Nilibaini, Pacoma ball Carrier mzuri sana, Max anauwezo mzuri wa kuzunguka uwanja mzima, ila wote waponyuma sana kwa Chama kufanya vitu vitokee mf magoli na assist .hawana jicho la goli km Chama. Chama skills
Acha kumchukilia Poa Max kwenye upande wa kukaba kak,, Pacome ni mzur zaid kumiliki mpira, chenga na kudrible na hata kukaba yuko vizur lakini hawezi fanana na Max,,, upande wa defending Max ni mzur zaid kak
Hapa sielewi oruma anazungumzia Simba ipi ...hi ama ile ..@ Mr Oruma talk the reality we watched the game yesterday the aggregate was 50/50 yours is propaganda in football ...😮 kenya 🇰🇪
Pacoume zouzoua
Ni class ya juu kabisa
Nilibaini, Pacoma ball Carrier mzuri sana, Max anauwezo mzuri wa kuzunguka uwanja mzima, ila wote waponyuma sana kwa Chama kufanya vitu vitokee mf magoli na assist .hawana jicho la goli km Chama. Chama skills
Oruma.... Miaka YOTE ulikua nyuma ya chama.... Hukuwahi kumkubari pacome.... Au ukihama inakua shida...
Mimi naona huyu huruma anatafuta kazi yanga nasisi wanayanga hatumtaki mana alikuwa akitusema snaa vibaya
Umeona kka hyu ni mchambuzi Ramli 😅😅😅😅 Ramli inaposikika ndipo anaelekea 😅😅😅😅😅😅 hana jipya 😅😅😅😅😅
@@زيتونتنزانيا. Hafai hata kidogo. Ni COVID-19 😅😅😅😅😅😅
Hawapend Yanga ndio maana chama kuja yanga imemuuma sahiz anamdiss
mnafiki huyu
Oruma unajuwa ile kweli pası yang iyi ni Pacome kabisa ni Class ya juu sana
Safi sana Oruma, leo ndo nimekukubali
Kisa kasema unayopendezwa nayo 😄
Si mlisema chama ni bora kuliko pacome kilasku mlikuwa mnaongea kila mar eeh vipi sasa nadhani mshakubarii eeeh 😂😂😂😂
Acha kumchukilia Poa Max kwenye upande wa kukaba kak,, Pacome ni mzur zaid kumiliki mpira, chenga na kudrible na hata kukaba yuko vizur lakini hawezi fanana na Max,,, upande wa defending Max ni mzur zaid kak
Hiyo aina ubishi Max mapafu ya mbwa
Saluti
Pacome ni fundi jmn ukweli upo wazi
Naona umekuwa sasa hvi😊😅😅😅
Huyu Wilson sasa ameanza kuuelewa ukubwa wa Yanga. Amakataa kuendelea kujidanganya.
Akili zimeanza kurudi
Uchambuzi wa oruma ni kma anapiga ramli. Leo yeye wa kumsifia Pacome kweli . Hii YANGA mtalia sana . Ubaya ubwege 😅😅😅😅😅😲
Ili uanze kikosi cha kwanza onyesha uwezo unapopewa nafasi hata kwa uchache
Wale waliokuwa wanalinganisha pacome na chama walo wapi?? Subiri chama gari liwake😂😂😂😂 mtafunga midomo.
uyu jamaa sijawahi muelewaga hata mara moja
Hapa sielewi oruma anazungumzia Simba ipi ...hi ama ile ..@ Mr Oruma talk the reality we watched the game yesterday the aggregate was 50/50 yours is propaganda in football ...😮 kenya 🇰🇪
Not 50/50 but was 70/30
Mhhh 😂😂
Acha uongo ww oluma
Bila shaka utakuwa kolo ww.....au una matatz ya uoni....
Uyu mchambuz kundu kwel amuombee yeye na babaake na ukoowake
Matusi yann ndgu huo nimpila kama inakuuma wat kuchambua mpila kachambue ww
Acha ubishi na matusi wewe, kamuombee Pacome