Country Wizzy & Young Lunya - Current Situation (Vizualizer w/ Lyrics)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- Current Situation is a hard hitting energetic rap song that reflects Country Wizzy’s and Young Lunya’s humble beginnings and in the song, the two rappers offer relatable lyrics that deeply resonate with the youth.
Download/Stream Current Situation
orcd.co/curren...
Follow Country Wizzy on Social Media:
Website : linktr.ee/coun...
Instagram: / countrywizzy_tz
Twitter: / countrywizzy_tz
Tik Tok : / countrywizzy__tz
Triller : triller.co/@co...
Listen to @CountryWizzy
TH-cam: / @countrywizzy
Audiomack: audiomack.com/...
Apple Music : / country-wizzy
Spotify: open.spotify.c...
Boomplay: www.boomplay.c...
Deezer : www.deezer.com...
Follow @YoungLunya
Instagram : / younglunya
X - / younglunya
For Young Lunya in streaming platforms
Apple Music : / young-lunya
Spotify : open.spotify.c...
#CurrentSituation
Let’s Gerrr it
Stream/Play : orcd.co/currentsituation_countrywizzy_younglunya
Like pro please
th-cam.com/video/Ts6MWufd-e0/w-d-xo.htmlsi=x-fsEpr_LG_pEKsb
Life Yangu iko PRIVATE like Manina...🙌🙌🙌 Let's Gerrrrrrrrr it🎵🔥🔥🔥🔥🔥
Ngomakal kinyama
CountyWizzzy@manenoclais...utawala sana
Country ameua kama unakubaliana na Mimi gonga like hapa
Leo m namba one on comment 😅😅 like zenu
Mbwa wew ,likes unakula ama
Umbwa mimi wananipa like 😂😂😂
ngoma flan tulivu sana, ina vibe sana uki iplay kwny gari alafu iwe friday after work. OOOH MY
Naweza sema Ni collaboration bora ya Hip Hop 2023.Bars Midondoko wamefanya Dope sana. Actually I see Bongo Hip Hop on world 🌎 charts
Wizzy kapiga kikubwa Sana humu!ameonyesha ufather!big up 💥
Young lunya umejua kuswich flow umemficha Baba Yako😁😁😁 @country wizzy umerap flat Yani km ndo unaanza mziki vile... Young Lunya 🔥🔥🔥🔥
Mzaramu katisha 🎉🎉🎉
Naskiliza hii goma mwili unasisimka tangu unaanza mpka inzaisha,,
Oyaa wewwe🔥🔥🔥🔥
Watoto wako nane sasa Lunya sio tisa 😄😄💯
Country umeuwaa uuuuh
Sema Lunya umekamia na kuua Huku 💯
Ninjaaa🗽✈️✈️
Gadafiii daaah minachekaga 2 godfather
Tushajuwa baba n nani 🔥🔥🔥
Nzuri Nzuri Nzuri Saaaaana! Call That UbberXL! ZanziBars
Gaddafi kafunika kinoma noma yaan!!😉
Country wizzy ni muuaji kakutana na mwanafunzi wake ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Lunya ndio mkali
Country ilikuw zaman
Country na Lunya wanangu sio poa
Wizzy anaflow tu kiulaini afu mbuzi ana energy shortly wameuwa
kama daz n kurupt 💯💯💯
This trap is underated, wiz na lunya unyama kama woteee🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥
Country umeua mshauri mwanao apunguze kelele na kujisifu ovyo
Country Wizzy unyamwezi mwingi sana
Gather here to appreciate lunya
The producer deserves a Grammy
CALL THAT UBER XL ...MANA WATOTO WAKO TISA HAWAWEZI WAKATOSHA KWENYE NORMAL 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌🙌🙌❤️FAVOURITE BAR🙌🙌🙌
Baba na mwana oya wweeeeeeee
Ni kama namsikia snoppy doggy na wiz khalifa hivi, contry ni flow za snoppy lunya ni khalifa 🔥🔥🔥
Country Boy to the World 💪💪💪💪💪💪💯💯💯👏👏👏
Kali sanaaa hakuan kama hiii
Country umeuaa xn humu rasta
n fireee sanaa kmaa migos flan ivii🔥🔥🔥🔥
Country we ni mwishoooo umemkalisha kijana
Hii ngoma qali saana
The next mangwea 🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🤜🏽💥🤛
Kubwaa Collaboration 🎉 Flowers 💐
Mmenyokaa🔥
Watoto wako Sana na wizzy. Na lunya ni 9
Kenya locked.!
Noma sana
Mamaeee hii kali
Iissa mwanangu
Kaka na mdogo wake 💯💯
Killer tune 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Safi safiiiii
Balaaa
Hardest punchlines za kufungia mwaka🎉
Naishi yale maisha niliyoyaota kwenye ndoto 💯💪
Kazi IPO😇😇😇😇💣💣💥
The Song deserves a respect
Minyeeeeesho 🎉🎉🎉🎉🎉
Country changamka Brother kwenye flooooo
Country wewe ni moto🔥🔥🔥
Ooh my ✊✊✊ MBUZI 🐐🐐🫂 bro
Babaaaaaaaa umetisha
Baba na mwanae
🎶🎶. father of new generation umeua
Dude kali sana
Hahahahaha😂😂😂 kijana wangu Lunya kweli upo na BABA let’s goooooo……..hahahahaha Wizeeee or Zeeeeeeee
Nakubali
Country wizzy achia vyuma mzeee tumemiss vocals n vina kama hivi
Country boy+young lunya=Firee BigUp dazNaledge!
Hii Noma kweli 🎉🎉🎉 imeweza 😅 congratulations ❤
@country wizz Unyama Mwing sana ❤❤
Country kamfunika lunya umu kwa mbaliiii
Hii ngoma ingetoka nishajipata daaa ingejuwa unyama xana but 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 like father like son 🎉🎉🎉
Country wizzy nimependa the way ume flo kwa hii 🪘
country wizzy noma sana
Lunya katumia nguvu sana ila wzz katembea ki father zaidii
Wizzy na Mbuzi 🔥🔥🔥🔥
Baba ujawahi kosea “ usiniguse miwamotoooo ….🎉
Leo Leo ni leo😂 lunya 😍🌍
COUNTRY WIZZY'S FLOWS HERE ARE TOO INTERNATIONAL MEEHN🔥🔥
Mimi ingekua sio namheshimu wizzy ningekua na lakusema ila nakubali Sana wizzy nipo na skiliza Wimbo wa bando mc na nay wamitego #Nimesamehe
Najarabu kuckiliza ivi nani kamnyoosha mwenzake kati ya lunya na wizzy tusaidiane hapa
Sheeeesh!!
Hip Hop Africa why is still underroof😁😁😁 hit song upande wa pili Marekani
Baba king WA froooooooo🎉
Wizzy hujawai kupoa mzee big up my brother 🔥🔥
Wizzy on TOP 🙌
Noma sana🔥🔥💯
Waaaaah!!!hawa ni binadamu kweli?
Aseeh ifike Top ten KIESHIMA maan wanyamwez ni ki PRESIDENTIAL SANAA...!!!
nmekuwa wa kwanza leooo
Daah ngoma ni ya moto sn biti kali na swaga kamba mbele vile inashawishi kuisikiliza mara kwa mara
-uuuuuuuwiiiiiiii
hii ni fire 🔥🔥🔥🔥🔥
Country wiz...lyk father lyk son
Lunya kwa sasa anapeleka rap ya TZ!!!
Baba na mwana🔥🔥🔥🔥
Nyie watoto nomaaaa🔥🔥🔥
Hatariiiiii sanaaaa
Hii ni chuma sana hawa jamaa wanajuwa dadekii😮
mbele ya MUDAAAAAAA🎉🎉🎉
Mbuzi🔥🔥 ft fazaaa🙌🙌
Ngoma Kali zaidi ya saana walai
Noma sana hii combination nyie trap manajua Tena sana tyu mpk unaumiza watu ambao wanataka kuingia kwenye game🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Father and son Kazi kubwaaaaa Sanaa
Father umeua sana humu na umechana kifather sana🎉🎉🎉