Sasafundi hiyo looping uliyoifanya hapo kwenye mcb siitakuwa umechanganya saply moja kwenye socket na taa kwanini usingeweka kila mcb na waya wake 1.5 na 2.5 na mcb yake
Mwalimu hapo waya unao ingia kwenye circuit breaker unakuwa na 10mm²,16mm²,n.k. je mwalimu hapo kwenye out let juu ya circuit breaker hizo waya za kusupply kwenye MBC zinakuwa na mm² ngapi.?
Asante sana kwa elimu unayotupatia👍👍 Nina swali mfano taa zikiwa chini ya 8 Soket zikiwa chini ya hizo 6 Kuna mazara yoyote na hizo taa8 ziwe Watts ngapi kila moja?.
Asante saaana kwa somo zuri. Nimeelewa vzr kabisa. Sasa kwa maana hyo taa zinatakiwa na mcb yake na switch socket na mcb yake yaani kila njia iwe na junction box yake au? Je huwezi kufunga taa kwenye mcb ya 20 au? Mfano mcb ya 10 taa nane je mcb ya 20 huwezi kuweka taa 16?
Sawa nimekulewa mwalim Sasa samahani nahitaji unisadie juuu ya waya hizo zilizo Toka kwenye meter Kuna live na neutral ambazo umesema tuna funga popote ukitaka Sasa kufunga unafunga upande mmoja to kama ni live ni live Kam ni neutral ni neutral
Samahani, mwalimu hiyo Amph16, inatumika katika nini? Pia kwenye Nyumba zetu zakupanga huwa waya mmoja wameunga taa na sakati hii inakuwaje? Mwalimu naomba ufafanuzi
Nashukulu sanaa umeniongeza kitu kwenye ufundi wangu , mungu akubaliki
Asanti kwa hayo...from Kenya ..
Nashukulu unanipa vitu ambavyo cijafundishwa bado asante Sana Mungu akuzidishie ufundi Zaid
Asante teacher kwa maelekezo
Una nia nzuri ya kufundisha, lkn huna lugha ya kiufundi, na hata cable arrangement sii nzuri
Na jee kufunga wire wa 2.5mm kweny taa na kweny socket hii ni nzuri kwel
Hayo ndio mambo ya kuelekezana kaka
Teacher mbona cct breaker umeigeuza by songoro jackson
Mungu akubariki
Kwamaana hiyo sasa connection za switch socket kwny junction box yake na za switch za taa j.b yake au
Asante mwalimu umenisaidia nitakuhitaji
Nimeipenda iyo teacher nimekuelewa me mwanafunz wa umeme mwaka 1 unapatikana pande zp
Dar es salaam
Hii ndo maana ya kutumia mitandao vzr
Sasafundi hiyo looping uliyoifanya hapo kwenye mcb siitakuwa umechanganya saply moja kwenye socket na taa kwanini usingeweka kila mcb na waya wake 1.5 na 2.5 na mcb yake
Haichanganyi hiyo, hizo mcb ni kama switch
Shukrani mkuu nimeelewa sana somo
Safi kabisaaa mwalimu mtema
Safi braza shukrani san
Asante Mwalimu.
Naomb utupe uwezo wa way kulingana na uwingi wa vyumba mfano 1,2,3,4,5
Ahsante mwalimu Apo nimekupata
nimekuelewa sana mwalimu
Ni aina vanilla za waya unatumia kwa main switch
Ahsante kwa somo zuri lakini nilikua napenda kujua namna ya kufunga earth wire kwenye main switch
Yes
Asante sana mwl
Asante mwalimu
Umeme unaingia juu sio chini mwalimu
Kwa hio hapo kwenye mcb ya ampere 10 inabid iingie wire ya 1.5 kwa sbb connection yake huko juu Ni kwa ajili ya taa si ndio??
Asante sana engineer kwa darasa zuri nililolipata toka kwako
Swali langu ni kwamba mbona main switch yako haina isoleter
Asante saaana mwalim
Hapo kwenye matumizi ya taa umesema zinatakiwa ziwe taa nane ambazo zinaukubwa wa watt ngapi? Yaani kila taa iwe na watt ngapi?
Ahsante cn mwalimu nimepata kuelewa
Asante nieelewa sanaa
Mwalimu hapo waya unao ingia kwenye circuit breaker unakuwa na 10mm²,16mm²,n.k. je mwalimu hapo kwenye out let juu ya circuit breaker hizo waya za kusupply kwenye MBC zinakuwa na mm² ngapi.?
Asante nimeelewa ila nauliza ikiwa kwenye nyumba taa zinapwesa pwesa huwa ni tatizo gani
Mkuu mbona hiyo Circuit breaker umeigeuza
Mwalimu ukiunga iyo N na 2 zinazotoa umeme kweny meter juu au chini ya sakit breaker uku kweny mcb haugeuzi kitu
Asante mwalim mtema
mbona hamna cable za earth
Nataka nambayako yaws what’s up
Som zuri fundi nimelipend nimeelew vzr
Asante Ila apo unaweza ukaongeza mcb nyinine ya 40 ampere
Mwalimuu! Kwanini umetumia SP na hukutumia DP hapo kwa Circuit Breaker?
Good🎉
mcb ya c
32 inaweza kutumia sockect ngapi
Nice fundi
Jin's yakuunga circuit breaker na isolater
good training lakini bainisha kama ni 3 phase or singly watching from Nairobi Kenya.
safi sana kaka natamani ningelikuwa karibu nawewe ili niwe fundi maridadi kama wewe.
Nashukur mwalim umenifunza kitu leo
Brother wengi wetu pia tunaomba kujua jinsi ya kuchora ramni za wiring kabla ya kupeleka tanesco
@@darasalaumeme7421 nambazko please
mm nataka kujuwa izo way unazitoaje kwenda kwenye jasheni box nazion zipo moja moja
Nice nimeelewa
Mwalimu mi naomba kujuwa waya unaotoka kwenye mita hadi menswich please
mwalimu cjaona waya wa Earth inapofungwa kwenye main switch
Dah! Madini adhimu alafu mwamba wala hana kinyongo anaytema tu
Nawezaj kukupat kupat mafunz mengin tich ila naxhkur maan nime gain knowledge
Kwa hio hapo kwenye mcb ya ampere 10 inabid iingie wire ya 1.5 kwa sbb connection yake huko juu Ni kwa ajili ya taa si ndio??
Mwalimu mfano hiyo earth ukutaka kuieka pia unaieka kuanzia huko nje kwa meta box ama unaiunga hapo hapo ndani
Samahani sijaelewa jinsi gani earth imepita
👌
Ethi way inayotoka arithini inachanganywa na waya gani
earth unaanzaje kuunga kiongozi
d͚u͚h͚ b͚r͚o͚o͚ umeua🎉🎉🎉🎉🎉
Wewe ni Mwalimu
Thafadali nifunze quotation
Poooool kabisa ni uwongo mtupu, kazi chafu
😂
Asante sana kwa elimu unayotupatia👍👍
Nina swali mfano taa zikiwa chini ya 8
Soket zikiwa chini ya hizo 6 Kuna mazara yoyote na hizo taa8 ziwe Watts ngapi kila moja?.
Kila MCB inachukua taa ngapi au socket ngapi ? Msaada plz
Kingine ambacho nimekiona ni changa moto kwangu hii
Mfano MCB 20 ilinijue inabeba mzigo kiasi fulani natumia kanuni gani?
pa1 sana mkuu
Je ukiiweka saketbreka kutoka kulia jeitakua na tatizo
Asante ila apo kwa neutral apo cjaelewa inapelekaje umeme na kuwasha taaa
pia mcb ya A16 inatumika kwa taa ngapi au socket ngapi
Asante saaana kwa somo zuri. Nimeelewa vzr kabisa.
Sasa kwa maana hyo taa zinatakiwa na mcb yake na switch socket na mcb yake yaani kila njia iwe na junction box yake au?
Je huwezi kufunga taa kwenye mcb ya 20 au? Mfano mcb ya 10 taa nane je mcb ya 20 huwezi kuweka taa 16?
kupitia hiyo namba uliyoweka hapo juu, naweza kukufuata whatsapp kwa maswali binafsi?
Mbona isolater aipo?
Nashkur ila nawezaj kukup
Sawa nimekulewa mwalim Sasa samahani nahitaji unisadie juuu ya waya hizo zilizo Toka kwenye meter Kuna live na neutral ambazo umesema tuna funga popote ukitaka Sasa kufunga unafunga upande mmoja to kama ni live ni live Kam ni neutral ni neutral
Safi
Mm cjaelewa juu ya main switch
kirefu cha MCB Ni nini
Sijaona 40 hapo mwalimu
Kwani live ya taa auwez ukaitumia kwe soketi
Kuna zile main switch ambazo huwa zinakuwa na kibati ambacho mcb zote hushikishwa pale je live itafungwa kwenye hicho kibati?
Mcb itafungwa kwa moja ambayo italinl zote
Sasa mbona main switch haipo Mimi navyojua waya ukitika kwenye socket breaker unaenda kwenye main switch hapo haipo mwalimu
mm sijaelewa hiyo waya nyeusi hiyo Nene yiyo yanini
Engineer sijaona idolater hapo kwenye main switch je?hiyo haiwezi kuathiri mfumo mzima wa kiumeme?
Huusiano/Kazi ya circuit breaker na isolater ni nini?
Huo waya unaotoka ñje mwalim kweny blacket ni ngpi kwa ngpi unaotoka ñje kuingia kweny main ßwitch
10mm
Main switch ipi ni bora kuliko nyingine kati ya Tronic na Havells?
Swali zuri sana
upo sawa xn lakni mbona main switch nyingi hazna msb ya A40 upande wa jiko la umeme au heater
Msb ya A40 kwel haipo kwan tunatengeneza KTU kulingana na uhitaji wa mutu
Bro gudi sana kwa elimu yako
Upo vizuri broo
Mwalimu mbona sijaona n ya aridhini
Mbona kuna main which zina nyaya zinaingilia chino zinazo toka hazionekani
mimi mbona nasikia kuna waya ya arsingi ndio ipi
Samahani, mwalimu hiyo Amph16, inatumika katika nini? Pia kwenye Nyumba zetu zakupanga huwa waya mmoja wameunga taa na sakati hii inakuwaje? Mwalimu naomba ufafanuzi
Kazi chafu , jaribu kupanga waya vzuri....!!
Jambo una what’s up
Taa nane za ukubwa gani
16A je?
Je waya ambaz znatoka kweny MCB ata kama znaenda kwenye taa je znatakiwa ziwe saiz gan?
Kwenye taa 1.5
Kwenye socket switch 2.5
switch sorket 6 inatumia mcb ngapi mwalimu
imeeleweka teacher ukoviziri