma sana Aiss kalibu Buchosaa❤
kaka waga unanikosha sana piga kaz bro
Bahati nakukubali sana kalibu moro
Ckuping broo 👌 👌 🙏 🙏
Hongera sana bahati
Hongela mwananzengo mwenzangu
Ngoma kali sana🎉
Oy bahati mbna hajamtaja lovely dancer wangu Angel
Nakukubali sana Bahati Bugalama... Nakupata nikiwa dodoma makao makuu .Nimemc sana showw zako huwaga ni kazi kweli kweli
Piga kazi kaka ❤❤❤❤❤
Napenda nyimbo zako hatali
Goma linatikisa hapa ROCK CITY afya radio🙌🙌
Wakukaya nakuzunyaga❤❤❤
Tuko pamoja saaaaaana mambo ni 💥🔥💨
Dah bonge la nyimbo Bahati bugalama the giant singer from sukuma tribe tunajivunia nakupata vizuri nikiwa pande za DARESSALAAM
Nyimbo mzuri sana, ila daaah Kuna maneno yanipita kutoka a na lugha inayotumika, ila safi sana kaza mwendo Yuko pamoja.🎉🎉🎉
Kaka ni kaka tyu mlijue Hilo wakudeka hapa
Uko sawa kaka huja fer b
Nimekuelewa dogo upo vzr
nakupata sana mwamba wa nyimbo za asili tz
❤👍🇹🇿 huna mpinzani
Kaka endelea kuelimisha jamii
🎉ngoma nzur kaka
Kwanzia Sasa ww sio bahat Bali ni diamond wa kisukuma unaelimisha sana bahati hakika ww hakuna wakukufikia
Kaz iko vizur saaana
Nakukubali kaka
Pamabanaga sana nakuzunije san
Bahati wewe ni mkali wetu upo sawa
Habari ya mjini 2024
Mambo ni 🔥
Yeah yeah🎉🎉❤
Atali san😮😮😮
Kabisaa 🎉🎉🎉
Hakika nikweli elimisha kaka jami ijitambue zaidi Niko daa lakini kama Niko Kanda ya ziwa nakupa vizur sana
Kweli bahati nakubari san
Nimeielewa
Kaka ww namba moja kati ya wasanii wa asili ninao wakubali anafata bahati wasanii ambao hawanaga majungu hawana muda wa kumuimba mtu vibaya hata kama amuseme kwa mabaya kiasi gan
Jaman eeee kazi nzur hiyo
naipata nikiwa mbinga mkoan ruvuma kaka
Uko vzr kaka
Good song brth
Nimeipata and kuitendea hak mana nifundsho tosha.
Mwambaa wahistor unatisha
Nakazunyaga nyanda bhogalama
Japo nilisahau kuacha comment zangu kwa hii mizigo ya kaka b bas zawad ❤👏❤👏👏❤👏👏👏w Konk tm dj anasema pamoko mkemia na b msanii🤛🤛
💥💥
Jooo upinge tena shooo mwakitolyo 5
Wananchi bando wanakuhitaji
tulihamo sana bhasukuma bichane
Hii hatr kaka pongez
Ebaba frani etesawa, angoubuswahili
unafundisha wimbo lakn cio mtamu kama zigine ni kama hukupagilia mabeti unajikanyagakanyaga km unajifunza wakat we kongwe kabsa pagilia wimbo vzr
Twende. Hivohivo tu wewe ukifaulu kwako shukuru
Nakubar sana
Safi sana
Huyu jamaa ninoma
Imeeeendaaaa
Nyandaa nawapendakabisaa nipenamba yawatsapp
b kweli sana
Sana mwanaume wa shoka
namkubal sana
Siyo kuimba tu hizo beat unazo tumia wewe ni beat kali sana sizani kama kunamsanii mwingine anaezifikia hizi beat
Ngoma. IPO mji. Wa. IFAKALA. Inatamba. Kama. Bendela. Ya. Nchi. Tz🇹🇿
Kaz nzur
Hizi ni zawachache kaka ni hatari
Unanikosha kishenzi
Nalewakaja onene tolagi like alemalenga
Hiiii video sijamwona mtoto zuchu
Nitanage malenga wa kanda ya ziwa
Kaka unawa dada wari wanariju uno uwe unawaweka bere sio kwakiiunoicho
Tayari Dj Musa Kasekese Mpanda Katinga Kuchukuwa Kazi Mpya Asante Ni