Tatizo njia munazo zitumia kukosoana siomzuli ila wewe unawashushua wezako ila wewe pia shekhe unalekibshwaga ujai kukubali sasa sijui mashekhe wote awajui zaidi yako.usinielewe vibaya shekhe bachu insha Allah mungu atongoe sote.
Tatizo Sio kukosowa watu ni lugha mbaya inayotumika Na kejeli ndioo hayo yanayoshusha thamani ya unayoyarekebisha watu,kama umeyaelewa hayo Allahumma Amiin Yaa Rabbi Mwenyezi Mungu atuongowe woote Na Sisi tuwe wenye kustafid na elimu zinazotolewa na Sio wenye kutiana chuki na kuoneshana vidole inshallah, waalaykum msalaam warahma tullahi taala wabarakatu ndugu yangu Muislaam Shukran
NDUGU Sheikh Mohamad BACHU ,UKWELI umekoseyasana Ruska katika myenendo ya SHEIKH BUN BAZ ALIVYO KUA ANAWAKOSOA WENZIE MFANO WA SHEIKH ALBANI ,BILA KULETA TAHARUKI SAUDIA NZIMA ,UNANITIA MASHAKA KANA KWAMBA HUNA RADHI SEHEMU NYINGI WEWE ,ALLAH AKU ONGOZE KABISA.
Shekhe pia akubali kwamba mtume muhamad sallallahu aleyhi wasalam awapenda sana maswahaba zaidi kuliko sisi....shekhe kasema mtume atupenda sisi kuliko maswahaba
Shekhe izudin allah akujaze kheri na akuhifadhi na uaduwi na akupe umri twawil na wenye manufaa sana . hakika hiyo ni ishara ya uchamungu. Ila huyo bachu kajifanya kakukosowa wenziye mbona yeye huwa akubali kurekibishwa????? Wewe bachu una kibri sana na ipo siku moja alla atakudhalikisha tu na kama umemkosowa kwa kutaka kumuabisha allah atakuaibisha wewe. Maana tunavyo kujuwa wewe ni mkaidi na haukumkosowa kwa ikhlaaswi.
Acha dhana usimdhania mtu nikosa kubwa katika uwislam siku zote mtu asemae ukweli au kusmamia haki basi huwa na maadui wengi ilikua hivyo ivo hata kwa mtume Muhammad s.a.w kipindi analingania watu juu ya uwislaam walio muelewa nakumkubali mapema walikuwa niwachache mno hususani wale alio wachagua Allah lakini kadri siku zilivyo kwenda watu waliingia uwislaam kwa wingi basi namimi sioni sababu yawewe kumchukia mtu nakumuombea dua mbaya haliyakuwa kasimamia hakki nakuwazindua watu kuepukana na batwil je nikuulize swali lait asingemkosoa uyo sheikh unafkir ni watu wangapi wangeishi kwa kutumia hiyo kauli yake? Au ni vizazi na vizazi? nasiku zote ukiona unamchukia mtu kisa kasema nakusema kwake nikwa ajili ya Allah na Mtume wake basi jua kwamba anayo yasema yanakugusa ivyo basi yakupasa kama muislaam mwenzangu kuachana na hayo yote ambayo hakutu amrisha Allah wala kutufundisha mtume Muhammad s.a.w kwani kuzusha jambo katika dini nikumkosoa Allah na mtume kwamba kuna vitu walisahau katika dini sasa sijui yupo mwanadam au kiumbe yeyote anaweza kumkosoa Allah tuwe nahof ya mwenyezimungu ndugu zangu Allah hajaribiwi wala kufanyiwa mzaha tuache ushabiki katika dini tujitume kuisoma dini yetu kisawa sawa namuomba Allah atuongoze katika haki na atuepushe na batwil tuiache nakila tunalo lifanya liwe kwaajiliyake Allah Amiin.
@@Idri683 Huyu bachu huwa tunamfata kwenye mitandao sana akirekibishwa huwa hakubali kuwa kakosa na ujeuri mwingi sana. Mfano kakosolewa akitukana barzanji ya maulidi nabii s.a.w. kitabu kimetungwa na mwanachuoni mkubwa yeye eti anakirusha kua hakifai kina shirk maskini akapige goti aelimishwe aache kibri. Mfano mzuri kwa shekh izzudin huyo ndio uchamungu. Sio kua na kibri.Ndio maana hatuna uhakika kua amemrekibisha mwenziye kwa ikhlaaswi.
Na wewe Muhammed Bachu , ukubali kukosolewa na sio ukikosolewa ulipize kwa kukosoa tuu na wewe, na uo ni mfano wa wewe kuiga na pia tumia njia nzuri za kukosoa na kuweka sawa watu .
Sheikhe izzudin Allah akuhifadhi sio raising mtu kukubali kosa zaidi mtu kosa lake atakutupia ubaya kwa lolote mimi nakiri mohammed bachu unapo rekebisha mm binafsi napenda mana dunia imejaa bidaa hii Allah awahifadhi
@@yes_yes1310 Ebwee, yani katika mada zote hiyo ndo mada uliyoichagua 🤣🤣🤣 Kwahiyo wewe unaunga mkono Halleluyah ina maana moja na La ilaha ila Allah 🤔😪
@@MrNoNonsenseYes Sina maana iyo ,ila natak kujua ahadi alio itoa kwenye ile mada je alitekeleza ,na kama alitekeleza atuonyeshe iyo video alokiri kukubali kurekebishwa,Ni hilo tu... ✍🏽
Naam, kazi nzuri Masha'Allah na Allah anawapenda sana wenye kutubia. Kama huyu Sheikh Izudin Allah amuhifadhi amiin. Swali kwako Sheikh Muhammad, je nawewe uko tayari kutubia kwa kosa lakutupa kitabu cha Sheikh JAAFAR AL_BARZANJI? Maana huyu mwenye unamsifu leo na kumuombea dua pia umekubali kama yuko na imani, anasoma hicho kitabu ambacho ulikiita kitabu cha "SHIRKI"...
@@maheralmuayqily1900 bila samahani ndugu yangu ki imani.. jibu ni kwamba hicho sio chakupimanisha na QUR'AN ao vitabu vikuu vya hadiths, lakini vitabu vya wanazuoni wakiislamu ambao wamefanya jitaidi kubwa kwenye dini haifai kuwazalilisha. Ao kutupa vitabu vyao kimakusudi kwakukejeli.
Maashaa Allah niwatakie kila la kher mashekh wetu lkn mimi nahis kukosoan mitandaon si vizur kam ungelimtafuta na kumkosoa ingelikua vizur zaid Allah atuongoze katik haki na tuifuate
Kabisa ndugu .lakini Hilo lakumfuata haliwezekani sababu yeye ataka dunia ijue kuwa yeye NI MTU mkubwa katika jamii. Kiufupi hakuna kwa ajili ya ALLAAH ni kwa ajili ya viumbe
Kuwa makini na riyaa km amerekebeshika ilikuwa haina haja ya wewe tna kuanza kumnadi tna kuwa kakubali makosa yke na kuonekena yy hana elimu vzr km ulivo wewe
@@sultansaidsalehe3805 hapana asiekosea ila ni namna ya urekebishwaji sio mzuri huyu ata kumuita shekhe alikuwa hamuiti angalau kabadlka kidg ....elimu anayo ila atafte njia nzr ya kurekebisha wenziwe
Kweli kabisa lkn yeye hawezi kukubali makosa anadia watu lkn yeye hawezi na ndio anajifanya ajua zaidi yeye huyu bachu utafkiri hakosei yeye na yy ndio mkosowaji mkubwa sana eti mashekhe wote wakosea ila yeye hakosei
AZU UKASHA. SASA HAPO SHEKHE MUHAMMAD BACHU ALICHO KOSEA NINIII. AZU UKASHA WACHA KUSIMAMISHA FITNA ZA KISHETAANI. HASA PALE UNAPO ONA WAWILI WAPONGEZANA NA DUWA NJEMA KUOMBEANA. WACHA FITNA ALLAAH HAPENDI TUNATAKIWA KUJIFUNZA NA KUCHUKUWA MFANO WA VIONGOZI WETU WA DINI KAMA HAO WAWILI HAPO. MFANO MWEMA MZURI WENYE MAENDELEO YA KIELIMU SAWAAAAA AZU UKASHA WACHA CHUKI WACHA DHARAUU WACHA UCHOCHEZI. NI KHARAAAM
Huku naona wengi wanao coment ni mashabiki wa shekh huyu maana wanamkubalia kwa kitendo chake Cha kuwasema mashekhe hadharani 😭😭😭dah lakini sio nzuri maana anatafuta umaarufu kwa nguvu sana
@@hekimasanga6028 HATA JINA LAKO LINA TUJUZA KUA HAKUNA KITU KIKUBWA KAMA HEKIMA ,,YULE YULE NDIE ALIEKUA NA NANAFASI YA KUREKEBISHA IKIWA ALIKOSEA KWA MAANA ILITAKIWA AENDE KUZUNGUMZA NA SHEKH MWENYEWE NA SIO MTANDAONI AKHIL KAREEM.
Subhanallah!! Unaonekana una chuki juu yake, ila mwezi huu hujacherewa ni mzuri mno wa kurekebisha nyoyo zetu. Tumuombe sana Allah azibadilishe nyoyo zetu, tupendane kwa ajili yake
Sheikh Izzudin ametumia hekma ya Hali ya juu,na kuziba aliye mrekebisha. Ilikuwa inatosha. Vipi leo sheikh Muhammad Bachu wewe umetengeza hoja upya sio sawa.
huyu mtoto mnafiki kwel wallah, wapi shekh izu dini kasema ukitaka umuingilie mkeo mchana wa ramdhani na ukwepe kafara basi fungua kwa kula? kama sio utovu wa adabu ni nini? atufanya sisi hatuna masikio na uwelewa kama alivo yeye mtovu wa adabu, mi siku zote nasema huyu mwana wabachu hana adabu kabisa, na in shaa allah hutoondoka hapa duniani mpaka athari za wana wazuoni uliowakosea adabu zikupate
Shek hmuhammedi bachu wewe kila siku anakosolewa je mbona hutaki kukubali makosa yako j mbele ya watu kama alivyo fanya shekh izzu din.. Au unaona ufakhari kurekebisha wenzako??????
Aliyekuletea kesi kwako elimu yake ni changa kama yako .sheikh izudin ni muungwana na alielewa ni wapi alikosea ,lkn mtoto wa bachu ajiona ameibeba elimu yote .angesema tu nimepata ujumbe si kusema nimepata kesi.hapo ni kujikweza.
Lengo lako lilikua kumdhalilisha maana mumezoe mashekhe wa Tz kuteta mitandaoni amekujibu kwa ustaarabu sie watu wa Mombasa swali mbona hukuongelea zile zilizopita?
Mimi siwez kufatilia darsa zake maana darsa zake huwa anawakosoa wana wa chuoni.ambao wana elimu kuliko.yeye.sasa kuna darsa hapo!!!? Mm kiufupi sio kama kuna shekh hapo!!?....
Sheikh Izudin ma sha Allah ni msomi namkubali hakutaka upate kiki amekufunga bao nahuku wacheka sio kwamba hawezi majibizano ela amechukua yale maneno yasemayo waidha khatwaba humul jahiluna qalu salama
Unapozungumza ya mwenzako na ukamsifu ni vizuri Swali je wewe umekosolewa mara ngapi na hujakubali au hii kwa wenzako tu kwako haiwezekani maana we ni si mkosesji
Sheikh Izzuddin namjua ninmchamungu na hana kibri nilihisi tu angekubali haki na kiukweli masheikh wote tuwe kama sheikh Izzudin. Allah atufanye tuwe kama yeye hana kibri
binafsi nimefurahi mno shekh Izuddini .Allah akuongoze ktk njia iliyosawa wewe na sisi amin amin amin
Ni vizuri kukubali makosa...Allah atuongoze sisi sote hapa duniani na akhera🤲
Sheikh izzudin mungu akujalie maisha marefu InshaAllah
Ameen
Hakuna aliye musafi pia Cheikh izzudin Allah akupe mema duniani na Akhera, Akupe umri mreefu wenye kheri na Baraka, nakupenda kwa ajili Yaa Allah.
Tatizo njia munazo zitumia kukosoana siomzuli ila wewe unawashushua wezako ila wewe pia shekhe unalekibshwaga ujai kukubali sasa sijui mashekhe wote awajui zaidi yako.usinielewe vibaya shekhe bachu insha Allah mungu atongoe sote.
Kweli kabisa
Allah awalipe mema masheikh wetu muhammad bachu na izudin.tusiwe kama mashabiki wa mpira.tufuateni haki tupate nuru
Wajna umenena vyema
MashaAllah 😊
Tatizo Sio kukosowa watu ni lugha mbaya inayotumika Na kejeli ndioo hayo yanayoshusha thamani ya unayoyarekebisha watu,kama umeyaelewa hayo Allahumma Amiin Yaa Rabbi Mwenyezi Mungu atuongowe woote Na Sisi tuwe wenye kustafid na elimu zinazotolewa na Sio wenye kutiana chuki na kuoneshana vidole inshallah, waalaykum msalaam warahma tullahi taala wabarakatu ndugu yangu Muislaam Shukran
Mashaallah Allah akubarikini mashekhe wetu na akuzidishieni elmu
ameen
Allhamdhullillaih kwa kuleta najita kwa maneno hayo na marekebisho kwa masheikh wetu wote ALLAH awajalie kheir amiin
Shekh izzudin tunakukubali lkn hakuna mtume hata moja alie kua hajakosea . kukosea ndio sifa za binadamu. ALLAH (SW) ndie asie kosea.
Maa Shaa Allah.sheikh izzudeen Leo umenifurahisha sana.Allah akuhifadh
Allah atujalie ikhlaasw ktk kauli na amali zetu tufanye amali kwa ajili ya allah tabaaraka wa taala❤❤❤
Bachu nakuelewa sheikh AALAH AKUHIFADHI
Alaah akuhidhi akhii wallah tunanufaika kwadarasa zak
Shukran sheikh yuzzdini tumefurahi Wala usiwe na shaka na sisi shukran wabilahi tawfiq
Shekh upo saw shekh muhamad allah akuifadh na akuongoze wanaokupnga wanafikil dini inaenda kwa rai
Allah akuhifadhi hakika kazi yako tunaiyo allah akupe akhlasi zaidi
NDUGU Sheikh Mohamad BACHU ,UKWELI umekoseyasana Ruska katika myenendo ya SHEIKH BUN BAZ ALIVYO KUA ANAWAKOSOA WENZIE MFANO WA SHEIKH ALBANI ,BILA KULETA TAHARUKI SAUDIA NZIMA ,UNANITIA MASHAKA KANA KWAMBA HUNA RADHI SEHEMU NYINGI WEWE ,ALLAH AKU ONGOZE KABISA.
Huna la kuongea Bora kaaa kimya
pongezi sana sheikh izudin
Aamiiin 🤲🏼
MAA SHAA ALLAH barakALLAHU FIYKA
Mashaallah sheikh hakuna mkamilifu isipokua Allah. Jazakallahu kheir kwa sheikh aliye mrekebisha. Shukran
Ameen 🤲 kiukweli sheikh wetu izzudin Mashaallah may Allah protect you Ust.
Allahuma amin
Mashaallah jazakumllah kheir amiin
MashaAllah shaikh bt na ww juzi uliswalisha makafiri swala ya maghrib hukmu yake nini?
Amen amen 🕋🤲🤲🤲
Shekhe pia akubali kwamba mtume muhamad sallallahu aleyhi wasalam awapenda sana maswahaba zaidi kuliko sisi....shekhe kasema mtume atupenda sisi kuliko maswahaba
Ma sha allah
Mashallah sheikh
Jana tulikuwa wote kwa iftar ya Hassan omar nilifurah kukuona
Huyu ni shekh mshari sana sana baba ake hakuwa hivi
Kama hivi mm ndo napenda masha allah . Allah ajaze Kheir
mashaallah Allah awaongoze
MashaAllah
Ameeeeen 🤲🤲🤲🤲🤲
Àmeen ya rabbi
Barakh Allah fikh
Mashallah tabarkallah
Amiin
Shekhe izudin allah akujaze kheri na akuhifadhi na uaduwi na akupe umri twawil na wenye manufaa sana . hakika hiyo ni ishara ya uchamungu. Ila huyo bachu kajifanya kakukosowa wenziye mbona yeye huwa akubali kurekibishwa????? Wewe bachu una kibri sana na ipo siku moja alla atakudhalikisha tu na kama umemkosowa kwa kutaka kumuabisha allah atakuaibisha wewe. Maana tunavyo kujuwa wewe ni mkaidi na haukumkosowa kwa ikhlaaswi.
Ikhlass iko moyon , wajuaje wewe kma hakufanya kwa Ikhlass??
Waja wema hawaombewi dua mbaya ila itakufika wewe unae muombea kua making bachu anafanya kwaajili ya Allah
Acha dhana usimdhania mtu nikosa kubwa katika uwislam siku zote mtu asemae ukweli au kusmamia haki basi huwa na maadui wengi ilikua hivyo ivo hata kwa mtume Muhammad s.a.w kipindi analingania watu juu ya uwislaam walio muelewa nakumkubali mapema walikuwa niwachache mno hususani wale alio wachagua Allah lakini kadri siku zilivyo kwenda watu waliingia uwislaam kwa wingi basi namimi sioni sababu yawewe kumchukia mtu nakumuombea dua mbaya haliyakuwa kasimamia hakki nakuwazindua watu kuepukana na batwil je nikuulize swali lait asingemkosoa uyo sheikh unafkir ni watu wangapi wangeishi kwa kutumia hiyo kauli yake? Au ni vizazi na vizazi? nasiku zote ukiona unamchukia mtu kisa kasema nakusema kwake nikwa ajili ya Allah na Mtume wake basi jua kwamba anayo yasema yanakugusa ivyo basi yakupasa kama muislaam mwenzangu kuachana na hayo yote ambayo hakutu amrisha Allah wala kutufundisha mtume Muhammad s.a.w kwani kuzusha jambo katika dini nikumkosoa Allah na mtume kwamba kuna vitu walisahau katika dini sasa sijui yupo mwanadam au kiumbe yeyote anaweza kumkosoa Allah tuwe nahof ya mwenyezimungu ndugu zangu Allah hajaribiwi wala kufanyiwa mzaha tuache ushabiki katika dini tujitume kuisoma dini yetu kisawa sawa namuomba Allah atuongoze katika haki na atuepushe na batwil tuiache nakila tunalo lifanya liwe kwaajiliyake Allah Amiin.
@@Idri683 Huyu bachu huwa tunamfata kwenye mitandao sana akirekibishwa huwa hakubali kuwa kakosa na ujeuri mwingi sana. Mfano kakosolewa akitukana barzanji ya maulidi nabii s.a.w. kitabu kimetungwa na mwanachuoni mkubwa yeye eti anakirusha kua hakifai kina shirk maskini akapige goti aelimishwe aache kibri. Mfano mzuri kwa shekh izzudin huyo ndio uchamungu. Sio kua na kibri.Ndio maana hatuna uhakika kua amemrekibisha mwenziye kwa ikhlaaswi.
Amiin
Huyu Muhammad bachu mjuaji sana na hawi mtu kujifanya mjuaji isipokua mwenye kutawaliwa na ujahil 🙌🏻
Na wewe Muhammed Bachu , ukubali kukosolewa na sio ukikosolewa ulipize kwa kukosoa tuu na wewe, na uo ni mfano wa wewe kuiga na pia tumia njia nzuri za kukosoa na kuweka sawa watu .
Mashallh Allah akubarik sheikh Muhammed
Ambariki nini kuzuwa mizozo kama nzi anadema popote kwani yeye kakamilika?
Wewe mtoto ni kibri kinakutawala
Sio tu kibri naukosefu wa nidhamu na adabu
Sheikhe izzudin Allah akuhifadhi sio raising mtu kukubali kosa zaidi mtu kosa lake atakutupia ubaya kwa lolote mimi nakiri mohammed bachu unapo rekebisha mm binafsi napenda mana dunia imejaa bidaa hii Allah awahifadhi
Daaah niujasiri kweli
aamin
Amina rablahlamin
Ameen.
Maa shaa Allah
mashaallah she mohd bachu
Sheikh Izzuddin hana mshipa wa ubishi kama wako
😂😂😂Dah ckutegemea hii
Maashaallah ndo uislam unataka hivyo.Allah akuhifadhini
Na wew ukirekebishwa urekebike pia 😂😂😂 kijana wetu .
😂😂😂 kwel kabsaa
Akiwa kakosea mbona anakubali tu,
@@MrNoNonsenseYes una uhakika na ilo usemalo ? Ebu rejea mada ya haleluya ,kisha utajipa jibu.
@@yes_yes1310 Ebwee, yani katika mada zote hiyo ndo mada uliyoichagua 🤣🤣🤣
Kwahiyo wewe unaunga mkono Halleluyah ina maana moja na La ilaha ila Allah 🤔😪
@@MrNoNonsenseYes Sina maana iyo ,ila natak kujua ahadi alio itoa kwenye ile mada je alitekeleza ,na kama alitekeleza atuonyeshe iyo video alokiri kukubali kurekebishwa,Ni hilo tu... ✍🏽
Naam, kazi nzuri Masha'Allah na Allah anawapenda sana wenye kutubia. Kama huyu Sheikh Izudin Allah amuhifadhi amiin.
Swali kwako Sheikh Muhammad, je nawewe uko tayari kutubia kwa kosa lakutupa kitabu cha Sheikh JAAFAR AL_BARZANJI? Maana huyu mwenye unamsifu leo na kumuombea dua pia umekubali kama yuko na imani, anasoma hicho kitabu ambacho ulikiita kitabu cha "SHIRKI"...
Ndugu samahani kwani kitabu cha maulidi barazanjii kina hadhi kubwa kuliko QUR'AN mpk atubie kwa kukitupaa
@@maheralmuayqily1900 bila samahani ndugu yangu ki imani.. jibu ni kwamba hicho sio chakupimanisha na QUR'AN ao vitabu vikuu vya hadiths, lakini vitabu vya wanazuoni wakiislamu ambao wamefanya jitaidi kubwa kwenye dini haifai kuwazalilisha. Ao kutupa vitabu vyao kimakusudi kwakukejeli.
Swadakta natoe live bachu akiri kosa Hilo Kama ajua hadhi ya wanachuoni hapo tutajua anaheshima kwa ja Mii kwa Sasa Hana hadhi
@@muftishaban.a.musamombasak6577 Naam Mufti...Allah atuongoze wote amiin
Mashallah
Kisichofanana na mwenyewe wallahi nafurahi sana ya mungu aendele kumlaza sheikh Nassor bacho pema palipo na wema sauti kabisa ya babako Masha Allah
Hata km ungekosea mara 100 tunakukubali iyo ndio moja kati ya sifa y binadamu. Mm Ahyan Othman Moh'd kutoka Zanzibar.
Sasa nahisi watu wa bidaa wameanza kumuewa vzr huyu Muhammad bachu.Allah awajaze kheri
What shallow reasoning
Mm nakukubali sana sheh wang
Maashaa Allah niwatakie kila la kher mashekh wetu lkn mimi nahis kukosoan mitandaon si vizur kam ungelimtafuta na kumkosoa ingelikua vizur zaid
Allah atuongoze katik haki na tuifuate
Kabisa ndugu .lakini Hilo lakumfuata haliwezekani sababu yeye ataka dunia ijue kuwa yeye NI MTU mkubwa katika jamii. Kiufupi hakuna kwa ajili ya ALLAAH ni kwa ajili ya viumbe
😍😍😍
Masalafy Wanapenda mabishano na mashindano na wakikosea hawakubali kukosolewa
Sawa lkn si sawa kukosoana hadharani ni vyema kutafuta njia sahihi
Mnajua km huyu kijana ametahayari sna yeye alifikiri ndo anzanzsha ligi kubwa dabble
😂😂😂😂ajawah izudin kujibu mtu
Kuwa makini na riyaa km amerekebeshika ilikuwa haina haja ya wewe tna kuanza kumnadi tna kuwa kakubali makosa yke na kuonekena yy hana elimu vzr km ulivo wewe
Haina maana hyo coz kila mwanadamu anakosea
@@sultansaidsalehe3805 hapana asiekosea ila ni namna ya urekebishwaji sio mzuri huyu ata kumuita shekhe alikuwa hamuiti angalau kabadlka kidg ....elimu anayo ila atafte njia nzr ya kurekebisha wenziwe
Kweli kabisa lkn yeye hawezi kukubali makosa anadia watu lkn yeye hawezi na ndio anajifanya ajua zaidi yeye huyu bachu utafkiri hakosei yeye na yy ndio mkosowaji mkubwa sana eti mashekhe wote wakosea ila yeye hakosei
Izzuddin ashakuwa shekhe wetu bravoalayk😂😂😂😂😂
😂😂😂
Huyu bachu anadharau na kujua kwingi
AZU UKASHA. SASA HAPO SHEKHE MUHAMMAD BACHU ALICHO KOSEA NINIII. AZU UKASHA WACHA KUSIMAMISHA FITNA ZA KISHETAANI. HASA PALE UNAPO ONA WAWILI WAPONGEZANA NA DUWA NJEMA KUOMBEANA. WACHA FITNA ALLAAH HAPENDI TUNATAKIWA KUJIFUNZA NA KUCHUKUWA MFANO WA VIONGOZI WETU WA DINI KAMA HAO WAWILI HAPO. MFANO MWEMA MZURI WENYE MAENDELEO YA KIELIMU SAWAAAAA AZU UKASHA WACHA CHUKI WACHA DHARAUU WACHA UCHOCHEZI. NI KHARAAAM
Huku naona wengi wanao coment ni mashabiki wa shekh huyu maana wanamkubalia kwa kitendo chake Cha kuwasema mashekhe hadharani 😭😭😭dah lakini sio nzuri maana anatafuta umaarufu kwa nguvu sana
Aliyekosea alikosea hadharani na watu waliondoka na huo msimamo dawa yake ni kukosoa mtandaoni ili jamii iliyoathirika ipate kurudi kwenye usahihi
@@hekimasanga6028 HATA JINA LAKO LINA TUJUZA KUA HAKUNA KITU KIKUBWA KAMA HEKIMA ,,YULE YULE NDIE ALIEKUA NA NANAFASI YA KUREKEBISHA IKIWA ALIKOSEA KWA MAANA ILITAKIWA AENDE KUZUNGUMZA NA SHEKH MWENYEWE NA SIO MTANDAONI AKHIL KAREEM.
Lengo lake n kumuingilia mke wake na siyo kwa maji
Mh muftiwaDunia
Subhanallah!! Unaonekana una chuki juu yake, ila mwezi huu hujacherewa ni mzuri mno wa kurekebisha nyoyo zetu. Tumuombe sana Allah azibadilishe nyoyo zetu, tupendane kwa ajili yake
Ni vizur ila na ww acha ujuwaji mtu humkosoi hvyo mwite pembeni mueke sawa sio kumkosoa hvyo acha ujuwaji
Izudin nawewe muhammad ALLA akulipeni wema,ilatu natoa angalizo kwako muhammad bachu Nawewe ujitahidi uache lughamaya nakujiona wewetu ndiyo shekh msomi kulikowote isijjetena wewe ndiyowewe kwakuwa IZUDIN umemkosoa na kakubali kosa baasi ukaona ee mimi ndiyomimi hatawewe yanaweza kukutokea kamavile baadhi ya wanachuoni waliopita,
Mbona we ukubali kushindwa weye .... pia una takiwa ukubali kushindwa ....
Sheikh Izzudin ametumia hekma ya Hali ya juu,na kuziba aliye mrekebisha. Ilikuwa inatosha. Vipi leo sheikh Muhammad Bachu wewe umetengeza hoja upya sio sawa.
Amiin thuma amiin
Wewe Ushakubali hata mara moja kama Umekosea?
huyu mtoto mnafiki kwel wallah, wapi shekh izu dini kasema ukitaka umuingilie mkeo mchana wa ramdhani na ukwepe kafara basi fungua kwa kula? kama sio utovu wa adabu ni nini? atufanya sisi hatuna masikio na uwelewa kama alivo yeye mtovu wa adabu, mi siku zote nasema huyu mwana wabachu hana adabu kabisa, na in shaa allah hutoondoka hapa duniani mpaka athari za wana wazuoni uliowakosea adabu zikupate
Airtime.
Imam shafi anasema"unaponikosoa nivute pembeni unieleze,ukinikosoa hadharani hujanikosoa ila utakuwa umenitukana(umenivunjia heshima tangy)hapa imam shafi alileta funzo kubwa sana Allah amrehemu
Shek hmuhammedi bachu wewe kila siku anakosolewa je mbona hutaki kukubali makosa yako j mbele ya watu kama alivyo fanya shekh izzu din.. Au unaona ufakhari kurekebisha wenzako??????
INAELEKEA UMFATILII VIZURI NDO MANA UMEKUJA NA HII COMMENT
Fatilia darsa zake utaona kma anakubali au hakubali
Fatilia durusi zake uone akikosolewa nukta tuu anakuja kurekebisha.ukimuona hajarekebisha alupokosolewa basi tambua kua yeye ndio yupo ktk haqi.
Aliyekuletea kesi kwako elimu yake ni changa kama yako .sheikh izudin ni muungwana na alielewa ni wapi alikosea ,lkn mtoto wa bachu ajiona ameibeba elimu yote .angesema tu nimepata ujumbe si kusema nimepata kesi.hapo ni kujikweza.
Je wewe uko hivyo!?
Hii tabia ni mbaya sana hata kama nyie mnaona sawa lakini sio hekma
Niukosefu wa adabu na malezi mabovu
mbona ww hukubali kukosolewa uki kosolewa una leta comet tele
Mola atupe mwisho mwema
Mbona masheghe wa kisalafi hawataki kukosolewa
Kukubali makosayako nidalili ya uchamungu nawengine hasawewe yatakiwa nawewe uige mwenendohuo maana ww unatabia ya lughachafu na kibri hutaki kushindwa hatakama nikosakweli nasisi tunaoushahid ukikosolowa hatakama nikweli hukubali, nihayotu
Nenda kasome alaf kumbe unajua sasa kwann mkiambiwa na sheihk Abdallah humeid mnakasirika
Na ww ndo ujifunze...uwe unakubali makosa yako mbele za watu
Lengo lako lilikua kumdhalilisha maana mumezoe mashekhe wa Tz kuteta mitandaoni amekujibu kwa ustaarabu sie watu wa Mombasa swali mbona hukuongelea zile zilizopita?
Mimi siwez kufatilia darsa zake maana darsa zake huwa anawakosoa wana wa chuoni.ambao wana elimu kuliko.yeye.sasa kuna darsa hapo!!!? Mm kiufupi sio kama kuna shekh hapo!!?....
Hamna shekh hapo huyo anatafuta jina na kashalipata ni utoporo tu
Mawazo yangu ikiwa sheikh atateleza basi, sheikh mwenzi mwenziwe ampigie simu amueleze alipokosea, alafu yule mkosa atarudi tena ajirkrbishe, kuli kuliko aibu hino please, kwa sababu nimeona clip ingine Bachu nawe unakosolewa, sasa tutaendelea ivi mpaka lini , mwishowe mutate mkiateta nyinyi sisi tuwewapi? Sasa Bachu umekosolewa. Anie kukosea nae ametowa clip pua
HUYO BACHU HAFAI 😄,,HATAKIWI KULAUMIWA WATU WASOME TU..TUSHABURUZWA SANA TUNAITIKA TU.
We mwenye elimu mbon hutoe elimu yako acha unaviki ndugu
Najua watu wa maulidi hawajafurai..!lakini vumilieni tu ndio haki ilivyo.
Sheikh Izudin ma sha Allah ni msomi namkubali hakutaka upate kiki amekufunga bao nahuku wacheka sio kwamba hawezi majibizano ela amechukua yale maneno yasemayo waidha khatwaba humul jahiluna qalu salama
Leo nime enjoy san
Wewe mbna huahukubali unapokosea au hua hukosei pili ww hukosei jingaww ww uache
Unapozungumza ya mwenzako na ukamsifu ni vizuri
Swali je wewe umekosolewa mara ngapi na hujakubali au hii kwa wenzako tu kwako haiwezekani maana we ni si mkosesji
Sheikh Izzuddin namjua ninmchamungu na hana kibri nilihisi tu angekubali haki na kiukweli masheikh wote tuwe kama sheikh Izzudin. Allah atufanye tuwe kama yeye hana kibri
Mtu mnaafiq huyu,leo amuita Sufi Shekhe wetu😂😂😂😂😂
Masufi ndo mwabwana
Unatafuta umaarufu kupitia izzu deen ila sisi tumemuelewa na wala hajakosea