DARASA LA UMEME jifunze kufunga Main Switch na saket Breka

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 พ.ค. 2021
  • #wasafitv #ipotv #bingoonline #zamaraditv #shingotv #wasafimedia

ความคิดเห็น • 150

  • @mondtd3854
    @mondtd3854 3 ปีที่แล้ว +5

    Nashukulu sanaa umeniongeza kitu kwenye ufundi wangu , mungu akubaliki

  • @callmenick8552
    @callmenick8552 2 ปีที่แล้ว +2

    Asanti kwa hayo...from Kenya ..

  • @barakazegezege8016
    @barakazegezege8016 ปีที่แล้ว +1

    Nashukulu unanipa vitu ambavyo cijafundishwa bado asante Sana Mungu akuzidishie ufundi Zaid

  • @TumainiKyomo
    @TumainiKyomo หลายเดือนก่อน

    Asante teacher kwa maelekezo

  • @engineertarimo7345
    @engineertarimo7345 2 ปีที่แล้ว +1

    Una nia nzuri ya kufundisha, lkn huna lugha ya kiufundi, na hata cable arrangement sii nzuri

  • @emanueltheboss6598
    @emanueltheboss6598 2 ปีที่แล้ว +3

    Na jee kufunga wire wa 2.5mm kweny taa na kweny socket hii ni nzuri kwel

  • @user-pq8ph7fw4u
    @user-pq8ph7fw4u 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hayo ndio mambo ya kuelekezana kaka

  • @EnthusiasticAtv-gn6pb
    @EnthusiasticAtv-gn6pb 5 หลายเดือนก่อน +1

    Teacher mbona cct breaker umeigeuza by songoro jackson

  • @kelvinchifuka6628
    @kelvinchifuka6628 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki

  • @medykado9119
    @medykado9119 2 ปีที่แล้ว +3

    Kwamaana hiyo sasa connection za switch socket kwny junction box yake na za switch za taa j.b yake au

  • @francismasha7286
    @francismasha7286 ปีที่แล้ว

    Asante mwalimu umenisaidia nitakuhitaji

  • @barakazegezege8016
    @barakazegezege8016 ปีที่แล้ว +1

    Nimeipenda iyo teacher nimekuelewa me mwanafunz wa umeme mwaka 1 unapatikana pande zp

  • @ushangabakari5801
    @ushangabakari5801 2 ปีที่แล้ว +3

    Sasafundi hiyo looping uliyoifanya hapo kwenye mcb siitakuwa umechanganya saply moja kwenye socket na taa kwanini usingeweka kila mcb na waya wake 1.5 na 2.5 na mcb yake

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa 10 วันที่ผ่านมา

      Haichanganyi hiyo, hizo mcb ni kama switch

  • @innocentdavid9810
    @innocentdavid9810 2 ปีที่แล้ว

    Shukrani mkuu nimeelewa sana somo

  • @dishonraphael111
    @dishonraphael111 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi kabisaaa mwalimu mtema

  • @goodluckjohnpaul1518
    @goodluckjohnpaul1518 3 ปีที่แล้ว

    Safi braza shukrani san

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว

    Asante Mwalimu.

  • @user-od7op2ke9d
    @user-od7op2ke9d 3 หลายเดือนก่อน

    Naomb utupe uwezo wa way kulingana na uwingi wa vyumba mfano 1,2,3,4,5

  • @essaumbewa1822
    @essaumbewa1822 ปีที่แล้ว

    Ahsante mwalimu Apo nimekupata

  • @husseinmkwizu7549
    @husseinmkwizu7549 2 ปีที่แล้ว +1

    nimekuelewa sana mwalimu

  • @kevinnyasinga942
    @kevinnyasinga942 ปีที่แล้ว +1

    Ni aina vanilla za waya unatumia kwa main switch

  • @barakagwau8636
    @barakagwau8636 2 ปีที่แล้ว

    Ahsante kwa somo zuri lakini nilikua napenda kujua namna ya kufunga earth wire kwenye main switch

  • @user-jq7yn7ug2f
    @user-jq7yn7ug2f 4 หลายเดือนก่อน

    Yes

  • @puresportstv9893
    @puresportstv9893 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana mwl

  • @JobRutto
    @JobRutto 5 หลายเดือนก่อน

    Asante mwalimu

  • @khalfannguja9530
    @khalfannguja9530 2 ปีที่แล้ว +2

    Umeme unaingia juu sio chini mwalimu

    • @salmaabeid8161
      @salmaabeid8161 6 หลายเดือนก่อน

      Kwa hio hapo kwenye mcb ya ampere 10 inabid iingie wire ya 1.5 kwa sbb connection yake huko juu Ni kwa ajili ya taa si ndio??

  • @user-dv3fi3tg7h
    @user-dv3fi3tg7h 6 หลายเดือนก่อน

    Asante sana engineer kwa darasa zuri nililolipata toka kwako
    Swali langu ni kwamba mbona main switch yako haina isoleter

  • @changarawemichael5556
    @changarawemichael5556 7 หลายเดือนก่อน

    Asante saaana mwalim

  • @ignassululu7663
    @ignassululu7663 ปีที่แล้ว +1

    Hapo kwenye matumizi ya taa umesema zinatakiwa ziwe taa nane ambazo zinaukubwa wa watt ngapi? Yaani kila taa iwe na watt ngapi?

  • @user-hn7dv1zm7w
    @user-hn7dv1zm7w ปีที่แล้ว

    Ahsante cn mwalimu nimepata kuelewa

  • @HabakkukMbisse-zu1tp
    @HabakkukMbisse-zu1tp 8 หลายเดือนก่อน

    Asante nieelewa sanaa

  • @brooeddy8965
    @brooeddy8965 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwalimu hapo waya unao ingia kwenye circuit breaker unakuwa na 10mm²,16mm²,n.k. je mwalimu hapo kwenye out let juu ya circuit breaker hizo waya za kusupply kwenye MBC zinakuwa na mm² ngapi.?

  • @hashimmahmoud4336
    @hashimmahmoud4336 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante nimeelewa ila nauliza ikiwa kwenye nyumba taa zinapwesa pwesa huwa ni tatizo gani

  • @chaulafundiumeme7621
    @chaulafundiumeme7621 2 ปีที่แล้ว +1

    Mkuu mbona hiyo Circuit breaker umeigeuza

  • @user-qq4cb1hk3u
    @user-qq4cb1hk3u ปีที่แล้ว

    Mwalimu ukiunga iyo N na 2 zinazotoa umeme kweny meter juu au chini ya sakit breaker uku kweny mcb haugeuzi kitu

  • @leudkihanza898
    @leudkihanza898 2 ปีที่แล้ว

    Asante mwalim mtema

  • @AquelinaMayai
    @AquelinaMayai 6 วันที่ผ่านมา

    mbona hamna cable za earth

  • @papiasmugabo6685
    @papiasmugabo6685 7 หลายเดือนก่อน

    Nataka nambayako yaws what’s up

  • @lightinescharles5200
    @lightinescharles5200 2 ปีที่แล้ว

    Som zuri fundi nimelipend nimeelew vzr

  • @sadiiqsulle3715
    @sadiiqsulle3715 ปีที่แล้ว

    Asante Ila apo unaweza ukaongeza mcb nyinine ya 40 ampere

  • @luqmanabubakar6097
    @luqmanabubakar6097 4 หลายเดือนก่อน

    Mwalimuu! Kwanini umetumia SP na hukutumia DP hapo kwa Circuit Breaker?

  • @scbrothersshadracknacosmas7964
    @scbrothersshadracknacosmas7964 หลายเดือนก่อน

    Good🎉

  • @stephenfelix5158
    @stephenfelix5158 ปีที่แล้ว

    mcb ya c
    32 inaweza kutumia sockect ngapi

  • @zackypapla5511
    @zackypapla5511 2 ปีที่แล้ว +1

    Nice fundi

  • @EliaKija
    @EliaKija 22 วันที่ผ่านมา

    Jin's yakuunga circuit breaker na isolater

  • @victormayobo3571
    @victormayobo3571 5 หลายเดือนก่อน

    good training lakini bainisha kama ni 3 phase or singly watching from Nairobi Kenya.

  • @mrmeshack
    @mrmeshack ปีที่แล้ว

    safi sana kaka natamani ningelikuwa karibu nawewe ili niwe fundi maridadi kama wewe.

  • @AbdallahAmor-vt7kk
    @AbdallahAmor-vt7kk ปีที่แล้ว

    Nashukur mwalim umenifunza kitu leo

  • @djyunsijin4097
    @djyunsijin4097 3 ปีที่แล้ว +1

    Brother wengi wetu pia tunaomba kujua jinsi ya kuchora ramni za wiring kabla ya kupeleka tanesco

  • @JuliasJofu
    @JuliasJofu 3 หลายเดือนก่อน

    mm nataka kujuwa izo way unazitoaje kwenda kwenye jasheni box nazion zipo moja moja

  • @raymondraphaer6172
    @raymondraphaer6172 2 ปีที่แล้ว

    Nice nimeelewa

  • @omardogo3029
    @omardogo3029 3 ปีที่แล้ว

    Mwalimu mi naomba kujuwa waya unaotoka kwenye mita hadi menswich please

  • @user-vm7bc9sv7i
    @user-vm7bc9sv7i 8 หลายเดือนก่อน

    mwalimu cjaona waya wa Earth inapofungwa kwenye main switch

  • @jumakidunda78
    @jumakidunda78 4 วันที่ผ่านมา

    Dah! Madini adhimu alafu mwamba wala hana kinyongo anaytema tu

  • @aslamkhalilu6087
    @aslamkhalilu6087 ปีที่แล้ว

    Nawezaj kukupat kupat mafunz mengin tich ila naxhkur maan nime gain knowledge

  • @salmaabeid8161
    @salmaabeid8161 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa hio hapo kwenye mcb ya ampere 10 inabid iingie wire ya 1.5 kwa sbb connection yake huko juu Ni kwa ajili ya taa si ndio??

  • @aminimwazani9483
    @aminimwazani9483 ปีที่แล้ว

    Mwalimu mfano hiyo earth ukutaka kuieka pia unaieka kuanzia huko nje kwa meta box ama unaiunga hapo hapo ndani

  • @iamvavatz
    @iamvavatz 6 หลายเดือนก่อน

    Samahani sijaelewa jinsi gani earth imepita

  • @fredmaru9495
    @fredmaru9495 2 ปีที่แล้ว +1

    👌

  • @user-it4jh3ei5q
    @user-it4jh3ei5q 2 หลายเดือนก่อน

    Ethi way inayotoka arithini inachanganywa na waya gani

  • @marcopendael1896
    @marcopendael1896 ปีที่แล้ว

    earth unaanzaje kuunga kiongozi

  • @AjuaeShekhe
    @AjuaeShekhe 2 หลายเดือนก่อน

    d͚u͚h͚ b͚r͚o͚o͚ umeua🎉🎉🎉🎉🎉

  • @kajuakitu
    @kajuakitu 13 วันที่ผ่านมา

    Wewe ni Mwalimu

  • @CharlesMalonga-zf7qd
    @CharlesMalonga-zf7qd หลายเดือนก่อน

    Thafadali nifunze quotation

  • @justinjq7144
    @justinjq7144 2 ปีที่แล้ว +2

    Poooool kabisa ni uwongo mtupu, kazi chafu

  • @ahmadifakii2727
    @ahmadifakii2727 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana kwa elimu unayotupatia👍👍
    Nina swali mfano taa zikiwa chini ya 8
    Soket zikiwa chini ya hizo 6 Kuna mazara yoyote na hizo taa8 ziwe Watts ngapi kila moja?.

    • @alsamali6964
      @alsamali6964 3 ปีที่แล้ว

      Kila MCB inachukua taa ngapi au socket ngapi ? Msaada plz

    • @ahmadifakii2727
      @ahmadifakii2727 3 ปีที่แล้ว

      Kingine ambacho nimekiona ni changa moto kwangu hii
      Mfano MCB 20 ilinijue inabeba mzigo kiasi fulani natumia kanuni gani?

  • @StoneMsaku-zb9ym
    @StoneMsaku-zb9ym 3 ปีที่แล้ว

    pa1 sana mkuu

  • @mohdhassan3633
    @mohdhassan3633 ปีที่แล้ว

    Je ukiiweka saketbreka kutoka kulia jeitakua na tatizo

  • @africanuchebe8989
    @africanuchebe8989 2 ปีที่แล้ว

    Asante ila apo kwa neutral apo cjaelewa inapelekaje umeme na kuwasha taaa

  • @stephenfelix5158
    @stephenfelix5158 ปีที่แล้ว

    pia mcb ya A16 inatumika kwa taa ngapi au socket ngapi

  • @stanslausmisana6938
    @stanslausmisana6938 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante saaana kwa somo zuri. Nimeelewa vzr kabisa.
    Sasa kwa maana hyo taa zinatakiwa na mcb yake na switch socket na mcb yake yaani kila njia iwe na junction box yake au?
    Je huwezi kufunga taa kwenye mcb ya 20 au? Mfano mcb ya 10 taa nane je mcb ya 20 huwezi kuweka taa 16?

  • @gilbertcfc2959
    @gilbertcfc2959 3 ปีที่แล้ว

    kupitia hiyo namba uliyoweka hapo juu, naweza kukufuata whatsapp kwa maswali binafsi?

  • @GodfreyMponda-rh9mo
    @GodfreyMponda-rh9mo 11 หลายเดือนก่อน

    Mbona isolater aipo?

  • @aslamkhalilu6087
    @aslamkhalilu6087 ปีที่แล้ว

    Nashkur ila nawezaj kukup

  • @David-ko6vt
    @David-ko6vt ปีที่แล้ว

    Sawa nimekulewa mwalim Sasa samahani nahitaji unisadie juuu ya waya hizo zilizo Toka kwenye meter Kuna live na neutral ambazo umesema tuna funga popote ukitaka Sasa kufunga unafunga upande mmoja to kama ni live ni live Kam ni neutral ni neutral

  • @mussaalawi3490
    @mussaalawi3490 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi

  • @mariamatanas5088
    @mariamatanas5088 2 ปีที่แล้ว

    Mm cjaelewa juu ya main switch

  • @fanuelmagesa9326
    @fanuelmagesa9326 ปีที่แล้ว

    kirefu cha MCB Ni nini

  • @josephgeorge2464
    @josephgeorge2464 ปีที่แล้ว

    Sijaona 40 hapo mwalimu

  • @jmastory1820
    @jmastory1820 2 ปีที่แล้ว

    Kwani live ya taa auwez ukaitumia kwe soketi

  • @paulodesmoni6226
    @paulodesmoni6226 3 ปีที่แล้ว +1

    Kuna zile main switch ambazo huwa zinakuwa na kibati ambacho mcb zote hushikishwa pale je live itafungwa kwenye hicho kibati?

    • @chrisjay1337
      @chrisjay1337 2 ปีที่แล้ว

      Mcb itafungwa kwa moja ambayo italinl zote

  • @BenedictoNdaheze-lt5dd
    @BenedictoNdaheze-lt5dd ปีที่แล้ว

    Sasa mbona main switch haipo Mimi navyojua waya ukitika kwenye socket breaker unaenda kwenye main switch hapo haipo mwalimu

  • @josephjuma140
    @josephjuma140 2 ปีที่แล้ว

    mm sijaelewa hiyo waya nyeusi hiyo Nene yiyo yanini

  • @FabianHamis
    @FabianHamis 3 หลายเดือนก่อน

    Engineer sijaona idolater hapo kwenye main switch je?hiyo haiwezi kuathiri mfumo mzima wa kiumeme?

  • @GodfreyMponda-rh9mo
    @GodfreyMponda-rh9mo 11 หลายเดือนก่อน

    Huusiano/Kazi ya circuit breaker na isolater ni nini?

  • @omarihamisi4517
    @omarihamisi4517 ปีที่แล้ว

    Huo waya unaotoka ñje mwalim kweny blacket ni ngpi kwa ngpi unaotoka ñje kuingia kweny main ßwitch

  • @mussayahya9676
    @mussayahya9676 ปีที่แล้ว +2

    Main switch ipi ni bora kuliko nyingine kati ya Tronic na Havells?

    • @jumakidunda78
      @jumakidunda78 4 วันที่ผ่านมา

      Swali zuri sana

  • @rizionesegeza9742
    @rizionesegeza9742 3 ปีที่แล้ว

    upo sawa xn lakni mbona main switch nyingi hazna msb ya A40 upande wa jiko la umeme au heater

    • @yeokambarage95
      @yeokambarage95 2 ปีที่แล้ว

      Msb ya A40 kwel haipo kwan tunatengeneza KTU kulingana na uhitaji wa mutu

  • @danielamon9309
    @danielamon9309 2 ปีที่แล้ว

    Bro gudi sana kwa elimu yako

  • @m_farmers_limited8509
    @m_farmers_limited8509 2 ปีที่แล้ว

    Mwalimu mbona sijaona n ya aridhini

  • @elifurahaelisha4380
    @elifurahaelisha4380 2 ปีที่แล้ว

    Mbona kuna main which zina nyaya zinaingilia chino zinazo toka hazionekani

  • @hajingarigapo7972
    @hajingarigapo7972 3 ปีที่แล้ว

    mimi mbona nasikia kuna waya ya arsingi ndio ipi

  • @ibnmambotv5586
    @ibnmambotv5586 2 ปีที่แล้ว

    Samahani, mwalimu hiyo Amph16, inatumika katika nini? Pia kwenye Nyumba zetu zakupanga huwa waya mmoja wameunga taa na sakati hii inakuwaje? Mwalimu naomba ufafanuzi

  • @mtelekaramadhani1582
    @mtelekaramadhani1582 2 ปีที่แล้ว +1

    Kazi chafu , jaribu kupanga waya vzuri....!!

  • @papiasmugabo6685
    @papiasmugabo6685 7 หลายเดือนก่อน

    Jambo una what’s up

  • @aloycesanchez1685
    @aloycesanchez1685 ปีที่แล้ว

    Taa nane za ukubwa gani

  • @paschalgerald255
    @paschalgerald255 3 ปีที่แล้ว

    16A je?

  • @mussaalawi3490
    @mussaalawi3490 2 ปีที่แล้ว +1

    Je waya ambaz znatoka kweny MCB ata kama znaenda kwenye taa je znatakiwa ziwe saiz gan?

    • @dicksonmisana8259
      @dicksonmisana8259 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwenye taa 1.5
      Kwenye socket switch 2.5

  • @geradselvator3014
    @geradselvator3014 2 ปีที่แล้ว

    switch sorket 6 inatumia mcb ngapi mwalimu

  • @papafololo7785
    @papafololo7785 2 ปีที่แล้ว

    imeeleweka teacher ukoviziri