HATIMAE!! Wolper afunguka kuachana na Harmonize, Sarah kaongelewa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2017
- Toka zisikike habari za kuchana kwa Mastaa wawili wa Bongo, Mwigizaji Jackline Wolper na Mwimbaji wa Bongofleva Harmonize, Wolper hakusikika wala kuongelea hii ishu mwanzo mwisho.
Na hata Harmonize alisikika akithibitisha tu kuachana kwao lakini hakumwaga povu kama hili alilomwaga Wolper kwenye ON AIR WITH MILLARD AYO..... hii video ina kila kitu, usisahau ku-install APP ya 'millardayo' kwenye ANDROID ili upate notification ya kila STORI MPYA!!!! - บันเทิง
Kama umekuja kutizama mwaka huu like hapa
👇🏽
Mnafik uyo du
lakin umembemenda mtoto konge
njoo kwangu beby
mnafki mkubwa ww tatizo lenu wanawake hambebeki💪💪
Kumbe hawanjui wanachokifanya ee wasemehe hawanjui wanachokifafanya.
Km umekuja kuangalia baada ya hamo .kumchana rike hapa
👍
pol snaaa wana ume wote ndogisi walivyo
Tupo hapa
Rike gani hy ....
Tuliokuja kuangalia baada ya ndoa ya Richie na wolper likes
Hahaaaaaa
Mimi hapa😊
😅😅😅😅
I love this Lady very intelligent and business minded.i wish her all the best. Am watching from Kenya
Naishi Nashville,Tennessee USA atakaeona hii comment amwambie Harmonize wazungu sio watu wakupendana nao amrudie mke wake
Kabisa
Really
Take heart darling your a strong woman and God will pay you back everything in double,,,,,,,,,,,penda ww
Tunaongalia interview hii 2023 gonga like
2020 tujuane tunaeicheki saiz 👇👇👇👇👇
huyu dada ameongea kwa hisia sana mpaka nimeanza kumuheshimu she has some thing SPECIAL
😂😂😂
Umeona eee 💌
Sad indeed... Mapenzi yanauuma. You are beautiful Wolper n God will bless you with a good man.
Kaka harmonize jack amekupenda sana oooh my god bless you
She seems very collected n mature..why would someone toy with her emotions?🤔🤔
Millard Ayo umeweza sana. Udaku huu cjui kama ningeipata mahala popote. Presenters wengi walishidwa kumconvince Jacky kusema ukweli wake ila wewe umeweza. Kazi nzuri. Big Up. #I rep254
millard unajua kuuliza maswal nakuhandle situation za mastaa unapofanya nao interview big up bro i luv ur work
nakupenda xana dada
hafidhi ahungu dg
Kasoma nje ya nchi uyu mkuu
Ana muuliza mwenyewe ana sema plo pozo ame ziacha Sasa nasema ivii tuone Kama uta olewa ,uta fumaniwa nawakati una sema una safili huko uko una liwa
Wolper namkubali sana ananifunza sana kwenye maisha ya kila siku achana nae kabisa Piga kazi bilioner wa kesho
You got to stay much more stronger woman. It is the patient who survive hurdles. You deserve better than that .
love love love! it hurts alot take it easy Jacky 😢😢
Wangap wameitafut hiiii..baada ya harmonize😂😂😂kuongea
Tupo hapa
Niko ndani
Tupo
Umejuaje
Ayeee tupo😭😭😂😂😂
She's so humble
Ikawaje Wolper amtaje rich mitindo katikati ya interview 😆💔🙌
Huyu Rich mitindo alikuwa anasoma mchezo tu
daa pole sana jacky ...umenikumbusha machungu aisee...wanaume sio watu jamani ...kaa pole naelew unavyojosikia
Love wolper...pole sana okay Ur vry beutifull
Nani amekuja hapa baada ya harmonize kufunguka kuachana na huyu mwongo
Mm hapa
Hahahhah,mimi hapa haha
Kiongo 2 hicho Bad ya harmonize kuongea ukwer
Hata mie mtoto wa kike jamani huyu wolper alimuumiza sana kiumbe harmornize
KIASI HAMONEYZ AMCHANE LAYVU MSHUBWADA HUYU ANAJIFANYA KASALITIWA KUMBE YEYE MWENYEWE DANGA MLEZI WA WANA
Love you gorgeous lady from Tanzania never mind ...that man was Angriest ,..welcome to Qatar
Jacky take heart, is so sad. But move on with life harmonize gona regret it.
Hyo ndo shukrani ya mmakonde lol.. sasa jack jitambue achana na vijana wadogo mkabidhi Mungu maisha yko utapata alie wko
Pole jamani
We ndo walewale
Daa jackline pole sana nimitihani 2 kwa mungu omba mungu Atakupa wako wa maisha yako ....we nimzuri sana daa jackline usijali.
Pole Dada. You are not a loser in this. What goes around comes around. So hurting but take heart. Vengeance by God is incomparable. Otherwise success in everything you do. Don't even compare yourself with that mzungu,you are high above her in everything.
Pole sana dadagu
Kimenuka Atari pole dada. Ndio wanaume walivyo pambana na hali yako mama stay strong.
Fast thing reading comment, second watch video or reading comment and watching.
Millard Ayo hongera sana brother unajua kuhoji na hongera Wolper upo poa Sana umetufunza kitu ila pole pia ndio maisha nahisi umekua kiakili
i just LOVE THIS LADY J acky much love from Latvia xoxoxo
Usijali sister. .....tuko wengi. ..take heart and move on🙂
kweli mwenzangu tuko wengi. Inauma sana ukiangalia sehemu ulipomtoa mtu na malipo anayokuja kukulipa
lipati77 lakini baadaye wataliregret aki malipo ni hapa hapa
+lipati77 uwiiiii
Brigid Mua Mimi nilifanywa Kama wolper
svg gamer on another heart hahahaaaa
dah!!de love story wil turn2 sadness
Nakupenda bure wolper😍
she is so cute cant get enough of her that voice just makes someone be into her th eyes makes me go down on my knees then she seems like that person wa akisha penda asha penda she is simple just love her ways
yan dada jack,ndo WCB walivo hata boss wao c unaona alichofanya kwa wema,?they look for money not heart
fredy leonard wema ndio alimuacha mond tena na dharau ju.
Ulikuwa uwajuw wmakondeeə
Poledadajak atakukumbuka huyomjinga2
Wooi! Jackie, I teared up! Kama kabisa ni wako atarudi, if not then be patient, wako atakuja tu. Take heart my sister, you're pretty, the right man will surely come along.
my siz u hv humble heart may almighty continue strength u heart & open 4 u more way in ua entire
Am Geoffrey from kisii kenya, have listened to this story it really painful for a lover to be betrayed. men should be strong in a relationship, roho ya mwanamke sio kitu unajaribu kama kiatu bana uone kama kinakutosha! take hrt Jackline God is there.
Nice words.sure!
Daaah jack story ako imenigusa xana.....Pole da angu....hayo n mapito ya maisha!!!
si wore.
Haijalishi hii ni story ya upande mmoja. Haijalishi umelewa au una dhambi gani kiasi gani. We dada you are smart in sharing your story. Pole sana.
VERY RIGHT DADA JACKY - KINYONGOO KIBAYA. GOOD PIECE OF ADVISE.
Wolper I love your maturity... I just like how umeongelea hii issue.Such a sad story
relationships are like that,jus take it easy sister n move on,though difficult bt u'll get over it.
ayo hapo umeweza mwanangu, wolper so strong my sis yo the best
4yrs on. Jacky Wolper remains the queen
hahaha "kiingereza chake kina corner nyingi kuliko changu,changu si kibovu sana kwaiyo tulipelekana sambamba"..umenibamba jacky!
Ahihahahahaaa
Sas itakuaje
Ametubamba wengi hapo 😀😀
Sio ivo uyo mwana mke manenoyake uki msikiliza Kama kweli lakini yeye ndo arie Anza kumsalit mzake ivi ana jisifia ame deti na Wana ume wengi hama kua umbwa
Tatizo moyo... hamuendani kabissa nae...your beautiful you rock!
Jacklyn I would like to advise you to look for someone who will love you for real na si kwa kiki tu ufunge naye ndoa muwe na familia and I am pretty sure that almighty God will bless you guys kuliko kuachana achana every now and then.
That was my piece of advice kama utaipokea that will be great .
Gud luck sweetheart.
Soh we Hume ona picha zaki tandani soh arikua ana kulipizia uchafu wako ulio fanyaaa
definately just take a look of her face she is really thinking on what to explain the whole truth to you.
am so happy Kwa wasanii wanzangu hata mashabiki kwa kazi nzuri, aah nacho kisema tujikaze kisabuni ili walio nyuma etu pia wao tuwashike ahsante
oh my God!!!! wanaume weng wao wanafanana izi tabia hawaridhiki dah& MICHEPUKOOO
Millard from de bottom of my heart....I really love yhooo..... even wanna see yhoo face to face...
Pole Sana sweetheart I love you so much my lovely siz ❤️❤️❤️
wolper is a strong woman❤❤❤❤may God bless yuh
Yote machungu hayo ninayoyasikia kama shabiki dhati wako toka Kenya .
Maisha duara haina mwisho.
Yote achia Maulana atakupigania.
Kwa kweli imeniuma.
Pole sana
We huna mtetea uyo mwana mke nishetani Yani alikua ana chukua era za mume wake ana enda kutumia na Wana ume wengine kweli jamni
@@jonasjohn1384 🤷🏻♂️🤷🏻♂️
Wacha ujinga, type in English. Tunajua ujaluo gharama
@@joramnjoga6622dogo nilivyofunza ni kuwa nishibishane na mjinga huenda tukawa chini ya paa moja isiyostahili.
Kiingereza kwangu hakikutukuzwa.🤷♂️🤷♂️
Hamonize will never enjoy peace and love that God planned for him because he chose money over true love!!! All the best Jaque, God will surely give you a true husband!!!
Malaya ww
That's what all those stupid WCB musicians do to women. When they have nothing girls suffer with them use their money to support them. Then when things get better they look another end.
🤣🤣🤣😂😂
@@jacklineataah9951 yaan umekuja Cheka baada ya jeshi kutoa tamko
Y say that
Am here 2022,Sasa hivi ni Mama na Mrs Rich💋💋God is so Sweet🤔
I'm so impressed by the interviewer,he's of a calm disposition. Hongera.Jackie sounds mature and honest.A beautiful T.Z programme.Let's hope things will get better in one way or the other for this couple.If the lady moves on,may she find strength on the way.A familiar story to many in the entertainment world
Dabomp
Be carageous wolpher,you have gone through a sad situation but hope God will give you a true love.
Llm
Jpok
Spas qurzio r
9
Dah mtihan pole sana jac ndowalivo wanaumee
Akufukuzae akwambi toka, duh! Dont lie to yourself that he loved you. Love doesnt hurt
ushaur wangu kwa kina dada na kaka zetu mkiwa kwenye mahusiano mkija achana tuwe na kaul safi za kufichiana siri iwe mwilini au maisha ya mtu najua hawa wote wanapendana huyu wanampenda sana na hormonize so kuwen wastarabu kauli zenu ili kesho mkirudiana msichekwe na watu
This the problem of falling in love with small boys..anyway pole sana
Not small boys it’s young boys wtf😂😂😂english yako broken khaa
Bora tu mliachana maana hakua viwango vyako kabisa, Jack wewe ni mzuri ati, ukweli wako nimeupenda
Ni kweli mana hilo kuma lilishajichokea hawezani na jeshi malaya huyo
Yeah Wolper is beautiful and very intelligent compared to Sasha,you rock Wolper the way you talk.
Don't u worry my lover one. Ure my Best Role Model.
Welpa nakupenda bure mungu atakusaidiya 😢🇫🇮🇫🇮🇫🇮🇫🇮
Njoo kwangu jacky ntakupenda mpka nywele zako zigeuke rangi ziwe nyeusi.
Haahahhaha
RAJUM PICTURES rubi
RAJUM PICTURES ruby
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Yaani millardayo habari tamu sanaa nimeangalia mwanzo mpaka mwisho sijapitisha hata kidogo big up bro
Jackie you are truly a unique woman....uvumilivu wako wavutia💞💞💞
Pole sn wolper nimepend ulivotowa ukwl we we mwanamke strong mashaallah ubarikiwe sn amini pale hakuna penz nipesa t inafanya kazi yake looo pesa kwl mwanaharam.
daaaah pole sana da jack kwa yaliyo kukuta kumbuka kuwa mwanaume siyo ndugu yako hivyo bac usimwamin kwa asilimia mia
Mapenzi wacha yaitwe mapenzi but kwa uzuri uliojaliwa hupaswi kulia lia na mapenzi ila pengne ndo mungu hakupi yote welcome Zanzibar uje ujichagulie watoto wanaojua kulea
Mmmh kwa znz usimdanganye mwenzio😂😂😂
Sarah is an Arab,being an arab myself I am so shameful of what she did.Darling you are pretty so no worries just move on.
This story is very inspirational, strong woman who deserves a better partner
No a prostitute
Love story which turn into sad story... But this lady sound to be hurt....
david mosha what happened?
worper unaniliz san dad angu
Nina Salvatore 1m
Hsante millayo unahoji ukiwa umetulia
wachana na konde boy anasura kama mbuz inataka kuzaa
Pole saaana Dada yangu jack, I love you saaana & naumia kuskia umeumizwa!
would like to advice diamond platinumz that he should respect others and God will open his ways too
Pole Sana Dada kua na subra utapata mwengine In shaa Allah
Macho mama duuh, you are so beautiful
Alexandrina Domaino what she talking about again can u tell me please
Makhissa Drame amazing
Makhissa Drame she is talking about her ex boyfriend Harmonize
Alexandrina Domaino namwona makhissa kizungu kama ya harmonize
pole my
Kama upo single gonga like
Tanzania Funny pole mwaya j
Love is magic when the mind forget the heart will reamember
And when you don't remember at all you die
Hey what's up my niga
pole swry wachana nae utapata mtu mwingine akufaa in sha allah dadangu
Yeh
Yani wolper amenikumbusha move ya pretta Na wakina mamuska ,kumbe move sometime wanaact story zakweli Lol it so sad
Mwanaume ni mzuri Kama Hana,mkitafuta hela pamoja akizipata we sio wake Tena anasahau mlipotoka,better sponsher stress free,lavidavi,darling forever no heartbreak
Yesssssssss
Not true
ukweli mtupu dada.
Jack me nakuchana ukwely kama mwana sanaa mwenzio ..Unasula nzuri sana tatizo moyo wako .kwakifupi una roho mbaya %zote niulize kwanini
Kabisa
The lady she is very strong, and she can manage herself 💪💪💪💪
ulifanya vizur kumuacha uyo mshamba harmonize mlikua hmuendanii alfu simpendii yule misifa kama dangote
usijali ant mzungu mwenyewe sura Kama Kala ndimu
nyoko
@@hurumakidaga9076 pp
Wow... Pole Jackie.. Tulikuwa tukingoja ukweli
Duh! nilikua nimepa miss sn huk I see.#Ayo tv thx san kwastory kali
sometime i wonder why beautiful women with lovely loving heart cant find real men who are ready to love them truly...i feel this lady from her story this has made me see her different from what i thought about her,you have right to be happy wolper
Ndoo maana ukitaka kumpata mtu mzuri aacha kujali sana maana watu wenye kutokujali sana ndio hupata wapenzi wazuri pia sahihi.
thank you my Sister for being so open on this matter, l think you don't deserve to be involved in this kind of drama, you can do better than this
Your age and Beauty does not much with Harmonize kanyaga kubwa kubwa tukiendaga 🚶♀️🚶♀️🚶♀️
Pole sana jaki majaribu hayana bud lakin kuna maish baada ya mapito
Nakupendasana wolper unajuwa kuongeyasana acana nahawo vicece vizuri vyako viko mbelle allah anakuonasana mtuwetuu✌️💪💪💪
Who's watching this 16/03/2020🤣🤣🤣🤣
Nakamura Matano infact 10/08/2020
@@yvonnemwikali8 🤣🤣🤣
@@nakamuramatano5779 7-12-2021 🤣🤣🤣😂😂😂😂
jaki WE nimzuli sana kosa ulilofanya nikumpenda mtu Ana sura zito kama uji wamapande ka unajuwa bora kumsaidia MTU mwenye doda kwasababu lile kovu ndo litasababisha akumbuke ulipo mtowa ila ukimsaidia mtumwenye nja akishiba tuuuu imekwisha Wala hatakumbuka ilicho mfanyia kumbe dada tulia utapata wamaana kwako
pole sana Dada ang kusema kweli inatia huruma
Pole Sana Dada malipo Hapa duniani
Mariam J hahahaaaa
Mariam J hahahahahaha mariam mbavu zangu jamani anatia huruma
haaaahaaahaaa
Pole sana Wolper mpenzi, leo ndio nimekuelewa vizuuur, me pia nimeumizwa aisee ctaki kukumbuka, ila wanaume ndivyo walivyo wanaweza kutoa roho ya mtu hivihivi bila uruma, pole sana Dear cjui kama nitakujakuwa kwenye relashionship, nasubir ndoa ila kuumia tena ctarajii.
Saumu Hassan nichek Dm please
Saumu Hassan Dm please
+Hamza Salum mdoba unasemaje?
Saumu Hassan 0653-260705
Pole jaman
U r Soo grown settle down and focus time isn't on UA side u r beautiful go in for a mature man not boys
Pole, wolper
C'etais bien dit wolper,mungu atakupaka tu...